Hii Simulizi Imeisha jamani haiana PART 02, HAPO MWISHONI simulizi ilibaki kama dakika 2 tu ili iishe ila kwa bahati mbaya imejikata, unaweza kumalizia kwa kusoma hapa kidogo 👇 . Yametimia John Boy; Yametimia Mazengo. Najua imekuuma lakini amini kuwa nimepumzika. Piga namba hizi (zikaandikwa namba za simu). Ikipokelewa sema maneno haya, SUBIRA MAZENGO, naye atakujibu. Nilifanya ulivyoandikwa ujumbe ule. Ilikuwa ni sauti ya mwanamke na alijitambulisha kuwa ni mwanasheria wa Subira mwenye mamlaka yote ya kusimamia mali zake endapo nisingepiga simu. Nilionana naye baada ya siku mbili. Nikamchukua na kwenda hadi alipokuwa anaishi Subira mara ya mwisho. Huko tuliikuta familia ya Subira ikimtoa Mama Bakari ndani. Ndipo mwanasheria alichukua jukumu la kutuliza zile ghasia na baadaye alijitambulisha na kuwaomba wamsikilize kwa makini. Aliwaambia mali zote za Subira zipo chini ya Mama Bakari. Hakuna yeyote ambaye atakuwa juu ya mama huyo. Mwanasheria alizidi kuweka bayana kila kitu kilichokuwa kimeandaliwa na Subira. Kwa upande wangu aliniachia kiasi cha pesa ambacho kitanisaidia kuchapa kitabu chenye historia ya maisha yake. Kiasi kingine cha pesa ambacho kilikuwa chini yangu, aliniomba sana nianzishe kituo cha kulelea watoto wasiojiweza. Alitaka hivyo kwa sababu yeye hakubahatika kuwa na mtoto, lakini zawadi pekee kwa watoto wengine ni mimi kusimamia kituo hicho. Subira kaenda. Lakini matendo yake bado yataendelea kuwepo. **** Miezi sita mbele, kitabu cha Msalaba Wangu kilitoka. Kilisubiriwa kwa hamu na wasomaji wengi sana nchini. Kila mmoja alikuwa na hamu ya kutaka kuijua hadithi ya Subira. Matangazo ya redioni na kwenye mitandao ya kijamii, yalizidi kukipa chachu kitabu hicho na kutamaniwa sana. Kilipotoka, nakala zipatazo elfu kumi ziliuzwa kwa siku ya kwanza pekee. Ndio, nakala elfu kumi zilikwisha kwa mkupuo na bado watu walikuwa wanalalamika kuwa wamekosa. Siku ya pili zilishuka nakala elfu hamsini, nazo zilikwisha ndani ya siku nne tu! Zikaandaliwa zingine na zingine tena. Ni kitabu kilichouzwa nakala laki na ishirini ndani ya mwezi mmoja tu! Ndicho kitabu chenye mafanikio makubwa kuliko kitabu kingine chochote kile kwani hadi sasa usomapo maandishi haya, tayari kimeuza nakala lakini tano nchi nzima. Na tayari wataalamu wa filamu wanakipitia waone kama kuna uwezekano wa kukifanyia filamu. Subira. Japo hukupenda kuitwa Dada, lakini kwangu ni Dada. Umekwenda lakini bado tunakukumbuka. Na hautofutika katika vichwa vyetu.
@Babyfaty-m3y5 ай бұрын
Anko jay kaz nzr na hongra kwa juma hiza kutuletea kitu cha moto 🔥🔥 tunasbria vyngne mungu akupe kiafya na uzima uzdi kutusimulia simuliz nzr tunamalizye na binti mina ❤️❤️❤️❤️❤️😜😜
@DorcasMuomba-gd3sw5 ай бұрын
ANKO JAY SHUKRANI Mwenyezi Mungu akulinde na akupe maisha mema❤❤❤
@hdhjdh7755 ай бұрын
Daaah 😭 nizuri na inamafuzo sana ❤❤❤❤❤❤
@LispaKadzoKalu5 ай бұрын
Najisomea ila ata sipati utamu 😅😅nmezoea kuskia sauti mtoto wa kiume bana
@jokhajj5 ай бұрын
😭😭😭😭 daaah subira maskin
@NuruAbdullah-h7g5 ай бұрын
Mijitu mingine humu mnakela mnoo loo yaani badala useme nin umejifunza au nin umefurahia lkn ndio kwaaanza oooh me wa kwanza like zang kwani zinawasaidia nini akili finyu tu Asante sana kaka jay hii simulizi daah inaumiza mno apumzike kwa amani subra dah kweli alipitia mateso mnoo na hicho kimke cha khac kitazidi kuhukumiwa huko kilipo😢😢😢😢
@LispaKadzoKalu5 ай бұрын
Angalau umeona hili😊
@PatricalBeti5 ай бұрын
Hii nipeni like zangu haitakuja kuisha wala kuwahi no km tumerudi drsn 🤣🤣🤣Mie nampenda tushee tulichojifunza jmn sijui wenzangu mwapenda Nini?
