THAT'S A VERY GOOD STEP, I WISH YOU WILL BE GOOD FRIENDS AND GOOD PARENTS BOTH FOR YOUR CHILDREN. YOU GUYS DO WHAT IS RIGHT FOR YOUR CHILDREN WITHOUT LISTENING TO ANYONE NOT EVEN TO YOUR PARENTS, LISTEN TO YOUR HEART AND GOD GUIDANCE. BE BLESSED BOTH OF YOU.
@OlinaNKotee4 жыл бұрын
Just reading some comments, so I can understand what they're saying. Diamond my favorite musician. Much love from me in Liberia
@nawihadj66744 жыл бұрын
Zari is a best wife bro ,kwaupnda w Wngu na nmkubar sn
@roseshanyisa91754 жыл бұрын
King Diamond wewe na Queen Zarri mulikuwa mnapendana kuliko maelezo, na penzi lenyu hakika hakuwa Na pengamizi nalikumbali sanaaaa na nitafurahi saaana mkirudiiya team Zari Keenya.
@georgettetiemele82204 жыл бұрын
Diamond no longer inspires confidence, do it for your children but you be careful, we love you and your children. God bless you. Fan from Ivory Coast 225.✌ 🌹💖👑😷🙏🙏😘
@annitabobo54384 жыл бұрын
Hakuna kitu inafurahisha kama kuona familia iko poa coz most of the time kids suffer alot am so happy you guys settle down your issues can't wait for Rona to finish and see more actions. I remember when they were dating Instagram was on 🔥🔥🔥🔥
@mercynelima42414 жыл бұрын
Haijalishi Nani ana hasira,take care of the kids na sio vizuri watoto wajue misukosuko Kati yenu.
@nassormakwaya59704 жыл бұрын
Unaakil sana Naseeb Allah awaondolee chuki baina yenu mkae kwa aman mlee watoto kwa pamoja magna est!!
@rehemashafi48094 жыл бұрын
Hongera sana km mmemaliza tofaut Zenu bora mlee watt wenu jmn
@sabinadede91384 жыл бұрын
Waow nafurahi kusikia zari na diamond kuongea walahi mungu ni mkubwa🙏🙏🙏🙏
@naomicharles60024 жыл бұрын
Safi saaaana hata mungu huko mbingun atakua aneshangria safi
@jullymshashu8564 жыл бұрын
Yaaaaan unishindi mimi sabina dede achaaaaaa
@allyjuma68694 жыл бұрын
Khaaaaa
@levinamwaila78474 жыл бұрын
I’m greatful for your management diamond🙏🏾it’s holly month and right time to forgive each other and my Allah bless you
@doreenbomba63414 жыл бұрын
Siamond nakupenda sana bro ukiwa na fedha manunga embe watakupenda sana yan utawakamata woteeee ILA ujue mwanamke huwa ni mmoja tu MKE WAKO ni ZARI ana heshima na mama yko sana na mke anayeheshim wazazi ndio mke nakuomba kaka nakuomba sana usiache watoto wko walelewe na mama peke yke kama ni makosa kashajua hata rudia msamehe ZARI mimi hata uoe nani bado nasema sio mke kama sio ZARI yaliyobaki yte manungaembe tuuuuu pia hata kama watasoma meseji hiii wajue kuwa ni manunga embe tu mama yetu tunamjua ni ZARI
@roselyneandeka20784 жыл бұрын
Maskini, they seemed like soul mates...
