DDC Mlimani Park - Barua Toka Kwa Mama

  Рет қаралды 913,140

Tizedboy Zilipendwa Channel

Tizedboy Zilipendwa Channel

Күн бұрын

Mlimani Park Orchestra at their best with Barua Toka Kwa Mama Part One

Пікірлер: 430
@pandoemmanuel2051
@pandoemmanuel2051 2 ай бұрын
1983 na 84 nilikuwa nikisikia wimbo huu nilikuwa nalia sana sana. NI wakati nasoma primary, wakati huo naishi kwa bibi yangu na wazazi wangu walikuwa wametengana. Nikapoka barua kutoka wa mama. Mungu ampumzishe baba yangu. Bado nasikiliza 2024
@abdallamatemba7484
@abdallamatemba7484 Жыл бұрын
Hapo Kuna pacha mbili, Abel, Mulenga na Gama (gitaaa),Cosmas, Hamis Juma na Gurumo(waimbaji)aliyefunga kazi na midomo ya Bata ni King Enock, hayo yote yamo kwenye maisha tuliyonayo Leo na vijana wa Sasa mgogoro wa wazazi anaamua kulalia upande mmoja, Cosmas katoa funzo Sana kwenye wimbo huo, ndio nyimbo za kwanza kabisa baada ya bendi kuanzishwa, (1)Barua-Cosmas(2)Celina-Mulenga(3)Kassimu-Gurumo, Nchi ilisimama kwa muda baada ya nyimbo hizi kutoka redioni kwa Mara ya kwanza, hongereni Sana Mlimani hasa hasa Abel Barthazal
@stanleyadamson9522
@stanleyadamson9522 6 жыл бұрын
Kwa kweli hii nyimbo inanikumbusha mbali sana kuna siku nimetoka Shule hela sikuwa nayo nimeshinda na njaa toka asubuhi mpaka natoka Shule mchana .nikapita nyumba moja hivi nikaona mama na mwanae wamekaa wanakula nikaenda nikaomba wanisaidie chakula wakanikaribisha nikakaa na kuanza kula.mda huo kulikuwa na Redio ya mkulima ukawa unaimba HUU wimbo. Daah kila nikiusikia nakumbuka hiyo siku aisee
@Salisalum
@Salisalum 2 ай бұрын
Pole
@hintazom1456
@hintazom1456 4 жыл бұрын
Niligombana na mke wangu mtoto wangu wa kwanza alilia sana huku akisema,"dad plz don't ditch my mom i beg ye",ikabidi nimsikilize na mpaka leo tupo pamoja.
@travelbooking4192
@travelbooking4192 4 жыл бұрын
YAANI WE ACHA TU
@isimailshauri4989
@isimailshauri4989 4 жыл бұрын
Mungu awatangulie ktk maisha yenu ya ndoa
@aidannzowa5502
@aidannzowa5502 5 жыл бұрын
Miaka ya 78 baba akiwa masomoni Mzumbe, ss watoto na mama tunaenda shambani njaa inauma kishenzi lkn baba akirudi likizo ilikuwa faraja sana kwa kila mtoto, pia santuri mpya za muziki tunacheza tunakesha! It was real goldsh family! Hongera sana mama yangu! R.I.P. my dady
@georgeodoo9924
@georgeodoo9924 3 жыл бұрын
Inanikumbusha wakati nilipokua nikisoma Chuo ki Kikuu Dar es Salaam 1978/80. Mimi msudani na pia muamerikani. Ninapenda wa Tanzania na nchi yenu sana.
@victoriamaleko9699
@victoriamaleko9699 8 ай бұрын
Welcome back Tanzania
@mursalseleman2174
@mursalseleman2174 4 жыл бұрын
Hakika hii nyimbo inasisimua mpka machozi yanatoka yenyew bila kujua duh ama kweli ya kale dhahabu gonga like 2020
@omaryjuma3714
@omaryjuma3714 Жыл бұрын
Kisa Cha kweli kabisa Mwenyezi mungu awapumzishe wazazi wangu mbele za haki Mama yangu amenilea kwa shida sna Sina baba simjui hata kwa sura kwa roho inaniuma R.I.P wazazi wote waliotanguria mbele za haki
@jumannemwakalinga2586
@jumannemwakalinga2586 6 ай бұрын
Pole sana Ndugu yangu, endelea kuwapmbea Wazazi maana wote tutaenda huko.
@fatumahamadi1379
@fatumahamadi1379 Ай бұрын
Pole My Dear ALLAH aupoze moyo wako n zid kuwaombea Dua
@stanslausmajalla8896
@stanslausmajalla8896 11 күн бұрын
Pole sana ndugu yangu,sote tunapita hivyo tuombeane heri sote,wapumunzike kwa amani wazazi wetu (baba na mama yako)😢
@othumanyahya9168
@othumanyahya9168 5 жыл бұрын
Wimbo huu sitoweza kuusahau katika maisha yangu, kwani mwaka 1986 nikiwa chuo cha elimu ya ualimu ilinibidi nifanye uamuzi mgumu ili kuwapatanisha wazazi wangu ambao walitengana. Daah! Chidumule Cosmas nitaendelea kukumbuka kwa kuwa mkweli katika maisha halisi.
