Nilichogundua Mwijaku mkewake anampenda na anamsupport sanaaa ndio maana huyu mwamba atafika mbaliii
@laurentraphael54704 ай бұрын
You are right.
@rehemamcharo86934 ай бұрын
Mwijiku ww ndyo mwanaume heshima yamwamaume kuonesha heshima jwajamii na kwenye famili
@user-qq6mv6vh3e4 ай бұрын
Uhakika nipo upande wako
@veronicamhanga25484 ай бұрын
Ni kweli kabisa wanaume wengi wanadhani kumshilikisha mke ni ujinga lahasha. Hata kama kipato chako ni kidogo shilikianeni, yatatokea matokeo chanya sana barikiwe. Hongera sana mwijaku
@JosephLukumaiLukumai4 ай бұрын
Alafu huyu mke anamuheshimu sana
@user-mt3id9lt2n4 ай бұрын
Dah masikini wengi tumejaa makasiriko tumuombe mungu atupe ridhiki nzuri nasi tufikie ndoto zetu
@edwinalexander11704 ай бұрын
Huyu jamaa alivyo na utani na vichekesho hata akizungumza akiwa serious bado naona anafanya utani na vichekesho vile, ila Hongera sana kwa kujenga nyumba nzuri.
@user-qq6mv6vh3e4 ай бұрын
Kuna mda anaongea yupo serious
@mrsinia30644 ай бұрын
Hongera sana mwijaku, ukiambiwa uchawa wenye faida basi ndio huu saf kbs
@menalikechildren88364 ай бұрын
wanawake njoon uku muna mengi sana yakujifunza kwa mke wa mwijaku
@TheBastarrrd4 ай бұрын
Hawa machawa tusiwachukulie poa🔥 hongera sana mwijaku
@user-gc8jc1sh4z4 ай бұрын
❤❤Hongera sana DC mwijaku kwa mjengo mkubwa mungu yupo pamoja na nyinyii❤❤❤❤
@gladistaemanueliy63364 ай бұрын
Mwijaku na worlper funga kazi ya mwaka 2023 nawapenda sana
@FabianTebeka27 күн бұрын
Brother unafanya mambo vizuri lakini Acha kumsema vibaya diamond kwa kuwa wewe muislamu kwani Mtume Muhammad alisema eli ya mchawi kuliko mnafiki piga kazi achana na mambo ya Dunia my brother respect
@patricknamangoa64684 ай бұрын
Congratulations Mwemba a.k.a Mwijaku. What's been done by you should completely be imitated by every smart Tanzanian youth! May God keep blessing you!
@femidayahaya48824 ай бұрын
MashaAllah hongera sana Mwanamke mwenzangu kwa Kua mke bora kwa mumeo hadi mmefika malengo. Kila la kheti kwenye ndoa yenu.
@ezekieljustine82414 ай бұрын
Kazi nidhamu na kujituma❤ respect mwijaku
@hassanimwiyombo33852 ай бұрын
Assalamu aleikum warehematulah wabarakatuh baba hongera kwa mafanikio yako mwenyezi mungu akujaalie majaliwa mengine zaidi ktk dunia na akhera maana yote ndio mapitio yetu Mwijaku mm nahitajia sana kufika clous hasa ktk kipindi chenu cha leo tena kwa haja ya kuwaona live na ni kipindi ambacho hakinipiti naomba nifanyie mchakato nipo manyara
@pendolymo93544 ай бұрын
Uku juu weka uzio Kwa sababu y usalama zaid hasa watoto😊
@crispinmsongole88754 ай бұрын
Hilo nalo neno
@emmanuelmwaipopo30394 ай бұрын
Uchawa unalipa mwaka huu lazima na Mimi niwe chawa. Hongera sana mwijaku
@YussufSaid-ok4pu4 ай бұрын
Mashaallaah Tabarakallaah Allah awahifadhi na husda,Mwijaku mwambie mke wako ajistir nywele zake Allaah awadumishe kwenye ndoa yenu
@GoodluckLameck-nh9tq4 ай бұрын
Hongera mwijaku umepiga hatua God bless you
@fransiscongonyani-4 ай бұрын
Hongera sanaaaa boss🎉🎉🎉🎉 piah shemej nawe ni kichwa Kwa kumshaur Mwamba kufanya makubwa🎉🎉🎉🌹🌹🌹
@peterbaraza78874 ай бұрын
Aiseee! So inspiring! Congratulations Mwijaku. Tunakuonaga kama chizi hivi kumbe akili imetimia..😊😊 Hongera sana mdogo wangu!!