@mariamsuleiman16384 жыл бұрын
Hapa anakua mstaarabu lkni diamond mm tabia yako ni mbaya badilika na utafanikiwa zaidi
@janemisso97224 жыл бұрын
Mmh!! Asante Mungu kwa hili nalo hakika mwanzo ni mzuri Sana Hongera Sana Diamond😍😘
@ireneakinyi20824 жыл бұрын
Diamond that so good for what u did well done diamond
@MariamMohamed-bw8xf4 жыл бұрын
Aaaaah simba nime furai sana haya very good baba tii 💕💕
@jamilasalimvilog67524 жыл бұрын
mashallah unajuwa kujibu hadi raha
@wayeakarbaker4 жыл бұрын
I wish they can go back together
@emmanuelyzubely46104 жыл бұрын
Yaan mond kwel nakupnda maan unajielewa Sana kwanza unajuwa kujielezea wew ndo msanii niliy kuchagua maixha yangu yoteee naomb mungu aendele kukublesss
@fedrickagustino9914 жыл бұрын
Hapo diamondi ataheshimika kama wakifanya colabo na zarithebosslady ya kuombeana msamaha itakiki itapata viws milioni moja kwa masaa matano
@johnamnyange61084 жыл бұрын
kitenge unakua mtangazaji mzuri ila jaribu kuacha mbwembwe nyingiunaharibu mda mwingine unaharibuu
@aminamarie23874 жыл бұрын
Vizuri umefanya uamuzi nzuri nassib
@rahmazahor43334 жыл бұрын
This time usitafute hawa wanawake wa mtandaoni ...Tanzania kuna watoto wazuri wana heshima nenda shinyanga ,Tabora,kigoma huko kwenu kuna watoto wa kishobe wa kiarabu waslam ,watoto wamelelewa ..Utapata mke wako wa nyumbani...Achana na hao magulagula wameshindikana na dunia....Diamond you are nice guy ...Angalia wanaume wengi ma super star..hawa ma ex ..baby mama zao ndio huwa wana wachafuwa usipo kuwa makini sana....Tunakuombea mungu akuepushe na Shari za mahasidi na mahasimu ma ex ...Kanyanga wote wataregea ....Inshallah mwenyezi mungu akufanyie wepesi ,Stay safe...Ramadan Kareem.
@breshbrendah46624 жыл бұрын
Wow great job point taken
@ericodavido76804 жыл бұрын
Diamond anajua kujibu interview zake sana
@kikiderreck99304 жыл бұрын
Anajielewa kijana ndio faida ya kukaa karibu na wakongwe waliojaliwa hekima za Mungu..
@charismadancers22114 жыл бұрын
Sanaaaaa
@sambayoo64414 жыл бұрын
Zaidi ya sana
@annaaziz38314 жыл бұрын
erico davido mambo
@childishgambino74484 жыл бұрын
@@annaaziz3831 poa sana.niko salama siijui wewe?upo mjini au?
@mbwananothylicious71584 жыл бұрын
nimekuelewa Diamond mheshim
@mariamutubemusciraveutubem31364 жыл бұрын
Wawo soo nice mai nose lady to talk to dady ov yo kids Alihamudulillah
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Me zari na appreciate more than chibu coz zari anaakili ming na za ziada🙌. Chibu punguza misifa
@augustuss45034 жыл бұрын
You're right, you can have all the money in the world, without your own family you're nothing.
@hatibuguo47404 жыл бұрын
Sawa nimekuskia
@mahamudahmed70934 жыл бұрын
Mahamud Saidi Ahmed hi
@itsangycuisine11624 жыл бұрын
O that nice👌
@lecksonkasebele43954 жыл бұрын
Lkn kk Mimi ningekuwa mchawi ningefanya mrudiane tu huwa ninaota muda fln mmerudiana namwomba sana Mungu awape wepesi kaa pamoja mmalize tofauti zenu muishi pamoja kila binadam ana mapungufu kubali yaishe kk watoto ndo kila kitu. Unajua ulupokuwa na zari mambo mengi sana alionesha anajua kuendesha maisha harafu ni mtafutaji lkn hawa wengine ni masilahi lkn ht kutafuta hawajui
@sammysammy20014 жыл бұрын
Mwambie arudi nawatoto broo
@finleynyakundi60444 жыл бұрын
First time Diamond has used protection(the face mask)
@nadinagafaranga90074 жыл бұрын
Ongera sana naushukur mungu 🙏🙏🙏+34
@engineertarimo73454 жыл бұрын
Kitenge Mtangazaji mzuri, ila una kelele Sana Mkuu, punguza kidogo
@stellaambrose60214 жыл бұрын
Si mzaramo.....