@jacksonchiwalanga4817
@jacksonchiwalanga4817 3 жыл бұрын
My parents separated 27 years now,, my mom struggle alone all those years and she only have me,, the only son,,, My love to her is unmeasurable this song make me cry 😭
@omondiabdi1971
@omondiabdi1971 3 жыл бұрын
Just a part of life bro.
@josiahmuthemba115
@josiahmuthemba115 2 жыл бұрын
Ploe sana hayo ni mapito
@husseinhumbi6373
@husseinhumbi6373 2 жыл бұрын
Muda mwingine tunaweza kuwalaumu wazazi wa kiume lakini hatujui mama na baba walitengana kwa nn huwenda kuna Jambo gumu kuvumilika
@petersaria7125
@petersaria7125 2 жыл бұрын
@@husseinhumbi6373 kweli kiikubwa kuwapenda wote
@johnginni9926
@johnginni9926 2 жыл бұрын
Pole sana nadhani mengi Leo unashuhudia ndg yangu wangekuwa pamoja pengine wangukuwa hawapo kwani ugonvi huleta maafa
@fredrickkassilly8479
@fredrickkassilly8479 2 ай бұрын
I Heard This Song When I Was In High School At Alliance High School In Kenya. We Used To Sing It Without Paying Much Attention To It. Now I Do. A Master Piece For All Ages!! Congratulations DDC Mlimani Park.
@khadijakassimu3710
@khadijakassimu3710 4 жыл бұрын
I miss my baba😍😍😘😘R.I.P my lovely father.Ndo vilikuwa vitu vyake hivi hadi nasi wanawe vimetuingia kwenye damu,Sasa mwezi wa 7 huu sinae duniani,.Nikisikiliza hivi kama namuona vile 😭😭😭dah sina la kusema yani
@linusleon7018
@linusleon7018 7 жыл бұрын
N iutunzi wa cosmas chidumule.akiimba pamoja na hamisi juma maalim kinyasi.na muhidini gurumo.solo Abel Baltazar.ibass joseph mulenga.ridhim Abdala gama.tumba Haruna Lwali.drums Habib Abassj eff.saxfone juma town.Joseph Bernard.King michaelEnock Teacher.Trumpet Ibrahim mwinchande Bonifas Kachale.mafundi mitambo.chuma na kitwana....Sikinde ilitisha.....
@wilsonlukuwi8941
@wilsonlukuwi8941 6 жыл бұрын
Linus Leon namna ulivyo wataja musicians hao unaninikumbusha namna Julius nyaisanga (RTD)na Fred obachi machoka (VOK) walivyokua wakiwataja kwa mbwembwe!
@henrychaula1174
@henrychaula1174 6 жыл бұрын
Umepatia hasa huyo ni Cosmas Thobias Chidumule akiwana Hassan Rehan Bitchuka na Gurumo enzi zao za Sikinde ngoma ya ukae 1979 nikiwa darasa LA Vi, walitisha mno mno.
@michaellukandi6800
@michaellukandi6800 6 жыл бұрын
A true story refering to Chidumules' parents.They had familiy issue of which later they divorced.This song is as a consequence of this situation.Chidumules mother wrote to his son LETTERS (referred to this song)b regarding the hardships she was experiencing in her marriage.Fantastic,touching, song
@dominicmaluki5242
@dominicmaluki5242 6 жыл бұрын
Pia marehemu MDJ Eddie Fondo,the best radio dj in the late 70s and 80s,complete with their dates and places of birth.Those were them days.I wonder whether any of our so called musician today will ever reach such levels.
@mathewmunthali3684
@mathewmunthali3684 6 жыл бұрын
Burudani kwelikweli
@sammylwendo1496
@sammylwendo1496 Ай бұрын
Kama mama yangu angekua hai, I swear baada ya kusikiliza wimbo huu, kesho ningepanda basi niende popote alipo nikamsalimie na kumuambia nampenda kwa kiwango gani!Rest in power my mom Christina Mballa Mwakatah!
@mosesnjeru1455
@mosesnjeru1455 Жыл бұрын
2022 listening to this song and I feel like crying....may the lord continue to keep my parents with good health and long life nawapenda sana...this song makes me visit my aged parents more often....
@onesmuskariuki1385
@onesmuskariuki1385 Жыл бұрын
This was very relevant composition by Chidumule.
