DIAMOND Afunguka ALIKIBA kutaka KUMUIBIA watangazaji wake

  Рет қаралды 55,865

Rick Media

Rick Media

2 ай бұрын

_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZbin channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Пікірлер: 191
@richkaja3317
@richkaja3317 Ай бұрын
Mond weye mtu wa watu bless sanaa
@MoneyKey247-fk4oy
@MoneyKey247-fk4oy Ай бұрын
Mbona mnaandika kitu cha uongoo sijaona kauli ya diamonds kumlaumu kiba acheni umbeya pumbavu zenu
@IssaAbushehe
@IssaAbushehe Ай бұрын
Uislam umempendeza maa shaa Allah ifike wakati autumikie in shaa Allah
@gregoryndanu3541
@gregoryndanu3541 Ай бұрын
Diamond Godfather wa mziki wa Bongo💪🏾
@kichecheBurund
@kichecheBurund Ай бұрын
Leo ❤nisiku mbaya kwangu ivi kwanini amu ni support kwa like naomba like basi❤
@munisialpha6465
@munisialpha6465 Ай бұрын
Njoo nikukande nikupe like
@MJEGEJEEE
@MJEGEJEEE Ай бұрын
YANI usiomuomba MUNGU unakuja hapa kuomba likes 😅😅😅😅😅😂😂
@snipper4462
@snipper4462 Ай бұрын
Big up Mondi
@sajidseleman6641
@sajidseleman6641 Ай бұрын
Good speach
@thethengomba355
@thethengomba355 Ай бұрын
The last question is very MEDIOCRE, very CHILDISH
@careemdulla1629
@careemdulla1629 Ай бұрын
Hongera Diamond kwa kuwasaport wasanii wenzako pia achana na watu wenye wivu wa maendeleo eti kwanini unamsaidia Babalevo huo ni wivu tuu ukiona mtu anasaidiwa ni anajuhudi
@alilalji1306
@alilalji1306 Ай бұрын
Diva mnafik king akose watu wote amfate Diva Sura mbaya
@user-jz6lm5yv4f
@user-jz6lm5yv4f Ай бұрын
Hongera sana baba levo
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku Ай бұрын
Aaaaah wivu wa Nini ama n vile Ali kiba amepokelewa acha za ovyo braza
@kabobajeanclaudenaftali6608
@kabobajeanclaudenaftali6608 Ай бұрын
Mungu aendeyee kukulinda kk
@user-ky2uh2jd4j
@user-ky2uh2jd4j Ай бұрын
Drp likes for simba and B levo
@ErickGadson-yg2xj
@ErickGadson-yg2xj Ай бұрын
Diamond Hi the Big smart
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 Ай бұрын
Mtangazaji wa Millard ayo ameuliza swali zuri sanaa
@erdekingtv9563
@erdekingtv9563 Ай бұрын
Safi sana brother mondy umezaa watoto wengi kwenye maendeleo sijui harmo, vanny, mbosso, zuchu na sasa b levo ba
@ndizoshukuru6142
@ndizoshukuru6142 Ай бұрын
Daaaah😂😂
@AbuyDullah
@AbuyDullah Ай бұрын
Kwanza tuanzee hapa Diva muongo hakutafutwa na crown ni kiki tu linatafuta nmna lisikike tu Lile li mwanamke Kuna watu kiba anawachkua na diva sio miungon mwao msidanganyike
@mkadinali_ent.