@razakpaulo64074 жыл бұрын
Diamondi nakuelewaga sana et bomba la caption
@kikiderreck99304 жыл бұрын
Big up..kijana...xaxa umekuwa GOD BLESS U"
@jessicabrown58854 жыл бұрын
Mhh🤦♂️ kwa kujikuta wajomba Hamjambo
@kikiderreck99304 жыл бұрын
@@jessicabrown5885 nadhani fikra zako na nilivyo maanisha ni tofauti...so usiongee usichoelewa
@rozmihambo19354 жыл бұрын
Tuliza hasili zari tunakupeda napeda muwe pamoja
@shebyflavor61654 жыл бұрын
nakupendaga sana mond hunaga roho mbaya hata ukishirikishwa kimziki huwa unawatendea haki mpaka wimbo unakuwa kama wako endelea kuwa nna moyo waiva wa ivyo wenye wivu tupa kule
@rehemaothman88914 жыл бұрын
Ma sha Allah
@mudathirmwambe84823 жыл бұрын
Very nice
@moureenmwende39894 жыл бұрын
Wooow
@seiftupa79594 жыл бұрын
it's platinum
@charlesmasanja61614 жыл бұрын
Mmmh mambo yakifamilia si vizuri kuwa hadharan
@nasramohdmasoud21544 жыл бұрын
U are good
@fababindawood83634 жыл бұрын
Yaan mondi hakuna mfano wa yoyote kwenye kujibu maswali
@TheFusion3604 жыл бұрын
Diamond anatakiwa kukeep mambo yake ya mahusiano private
@dinakabengele83364 жыл бұрын
The Fusion Show ni star ukakuwa hakuna mambo ya privat hata marekani ni vile
@cuteme48704 жыл бұрын
Kwa hao wanawake zake wanavopenda kuweka hadharani
@kalufunyangenyakinyungu50874 жыл бұрын
Diamond hana shida kwa usiri anatuwakilisha wanaume vizuri tu,tatizo lipo kwa wanawake wenyewe mara nyingi huwa wakiwamis x wao huanzishaga vya kubumba ili mradi tu wapate kusikia hata sauti zao,au hata text tu.
@ameenaameena60554 жыл бұрын
@@kalufunyangenyakinyungu5087 hahahahaha jaman na ss wanawake mda mwengine tunajiona ss ndo ss tuwe makini kwa baba wa wtt wetu kaongea mengi sn Zari kuhusu dai hapeleki huduma za wtt wakati yy ndio alimfungia vio hata wtt hana mawasiliano nao sahivi kaona kunataka kutolewa msaada yy anapanic na kupost ujinga wk hahahahaha
@vanessastafford51204 жыл бұрын
Mimi nawaambiaga watu ambao hawajakutana na Diamond hawamwelewi ila ana Busara sana akiongea Ndio maana kafanikiwa
@Kai_busati4 жыл бұрын
wewe umekutana nae?😀
@sarahwawuda51644 жыл бұрын
Kweli kabisa ni mstaarabu
@anithajaphet45874 жыл бұрын
@@Kai_busati swali langu pia kakutana naye
@beatriceisack53174 жыл бұрын
Uvaage vizuri shati halina vifungo
@rehemadearing33804 жыл бұрын
Thanks God. Diamond unakua
@romananyaulingo86874 жыл бұрын
Nakupend bule
@winyalvin56964 жыл бұрын
Mungu mkubwa sana asante sana mungu yani d na zar wanaendana sana Mungu mkubwa yani na wapend sana Mungu awabariki milele mke mwema d ni zar jamani sawa eee hapohapo kaka yangu kipenz
@elmonndunya48614 жыл бұрын
Diamond tafuta Zari urudiane naye utangaze wasiwasi kuwa Zari ni mkeo, wale wengine ni wakukuvionza kama kube
@paulinamhando79514 жыл бұрын
Nimeipenda hii sana
@malyunabdillahi85034 жыл бұрын
This is what happens when u r a woman with class,no one tries to cross lines ,if zari,was not the woman she is now ,it would be a very different case in all
@christinammassy15504 жыл бұрын
Nahisi mkirudiana, hamtoachana tena na utapaa hadi mbinguni kabisaaaa...
@dusengimanafanuel57894 жыл бұрын
Wants rwandaa tuna gushukuru Bab wetu m,Afriqua wewe Simba binayendekaa?🙄🥴🤒🤕😎♥️💘💝💕💞💓💗💖✌️🤘☝🏽💃🕺
@haronchirchir96954 жыл бұрын
CONGRATULATION SIMBA
@kerubohellen4 жыл бұрын
Stephen and I made the right thing
@RandB_Channel4 жыл бұрын
Diamond hawezi fanya entervien bila kusena is not make sense 😐 hata iweje hawezi kapita
@annefeorella93454 жыл бұрын
Hhaa
@iraqiraq95004 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@zuhran86764 жыл бұрын
Masha allah kher
@calvinloveambroce8424 жыл бұрын
star wa Africa
@rahelmasiga15034 жыл бұрын
Mkurugenzi kawa mpole
@lucciacaccia15514 жыл бұрын
Mimi nawapenda Sana nyie dai na zareee
@gowgow92124 жыл бұрын
Dah mbn mambo yana badirika sana
@kokotoniarts13184 жыл бұрын
Diamond PLATNUMZ
@tantinebettynduwimana3804 жыл бұрын
Zari bado anampenda diamond amefurahi kuona kamuacha Tanasha tatizo zari ana jeuri
@lucyisrael61214 жыл бұрын
Diamond akiwa anaongea anakuwa mstaarabu kweli utasema huyu ndo mume kama hapo alivyoongea ila sasa sijui ni pepo analo la kubadili wanawake ovyo,kiukweli mi napenda awe na Zari sana sana,badilika kijana we ni kioo cha jamii
@KenyaNewsTodayTv4 жыл бұрын
Hapa Kenya wanakuitanga Bwana Mkunaji, Je huko Tanzania? Wakenya hawakufurahishwa na kitendo cha kukuna Tanasha na kujitenga na yeye tena rafiki yako kusema Nasha hakuwa top kitandani ,ni hayo tu kwa sasa!!