@gracewahura3359
@gracewahura3359 Жыл бұрын
same here
@MoyiSanJose-eg1nr
@MoyiSanJose-eg1nr 6 ай бұрын
Me too bro😪
@abiudoluoch7668
@abiudoluoch7668 5 жыл бұрын
Ninaposikia nyimbo kama hizi natamani kutembelea ndugu zetu kule Tanzania, the home of many great musicians kama Mbaraka Mwinshehe, Remmy Ongala, DDC Milimani Park, Ramadhan Rajab na wengine wengi. Tz you're a blessed nation
@saidbakarimohamed4447
@saidbakarimohamed4447 5 жыл бұрын
WAKATI HUWO MAMBO YANGU YALIKUWA KWENYE MSTARI YAANI NIKISIKZA HADI MACHOZI YANANITOKA
@abdallahpazi8168
@abdallahpazi8168 4 жыл бұрын
Abiud Oluoch Huu ndo muziki
@kakuruchiganga507
@kakuruchiganga507 6 ай бұрын
Karibu sana, nyumbani kutamu
@sylvesterokumu2695
@sylvesterokumu2695 6 жыл бұрын
I watched mzee Chidumule narrating how he came with this song.This is a true story that was happening in his family.His father and mother were separated and thus the song.He is an inteligent old man.Kongole kwa utunzi huo.
@fatumahamadi1379
@fatumahamadi1379 Ай бұрын
Huu wimbo unanikumbusha Mbali sana NI Wimbo Wenye Mafunzo Ndani Yake ALLAH Awarehemu Wzz Wangu n Wote Waliotangulia Mbele y Haki
@damaskimaro9111
@damaskimaro9111 6 жыл бұрын
Kisa cha kweli wazazi wa chidumule walitengana wakati huo wakiw Tanga,chidumule alilazimika kurudi songea pamoja na mama yake,then alijiunga na Butiama jazz ,Urafiki jazz,Dar international then akaenda kuanzisha Mlimani park na ndio akatunga wimbo huo
@mwinyimgeni8850
@mwinyimgeni8850 5 жыл бұрын
Damas Kimaro Hapana mlimani hajaanzisha yeye
@jovinjoseph4887
@jovinjoseph4887 5 жыл бұрын
Chidumule bado yupo ila siku hizi ameokoka
@chasoh
@chasoh 5 жыл бұрын
Huyu hapa Chidumule na ushuhuda wake, kzbin.info/www/bejne/pIvRkqmMZph3pqs
@johnndambuki21
@johnndambuki21 4 жыл бұрын
Thanks for the story behind the song.
@henrychaula1174
@henrychaula1174 4 жыл бұрын
Hakuanzisha aliwakuta kina Hassan Rehan Bichuka, Gurumo na wengineo pale
@AllyMsita
@AllyMsita 2 ай бұрын
Ni wimbo wa miaka mingi sana rakin unaishi mwaka2006 juzi tu apa niradhimika kusikiliza wimbo wa mwyaka ya 80 nikiwa bukoba mama akiwa wilaya ya manyoni Kijiji Cha makale, hakika watunzi mulikuwepo hatuko nanyi nyimbo zenu zinaishi duniani tunapita nyie mbele sisi nyuma yenu
@kakuruchiganga507
@kakuruchiganga507 6 жыл бұрын
Barua zangu wakati niko shule nimezitunza hadi leo haswa zile zilizokuwa unakunja karatasi hiyohiyo upande mwingine ni bahasha, huu wimbo huwa unanitoa machozi kwani mama na baba walitengana nikiwa na miaka 3, na mama akapambana hadi nikamaliza chuo.Mwezi mmoja toka nimalize chuo kbla hata kazi sijapata mama yangu akatangulia mbele za haki, Mwenyezi Mungu aiweke roho ya mama yangu pahala pema peponi, Amina.
@zadimidasi6266
@zadimidasi6266 6 жыл бұрын
Miziki hii ilikuwa inaadabisha,elimisha na kuburudisha pia
@sunriseradiotz
@sunriseradiotz 6 жыл бұрын
loh, pole sana
@mwakalingalusajo8054
@mwakalingalusajo8054 6 жыл бұрын
Kakuru Chiganga pole sana mipango ya mungu
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 6 жыл бұрын
Kakuru Chiganga amina Amina
@mujahidalinaseem6213
@mujahidalinaseem6213 4 жыл бұрын
Daah... story yako tamu lkn INASIKITISHA sana.. pole sana..!
@Salisalum
@Salisalum 2 ай бұрын
Aee mama eeh jaribuni kuyasuruhisha mambo hayo Kutengana kwenu kunanipa wasiwasi manenu Sina kaka sina dada kwa hiyo naomba muishi kama vile mwanzo Ningali mdogo ninahitaji msaada wenu wazazi wangu Aee mama eeh jaribuni kuyasuruhisha mambo hayo Kutengana kwenu kunanipa wasiwasi manenu Sina kaka sina dada kwa hiyo naomba muishi kama vile mwanzo Ningali mdogo ninahitaji msaada wenu wazazi wangu Aee mama eeh jaribuni kuyasuruhisha mambo hayo Sina kaka sina dada Kwa hiyo naomba Muishi kama vile mwanzo
@josephinejoseph7358
@josephinejoseph7358 8 жыл бұрын
loooh...!! jamani kipande hiki namaliza kdt cha 6 Mzumbe High School Morogoro. ...lkn nikaendelea kuupenda mpaka nikiwa " kuruta Mafinga National Service 1979.
