TAJIRI KOBOKO ALIEKUBALI SHARTI LA KUISHI MIAKA 7 NA UTAJIRI KISHA KUFA/NILIANZA KUWA MCHAWI

  Рет қаралды 18,112

Davistar Mata Media

Davistar Mata Media

17 күн бұрын

Пікірлер: 85
@Irenes_Kitchen
@Irenes_Kitchen 15 күн бұрын
Asante Sana kaka davistar kwakutukumbuka tulikua tumekumiss Sana sisi shabiki zako umetuletea story mpya🎉chukua maua yako mungu akubariki uendele kutupa story nzuri za kutufundisha🌹❤️
@DavistarMataMediaDM
@DavistarMataMediaDM 15 күн бұрын
Amen ahsante tupo pamoja
@sophiebanga9533
@sophiebanga9533 15 күн бұрын
Welcome back umenona saana mtu makini
@jumayusuph9609
@jumayusuph9609 13 күн бұрын
​@@DavistarMataMediaDMasate sana tumekumic kaka mpka tumekonda ukipotea uwe unatuambia tusiwe na wasi wasi
@josephmulli37
@josephmulli37 12 күн бұрын
​@@DavistarMataMediaDM28:04
@maureenmwende3515
@maureenmwende3515 4 күн бұрын
Davister hii Chanel izidi kupokewa na wengi ikona mafudisho mazuri
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 15 күн бұрын
Mzee wa kazi anaonekana kuna mambo anapitia ambayo magumu sana kwasababu na hisi tangu anze ichi kipindi kunavitu vingi vibaya anavijuwa na pia na watu wanao fanya ivyo vitu vibaya pia anawajuwa kwahiyo watu wana muinda sana tumombeeni wadau
@osmundmtavangu
@osmundmtavangu 15 күн бұрын
Davista kanyong'onyea sana. I fell something bad had been going through him. Mungu akutie nguvu tuko pamoja.
@edithaeugeni9695
@edithaeugeni9695 15 күн бұрын
Karibu sana Mtu makini ulitugaya ila ulipo tuacha hatujasogea tumekusubri kwa uaminifu mkubwa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mwami_the_don_
@mwami_the_don_ 15 күн бұрын
Jamani tumchangieni davista tujiongeze kaaah mpak aseme wakat katutoa mbal na katoa sana matongo tongo juu ya hii dunia
@mwakilamwaki1718
@mwakilamwaki1718 14 күн бұрын
Awake namba tumsapoti davista ata elfu 5 to kwa kazi nzuri anayo fanya
@paustephano
@paustephano 13 күн бұрын
Tunaanzia wap Sasa?
@paustephano
@paustephano 13 күн бұрын
Mnaonaje tukatengeneza group whatsup na tutume humu link anataka atajiunga na mwenyew davista awepo then tuanze michango hapo
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 12 күн бұрын
Davista anapitiaga comment kwahyo aweke namba yke tumchangie
@nalandayusuf641
@nalandayusuf641 10 күн бұрын
karibu sana Davimastar kazi zako tuli kuwa tumesha zi kumbuka
@elochoyakobo7809
@elochoyakobo7809 9 күн бұрын
Oya davistar piga kibao Huyo jamaaa,Mtu anahojiwa anacheua Cheua na kutafuna tafuna kama mbuzi haipendezi
@euphreshiaessendi2115
@euphreshiaessendi2115 13 сағат бұрын
Wooooooow l had missed you aloooooooooot welcome back brother
@jkkim3848
@jkkim3848 7 күн бұрын
Davister amerudi mtandao 💪🏾karibu tena
@jovinmancomedytz
@jovinmancomedytz 8 күн бұрын
Mbona hawezikujielezea vizuri anatafunatafuna kama mbuzi tu yani anaboa sanaa
@phronimouslady1653
@phronimouslady1653 6 күн бұрын
Kwakweliii he is boring 😂😂
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 3 күн бұрын
Kujieleza ni kipaji sana ndugu😅
@judithpraisesmusic
@judithpraisesmusic 15 күн бұрын
We have missed davistar....welcome back I am so much blessed with your work and have known a lot spiritually
@joymkenya2359
@joymkenya2359 15 күн бұрын
Welcome back😊🎉from Kenya we love you TZ ❤
@mundhirsalum21
@mundhirsalum21 13 күн бұрын
Story nzuri ila msimuliaji ana semulia kama ana soma gazeti Kama huyu story yake inafika hadi part 5 achana nayo tuwekee mtu mwengine
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 14 күн бұрын
