Рет қаралды 24,108
Nilikaa na kuwaza Sana inamaana humu ndani watumia nguvu za giza na inawezekana ndizo zinafanya hao wasichana wanafanya huu ushetani kwa amani , na kwann anataka kuona nikilia Kila siku kwani Kuna kosa lolote nililofanya kiasi Cha yeye kuwa na chuki juu yangu nilijiuliza maswali mengi yasiyo na majibu mwisho nikaamua nifanye mbinu yoyote ile niweze kutoroka maana siwezi kuuza mwili wangu.