@leahngugi5918
@leahngugi5918 8 жыл бұрын
Ujumbe wa wimbo huu unaonyesha vile watoto wanavyoteseka wazazi wao wakiachana.
@AthumanyakawaidamwanaJuma
@AthumanyakawaidamwanaJuma 8 жыл бұрын
Unanifanya kesho niende home nikamuone mama kijijini.
@vicenttheophil2033
@vicenttheophil2033 4 жыл бұрын
Haswaaa
@mohamedikilinga2889
@mohamedikilinga2889 6 жыл бұрын
Nilikuepo kwenye tamasha la kutimiza miaka 40 ya mlimani park pale viwanja vya bandari wiki iliyopita lkn badala ya kufurahi nilitoka pale nikiwa na huzuni kubwa baada ya kumuona mpiga rythim ya wimbo huu ABDALAH GAMA akiwa hoi bin taaban,ni mlevi kupindukia hawez tena kufanya chochote,,,kwakweli iliniuma sana nikimuangalia
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 5 жыл бұрын
Mohamedi Kilinga Ni kweri Gama kachoka sana yuko na kibendi kinaitwa Exel bend wanapiga zing zong
@mujahidalinaseem6213
@mujahidalinaseem6213 5 жыл бұрын
Wakati strees zinachangia kuwatoa nje ya mstari wamefanya makubwa lakini of the and NOTHING EVERTHING
@jimmymayunga9070
@jimmymayunga9070 8 жыл бұрын
kwakweli tungo za mashiri ya mziki huu imetulia, inagusa huwa ninapo usikiliza wimbo huu huwa namkumbuka sana mamaangu, kwakweli mziki wa zamani bado ungali unaishi.....
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 Ай бұрын
Sifa za fasihi ni kuishi asante ddc kwa zawadi hii asante waimbaji
@pslymrobert4627
@pslymrobert4627 8 жыл бұрын
Daah huu wimbo unaniliza ila sina jinsi... God protect my family mom and dad though they are not together.
@jumaomary5657
@jumaomary5657 5 жыл бұрын
Nimekumbuka 1976 baba yangu alipofariki RIP my daddy pia nakumbuka 1993 alipofariki mama yangu RIP my mummy!!
@ramakazina170
@ramakazina170 5 жыл бұрын
Juma Omary Mm jana tu nimepata msg kutoka kwa mama huu wimbo umeniliza
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 3 жыл бұрын
Pole
@simbaphonez
@simbaphonez 12 күн бұрын
“MAISHA YA ZAMANI🪘 Ukienda Kwa Mjomba Unakaa Muda Mrefu Huwezi Kusikia Hata Kelele za Kuchokwa..😭 Mnakaa Kwenye Mbalamwezi Mnapiga Story..🎑 Siku Hizi Muda Wote Watu Wanafuatilia Watu Amabao Hata Hawajawai Kuwaona Kuliko Ndugu😥 HAYA MAISHA YA PESA HAYANA FURAHA KABISA😭
@ibrahimmrisho3646
@ibrahimmrisho3646 2 ай бұрын
Nyimbo hizi Zina mafundisho makubwa na ujumbe sahihi kabisa nakumbuka mbali sana
@mujahidalinaseem6213
@mujahidalinaseem6213 4 жыл бұрын
2020.. niliishi na kulelewa na mama wa kambo na alikuwa muungwana sana kwangu lkn bado nilikuwa nikisikiliza kibao hiki nilimkumbuka mama mzazi ambaye kimsingi alishaachika na baba..!!
@saidihabibu8779
@saidihabibu8779 5 жыл бұрын
Hizi nyimbo za kale kwa kweli hazina mfano ni nzuri sana na zinafikisha ujumbe kwa jamii,mimi binafsi kwa ujumla ni shabiki kindakindaki wa nyimbo hizi nawapongezeni sana kutupatia uhondo huu asanteni sana
@emmanuelpaul5704
@emmanuelpaul5704 6 жыл бұрын
kweli mimi ni kijana wa 90 lkn napenda sana hz nyimbo ujumbe wake unapelekea hsia zangu kwenda mbali sana
@joyceamogolla5473
@joyceamogolla5473 8 жыл бұрын
Heard this song recently on Rogaroga radio citizen when Obachi Machoka was hosting Chidimule the composer of the song. Very inspiring music! The songs had a message and lesson to be learnt. Gone are those days.
@stephenmwithiga164
@stephenmwithiga164 8 жыл бұрын
Thank Machokaa for hosting Chidimule. song that bring back the days of VOK, natuma salamu nikiwa kakamega show.Ujumbe dawa ya ndeni ni kulipa.Goods days No HIV,No CORD NO JAP.
@edwardgerald8602
@edwardgerald8602 7 жыл бұрын
I have never known Chidumule to have worked together with Muhidin Gurumo!