@mkadinali_ent. Ай бұрын
Rick media nanyi wangese tu ,title mnaandika hapa n utumbo tu
@reginawilliamvictor3020
@reginawilliamvictor3020 Ай бұрын
Tunakubali simba
@user-eq8yl1ms5f
@user-eq8yl1ms5f Ай бұрын
Mwanaume kuombaomba like huo niushoga
@BenMahende
@BenMahende Ай бұрын
ACHA ushamba, no life bila support
@swahilifashion2206
@swahilifashion2206 Ай бұрын
Huyo mpuuzi Diva ataachaje kusema ilihali anatafuta kiki kwakua alitemwaga na Kiba tokea kitambo.. mpuuzi tu
@collinndabi1914
@collinndabi1914 Ай бұрын
Sura haionesh furaha
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 Ай бұрын
Unataka acheke cheke Sasa au
@user-nn9ds7uf2r
@user-nn9ds7uf2r Ай бұрын
Sure
@tigejuma9865
@tigejuma9865 Ай бұрын
N kma mondi Hana Raha...konde alimkunja uso moyo wake una vuja damu...kma bahati bukuku alivyosema😅😅
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 Ай бұрын
Godfather
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 Ай бұрын
Diamond anajua kuongea kinoma
@muniraahmed624
@muniraahmed624 Ай бұрын
Huyu Jamaa snitch sanaaaaa 🎭
@user-ix1dj1oe1h
@user-ix1dj1oe1h Ай бұрын
Why?
@mussandikumana3561
@mussandikumana3561 Ай бұрын
Wala crown aina shida nao awo wangewaita wasingesema
@sospetershijah5619
@sospetershijah5619 Ай бұрын
Mbona Hans Raphael kaenda na alikuw wasaf? Achen ngonjera kila mtu anatafta riziki kw namna yake na kw njia yake anayoiona ni sahihi achen chuki wala mond hana shida yyte alishatangulia kweny hii biashara muda mref wala akuna tatzo ila sis mashabik ndio huwa tunaleta haya matabaka kw sabab ya chuki za kishabiki tu.
@DMARVEL-qf5wy
@DMARVEL-qf5wy Ай бұрын
Baba levo hayo ndio maendeleo na sio kuwa chawa sio Dili mzee baba
@roychogo2329
@roychogo2329 Ай бұрын
Njia aliyo chagua imemfanikisha😂
@EspoirSamy-st5le
@EspoirSamy-st5le Ай бұрын
Zombi we 🎉
@user-gy9uf5wm1c
@user-gy9uf5wm1c Ай бұрын
Wasaf diva awamlipi vizur,toka tu nenda crown media ukapige mwingi Maana kule ni nyumbani
@DonMuyuya
@DonMuyuya Ай бұрын
Saidia kwanza baba yako
@abuuhamda6213
@abuuhamda6213 Ай бұрын
Wazaz wake walifariki mzee kıla siku huwa anasema
@st.alvincollege6184
@st.alvincollege6184 Ай бұрын
Baba yake yupi?
@shutheprincess4633
@shutheprincess4633 Ай бұрын
Ila mchiz anatumia kigodoro😊😊
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 Ай бұрын
Tafuta pesa harafu ikuzoee unatakata tuu
@hoseanobocka7140
@hoseanobocka7140 Ай бұрын
Hyo pesa kaka umasikini ndo unafifisha mwili
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 Ай бұрын
Diamond kuongea point sana !! Ila Babalevo liwache ku block watu mfanya Biashara hutakiwi kuwa na hasira
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 Ай бұрын
Zamani nilikuwa namuona ni mwana kumbe afadhali ya mwijaku kuliko huyu mondi
@zaharanakim289
@zaharanakim289 Ай бұрын
Tai Sasa lilivyo kaa
@JordanRichard-vq6zz
@JordanRichard-vq6zz Ай бұрын
Tai imekaa kichawa zaidi, uenda chawa wamo mle😹😹
@user-nn9ds7uf2r
@user-nn9ds7uf2r Ай бұрын
du!
@PaschalGerad-xq4lw
@PaschalGerad-xq4lw Ай бұрын
Bi levo baaa
@HasnaNassoro
@HasnaNassoro Ай бұрын
Msipende uchinganish diamond na Alikiba msipo wasema jaman mambo yenu ayaendi?ipo siku mtajibu ayo ,hapa ni dunian kumbuka kesho,apa wakilumban mnafaid nini au mta faid kipi
@Luckreadyog
@Luckreadyog Ай бұрын
Kila Mara Niki waona diamond na baba levo nakumbuka number one
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz Ай бұрын
Simba tunakukubali saana wote na family yangu
@mohdkhalifa8828
@mohdkhalifa8828 Ай бұрын
Hakunaga chuki kwenye mafanikio
@POINT_TV_
@POINT_TV_ Ай бұрын
Ushukuriwe wewe diamond
@BenMahende
@BenMahende Ай бұрын
Mondi Nakukubali kuliko maelezo. Endelea kuwa na na moyo huo huo
@agnesmwakilingo5804
@agnesmwakilingo5804 Ай бұрын
Yaani binadamu acheni mond anapambana sana kuisaka pesa.Hana ubaya nyie tu na Roho zenu.
@BIGSTAROGTZ
@BIGSTAROGTZ Ай бұрын
@starfireog8695
@starfireog8695 Ай бұрын
Naombeni sapoti ata Mimi naomba nimeaachia wimbo wangu mpyaa unaitw wewe kama mtataka kusikiliza starfire wewe
@user-rp5fe7ie7t
@user-rp5fe7ie7t Ай бұрын
jamaa linaroho mbaya unavo msikiliza kama vile mzuri vile
@hoseanobocka7140
@hoseanobocka7140 Ай бұрын
Roho mbaya yake Diamond ni ipi kipi kibaya aliwahi kukufanyia au kufanyia familia Yako ?????
@user-xs3wu8ej7t
@user-xs3wu8ej7t Ай бұрын
Wewe ambaye sio mnafiki umefanya nn mzee fanya mambo Yako mzee
@user-nn9ds7uf2r
@user-nn9ds7uf2r Ай бұрын
Usije kusema umeibiwa
@mstarabubeats2165
@mstarabubeats2165 Ай бұрын
KUSAIDIA NINI HAPO NDO UNAPOJISAHAU.FANYENI BIASHARA TANGU LINI UKASAIDIA MTU WEWE ROHO YAKO YA KOROSHO UMEMUUA MAVOKO A.K.A KING OF BONGO FLAVER
@waltermfikwa4361
@waltermfikwa4361 Ай бұрын
Kwan hv mkiweka tu bila kuandika kuhusu Alikiba hamna watakaotazama!? Mavi kweli nyieee
@benboyburundi2429
@benboyburundi2429 Ай бұрын
baba levo ndagukund kutoka Burundi big love G gong like kama unamkubali baba levo😂
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 Ай бұрын
Kubwa jinga linachekelea kama zombi
@user-nn9ds7uf2r
@user-nn9ds7uf2r Ай бұрын
hahahahaha
@reganndossi1833
@reganndossi1833 Ай бұрын
Drop like hapa
@fadhilially7357
@fadhilially7357 Ай бұрын
MBONA MADANCER HAWANA MAISHA NA UWASAIDII
@mohamedmanga8391
@mohamedmanga8391 Ай бұрын
😊wivu utakupa ulcers 😂😂
@Ambaryeh
@Ambaryeh Ай бұрын
hapo sasa
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD Ай бұрын
Fact kama yule iyobo du Ata gari Kali sijui kama anayoo😂😂😂
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Ай бұрын
Kuwasaidia kivipi wakati wanalipwa? Kwakua kukusaidia ni kukuajiri baada ya hapo tumia mshahara wako kukuza maisha yako
@shabaniismaily1470
@shabaniismaily1470 Ай бұрын
Kwan ww ukilipwaa mshahara na boss wako unategemea aje kukujengea aje kukufungulia biashara hebu achaa ujinga
@gwidjiqshabani2082
@gwidjiqshabani2082 Ай бұрын
HARMONIZE 🐘 AKIFUNGUA MEDIA BONGO SIKU HIYO HIYO NTAHAMA😂 MAANA MEDIA ZINAKUA ZINAMILIKIWA NA WASENGE. KONDE GANG HAKUNA SHOBO.
@user-jh9yv1zp1l
@user-jh9yv1zp1l Ай бұрын
Simba
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg Ай бұрын
We achana na uyo chawa nenda kawanunulie waimbaji wako maroboti mahana viws zao changamoto 😢😢😢😢😢
@piusmwakyembe4545
@piusmwakyembe4545 Ай бұрын
Nawe kamnunulie mkeo kama unaona rahis
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg Ай бұрын
@@piusmwakyembe4545 haaaaaaaaaa
@kizdady2544
@kizdady2544 Ай бұрын
@@piusmwakyembe4545ata suruwali ya ndani hawezi mnunulia 😅
@solomonsamuel3584
@solomonsamuel3584 Ай бұрын
Kamununulie mkeo kigodoro kwanza make na yeye nyuma hapaonekani
@Makokola
@Makokola Ай бұрын
Baba levo mm shabiki yako nakupongeza naomba niwe store keeper was ofisini kwako kaka
@BekaJoo
@BekaJoo Ай бұрын
Kigoma moja hyo😅
@alilalji1306
@alilalji1306 Ай бұрын
Baba levo amekuwa
@-thegreat-zawadimmasa307
@-thegreat-zawadimmasa307 Ай бұрын
Ongera Simba
@BernandoPrudent
@BernandoPrudent Ай бұрын
Simba mina kukumbali sana
@NelbatKasekwa
@NelbatKasekwa Ай бұрын
Ulitaka afanye nini diamond I amewabeba wasanii wamekiwa wakubwa wewe unasema mnafiki wewe umewabeba wangapi acheni chuki
@GoodluckAnno
@GoodluckAnno Ай бұрын
Kaka apo umesema tumia ulicho nacho kupata usichonacho
@mkadinali_ent.
@mkadinali_ent. Ай бұрын
Huyu mtangazaji wa mwisho n mshamba saaan unakosa kujiongeza diamond kwa alichokijbu mpaka baba levo anakusaidia wee nyooo nini😂😂😂
@amirjuma8020
@amirjuma8020 Ай бұрын
Ila huyu jamaa dah mbele ya camera huwa anajua sna kuzba watu macho lkn usiloljua n usku wakiza mwenyez ambariki b levo ba
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 Ай бұрын
Ko we mungu ndo unajua mabaya yake hongera😅😅
@NkusiFred
@NkusiFred Ай бұрын
Diamond nasibu ikija kwenye suala la kifikra hapa namutii hususan kimuziki WA bongo na, taalabu
@KhamisLilos
@KhamisLilos Ай бұрын
Na mpaka mutakunya mnao mchukia mtu kama huyu
@user-xe8wi5ez4u
@user-xe8wi5ez4u Ай бұрын
Diamond ni mtu wakusapot watu
@jamesmusonda1914
@jamesmusonda1914 Ай бұрын
Baba Levo yuko royal sana kwa Diamond yani ni rafiki wa kweli siyo fake
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 Ай бұрын
Saraphina kila siku anapigwa za uso maswali yake ya kijinga jinga 🤣🤣
@user-cj6fi4gy5f
@user-cj6fi4gy5f Ай бұрын
Huyu mkundu tu na ni shoga tu mchoyo ki midia cha ujinga 😂😂😂😂😂😂😂
@Whoisthismantalking
@Whoisthismantalking Ай бұрын
Linafiki sana hili jamaa, linajifanya linasapot watu lakini ndio linaloongoza kwa kuangusha watu. Hakuna msanii aliyewai kutokea tanzania hii aliyewafanyia fitina wenzie kama Diamond.
@kizdady2544
@kizdady2544 Ай бұрын
Wacha umalaya wewe kipofu wa maisha 😅
@user-wv1ls4oh4l
@user-wv1ls4oh4l Ай бұрын
Ujakosea uyu kama chui tu akicheka ndioamekasilika
@user-by9cu9to1y
@user-by9cu9to1y Ай бұрын
Liliangusha Mamako, sivyo?pumbavu zako
@user-jh9yv1zp1l
@user-jh9yv1zp1l Ай бұрын
Mjomb ako ww kakup nn?ach kuongea kam mwanmke
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 Ай бұрын
MASIKINI AKILI ZETU BANA 😂😂😂
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 16 МЛН
It worked for me)
0:19
F&T Team
Рет қаралды 23 МЛН
бим бам бум💥💥 типа..
0:18
Ma1x1
Рет қаралды 7 МЛН
❗️XOTINI HAMMASINI URMOQCHI 😱😱😱
0:14
HUSAN_SHORTS1
Рет қаралды 2,4 МЛН