Iyo gairo road madereva wa serikali wanapita kama wanawahi peponi😢
@gilbertrutayuga46768 сағат бұрын
Mara nyingi nimekuwa nikiwaambia madereva wa serikali kuwa pamoja na kwamba yeye ni mtumishi wa umma yeye ni dereva ambaye anatakiwa kuendesha gari lake kwa kuzingatia sheria za usalama barabarani. Sasa ngoja leseni yake ifungiwe ili apangiwe kazi zingine na posho za safari atazisikia kwa wenzake
@ShabaniSaleeh8 сағат бұрын
😢😢😢😢😢 kazi hanayo uyo
@stellahmosha95172 сағат бұрын
Madereva wa selikali jmn mnaharaka kuliko haraka yenyewe muachee jmn boss mwenyewe anampa oder dakk 20 uwe umefika Na dereva kulinda kibarua anapaa wenyewe huita ndege ya chini kuna madereva dar to Dom masaa ma4 ivi huko alikopita na boss anamsubiri au yupo nae anawahi kikao mwee Madereva wa selikali mjipende jmn na mzingatie sheria kuna maisha baada ya kazi / ajali boss ni boss uhai ni uhai tuu
@SalminTenga-fx6wi6 сағат бұрын
mtuhumiwa jna mnalihifadh maana yake nn hapo .mnatufunza nn au yy mtuhumiwa nani ata mcmtaje iv mnatufanya wananch tuwe na taathira gani
@EliasJohn-lc8nu8 сағат бұрын
Kazi nzuri
@OmegaJustine3 сағат бұрын
Sasa mlimpataje kama alijificha pasipo Julikana!? Na mpaka mnamkamata palikuwa hapajulikani tuu
@nsomisanga55357 сағат бұрын
Pole sana kwa hao wote walopata majanga jamanii
@lulimoshaban38155 сағат бұрын
Asavari
@saidantugwa76712 сағат бұрын
😅😅
@liannsambu72645 сағат бұрын
Je inasaidia Nini ?? Maana atakamatwa badae ataachiwa na mtu alishakufa jamani TZ TUTHAMINI UHAI WA MTU TZ UHAI WA MTU HAUNA MBADALA JAMANI
@RomanMwinyi6 сағат бұрын
Madeleva ao selikalii ina wapa ujeuliii adii ukuu dar wana endeshaa ovyoo sana wana tanua balabala yani wanavyoo taka awa fatii shelia ichiii ya ovyoo sana hiiiii sasa ivii