@ipyanamwakanosya2744
@ipyanamwakanosya2744 6 жыл бұрын
Joyce Amogolla where is Rogaroga radio?
@saidachekaaali1307
@saidachekaaali1307 6 жыл бұрын
Ipyana Mwakanosya Rogaroga ni kipindi kwenye Radio Citizen ya Kenya.Na Fred Obachi Machokaa ndie anaekiendesha hicho kipindi.Husikika siku ya Jumamosi na Jumapili,kianzia saa Nne asubuhi hadi saa Saba mchana.Na sasa pia kiko kwenye runinga ya Citizen.Hata mie nlipata fursa ya kusikia hayo mahojiano kati yake Fred naye Chidumule,pia nkawahi kurekodi sehemu tu ya hayo mahojiano.Natumai nmekujibu vyema ndugu.
@fredmachoka8599
@fredmachoka8599 Жыл бұрын
Thanks for listening to RogaRoga on Radio Citizen FM-Kenya. Hope you enjoyed listening. It was indeed a privilege and pleasure to host the legend of Rhumba.
@ramadhanisebogwe9011
@ramadhanisebogwe9011 8 жыл бұрын
Huwezi choka kusikiliza hizi nyimbo kamwe, zamani ndio kulikuwa na wanamuziki sasa hv kuna wasanii tu
@omand1761
@omand1761 8 жыл бұрын
na hata mtu akiisifu sikinde kwa nyimbo hizi anamaanisha sikinde ya enzi hizooo sio ya sasa.Asikilize safu ya wanasikinde ktk tufurahi na wanasikinde.Asifkirie hii ya sasa.Ilikuwa nadra kuiskia sauti ya muhidin ngurumo bila rehani bitchuka.
@omand1761
@omand1761 8 жыл бұрын
hazichoshi,mimi binafsi nikizungumzia zilipendwa mziki wa dansi,moja kwa moja namaanisha sikinde
@stephenmwithiga164
@stephenmwithiga164 8 жыл бұрын
Bwana Ramadhani siku hizi kila mtu ni msanii.
@gasperleonard9411
@gasperleonard9411 6 жыл бұрын
Chidumule kweli ulikuwa na kipaji cha sauti kutoka kwa mungu
@nicholaslikombe4900
@nicholaslikombe4900 4 жыл бұрын
Sasa hivi wapo wasanii wa kuganga njaa basi.......☺😁😉😉
@rashidymsenga714
@rashidymsenga714 6 жыл бұрын
Nani kama mama, kila nisikiapo wimbo huu huwa najiuliza nimlipe mama yangu kitu gani ukweli nikwamba sina chakumlipa mama yangu nampenda sana mama.
@bingwason
@bingwason 11 жыл бұрын
Vocalists: Muhidin Mwalimu 'Gurumo', Hamisi Juma, Cosmas Chidumule Solo: Abel Balthazar Rhythm: Abdallah Gama Bass: Joseph Mulenga Keyboard: George Kessy Omondi Alto Sax: Michael Enock Drums: Habib Abbas 'Jeff'
@richardgaya3965
@richardgaya3965 3 жыл бұрын
Most appreciative of the information...it acts as a perpetual record of heritage!!!
@charlesbayona9090
@charlesbayona9090 2 жыл бұрын
Tshmanga Kalala Assosa one of vocalists in this song.
@kondonassoro26
@kondonassoro26 Жыл бұрын
Mzee Gurumo kipindi hicho Hahaha R I P hakika ya kale ni dhahabu
@wilsonmalias3122
@wilsonmalias3122 10 ай бұрын
Assosa aliondoka kabla ya recording ila ndiye mtunzi wa wimbo gama
@hamidually1138
@hamidually1138 8 жыл бұрын
Ddc mlimani park wanajua, hasa hiyo sauti ya marehemu Hamisi juma huwa naipenda Sana.
@fridachally6150
@fridachally6150 4 жыл бұрын
aehe mama ee jaribuni kuyasuluhisha mambo hayo kutengana kwenu kunanipa wasisi ,sina kaka ,sina dada kwa hiyo naomba muishi kama vile mwanzo.
@leahngugi5918
@leahngugi5918 8 жыл бұрын
And the message is as relevant today as it was those days the song was compossed.
@irenebilauni7534
@irenebilauni7534 6 жыл бұрын
Leah Ngugi kama ujuavyo msani ni kioo cha jamii, wana foreseability, waliona mbali,jumbe zao zitadumu milele
@danieljuma1921
@danieljuma1921 6 жыл бұрын
Leah Ngugi And even more relevant today than ever before....with deterioration in family values....
@leahngugi5918
@leahngugi5918 2 жыл бұрын
@@danieljuma1921 Very true. We need to hear such today than ever before
@jamesmnjeru824
@jamesmnjeru824 4 жыл бұрын
still love this song decades later...