Mda mlefu kweli mdogo wangu devistar sijaingia kwenye program mungu Akuongoze vizuri Ameen
@reisezone4574
@reisezone4574 15 күн бұрын
DAVISTA Tunaomba utuambie wafuatiliaji wako tulio nje ya nchi nini kilikukuta mbona muda mrefu sana ulipotea tulipata wasiwasi tuambie
@rerisamba
@rerisamba 15 күн бұрын
Michawi .mnao turogea Davistar mshindwe kabisa katika jina la Yesu
@cheddarman8436
@cheddarman8436 15 күн бұрын
Kiukweli Davistar anapitia changamoto, hii sura sio yake.
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 9 күн бұрын
Amen
@salngas902
@salngas902 14 күн бұрын
Welcome back mr everything,,we missed you❤❤❤❤
@James-Jabari
@James-Jabari 15 күн бұрын
Mr. Facts great to see you brother.
@ambassadorkatemeambassador2840
@ambassadorkatemeambassador2840 15 күн бұрын
Awali ya yote nipende kumshukuru Mungu, niokuona tena Mr Dm karibu
@emmyrobert1061
@emmyrobert1061 14 күн бұрын
Welcome back davistar mata we love you.🎉
@mgalulamatongo4079
@mgalulamatongo4079 14 күн бұрын
Since 2019 nafatilia story zako..wlcm again ninja
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 14 күн бұрын
welcome back mr davi...we missed u
@user-uc1tc7jf9q
@user-uc1tc7jf9q 14 күн бұрын
Mungu ni mwema nimefurai kukuona tena❤❤
@user-op4ue1sm9x
@user-op4ue1sm9x 13 күн бұрын
Asante kwa kurudi hewani davista
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 15 күн бұрын
Well come back Mr. facts!!!
@cyantess8423
@cyantess8423 15 күн бұрын
glad your back
@philipomponeja2457
@philipomponeja2457 14 күн бұрын
Davistar kimya sana! najuwa unamambo mengi! so tulikumic karibu
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 15 күн бұрын
2024
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 12 күн бұрын
Yaan bila davista nlikua naona ata youtube haina maana una nafasi katika mioyo yetu kwa kwel🎉🎉
@mysskibe
@mysskibe 14 күн бұрын
Welcome back Davistar 😊😊 Hope you know you are appreciated by your online family, endelea kum expose shetani kabisa
@sistymbombo1616
@sistymbombo1616 10 күн бұрын
Kwanini anakula wakati wa mahojiano?
@patrickmaina5459
@patrickmaina5459 15 күн бұрын
Welcome Mr Devistar 🤝
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 14 күн бұрын
❤❤ Glad to see you...you're welcome....
@athumanmakale8221
@athumanmakale8221 14 күн бұрын
Binafsi nilikumiss sana Davista. Tuendeelee tulipoishia..
@MawaddaKhamis-zh3kc
@MawaddaKhamis-zh3kc 15 күн бұрын
Wa kwanza 🎉
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 13 күн бұрын
Umepotea Sana davista
@marryjoely8091
@marryjoely8091 15 күн бұрын
Aaaah hatimaye ❤
@user-ho2qk6oj3w
@user-ho2qk6oj3w 12 күн бұрын
Davister jaribu kutoa vipande hata vitatu kwa sku tuna hamu na hyo ctr.. Lkn utoaji wa kipande kmoja kwa siku hauridhish
@dozbilavipimocr7bilavipimo218
@dozbilavipimocr7bilavipimo218 11 күн бұрын
Angela sana kaka🎉🎉🎉🎉😂❤
@happymrema7487
@happymrema7487 15 күн бұрын
Bora umerud
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 11 күн бұрын
Duh ulipoteaga sana mkuu
@GodwillMasige
@GodwillMasige 15 күн бұрын
Mtumishi kupotea kwako kumenifanya hata cm kubwa nione aina maana aisee mungu akkumbe kwa yote ktk maish yak
@africanstears7755
@africanstears7755 6 күн бұрын
Waongo awa....sio bukirigulu...ni ukiligulu na haipo kahama ipo misungwi
@shashemuzyo4537
@shashemuzyo4537 12 күн бұрын
Mzee ulipotea. Nikawa narudia story nilizokuwa tayar nimecheki..
@aryanamendes8700
@aryanamendes8700 11 күн бұрын
Ulikuwagaa wapi kaka
@bakari-si1pw
@bakari-si1pw 15 күн бұрын
