Kama ndo una angalia ngoma hii 2020 gonga like tujuane
@beatsbywesternshaa10234 жыл бұрын
Watu utoka mbali sana
@raphaelshitindi79094 жыл бұрын
😂😂
@noxlosingida23694 жыл бұрын
Mie ndiyo kwanza naiona leo
@ghostelmendez72064 жыл бұрын
@@noxlosingida2369 pole neema
@noxlosingida23694 жыл бұрын
@@ghostelmendez7206 asante
@nahyialetomia92844 жыл бұрын
Kama una una angalia hii ngoma baada ya kuona interview ya Fatma na SnS gonga like!
@kingbashar42934 жыл бұрын
😉😉SNS
@williammweta55394 жыл бұрын
Simulizii & sauti
@mussasimbansimite81794 жыл бұрын
Eu ainda não vi essa entrevista
@jenipherpaul58953 жыл бұрын
😂😂😂😂bonge la pensi😂😂😂
@jamesobedy39402 жыл бұрын
Me
@lyngee63552 жыл бұрын
Daaaaaah''''cjwh fkiri kama kuna mwimbo wa diamond kama huu
@deleally95904 жыл бұрын
Maisha bhana dah kweli lazma uzalilike kwanza ndo uwe tajiri
@Boyluke-luke3 ай бұрын
Yah
@kallamujunior93956 жыл бұрын
Kama umesikia style ya Mr blue kwenye song hili La Simba gonga like twende sawa. Never give up just give under
@khadijahussen27636 жыл бұрын
😁😁
@johnmilan71086 жыл бұрын
Kukopi sound za watu kaanza kitambo kumbe
@mjukuutvonline83735 жыл бұрын
Hahahahaha
@frankmiraco98444 жыл бұрын
@@johnmilan7108 na ww kopi ufanikiwe
@shabanishabanii62034 жыл бұрын
Ameanza kitambo kucopy
@anoldpotentin24464 жыл бұрын
Watu wanatoka mbali, ukiona mtu kafanikiwa mpigie salute🙌
@Boyluke-luke3 ай бұрын
Ni fresh
@RaphaelMichael-e7v11 күн бұрын
Sauy nzr na anaweza
@hassanihanzel4 жыл бұрын
Kama ndio unaona hili ngoma kwa mara ya kwanza mwaka 2020 like tukisonga.🤣
@jocelyneinarukundo36554 жыл бұрын
☝️😂😂😂😂😂😂
@hassanihanzel4 жыл бұрын
@@jocelyneinarukundo3655 😄😄😄
@jrm94483 жыл бұрын
hahahhahahahahah
@GoduiElelee7 ай бұрын
who is here 2024 enjoy vipiii vipiiii vipiii😅😅😅
@Positive_Vibes_Ke Жыл бұрын
Enyewe watu utoka mbali. Hii sijawai ona 😂😂
@abuymchina36464 жыл бұрын
Hii ngoma nakumbuka imetoka2005.kitambo hicho lkn mpaka mwakahuu2020 bado ipokwahewa naomben like zenyu jmn
@BadoMartense4 ай бұрын
Dah kumbe Diamond ana ngoma ya zamani 🙄🙄❤️
@wing97624 жыл бұрын
Mondi enzi Hzo anachonga na wembe😂😂😂ilaa maisha n kuhustle bilaa kukata tamaaa#
@magrethmkira62504 жыл бұрын
Haaaaahaaha
@bahatipaul8597 Жыл бұрын
Kama ndo unaiona ngoma hii 2023 kwamara yakwanza gonga like hapa tujuane
@mollelamina2744 Жыл бұрын
Leo wanakwita Freemason, ni wavivu wa kufikiria hawajui kule umetoka👍
@Joneslaizer100Ай бұрын
Sema diamond akiangaliaga hii ngoma analia sana
@T5Gold4 ай бұрын
ngoma kali sanaa!!! Diamond simba toka mwanzo.
@zakyahya46454 жыл бұрын
Diamond 😂😂😂😂diamond wa Zaman mzeeee diamond wa sasa Kijana ndo kwanza anamiaka 15
@Yusuf716614 жыл бұрын
baba nakukubali sana niko majuu ila niliwahi kuona ngoma hii longi kama 2007 nilipokuwa home TANZANIA. THIS WAS MY FAVORITE SONG that time
@johnkamando25092 жыл бұрын
Vp upo wapii
@izzihmokd13962 жыл бұрын
@@johnkamando2509 uyuu jamaa imepita miaka 11 itakuwa kaaga dunia😂😂😂
@TheNewKid_TV2 жыл бұрын
@@izzihmokd1396 wewe jamaa unazingua🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@damianocostantine90424 жыл бұрын
Kama umeludia mara mbili mbili hii ngoma kisa diamond alivyokuwa hapo zaman like hapa tujuane
@lukasshimbi Жыл бұрын
Mi ndo naiona Saiz hivi 2023, respect to him
@denniscage94365 жыл бұрын
hahaha dj romy jones na diamond wametoka mbali Nairobi gonga like hapa
@jam705 Жыл бұрын
Watu hutoka mbali wallahi
@naimaaliy6044 жыл бұрын
Kumbe ulianza kumpenda mr blue hongera kwa ulipo fikia
@xunguyounus27294 жыл бұрын
Kama umekuja hapa baada ya interview ya fatuma sns tujuane
@asmanndiema2874 Жыл бұрын
Ndo mie hapa😂
@RuzoOwzy Жыл бұрын
Sasa ngoja nikaitafute hiyo interview. Cjawahi iona.
@masakaupdate14886 жыл бұрын
unangalia video hii kinafrkii umkubalii Diamond afuu me namkubalii mpambanajii na ww unamchukia anakujaa malaika mtoa roho unakufa respect bro Mondi
@tonybestsenior88744 жыл бұрын
I have never seen this song since Diamond started music. Actually this is my first time. If this is how Diamond was then everything is possible. I'm shocked!!! I gotta go for it too 💪
@tonybestsenior88744 жыл бұрын
@Joha Ahmed True bro
@Musagisagara4 жыл бұрын
Go for it and believe in your self if Someone told u wrong accept it and learn from tht mistakes. Wish u the best
@tonybestsenior88744 жыл бұрын
@@Musagisagara Thanks bro. I'mma go for it
@fatmarashidmusafatma52182 жыл бұрын
Me too this is my first tym🙄
@lewytiffany69982 жыл бұрын
Tuamini uyu jamaa ametoka mbali
@Simeonesaph136 жыл бұрын
😂😂😂 nimecheka kwa sauti wallah, dah! Kweli maisha foleni
@vocalistgang31254 жыл бұрын
Kiekiekiekie kie zilipendwa kweli ata muhondoko
@khaleed_salim54184 жыл бұрын
Kaka unajuaa kumbe toka kitamboo ulikuwa unawakimbizaaa nice.. 🦁🦁🦁
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
Mimi ni mmoja kati ya watu waliobahatika kuiona safari ya muziki ya NASSIB ABDUL (almas)enzi hizo and what I can say right now am so,so proud of him being diamond platnumz.
@marygregory75664 жыл бұрын
Ulibahatika?
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
@@marygregory7566 wapo wengi wamemfahamu akiwa tayari diamond, naamini nimekujibu mshangao wako na uhakika halikuwa swali.
@marygregory75664 жыл бұрын
Yan bahati uliyoipata Ni kumjua zamani?
@witomtama3 жыл бұрын
Daar far away Maisha yanachange sana 2020 yaan twenty twenty naiwatch
@shebyshabani46204 жыл бұрын
bhna maisha bhna ni ujasiri mondi ujasiri t ndiyo umemfikisha alipo
@kelvinmhina16854 жыл бұрын
Watu walianza kuzeeka kwanza then ndio wakawa vijana!
@sheillahbh90094 жыл бұрын
Respect Wema alikupenda ukiwa hivi..hawa kina Zari hata hawangekupenda hivi
@H-moneybags4 жыл бұрын
Hapo utagundua mondi alishawahi kumuiga blue byser swag zake
@firiminishana Жыл бұрын
Alikiba style
@gabrielmdem42715 ай бұрын
A nenda zako uko
@kadabra-one1007 Жыл бұрын
So wow 🎉. Yoo kids of 2050 respect this legend called diamond platinum
@RamadhanDaddy-fi7qg Жыл бұрын
Kama umerudi hapa 2023 kuiangalia hii nyimbo tena kiss my comment plz
@wybzokizzy4416 Жыл бұрын
Mungu aitwe Mungu tu 😂😂
@malule006 Жыл бұрын
13 years ago, God is great. Now 2023, mondi the legend 🇰🇪❤️
@nashonmwita3045 Жыл бұрын
Likes za mtu anaona hii ngoma mara ya kwanza kama mm after watching io interview
@ayoayoo12225 жыл бұрын
Yani nilipoona ile interview ya fatma kwenye wasafi tv ndio maana niko hapa
@lilhomies25416 жыл бұрын
Mapito ya Joseline....wangapi twahisi ivo
@allyfatma73594 жыл бұрын
Ndo mapito ya kitambo lil maana hata Mr blue Amepita humo.🤣🤣🤣
@TamuzaKale4 жыл бұрын
@@allyfatma7359 Blue alianza kabla ya Joslin!
@johnmatiko25964 жыл бұрын
@@TamuzaKale Ni kweli hizo ni style za Mr bluu
@TamuzaKale4 жыл бұрын
@@johnmatiko2596 Naam!
@salimmwinyi12164 жыл бұрын
Joselin na Blue
@iddikogo49876 жыл бұрын
Diamond awachwe ale bata,kumbe mziki ulimdhalilisha kiasi hiki.
Alafu mtu leo anasema #CHIBU mziki haujamsumbua sana 😎😎😎😎😎😎 acha tu mchizi ale batta kwa sasa
@benthomasy84694 жыл бұрын
Hahahaha
@LucasShija-oh9rl7 ай бұрын
Kumbe alitaka kuwa mwanahip hop
@marutirashid58932 ай бұрын
Awo nga Diamond byayimba tebabiwulila in Lil Pazo's voice.
@sofiaasukuku82385 жыл бұрын
Mond ,,,wakuhache ,Mimi kinacho sababisha nikupende niwewe kuwa na moyo mgumu Sana wa kupambana na mahisha ,,ata Mimi kipindi nahuza dagaha kigoma nilipambana kimahisha adi nikapata nafasi ya kuhingiya marekani mpaka ivi Niko fresh Sana ,
@kingtozi2 жыл бұрын
Kama unachek goma hili 2022 gonga like hapa @diamond
@alphamenson37845 жыл бұрын
diz man deserve a trophy 🏆....LION never give up...yo started from de bottom...finna yo made it n they tryna talk sheeet...come on dudes we need 2 congratz em'
@FrankBoozerFitnition Жыл бұрын
With Hardwork, patience,persistence,prayers and intensily believing in God everything is possible..May Almighty God bless each and everyone of us working hard to make a better life.
@estherwilliam1870 Жыл бұрын
😢huyu sio Diamondi mnamsingizia😂😂😂 big up bro aki pesa wewe 😂
@-mm9006 жыл бұрын
😆😆😆😆hilo pensi kama bukta la mzee majuto..... R.I.P king
@khadijahussen27636 жыл бұрын
😁😁
@DIweni6 жыл бұрын
Hahaha
@zahararajabu41695 жыл бұрын
@Great IQ 😂😂
@zahararajabu41695 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@rehemasaambili8445 жыл бұрын
Nimecheka kwa kweli
@DrannyHankandaule-t3l3 ай бұрын
Wezombie 🇹🇿🇹🇿😭🔥🔥 ku Chalo 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇹🇿
@DiCulture4 жыл бұрын
Diamond,alianza na ublue blue,Leo ni ft rick Ross,big up dogo wa tandare
@rudeboibillboard70564 жыл бұрын
Platnumz swaggz since
@Nduvamerliany466 ай бұрын
Nani kaangalia baada ya boflo star search ya uswege murdered 2024 now
@bibibakari70203 жыл бұрын
Jaman huyu simba kweli sijui ilikuwa wapi sijaiona wangapi wameiwatch 2021
@farouqkatana72164 жыл бұрын
Watu wanatoka mbali Aise ghaaii 🙆♂️🙆♂️
@heryndauka55624 жыл бұрын
Jamanii uyu mwanamke yupo wapiiii??????
@tafkidke51362 жыл бұрын
Msiseme ni Luminatii hata akiwa uko but jua Mungu ndio amemweka juu alipo saa hii kwasababu ndio aliye muumba na kumweka kwa womb la Mamake Diamondii
@malonemalick19994 жыл бұрын
Daah kweli pesa ni kiboko
@allyfatma73594 жыл бұрын
Kilicho kwenda vibaya ni video tu.lakini beat Kali sana.huyu dada saivi amerudi kwenye game big up fatma.2020.