@NuruAbdullah-h7g5 ай бұрын
@@PatricalBeti tependa like wakwanza mimi like zangu leo nimewahi like zangu looo cjui zinafaida gani sas bdala tutoe maoni kuhusu simulizi eti wataka like 🙄🙄🙄
@RoseMbuya-cn5dg5 ай бұрын
Asante anko jay kwa simulizi nzuri unatutoa upweke mashabiki naomba like zenu tujifunze mengi kwa simulizi za anko jay wetu mpokee maua🎉🎉🎉
@priscillahsirya65445 ай бұрын
Asante anko nimejifunza na kuelimika pia japo ina sikitisha sana😢Mungu atuepushie nakila balaa nimejifunza tusiwe watu wavisasi mana hakuna ajuae kesho😢😢
@MoshiMoshi-qy8dq5 ай бұрын
Yaan ankojay simuliz channel ni mwendo wa ku enjoy tu na vitu vipya kila siku big up kwa msimuliz wetu na waandishi pia 💖❤❤❤❤
@rebeccazagabe5 ай бұрын
ankojay kwa kweli sina lakukulipa ila mungu akusaidiye ufike bali.mimi kwenye maicha yangu ni mtu wama wazo tu ila niki fata simulizi zako na enjoy asante sana🙏
@Raynat-u1k5 ай бұрын
The first one, mnipe mauwa yangu jmn🎉🎉
@jokhajj5 ай бұрын
Daaah pole sana subira nimelia subira kufaaa jaman😭 nanimejifunza pia asante juma hiza na ankoj jay wetu mungu azidi kuwabariki na kuwapa afya njema mzidi kuteletea simulizi mbali mbali tujifunze mengi zaidi😥🙏🏻
@Babyfaty-m3y5 ай бұрын
Na mm leo natak like kila niliye mpa like na mm anipe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@IreneAnyonje5 ай бұрын
Karibu nishutke kuona picha ya Alvin nikadhani ni yeye wa ukweli 😂😂
@Babyfaty-m3y5 ай бұрын
@@IreneAnyonje ndo alvin mwenyew na yy anacoment🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salmazwallo87205 ай бұрын
@@IreneAnyonje😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hakiii nimechekaaa looh et Alvin
@salmazwallo87205 ай бұрын
@@Babyfaty-m3yna anasikiliza na kucoment pia😂😂😂😂😂
@IreneAnyonje5 ай бұрын
@@Babyfaty-m3y 😄😄😄😄imagine hayaa bana Acha nieendelee kusikiliza
@Lela-l7g5 ай бұрын
Wakwanza Leo nipeni like zenu wadau 🎉🎉🎉🎉anko j like bsi hii comment yangu
@Jasmeni-ns9dg5 ай бұрын
Mh! Mbn msalaba wangu ngoja nisikiliza halafu nitarudi kuwapa like 😂😂
@EpimackChami-g2f5 ай бұрын
As unacheka nn
@Jasmeni-ns9dg5 ай бұрын
@@EpimackChami-g2fngoja nikusitiri nisikupe jibu nitakupa wakati mwigine
@SalamaBwanamoya5 ай бұрын
Wacha kwanza tusikize msalaba wangu wangapi Dado hatuja maliziya kimbembe Cha binti lisa tujuwane kwa like 😂😂😂😂😂❤❤
@yalalakashindi45945 ай бұрын
Ahsante sana Ankojay kwa simulizi hii nzuri imenigusa sana tena na mafundisho juu ❤❤ Ubarikiwe sana Ankojay Nakuomba hii simulizi usihifute KZbin please maana nahisikiliza kila siku nahipenda sana pia nimejifunza mambo mengi sana , Sauti yako ni Tamu sana 😂😂😂🎉🎉🎉🙏❤️❤️❤️
@fatimafoaani22634 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka yetu ankooooo Jay kwa story tamu yenye mafunzi ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@KhadijaKassim-k8d5 ай бұрын
Kila mtu wa kwanza huku ndani ❤❤❤ asante sana ankojay Allah akulipe kheri
@judikadzo87125 ай бұрын
Wakwanza Leo thanks ankojay mapesa 🥰🥰
@ruthwaithera26505 ай бұрын
❤..hii haitaki giza..wacha ningengane nayo mchana
@Shadia5445 ай бұрын
Niseme miee wa kwanza au wa mwisho haya MSALABA WANGU kuna nini tena tunasikiliza hili tujuwe ✌️✌️✌️
@DalinaSamweli-ji3fc5 ай бұрын
Asante anko jay tunakuomba utuendelezee mina nimemic kinoma love u
@FatimaRamadan-s4f5 ай бұрын
Me too❤
@MishyYusuph5 ай бұрын
Ahsante sana Anko kwa simulizi yetu hii nzuri, usisahau bado tuko pamoya, Ankoo much love ❤.