Safi sana
@user-nt4bl1hn9w
@user-nt4bl1hn9w 15 күн бұрын
Ngoja niskilize story kabla cja comment kitu🎉
@getrudeliyayi8050
@getrudeliyayi8050 12 күн бұрын
Kuna jama huko kwenu amefufuka mara 5 please can you check on her ,bring her story too nimeon afri lakini si yote
@user-bd6nt4yq3m
@user-bd6nt4yq3m 13 күн бұрын
Mkuu unatukosea sana hatukupati
@mustaphasegeja1712
@mustaphasegeja1712 15 күн бұрын
Ha unashangaa mzazi kumlipia mahali kijana wake
@davidbatista7882
@davidbatista7882 15 күн бұрын
Wachawi walikupoteza kwa kutoa sir zaooo chezea wachawi nn duuu aiseee na hii inawezekana isiendelee tena
@user-fo5ox5wq6l
@user-fo5ox5wq6l 15 күн бұрын
Wa 3
@rachelmsekena603
@rachelmsekena603 15 күн бұрын
Mpaka tuliwamiss kwakweli karibuni mjengoni
@DavistarMataMediaDM
@DavistarMataMediaDM 15 күн бұрын
Ahsante
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 14 күн бұрын
davi karibu shinyanga hapa story zipo kibao
@Cossan-hp6un
@Cossan-hp6un 10 күн бұрын
❤❤🙏
@User92.invisible
@User92.invisible 15 күн бұрын
Twende mbele.
@shukranisibale1739
@shukranisibale1739 15 күн бұрын
Nyingine saa ngap
@adamjonasi8078
@adamjonasi8078 15 күн бұрын
Eeeeh afadhali aise maisha yalisha kuwa magumu alo 😅😅😅😅
@davidbatista7882
@davidbatista7882 15 күн бұрын
Aiseee jamaa wewe umerudi duuu simchezo
@davidbatista7882
@davidbatista7882 15 күн бұрын
Umetoa sana siri za wachawi wakakupotezaaa daaa ukuonekana tena
@jesusislord9190
@jesusislord9190 15 күн бұрын
Sema nn? Dav fanya mazoezi
@danielsteven5440
@danielsteven5440 15 күн бұрын
Karb kaka
@user-nu3ud7ws9b
@user-nu3ud7ws9b 15 күн бұрын
Ndoa imeisha apa amaa
@shukranisibale1739
@shukranisibale1739 15 күн бұрын
We jamaa ulitutupa sana saizi nipo sehemu ya 35 ya Wamayo aisee alijua kusimulia kama kitabu
@rerisamba
@rerisamba 14 күн бұрын
Msalimie baby wetu wamayo
@shukranisibale1739
@shukranisibale1739 14 күн бұрын
Mzee wa nikaingiamo
@tututz100
@tututz100 15 күн бұрын
J.B.B.1999
@florencerose859
@florencerose859 15 күн бұрын
Mr facts karibu tena 💃💃💃🇰🇪
@chuchetresha
@chuchetresha 14 күн бұрын
Back once again 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@donathamwangobe2776
@donathamwangobe2776 15 күн бұрын
Davista Mungu akutunze akuepushe na mabaya
@NajimaNichole-oz3zv
@NajimaNichole-oz3zv 7 күн бұрын
Anatafuna maneno au ndo uko gamboshi walikula nyama wa watu Na pumba za kuku ulimi mzito anaboa
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,5 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
New poll shows impact of Biden's debate performance
10:53
CNN
Рет қаралды 1,1 МЛН
NILIJIFANYA MSOMALI | NILITUMIKA NA WAZUNGU HATARI | SHULE ILINIOKOA
1:30:38
Official Dating Assistance
Рет қаралды 15 М.
Is graphene starting to live up to its hype?
28:03
RAZOR Science Show
Рет қаралды 147 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 50 М.
Förvaltarens bästa 18-årsportfölj
22:26
EFN Ekonomikanalen
Рет қаралды 7 М.
Riksbanken öppnar upp för tre räntesänkningar i år
12:33
EFN Ekonomikanalen
Рет қаралды 4,4 М.
Добейти 100000 подписчиков | Тгк- @Rom4ik539
0:28
He has no power to use all tomato 🍅 🤣
0:15
LikvoFam
Рет қаралды 4,6 МЛН
Khi em gái tôi đắp mặt nạ || Mask of joy #shorts
0:11
Linh Nhi Shorts
Рет қаралды 5 МЛН
КОГДА СОСЕД КУПИЛ ИНОМАРКУ😂#shorts
1:00
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 3 МЛН
Люди были шокированы от увиденного 🤯
0:29
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 2,2 МЛН
1❤️ #shorts
0:24
Saito
Рет қаралды 20 МЛН