@rizikimsule6592
@rizikimsule6592 5 жыл бұрын
Tears falling down on my chicks
@gracechalagwa1122
@gracechalagwa1122 5 жыл бұрын
Mungu atusaidie , inaonesha Mtoto aliumia sana!
@philipmbunda3610
@philipmbunda3610 8 жыл бұрын
Mama salamu zako nimezipata, ninashukuru kwa kunikumbuka. Taabu na mateso unayoyapata yananiumiza roho......Mambo haya yapo sana katika jamii yetu, hongera sana Mlimani Park.
@simonjosephnyangusi569
@simonjosephnyangusi569 8 жыл бұрын
Wazungu wengine wanasema miziki ya waafrika vurugu kelele tu,,ngoma ngoma na kuruka...lakini hapo JEE meseji ya maana mziki umetulia classic namiss hiome mama yangu
@irenebilauni7534
@irenebilauni7534 6 жыл бұрын
simon joseph nyangusi wazungu wanataka waonekane kiichopo afrika ni upumbavu, ila sisi tunayaju mambo yetu yalivyo azuri kama haya ya wazee wetu,hivyo tuwaenzi.
@neattechnologiestz8636
@neattechnologiestz8636 4 ай бұрын
Ninakumbuka mbali sana. Utoto una raha ila nikikumbuka ndugu waliotangulia mbele ya haki machozi yananitoka kwa masikitiko
@dominicmaluki5242
@dominicmaluki5242 10 ай бұрын
The moment I listen to this sad song I always go visiting my mother the following day bearing in mind that she lives alone with home assistants and my father died many years ago and we her children left to start our own homes far apart
@maheligati2936
@maheligati2936 5 жыл бұрын
hizo ndo nyimbo sio hizi za kizazi kipya nakupenda nakupenda Mara unanipa mambo ya uani kesho wa meachana
@ambakisyemwakatumbula4238
@ambakisyemwakatumbula4238 5 жыл бұрын
Daaaaaah yani natamani ningekuwa na helaa nyingi awa wazee wotee walikuwa wanaimba izi nyimbo niwaweke kwenye maisha mazuri ngoja nipigane kwa nguvu zote daaaah
@73Bundala
@73Bundala 9 жыл бұрын
No comment! Machozi tu,
@allonjoseph5467
@allonjoseph5467 5 жыл бұрын
Pole aseee nikwel nyimbo his hutufunza Mambo mengi saana
@omarikhalfan1079
@omarikhalfan1079 4 жыл бұрын
Hiii Ndio miziki
@epson5446
@epson5446 4 жыл бұрын
Wimbo huu unanikumbusha mbali sana. enzi hizo nasoma Malangali Secondary School mwaka 1985
@danieljuma1921
@danieljuma1921 6 жыл бұрын
The true feeling of parents separation...
@uhondotv7335
@uhondotv7335 2 жыл бұрын
Ujumbe wa aina yake, heko na kongole zangu zimfikie Mzee Cosmas Chidimule popote alipo, kazi kuntu kwa vizazi vya kale na vizazi vijavyo🇰🇪💥
@mordally
@mordally 11 жыл бұрын
ndugu yangu Abdallah nimekuwa naitafuta ile nyimbo ya DDC inyoanza na kusema ''niliusiwa na babu na babu, ukimya busara ndio heshima, maisha bora popote duniani, sio chuki choyo au fitina, '' tafadhali sikumbuki inaitwaje ila utenzi wake unaanza hivyo, tafadhali
@christopherokado5054
@christopherokado5054 10 ай бұрын
Have separated with my wife for 24 yes. This song makes remember my children's feelings. So sad.
@royalmbwana
@royalmbwana 8 ай бұрын
My apologies sir, do you make an effort to connect with the kids
@hildermkamburi1301
@hildermkamburi1301 Жыл бұрын
Jamani old is Gold nyimbo imepangika inaimbika vizuri, sio nyimbo za kisasa zimechanikachanika
@judithoguna8265
@judithoguna8265 5 жыл бұрын
DDC Asante Sana Tena kwa hiki kipande jameni naenda nyumbani Tuesday asubui kumwona mama
@jacksonshiling8956
@jacksonshiling8956 6 жыл бұрын
Hii nyimbo imeimbwa kwa hisia sana hadi chozi linalenga lenga
@ashritaabdallah6474
@ashritaabdallah6474 4 жыл бұрын
Rtd huku salam za jambo uku majira uku kipindi cha ugua pole uku mama na mwana duh Sara dumba malima ndelema Ahmed kipozi EDA sanga
@josephkazungukombe8688
@josephkazungukombe8688 3 жыл бұрын
Nasikia kanyimbo kanapenya mpaka ndani,old is gold
@whanson2001
@whanson2001 6 жыл бұрын
How can you dislike something like this... Kuna watu wanahitaji kupiwa akili
@nakoemponda6453
@nakoemponda6453 4 жыл бұрын
DUUHH NIKO MUSOMA SARAGANA NYAMBONO P/SCHOOL STD 4 1978.RAAHA.