@DamariJohn5 ай бұрын
Haya sasa twende nao huo msalaba tuone tutafika wapi❤❤❤ twakupenda anko J
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Anko J nakupongeza saaana kwa kuhadithia kwa kuvaa uhalisia wa wahusika ,pongez sana jombaaaa
@GiftFilipo-vx8lg5 ай бұрын
Sijachelewa jamani msinisahau namimi jamani tupo pamoja ❤❤❤
@elizabethkatoko88675 ай бұрын
kwakeli hutki tukiboeka. Thanks jay
@Sss-b9w6f5 ай бұрын
Mashaal asant sana kwasimurinzi
@victoriangasa5 ай бұрын
Mhuu jmn wat wanalala KZbin 😂😂😂❤❤🎉🎉
@sephrinewarenga27455 ай бұрын
Kazi nzuri kaka,listening from Kenya(Eldoret),much love
@rizikibakari35985 ай бұрын
Shukurn 🙏 Ankojay wetu
@MitreMenea5 ай бұрын
Bint mina part 4 vip tumegojea ako
@aumuelly29095 ай бұрын
Ahsante and love you ❤❤❤
@lisazainabu36265 ай бұрын
Sijacherewa na mimi please naomba like zenu kama unamkubari anko jy 🎉🎉🎉🎉🎉
@SelemanAlmas-i2g5 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@DAUDFARES3 ай бұрын
huyu dada awe na iman tu mungu yupo , mfano waayubu alipata jalibu kubwa lkn alipona dada mungu yupo atakuponya
@priscillahsirya65445 ай бұрын
Sijachelewa sanaaa ukoaje anko wetu
@LillianIdi-fh6vb5 ай бұрын
Nipeni ma like zenu
@racheluwda65525 ай бұрын
Tupo pamoja Ankojay ❤❤❤🎉🎉
@mkasijuma89705 ай бұрын
Shukran brother anko jay
@نظيفهخالد5 ай бұрын
Nimelia sana jamno
@NancyMmbone-gh9kg5 ай бұрын
Anko jay unatuonjesha tu hizi simulizi ama umesha choka,,tunakupenda huku🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️
@nemamwachepha15455 ай бұрын
Haya tupe tupe Anko mapesa ❤❤❤❤
@roselambert67005 ай бұрын
Ngoja tusikilize ❤
@HAKHISALUMU5 ай бұрын
Ila subra Islam wake zaidi ya mmoja ruhusa
@PhoebeWafula-d6c5 ай бұрын
Part 2 plzzzzzz ❤❤ JAMA hii ni uzuni Aki😭😭😭
@ankojay_4 ай бұрын
Haina Part 02, angalia kwenye ya kwanza kabisa nimeelezea
@FadhilunMohamed-je8en5 ай бұрын
Jamani ungeleta kwanza binti mina
@FatimaRamadan-s4f5 ай бұрын
Mm nimeigomea hii nasubir Mina
@DorcasMuomba-gd3sw5 ай бұрын
Yeah ni kweli amalize binti Lisa Na Binti MINA
@Salhah-v9h5 ай бұрын
Daaah. Imenitia. Machoz. Jamn. Inasikitish 😭😭😭😭😭😭
@DicksonRevelian5 ай бұрын
Akojay unatuburudisha sana
@jokhajj5 ай бұрын
Aweeee hatuboi hatupoi team anko jay forever ❤❤❤😊
@lilianmwanthi96485 ай бұрын
Kwan watu mnalala humus jameni 😢,,,enways nimefika pia😅nipeni likes
@SophiaOmari-cn6twАй бұрын
Imeniuma jaman na simulizi ya subira 😭😭😭
@samsungoman56264 ай бұрын
😭😭😭😭 pole sana subira
@MarimGodifrey5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤anko jey
@ElizaSada18 күн бұрын
❤❤❤❤amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤
@HAKHISALUMU5 ай бұрын
Tumalizie au tuendelee na binti Mina
@suzanajonas35485 ай бұрын
❤
@reachelchemtai26045 ай бұрын
Jamani hi Dunia Kuna mambo mengi Sana wanadumu hawana huruma na mtu yeyote asente anko jay
@BridgitNekesa-ec6rb5 ай бұрын
Wa kwanza jamani ❤
@Rahema1235 ай бұрын
Samahani 😂Ankojay baadae bint lisa na bint mina
@HAKHISALUMU5 ай бұрын
Unaweza kumjengea tu kwa msaada na kwa kuwa pesa unayona hakuna shida.
