DIAMOND AAHIDI KUTOA MILIONI 15 YA UJENZI KWENYE NYUMBA YA HAJI MANARA NA ZAYLISA
Пікірлер: 49
@vero579 ай бұрын
Kweli kabisa manara huwa anatoa sanaa michangoo kwa watuu
@Duanny-jm8fr8 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🦁
@SalamaMoshi-h1m9 ай бұрын
Ommmy dimpoz 😔❤️❤️👌
@DainesNtabindi8 ай бұрын
Usisahau bro
@shukrankifyasi15008 ай бұрын
manara n mwelewa sanaaa
@Officialjidaa-sn9cs8 ай бұрын
Mzigo au cyooooo kumamae
@omarhamisi-n3f9 ай бұрын
Suti ya dimpoz👍🏽
@jackoboabunuasi-hb4qc8 ай бұрын
Watanzania siyo wanafiki ukitoka kwa watu na wao wanakuletea
@AdamSaffi2118 ай бұрын
Congrats Haji, another good fund raising for you. Wapumbafu wote wamechangia. Divorce her next week and we will come to another fundraiser event. You have great advisers.
@Zainab_salat8 ай бұрын
Umependeza zaylisa wajina
@Mauya238 ай бұрын
Kweli?
@Zainab_salat8 ай бұрын
@@Mauya23 kweli
@Mauya238 ай бұрын
@@Zainab_salat Kwa dp yako, tafsiri ya kupendeza haiwezi kuwa hivyo walivyo hao, kwako nilitaraji utasema wapo uchiiii
@Mauya238 ай бұрын
Miezi michache kufikia mwezi wa mfungo wa Ramadhani, nakumbusha tu kuwa Mungu yupo siku zote sio Ramadhani pekee
@hassanabdala73839 ай бұрын
Sifaa za kufanya mijiparty kumbe hata nyumba hajajenga ujinga wa hali ya juu
@sakinamohamed55188 ай бұрын
😂😂😂😂pia mm nashangaa
@KassimAlly-xp4dz8 ай бұрын
Unatakaje kwamfano
@Sarah-tq2vc8 ай бұрын
😅😅😅jaman
@SophiaChmpaya8 ай бұрын
Ww ananyumba huyo hajapanga kwani ukiwa na nyumba hutakiwi kujenga tena
@NeemaKitufe8 ай бұрын
Uliza ujibiwe 😂
@marryfelician14268 ай бұрын
Mondi ubavu wako uko wapi zuchu chu chu chuuuu
@emmanuelnkwabi86109 ай бұрын
Anaeahid kutoa 15 nae alijengewa na mwanamke
@OfficialA836408 ай бұрын
Imeisha hiyo Simba kaumbuliwa nasikia ndy zake kutoa ahadi kisha afanikishi Aristotee kapewa kiwanja hewa 😂😂😂
@leylamohamed99398 ай бұрын
Ila Ommy Dimpoz anavyoongea kama Toto dogo ambaye yuko spolied 😂😂😂😂😂
@melanialeonard40319 ай бұрын
Yaan anatoa ml50 alafu achangiwe kujenga nyumba
@flm15309 ай бұрын
Kwa akil yako unadhan ni kwel alitoa mil 50
@Mwigaa958 ай бұрын
Manara mpigaji sana 😅😅😅
@yusufmohamed88748 ай бұрын
Kumbe lengo ni kuomba pesa
@frizzy67668 ай бұрын
Pesa zikisha na ma penzi kwisha 🤷🏽♀️😅😅
@AzaAzamhmod8 ай бұрын
Dai naona a namtazama aliyah 😅
@mudibojaffar92698 ай бұрын
Toa Hela😂😂😂
@fatinamsuya13058 ай бұрын
Diamond anatokaga wakiwa wawili na zuchu mbona Leo ishu muhimu ya rafiki Yao zuchu hayupoooooo?????
@magdalenachuwa28848 ай бұрын
Hapo walioachana nae kila akitizama sasa😢😢😢
@OmanOman-vb4uj8 ай бұрын
Hahahaha 🤣🤣🤣 nataka helaa😂😂😂
@Sarah-tq2vc8 ай бұрын
Manara bwana ety hamtoki had mueke mizigo😅😅😅😅
@mariamemadoshi55408 ай бұрын
Nyumba anayo ispokuwa ni yakake na mkewe mpya jamani
@hassansalum25728 ай бұрын
Anayo wapi?
@hassanabdala73838 ай бұрын
@@hassansalum2572Manara amepangisha ana nyumba Iko wp misifaa ya Manara angekua na nyumba Dunia nzima ingekua ishajua Hawa watu ushamba ndio inawasumbua ushaona familia za kitajiri zikifanya ujinga unawafanywa na kina manara
@vibetz99918 ай бұрын
Mbona mpo serious sana kama hawatoachana???😂😂😂
@yusufmohamed88748 ай бұрын
Nilitaka kuuliza same question
@christinamigwata42488 ай бұрын
😂😂😂😂
@mika.m.msanya21698 ай бұрын
Mtasubili sana
@vibetz99918 ай бұрын
@@mika.m.msanya2169 yani wewe ndo hautosubiri
@frizzy67668 ай бұрын
Kuacana ndio zawo sio mapya eti nataka hela 🤣ju anajuwa ndio cenye anapendewa hela zikisha na mapenzi kwisha 🥲😅