@Mwl_Sanga
@Mwl_Sanga 12 жыл бұрын
4 th 1st tym I heard dis song ma heart became happy 4 a moment an then tears followed I dont know why dis happened. God bless th artists who sang dis song
@shabanishija3489
@shabanishija3489 7 жыл бұрын
R I P mungu akulaze mahali pema pepon AMINA
@davidwanjohi1733
@davidwanjohi1733 4 жыл бұрын
I salute all musicians from Tanzania!nice song i like it
@edquest5764
@edquest5764 5 жыл бұрын
Haya sasa, zama kweli, Hino inanikumbusha Magongo Mombasa 1982 tumehamia Soweto customes Mjombangu ametuelekeza radio daresalama Dhaaa!!!!! Time fly's Kelli.
@kagilwawilson6930
@kagilwawilson6930 4 жыл бұрын
Daa ujumbe una mafunzo makubwa kwa familia zetu
@gordonnyagudi8166
@gordonnyagudi8166 Жыл бұрын
Great and nostalgic music around 1978. Great vocals and instrument organization
@user-ov4vo9ly3z
@user-ov4vo9ly3z 7 ай бұрын
Hisia ni kubwa sana moyoni kutokana na huu wimbo baada ya Allah wazazi ni muhimu katika maisha big up mlimani pack
@user-ki1zz9hg6o
@user-ki1zz9hg6o 6 ай бұрын
Yan acha tuuu nikiusikiliza huu wimbo machoz yananibubujika mno
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 8 жыл бұрын
There is a football made in Spain but there is aRhumba made inTanzania like that one hii sio mchezo mzee Ngurumo ananung'unika mno
@yahyasoud7721
@yahyasoud7721 6 жыл бұрын
najma saleh yes yes he was one of the best rip gurumo
@chillogeorge1383
@chillogeorge1383 6 жыл бұрын
Huu ni utunzi wake Cosmas Thobias Chidumule. Na wimbo huu ni kisa cha kweli cha kutengana kwa wazazi wake.
@philipachikindubi5128
@philipachikindubi5128 10 ай бұрын
Nostalgia, how i miss those days i was growing up.when music was music.
@mohamedshineni2122
@mohamedshineni2122 7 жыл бұрын
ukisema cha kale ni dhahabu nadhani hakuna wa kubisha usemi huu NYIMBO ZILIKUWA NA MAFUNDISHO NA HUKUCHOKA KUZISIKILIZA
@fatumamahanakah8725
@fatumamahanakah8725 8 жыл бұрын
imenikumbusha mbali sana hasa pale wazazi wangu walipotengana. kweli huu wimbo una mchango mkubwa sana kwa wazazi na wanandoa kwa ujumla......
@MtashobyaJosia-wt9jq
@MtashobyaJosia-wt9jq 3 ай бұрын
Mtashobya josia nikiwa kenya awa waimbaji wazamani warikua no wa u
@nicksavio3697
@nicksavio3697 2 жыл бұрын
Ah eeeh mama eeh. Jaribuni kuyasuluhisha mambo hayo...
@careyrume
@careyrume Жыл бұрын
I miss my mama and my father 😭😭😭
@petertosh1057
@petertosh1057 4 жыл бұрын
Mungu mkubwa. In Krefeld,Germany.
@mohameddaawahkenyatv5529
@mohameddaawahkenyatv5529 2 жыл бұрын
Dah hii Nyimbo inanikumbusha zamani sana nilipokuwa darasa la nne kule Kijijini kwetu tulipokuwa naenda shamba kulinda zao la mpunga na Mahindi yasiliwe na tumbiri
@raskenneth1981
@raskenneth1981 9 жыл бұрын
Nyimbo hii imenikumbusha enzi za makuzi yangu wakati huo RTD tupo shule ya msingi nk nimekumbuka mengi sana na watu kibao wengine wapo hai wengi Marehemu RIP.
@norbertkyara96
@norbertkyara96 6 жыл бұрын
Binasfi huwa nazikubali mno hz nyimbo nakumbuka miaka ya 90- nikiwa kijana nlikua Namibia baba dude prufuu yake nakanayo chumbani kipindi hicho rdo Tanzania wanapiga nyimbo hz....
@latasimon5708
@latasimon5708 6 жыл бұрын
Zitaendelea kuvutamba milele tofaut na nyimbo za sku hz ikitoka sku mbili mmeshaichoka
@bernhardscharleskogolla8476
@bernhardscharleskogolla8476 3 жыл бұрын
A real painful experience some go through! May the mighty Lord be their comfort🙏🙏🙏🙏🙏
@rwezahurarevocatus1886
@rwezahurarevocatus1886 4 жыл бұрын
I salute all musicians who organized this massage espeially Mr chidumule .
