Daktari aeleza chanzo, ugonjwa na hali ya mtoto anayekunywa mafuta

  Рет қаралды 18,716

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 21
@tabukallaghe3499
@tabukallaghe3499 7 жыл бұрын
pole shukuru; mungu ni mwema utapona; kazi nzuri dr. stela nakuaminia mana nami ni mgonjwa wako tangu nimeanza tiba namshukru mungu naendela vizuri; ingawa bado shida ya kupenda kutafuna mchele sana
@elizabethusangira9103
@elizabethusangira9103 7 жыл бұрын
Pole sana Mama Shukuru pamoja na Shukuru.Asante Dr kwa maelezo yako,nimepata elimu.
@shufaamohameed2603
@shufaamohameed2603 7 жыл бұрын
Dada Allah akuongoze katika kazi yako hakika allahu alipangalo hatuwezi pangua
@shufaamohameed2603
@shufaamohameed2603 7 жыл бұрын
dadaangu Allah akuzidishie kwa kweli ni doctor wa kipekee Sana
@hemedymayega148
@hemedymayega148 7 жыл бұрын
tunataka madaktari wenye faida kama nyie mungu aendelee kuilinda kaz yko kuokoa maisha ya wengi pole sana mdogo Wang Shukuru mungu yupo pamoja nawe.
@rizkimantasha5
@rizkimantasha5 7 жыл бұрын
Nice doctor!!!
@mariamfaki1166
@mariamfaki1166 7 жыл бұрын
shukuru pole sana zingatia maagizo ya doctor utapona inshallah
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 7 жыл бұрын
asante doctor kwa ufafanizi mzuri
@kinakithemr1042
@kinakithemr1042 7 жыл бұрын
mwenyez mungu amjalie aweze kuwa salama insha allah
@marthasilas4304
@marthasilas4304 7 жыл бұрын
POLE SHUKURU. MUNGU AKUPONYE
@zenamilanzi1471
@zenamilanzi1471 7 жыл бұрын
Pole sana shukuru
@zuwenaself7634
@zuwenaself7634 7 жыл бұрын
mungu atakufanyia wepes
@mamapekupekupilipilimuwash9016
@mamapekupekupilipilimuwash9016 7 жыл бұрын
kwakweli ina skitisha mungu ampe afya yake
@familylove5417
@familylove5417 7 жыл бұрын
Maskn Allah atakuaf inshallah atakupungiza maumivu inshallah
@marynjeri4942
@marynjeri4942 7 жыл бұрын
mungu wetu nimuku kuriko mungaga
@jojoba4791
@jojoba4791 7 жыл бұрын
Sickle cell anemia ndio jina la ugonjwa huu. Viungo vya damu haviko round inavyotakikana. Nikama vile mwezi nusu na, havitanya kazi yake itakikanavyo. Maybe hata kubeba oxygen kwa vile viko nusu-ish?. Sijui. But tumeshukuru kujua ni maradhi gani, na sio mambo ya kichawi. Pia tumeelezwa ni hereditary. Kumaanisha unapitia mbegu ya uzazi - DNA. + wengine can get it wengine not, But, wanaweza/na wata pitisha bio DNA kwa future generation/s. Pia sehemu tofauti tuna magonjwa na faida fulani kwa mwilli wetu. For example watu wa mahali panaitwa Murarang'a Kenya na kwengine, sickle cell anemia ni more common, + kwengine duniani. Why? Wengine hatujui. But tunamshukuru huyu Daktari kutufafanulia vizuri jambo hili. Shukrani sana dada dakitari. Kazi yako ya kutujulisha pamoja na calling yako, will Definitely saidia mwengine out there. Hata kama ki elimu au awareness, inasaidia. Tafadhali wenzetu wooote tuelimishane na mambo muhimu tupunguze mabaya ambayo tuyaepuka before it is too late.
@mushxwaggz5258
@mushxwaggz5258 7 жыл бұрын
Utapona dogo shukran
@saumukaduara4892
@saumukaduara4892 7 жыл бұрын
M.Mungu akuzidishie afya njema
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 6 ай бұрын
Amina 🙏
@hamisidale3648
@hamisidale3648 7 жыл бұрын
DR Stella Rwezaura" Job well done Captain Hamisi Dale Boston Massachusetts"+7814888652 USA
@thurayyaomar655
@thurayyaomar655 5 жыл бұрын
dokta naomba kuuliza nliwahi kutumia dawa ya minyoo ya maji nikichupa chake kidogo tu rangi ya pink ndani na kichupa chke cha manjano naomba kujua jina lke nmelisahau nshahaika sjaipata naomba jpo box lke tu ntajua plz naomba no yngu 0626893814
Trump's Plan for Ukrainian Lands / U.S. President's Demand
11:59
NEXTA Live
Рет қаралды 573 М.
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН
Adaptitude: India and climate change
25:01
The Economist
Рет қаралды 6 М.
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН