Kwani isiwezekane kuja uyo mond..,sio mungu uyo mond
@MohammedyRashidy-sn6px4 ай бұрын
Sns niliwapenda sana ila udaku siopoa mana ska oka ana jitahidi kwa taharifa zakwel
@teddy-wzy4 ай бұрын
Mondi ana roho nzuri sana hanaga ubaya❤ Na mtu
@shwaibukhatibu28384 ай бұрын
Sawa zuchu
@ramayonline22814 ай бұрын
Comasava 🦁
@mrsinia30643 ай бұрын
Disconnected 😂😂
@chidi_don4 ай бұрын
Yah hakika yani ni unyama tu sio poa kabisa 😅😢🎉😊❤
@hirizonetz95584 ай бұрын
Diamond huo mda hana
@flavourboyke4 ай бұрын
Hatutaki wachawi sisi,,, wcb for life
@MohamedMohamed-ry6lt4 ай бұрын
Unasumbuka sana na Diamond atakuchelewesha sana.
@Barakanenealldays-bp8cd4 ай бұрын
Hawakujibizana na harmonize ndio alijijibisha Mwenyewe,afu hamwezi kufanya mpaka diamond platnumz ata nyinyi amewachoka. Yeye c tembo Na kwenye tembo mjue no Simba...afanye yeye,,,mnataka asije mseme anaroho mbaya
@SocrateSocratos4 ай бұрын
Haja waalika kwa uzuri huyo mtu tuna mjua uyo ako Na plans zake zasiri kwa hiyo maaliko
@geoufo28584 ай бұрын
Kwaiyo diamond arud Paris sababu ya huu upuuzi
@Mariam-fm8vq4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@erickmakwinya56494 ай бұрын
😂😂
@MashaMbwana4 ай бұрын
Una mawazo kama yangu 😅😅😅
@MashaMbwana4 ай бұрын
Kiki iyo siku ya harusi unampelekea mtu kijora 😂😂😂😂lazima amchokonoe tu 💎
@officialmadoshi58244 ай бұрын
Jana si mlikuwa mnasema hakiwezekani leo imekuaje tena
@imanimhagama46474 ай бұрын
Diamond platnumz yupozake Paris Ufaransa anakula raha na kupambania maisha yake hana hata muda wa kumpa mtu kiki mualiko gani huo unaalikwa siku ya tukio na wakati naww upo kwenye project zako 😎😎😎
@JohnCatherine-f1z4 ай бұрын
Wewe unapambania maisha ya nani na upo bongo unakula msoto 😂😂😂😂
@FahadAbubakari4 ай бұрын
Unaongea kwa hasira kama wewe mama diamond umaskini wako unakufanya uwe na hasira kali sana
@ShaibuMkullu-ck6sl4 ай бұрын
Amealikwa, bila Kujali atahudhuria mwaliko au laa, punguza hasira wenzio wapo kazini😅😅
@Mahmoudih234 ай бұрын
Mjamaa kateseka huyu😂😂
@Officialjidaa-sn9cs4 ай бұрын
Bila kiki ya mond konde sio kitu
@WaziriRamadhan-ML4 ай бұрын
Tupo busy na komasava
@channyanjen90474 ай бұрын
Diamond hana uyo muda
@Brunotarimo104 ай бұрын
Kutoka 254 .
@JumaKavanga4 ай бұрын
Niko paleeeeeeeee
@yasserahmed94204 ай бұрын
🎉🎉🎉
@johnphilipo67604 ай бұрын
Mh! Sio kirahisi hivyo 🙄
@halimamohammed41084 ай бұрын
Mzuki sio vita karibu kula aliepa mualikooooo❤❤❤❤❤
Nimewekeana kidau na ndugu yangu kama hao WCB wakija basi anachukua yeye laki moja kama wasipokuja nachukua mimi laki moja
@NoName-pp4lo4 ай бұрын
Hela umechukua ndugu haiwezi kutokea ata siku mmoja🤣🤣🤣
@skonga31064 ай бұрын
Sasa napata hisia kuwa hawa wanahudhuria kwa sababu ya rais Samia. Sijashangazwa bro wacha kupika majungu. Kama mtu mwenye hekima basi utaelewa tu
@official_dicksonmunga4 ай бұрын
Nenda ukampe support mwanao😅
@taufikishazili56334 ай бұрын
😊
@martinfedrick49874 ай бұрын
Huyo anataka Kiki tu kwasababu amefeli kwaiyo anataka ajibust
@Officialjidaa-sn9cs4 ай бұрын
Mond huo muda anatolea wap me mwenyew sina huo muda
@MashaMbwana4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MustafaChinanda4 ай бұрын
Ndugu musicomment kwa panic 😂😂😂 panik maisha ila huku kuwa normal tu
@johnmwasilu70874 ай бұрын
Kwani Mwijaku anasemaje?
@Mariam-fm8vq4 ай бұрын
😂😂😂😂😂ww jaman
@IbrahimElly-p5c4 ай бұрын
Koma....masinichi mntaka asije tuu mpate la kuongea
@princekim994 ай бұрын
Wasemaji wa chimba Kwan mnasemaje?
@Mariam-fm8vq4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MashaMbwana4 ай бұрын
Humu hamna shabiki wa Kiba akamsemea lolote 😂😂😂😂
@MkomboziKaoneka4 ай бұрын
Diamond atakuja tyu
@JackyPizzo4 ай бұрын
Kama diamond ataenda kiukweli kama msemaji wake tokea huku abc nitaumia sana KWa mambo aliosema huyo mmakonde
@chizashungu83644 ай бұрын
Sns nyie ndiyo mnasema hakuna maelewano.Mlitaka kwamba iweje ndiyo mjue watu wanaelewana? Acheni hizo watu wapo bize kutengeneza maisha yao..life is too short,same as their career.Let these artists live their life.....mbona rayvvanny hamusemsemi,jaymelody,Barnabas.....stop nonsense.Wcb they have their business same as konde gang or kings music.Everyday same story hawaelewani hawaelewani basi waiteni nyumbani kwenu muwapatanishe maana nyie ndiyo mnajua zaidi kuwa hawaelewani.Tafuteni taarifa mbona zipo nyingi na zenye faida kubwa kuliko kuokota okota taarifa kila siku.
@albertonyangaresi19714 ай бұрын
Mbona diamond anapost atakuwa
@halimamohammed41084 ай бұрын
Karbun wageni
@mashiassenga88494 ай бұрын
Me niko mlango nikisubiri simba aje ndiyo ata mm niingie😂😂😂😂😂😂😂
@MashaMbwana4 ай бұрын
Umeondoka bado upo unamsubir 🤪🤪
@mejamiela74364 ай бұрын
❤❤😂😂😂😂
@Mariam-fm8vq4 ай бұрын
Mm acha nicheke tu ila mashabiki wa mondi mna roho mbaya acheni bifu mziki wetu unahitaji ushirikiano ndo tufike mbali
@rashidingole15884 ай бұрын
Hiyo Ni Kiki ili watu wahudhurie
@JumaSiajaly-vt2un4 ай бұрын
Watu wahudhurie hakuna kiingilio wanao enda ni walio alikwa mond asipo enda poa mama Samia ndo mgen rasmii
@GodfreyLuziga4 ай бұрын
Sasa watu wahudhurie vipi wakat hamna kiingilio ni mualiko kwa watu maalum
@mrrajjy4 ай бұрын
Jeshiiiiiiiii anawapeleka mbio sana 😂😂😂😂
@judithkirenga99774 ай бұрын
Kuna watu comments zao utajua tuu ni masikini wa akili,roho na maisha pia
@alkhudhertarek9764 ай бұрын
Km ww tajiri ntumiye buku bs
@judithkirenga99774 ай бұрын
@@alkhudhertarek976 fanya kazi
@judithkirenga99774 ай бұрын
@@alkhudhertarek976 fanya kazi
@alexanderhaule76674 ай бұрын
Akienda nakunya mafungu mafungu hapa mpaka kizimkazi zanzibar , this is just another CLOUT CHASING saga .
@franccoz944 ай бұрын
Labda wanaenda. Kwasababu wote hao n machawaa wa ccm