Usimdharau usiye mjua,tukikuona mtandaoni na usemaji wako tunakuchukulia poa, big up Bro
@sergebaleke6954 ай бұрын
Hongera sana brother Mwijaku
@mswakisaid23204 ай бұрын
Hahahaaa Mwijakuu asante kaka kazi nzuri. Inawezekana Mwaka huu kuwa wa kwangu.
@davidmichael87484 ай бұрын
Mwijaku shikamoo skudharau tena nisamehee🙏🙏
@janetnyanchera12524 ай бұрын
Congratulations Mwijaku's absolutely amazing guys God Is Faithful always 🙌🙏❤
@santinosabugo21144 ай бұрын
mwijakua kumbe alikuwa anatafuta kitu akili nyingi sana big up
@Ramaamuzic4 ай бұрын
Aki wacha niweke comment..kwahii story because bibi ya bro mwijaku amenigusia moyo wangu unacho tamani yani mwanamke mwema niyule anae sikizana na mme wake na ningependa kumpongeza bro mwijaku kwakupata jiko jema ...much love kwa wote bro na shem late me say i love this family god bless them....be blessed 🙏🙏🙏🙏🙏
@Kabwela7764 ай бұрын
Hongera sana Mwijaku ndio faida ya kwenda shule hata ukiuza vitumbua ukiwa umesoma na umeelimika unatoboa , madogo wengine wanapata hela ila bado wako kwenye nyumba za kupanga sababu shule zao ndogo !
@user-qe9pk1sf1f4 ай бұрын
Tatzo sio shule nijins yakutumia hela unaweza umesoma lakin hunamatumiz yahela
@Kabwela7764 ай бұрын
@@user-qe9pk1sf1f elimu inasadia sana huyo ana masters degree na unaona ana mipango mizuri ni shule hiyo mfano baba Levo hamna shule pale tofauti Na Mwijaku
@thebmcblackmiccatcher39494 ай бұрын
Aliyekufunza elimu ni hela na nyumba alisahau kukufunza sababu ya diamond kukuzidi hela pamoja na elimu yako
@gracekagoma32314 ай бұрын
Hongera sana home boy 🎉
@ukhutfatumah11544 ай бұрын
Yaaaaan leo mwijaku umejua kujiangaisha na hii mitandao hongera sana mwijaku ❤
@Iamnanapeak4 ай бұрын
Congratulations 🎉👏 mwinjaku from KENYA 🇰🇪🇰🇪🙏
@user-es9xl6sh9f4 ай бұрын
Daaah hili funzo kubwa ukiona Mwanaume amefanikiwa ujue Kuna mwanamke shujaa nyuma yake Congratulations bro mwijaku
@zainabufaidhi47994 ай бұрын
MA Shaa Allah hongera Sana Kaka mwijaku umeupiga mwingi sana
@faizG2544 ай бұрын
Congratulations to Mwijaku.I respect you bro
@lilymuro49934 ай бұрын
Hongera Kaka Yangu Mwijaku Karibu Japan 🇹🇿🇯🇵 👍
@thekobsmedia97934 ай бұрын
Nikaribishe pia😂
@user-jf7vh4zo1d4 ай бұрын
Am so proud of this 🥰🥰🥰🥰✌️
@user-px8mx1ce4o4 ай бұрын
big up my DC mwijaku djuma shaban from cape Town south Africa ❤❤❤❤
@juliaskasiaka4 ай бұрын
Congratulations Mr mwijaku mungu azidi kukutia nguvu,,,, one day nitakuja kuishi nyumba kama hiyo
@masanja92564 ай бұрын
Mama mwijaku mm nakuchakugua kuwa balozi wa wanawake tanzanzania kuelezea nakushauri wanawake na mabinti kutokukimbilia maisha ya wanaume wenyekipato,simama tembea nch nzima waelezee 1 mafanikio mazuri ya kuwa wawili 2 waache kukimbilia waume ambao tayr wapo na kipato 3 malengo kwenye familia pindi waanzapo safri ya maiaha-nk 1
@user-de2rg9kk7u4 ай бұрын
Nimejifunza KITU Kikubwa sanaaa.. NITAJENGA YA KWANGU YA BILLION 100 DOLLARS
@danielmollel55384 ай бұрын
unaota au unaropoka
@QueenMishy4 ай бұрын
Ameen
@NataliaKenny-vb6os4 ай бұрын
Mwaya utajenga maana mdomo unaumba❤
@pascalmgina4 ай бұрын
Umetunyoosha
@diamondplatnumz.148kviews54 ай бұрын
Amina
@ChenchiKing4 ай бұрын
I'm So Proud For This D.C Wa Insta Mungu Awabariki Kweli Kweli🎉🎉🎉
@adamizlewaiz90994 ай бұрын
Love from Kenya u have mentor many including myself ❤❤
@edwardfaraji11334 ай бұрын
Hongera sana kaka Mwijaku uchawi unalipa aisee...
@afropanorama47304 ай бұрын
uchawa unalipa kumbe,hongera👏👏👏
@Jibambeshow254k4 ай бұрын
😂😂waonaee mjini maokoto
@user-qq6mv6vh3e4 ай бұрын
Maokoto yapo
@libetztanzania-kiswahilina28454 ай бұрын
Hongera sana MWINJAKU NA MKEO 🎉
@mustafatsomba61784 ай бұрын
Hapo nimekukubali Mwijaku wewe ni zaidi ya Baba Levo ongera sana bro much ❤from D.R.CONGO. Tunawafatilia sana
@dicksonelisa8674 ай бұрын
Mbona kazi wanavyo.mwijaku kweli ghorofa umejenga ngoma ni kupanda juu naisikiia sauti inatoka kuashiria pumzi imekata baba
@bakarmsangi9634 ай бұрын
Mashaallah mungu atuongezee kwa wote amin
@esterfrenk41984 ай бұрын
Umeupga mwingi brother mwijaku
@TALLUBOY4 ай бұрын
Ongera sana kaka mwijaku Umeuwa sana lakin kaka Lakin jiandae wasanii kutokukuripa ovyo ovyo Kwa pale utakapo waongelea Maana tayari wamesha stuka Kuwa wanakutajirisha Yabila wao kujua kwaiyo Kaka mwijaku jiandae vzr Kwa hilo broh wangu
@ISMAILNASHON-zh3sg4 ай бұрын
Waha ni wachakalikaji kwahiyo sishangaiiii mwijaku kutoboa
@chusseboywcb28084 ай бұрын
Mjini ni hakili 🙏🙏🙏🙏mwanamke imala wanawake hawa sio wamitandao🙏🙏🙏
@michaelmwimule10014 ай бұрын
Mwijaku baba kazi ipo. congratulations bro
@Asiamohammed13174 ай бұрын
Ushirikiano na mawasiliano yao mazuri ni matokeo mazuri sana hongereni wapendwa
@masanja92564 ай бұрын
Mwijaku hongera kaka pamoja na shemeji yangu ila wanaowaona mnaelezea mafanikio yenu wanadhani kuwa ukimuona nyani kazeeka hawajui kama karuka mishare mingi, pengne hebu uwe na kipnditu cha kuwaeleza au kutoa magum kidogo ili wajifunze kuvumilia kwenye familia vijana hata mababa wakileo ,
@hamisyusuph25194 ай бұрын
hongera kwake ila aache kusema kaiheshimisha kigamboni,kigamboni ni next level kuna nyumba hyo ya kwake ni takataka
@josiacharles27784 ай бұрын
Ongera sana M mwijaku, mwanamke anajitambua sana uyo.
@sharifamahamudu1824 ай бұрын
Mashaallah ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@user-vh7ts1fc2e4 ай бұрын
Mungu akusimamie Kaka hongera Sanaa
@khadidjaabdi-hd8py4 ай бұрын
Mwaka huu tutaona nyumbaa za wasanii wengii lazima wajengee kupanga watatuachia sisi 😂😂😂
@QueenMishy4 ай бұрын
Kabisaa c wajua mambo yao yakushndana tena😂😂😂
@user-qq6mv6vh3e4 ай бұрын
Ivi nimashindano ngoj tusubiri wengine
@khadidjaabdi-hd8py4 ай бұрын
@@user-qq6mv6vh3e wasanii wa kuigaaa mikop ya bank itahusika🤣🤣
@khadidjaabdi-hd8py4 ай бұрын
@@QueenMishy achaaa ndug
@sarahwawuda51644 ай бұрын
Mimi kukodi mwaka huu nimegoma😂😂😂😂
@joycekisamo48964 ай бұрын
Congratulations to both of them, it's q beautiful and very modern home. Amazing view and finishes.
@silvestermwakyosi1944 ай бұрын
Hongera sana mwijaku
@user-yf7dq8vh5c4 ай бұрын
❤❤❤ hongereni sana DC mwijaku mwenyezi mungu awabaliki sana
@maswaladigitalplatform.76134 ай бұрын
Hii nyumba kajenga mwanamke bana,, mwijaku pwaaa,, mwajaku kalipia tu pesa ya ramani hapo,
@LloydsTech4 ай бұрын
Hongera sana #DC Ila namba umetupiga 1.3 B
@TitoMwenda-jw2ig4 ай бұрын
Kumbe mdomo unafaida ira inatakiwa ujuwe kuutumoa hongera sana dc
@user-ti5lz4he6x4 ай бұрын
Hongera Sana tunakitu kikubwa cha kujifunza sisi Vijana hongera Sana brooo
@user-pc8fv2vd7q4 ай бұрын
Mashaallah mjomba wangu laweza Allah akuzidishie barka
@user-tv7yx8nt5k4 ай бұрын
Hongera mwijaku🎉🎉🎉❤
@leokamil62844 ай бұрын
Hongera nakushauri kuzunguka pool weka vizuizi maana utelezi wa maji na mkao wa hilo pool ni hatari sana
@didamugya60394 ай бұрын
Nilikuwa naitafuta hii comment
@ZalfaOthman4 ай бұрын
Masha allah masha allah mungu awabarik wewe na mkeo maisha ya furaha kwenye nyumba yenu mpya Mungo awaondoshee hasad aamin thuma amin
@wankurumasanja47644 ай бұрын
Inshallah mr mwijaku..nvzri mjengo wako
@MuhammadHassan-xp6dc4 ай бұрын
mashalaah ongera sana kk,wale waliokuona wajichetua lazima wajiulize.
@boscomwambapa85844 ай бұрын
Pongezi sana kaka mwijaku hongela sana pia kwa shem mkisapotiana mambo hayakwami
@jovinmancomedytz4 ай бұрын
Hongera sana mwijaju bana hiki ndicho kinacho tufanya tunapambana vijana kilasiku
@irenemwewe35664 ай бұрын
Pamoja na yote ,,kikubwa Ameweza jamaniii
@Winniequinepretty-wm7rr4 ай бұрын
I'm so proud of you ❤❤❤❤❤
@OSKACTZ4 ай бұрын
Street ICON 🙌🏽
@biasharaonline6934 ай бұрын
Congratulations brother and sister you both made it 💪
@mohamedkondo194 ай бұрын
Kumbe mkewe ni CPA holder, nimegundua kuna umuhimu wa kumtafuta mwanamke kichwa🙌
@user-ir6xj4xm6c4 ай бұрын
Du hongera sana DC umejitahidi sana nyumba nzuri sana
@mishishabani14754 ай бұрын
Maashaallah...hongera kaka uchawa unalipa Ila malengo muhimu❤
@shamsahasan27484 ай бұрын
Ila leo mwijaku katulia
@floraflora59644 ай бұрын
Mashaallah hongera sana ❤❤
@husseinchokaijr58974 ай бұрын
Hongera sanaaaaa
@ray45king844 ай бұрын
Congratulations... this is inspiring. Sio uchawa but maendeleo
@mtegemeemungusiomwanadamu66184 ай бұрын
Mwijaku umenishawishi, hii safari na mimi naianza by 2027 nitatandaza daluga la hatari😂😂😂
@RobertChacha-hb9re4 ай бұрын
Wewe tena usije ukazidosha sasa😅😅😅
@kennyraphael98394 ай бұрын
Hongera sana D.C 💯big up bro👍🏾
@user-nj6yb6uz6u4 ай бұрын
Kaka hongera xan One. Day ntakuj kuish nyumb Kama hiyo🎉❤
@user-nj6yb6uz6u4 ай бұрын
Congratulations to you
@user-vl7ye2xr2r4 ай бұрын
Kazi anafanya wengi Wana mchukuria shoga lakini ana maisha we ndio utae teseka
@maryamm77654 ай бұрын
Hongera mwijaku umeweza
@felistersmejumaa51884 ай бұрын
Mashallah kweli wanakuona chizi lkn upo vizuri sana hongera 😘😘😘😘