@davianjosephjoseph31212 жыл бұрын
Cheza na vyote lakin sio mipango ya Mungu kama huyu ndo Diamond acha atambe tu
@YoelLameck-b9i8 ай бұрын
A person who is successful has a painful story
@andulilemwakihabha20484 жыл бұрын
,2020 Diamond ametoka mbali Sana wanao mbeza mhh Mungu anawaona jamaa amepambana Sana tena Sana 🦁🦁🔥🔥🔥🔥
@microssadamu755611 күн бұрын
Alikuwa anaiga dzain ya mrblue
@rajabuchijinga83214 жыл бұрын
Nimekuja baad ya kuona interview ya SnS
@moodmmanga32524 жыл бұрын
Romy Jon's kumbe unajua kuimba🔥🔥🔥
@denisdejo50334 жыл бұрын
Now I understand Why Diamond has so much respect for Blue. Much respect to Diamond one of the Greatest Role Model ever. Keep going Simba Sky is the limit 🔥🔥🔥
@mariamubakari5993 жыл бұрын
Mm ndo kwanza naiyona leo 2021
@aishaabdulrahman69954 жыл бұрын
Baba tee wee ni legend 😂😂😂😂😂😂😂😂
@aaa64sa134 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mohamedsudi98268 жыл бұрын
wah! watu hutoka mbali....never give up,until you reach your dreams. nyota yako huenda ikangaa miaka michache baadaye
@roseshiombo14506 жыл бұрын
Mohamed sudi Inshallah.. Shukran
@nancytarimo19478 жыл бұрын
Dah...Tumetoka mbali jamani! Guys we should not give up in this life as Long we are alive.
KZbin.....fetty sley.....amerudi kwenye game bi fatma.na ana Ngoma Kali sana,Kama aliyomshirikisha dully Sykes.
@safiyatheonlything78484 жыл бұрын
kama umeona umu mond kaimba kama Mr bluu like zako hapa pia anaonekana ndo mtu alikuwa anamkubali kibindi hicho mpaka wipi Rj ze dj
@IvyEkeno9 ай бұрын
Finally got to see the first song 😂😂😂
@denniskihara28324 ай бұрын
when diamond was aluminium,but i love his journey and growth kudoz star!!keep shining
@Edward_Simon62 күн бұрын
Apa ndio naamini Mr blue ni role model wa wengi
@mussamganga3192 Жыл бұрын
Ndio naona leo April 16 2023,, kwa mara ya kwanza
@jumayusuph84714 жыл бұрын
Yaaacheni maisha yaitwe maisha aiseee kwenye maisha jifunze kueshimu yeyote maana hujui alikota adi kufikia pale alipo diamond wa miaka ile sio huyu wa Sasa aisee aksante aksante mungu
@SigwaMkinga10 күн бұрын
Kula maisha mondi. Kumamake
@godfreymichael2445 Жыл бұрын
2023 still hit song from platinum diamond
@daudcharlesmhoja1614 Жыл бұрын
omg
@maclucky41493 жыл бұрын
Oya huyu jamaa katoka mbali sana ... Big up
@devtzmbalilaki5 жыл бұрын
Kwa 2019 tunafanya iv 😂🤣😂🤣🤣
@DagwijiDerick-lr1pv3 ай бұрын
2024 all talented guys never give up Larn from #Daimond ama #Mapoz
@bmdele5816 Жыл бұрын
Kila kitu kizuri kinachukua muda na jitihada isiyokukata tamaa! 🫡
@stannerbeats6 жыл бұрын
Huwezi amin kama mwanzo ndo hivi Baraka za Mungu 2 2pambane tusikate tamaaa
@musashaweji48353 жыл бұрын
Attitude ndio naifananisha na hii ngoma😃😃😃😃
@123228794 жыл бұрын
Enzi hizo Blue ndio role model wao..ahaha
@revocare14 жыл бұрын
Aliekuja baada ta sns like hapa
@dullyyesu90364 жыл бұрын
tupo
@dullyyesu90364 жыл бұрын
ila mwamba anahaki kula bata mamae alipitia magum sana walikua washamba sana ila wamepambana na na mziki
@stanslauschatata34834 жыл бұрын
Tupo hapa😂😂😂
@gahayrabdu84935 жыл бұрын
Long journey simba love from somalia 2019
@suleimanmalik38464 жыл бұрын
Huu nliuonaga kitambo sana... niliusaka bilabila
@JamstaEarl4 жыл бұрын
I'd say this Is God.. 😭😭😭 mimi nitatoka hapa kweli
@kekiplus1andonly4 жыл бұрын
Sasa vipi vipi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nakufa na kicheko uku jamani...mje mnisaidie