@batholomeodonatus3274
@batholomeodonatus3274 2 жыл бұрын
Daaah ,good music forever Very touching song
@sibongilemasina8779
@sibongilemasina8779 4 жыл бұрын
Weee acha tu, big up DDC nina kumbuka mbali sana wakati niko kijana mdogo sana wakati huo No stress my mum doing everything for me
@ngulathfundikira4205
@ngulathfundikira4205 4 жыл бұрын
Zinanikosha sana nyimbo za zamana,jaman vijana wa zaman walifaidi sana
@mwantummakoa4253
@mwantummakoa4253 5 жыл бұрын
Mamangu nakuombea maisha marefu hapa dunian mungu akuondoshee dhiki na mateso yadunia
@alexandermkwavi9471
@alexandermkwavi9471 7 жыл бұрын
hii ngoma inaumiza kiakili kwa wale inaotuhusu,akumbukwe daima
@richardgaya3965
@richardgaya3965 3 жыл бұрын
An Iconic number.... shows a band which was not only creative but that which also had its fingers on the pulse of technological changes in both instruments and sound.....The lyrics are something to die for...so is the delivery..... these were always strong points in popular Tanzanian dance music and the trend has continued to date with the younger generation!!!! KUDOS MINGI!!!
@gordonnyagudi8166
@gordonnyagudi8166 Жыл бұрын
Great observation Richard. Where are you bwana?
@catsimcybercafe6024
@catsimcybercafe6024 Жыл бұрын
True, their lyrics, music composition is out of this world. Their songs are full of maturity.
@aishamkomwa6125
@aishamkomwa6125 5 жыл бұрын
Hii nyimbo imeniliza nimewakumbuka kakazangu nadadaangu pia babaangu kipindi hicho tunasikiliza.kwenye.redio yetu.mkulima.huu.wimbo.kwasasa wote. wamefariki.dah.inauma sana
@mokogotiobwari7697
@mokogotiobwari7697 6 жыл бұрын
Kama wazazi wangeheshimu watoto wenye Mungu amewabariki nao hakungetokea na taraka......matesoooo...
@danielnjuguna1635
@danielnjuguna1635 8 жыл бұрын
am without words....awesome!
@mohamedshineni2122
@mohamedshineni2122 2 жыл бұрын
Huu wimbo unanikumbusha mbali hadi unanitoa machozi
@wilsonmalias3122
@wilsonmalias3122 10 ай бұрын
I don't know why always when listening to this song tears irrigate my cheeks
@mariaemmanuel6479
@mariaemmanuel6479 4 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana nikiusikilza unanipa uchungu kipindi Baba na mama wametengana nami Mdogo naumia tu
@judydickens8305
@judydickens8305 7 жыл бұрын
Yanikumbusha nikiwa bado mdogo mamangu mzazi alikuwa kipezi wa zilizopendwa.anazijuwa kuimba na mimi nikawa nazipenda. Mziki taratibu au sio!!
@henrychaula1174
@henrychaula1174 4 жыл бұрын
Beat ya hii nyimbo inafanana sana na ile ya Celina
@robertmutai3762
@robertmutai3762 Жыл бұрын
let me shed torrents of tears......... nakumbuka mbali saaaana..................
@davidodhiambo367
@davidodhiambo367 5 жыл бұрын
I really long for those days we used to sit down with dad listening to such great songs. Message is stil live in me
@Ridhiwani617
@Ridhiwani617 3 ай бұрын
Naisikiliza leo Tarehe 15/05/2024 nakumbuka nikiwa bado mdogo miaka 17 ilio pita
DDC Mlimani Park - Celina
7:36
Tizedboy Zilipendwa Channel
Рет қаралды 498 М.
DD Mlimani Park Orchestra Nawashukuru wazazi wangu
8:47
Sam Exavery
Рет қаралды 25 М.
Magic or …? 😱 reveal video on profile 🫢
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 65 МЛН
Usia Wa Baba
7:06
Bongo Records
Рет қаралды 22 М.
Bichuka   Binadamu Sio Wazuri new)
8:24
ZILIPENDWAMUSIC
Рет қаралды 276 М.
Tanzania - Marijani Raajab  - Uke Wenza
6:37
Tizedboy Zilipendwa Channel
Рет қаралды 334 М.
Talaka Ya Hasira
6:31
DDC Mlimani Park Orchestra - Topic
Рет қаралды 289 М.
DDC Mlimani Park Orchestra ~ Majirani Huzima Radio
7:08
groovemonzter
Рет қаралды 595 М.
Mfueni
9:30
Prof Vata Mombasa and Lipua Lipua - Topic
Рет қаралды 43 М.
Les Wanyika - Barua Yako| Kasuku
13:38
Nyimbo za zamani
Рет қаралды 839 М.
ddc mlimani park   duniani kuna mambo new)
6:13
ZILIPENDWAMUSIC
Рет қаралды 55 М.
Mlimani Park Orchestre - Mnanionyesha Njia Ya Kwetu
6:18
Power Nguzo
Рет қаралды 542 М.
Nawashukuru Wazazi Wangu
7:10
DDC Mlimani Park Orchestra - Topic
Рет қаралды 1,6 МЛН