@MeshackMbilinyi-pm5pb5 ай бұрын
Wa 400 kamili
@HAKHISALUMU5 ай бұрын
Wanawake kama tunafanyiwa na wanaume kwanini sisi tusifanyie wanaume
@hidayamanda-gk7nf5 ай бұрын
❤❤❤
@BethMdoe5 ай бұрын
Duuh kwakwel kuna chakujifunza hapa like pia sipati loo😮
@rukayyaali53035 ай бұрын
Dah!! Wanawake wenye sifa kuiba waume za watu mjifunze kupitia hii simulizi Kuna leo na kesho mtakuja kujuta kama subira au zaidi
@hijamwinyi32335 ай бұрын
Eeh mungu tuepushe na wachawi
@Pendokayuni5 ай бұрын
Waooooooooo❤🎉
@godsfavour56655 ай бұрын
Safi anko turushie Binti mina pia
@qaltumsaid30955 ай бұрын
Wale wa kuangalia huku tukisoma comment tujuane Kwa like hapaaa❤❤❤
@IRENEMENGI5 ай бұрын
Binti mina lini kaka😢😢
@HAKHISALUMU5 ай бұрын
Tuendelee nabinti min
@MishyYusuph5 ай бұрын
Japo sijachelewa sana,ila bado tuko pamoya.
@بدوربالعبيد5 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@AshaharounAbdalla5 ай бұрын
Anko jay mbona tumechelewa kupata Lisa sehemu ya 63
@espererancesudi76005 ай бұрын
To be continued
@HerenRichard-cq7rc5 ай бұрын
wa 1 leo
@fatmasalum83345 ай бұрын
Wanafamilia mko poa jamani huu mkasa unasikitisha dah
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Dunia ina mambo meusi yaliyojifichaaaa,hii simulizi ukisikiliza usiku tulivuuuu peke yako utakuja nijibu
@FurahaFrancine-e2x5 ай бұрын
Wa pili n'a mimi
@RusyJackson5 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉
@LizaLiza-v2m5 ай бұрын
Kilamtu atabeba msalaba wake mwenyewe
@HaluwaMosi5 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@JaneSanga-b5n5 ай бұрын
Jamn nimewahwah
@shazimna5 ай бұрын
inahuzunisha
@FatimaRamadan-s4f5 ай бұрын
Dunia jaman waroga mtu Kisha ww Wawa chizi😂😂😂
@NAOMIHAJI5 ай бұрын
Anko jay hatukuupata muendelezo wa simulizi ya muuza chips na binti sasha
@DAUDFARES3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pole subra
@StellahRobert-x5t5 ай бұрын
Anko j
@HAKHISALUMU5 ай бұрын
Kama pesa ipo sio tatizo
@avelinabaluhya28045 ай бұрын
♥️♥️🎋🎋🌹🌹🥀🥀💃💃
@aminah95575 ай бұрын
Acha ni kae niskilize huu msalaba una nini kwanza alafu nitarudi kukoment
@JuliethAndrew-zj1ss5 ай бұрын
Kiukweli napenda simulizi ila zakutisha siwezi Zina nifanya niote naona bola nisubili Lisa
@ankojay_5 ай бұрын
Haitishi
@Babyfaty-m3y5 ай бұрын
@@ankojay_leta tu za kutisha anko jay na za vita zinachangamsha❤❤❤❤❤
@DorcasMuomba-gd3sw5 ай бұрын
@ankojay_lini binti Lisa na binti MINA ila hongera kwakutufunza katika simulizi mbali mbali maana maisha ni fumbo(hii simulizi inamafunzo mengi🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@nadrasalum60395 ай бұрын
Walio niwahi kabla yangu kwann niwanyime like wote nimewapa like zenu sijafanya upendeleo❤❤❤
@agnesagnes52885 ай бұрын
❤❤❤❤
@ChristinaPaulinus-i4y5 ай бұрын
❤
@RusyJackson4 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉
@nemamwachepha15455 ай бұрын
Hapa ndani Kila mtu wa kwanza ataka like , je Anko mapesa tumpe Kwa anavyo tuburudisha
Ahsante Mungu asimame nanyi mnaotoa Fundisho kwetu na jumbe muhim za kuzingatia wakati wa Mapito Yetu ya maisha, Namaliza kwa kusema Siwezi kumlaumu subira kwa kutosikia kanyo,na wala Siwezi kumlaimu Hans kwa kumdanganya Subira ila tu Nisema Moyo wa Mtu kichaka umebeba Siri nyingi za mwanadamu Pumzika kwa AMANI Subira
@RahelIbrahim-id2li4 ай бұрын
Daaah
@ThadieIsisa5 ай бұрын
(Mashabiki!!!! 🎉🎉🎉🎉🎉🎉hoya) Wee!! Sijachelewaa nimefikaa Ankojay hongera sana Masikio sasa kwako na umakini kwa simulzi