@stevenmsaaada.msaada.3894 жыл бұрын
Uyu jamaa mahojiano yake anajuwa sana kujibu. Sio yule kiba wakujikesha chekesha tu. Mara no coment kama mtoto mdogo tu.
Hakuna mahali amesema watarudiana ila swali ya kusadia watoto
@sakinaramadhani56844 жыл бұрын
Safi sana
@islamicreligion9624 жыл бұрын
Unazingua
@fadhilmohamoud4 жыл бұрын
kwenye watangazaji sijawai kuwaelewa ni kitenge coz uwa anapayuka kishenz
@dusengimanafanuel57894 жыл бұрын
Wewe nagupenda sanaa😭😭😭🤣🤣🤣🤣🧐🙄😷💝💘
@nicholasandrew75994 жыл бұрын
Simbaaa
@cheupestefano54244 жыл бұрын
Next you will claim Zari is begging you to marry her.... you are very untrustworthy story teller Zari has to be very careful with this snake going by name of DOMO
@dorcasdee11144 жыл бұрын
True
@khalfansalim34414 жыл бұрын
U dont know what u r talKing about....people change
@millionbill75874 жыл бұрын
Last I checked gossiping during Ramadan is forbidden 🙄🤔
@babjithephotographer56024 жыл бұрын
Siyo gossip lakini basi na we pia unasikiza
@godfreymdahila63524 жыл бұрын
Waoooh
@fedrickagustino9914 жыл бұрын
Muda wote miaka miwili kweli jamaa una roho mbaya kinoma unamuonea wivu hadi mama watoto wako.aliyekupa heshima ya kuitwa baba baadae mukaungana na hamisa mukamuroga kutishia kuuza nyumba wanao wakiwa ndani ndio maana watu wanasema una roho jui ya mafanikio ya wengine
@sarahmueni44064 жыл бұрын
Wow am happy to hear that
@sylviaug534 жыл бұрын
Sarah Mueni sorry what did he say please
@sarahmueni44064 жыл бұрын
@@sylviaug53 who?
@kamjeshi79274 жыл бұрын
Anae juwa Yule mama nyuma ya Simba antajie jina
@kamayangijoan32854 жыл бұрын
2:18 hivi hivi na hivi 😅😅
@siasmiles80574 жыл бұрын
Kamayangi Joan 😂😂😂hivi na hivi na hivi
@richardtv83394 жыл бұрын
Hvyo tu😂😂😂
@ndegealfred36394 жыл бұрын
Ok fresh lakin wanna ndo Kila kitu
@abubakaralifoum74994 жыл бұрын
Subway surfer
@davidorito17074 жыл бұрын
Safi
@donbravotv82024 жыл бұрын
Kwa uhondo mbwe mbwe habari na burudani tele kuhusiana na wasanii wakubwa wakubwa tena maarufu WA East Africa tufuate na subscribe kwa KZbin channel yetu @DonBravoTv
@guccij35494 жыл бұрын
Xaiz mzalxhe Kat ya Rihanna au Nick Minaj
@franciswakazambiatanzaia4 жыл бұрын
Point
@Bestkidkenya4 жыл бұрын
Simba in the building
@fravianbatista49024 жыл бұрын
Kitenge wa itv na huku ni tofauti,kweli sheria zinamfuata mtu sio mtu anafuata sheria.hata modi piti linamfuata sio yeye afuate.
@suzanalema964 жыл бұрын
Unamanaa
@yonapozkwapoz96864 жыл бұрын
Sawa mond
@leoniatunakupendaasanaakit3654 жыл бұрын
Ongera Sanaa
@prosperlucas91714 жыл бұрын
Naseeb ww bado kijana endelea kutotolesha
@dioniziaraymond70684 жыл бұрын
Apo mmefanya jambo jema
@BigZhumbe4 жыл бұрын
Zari kumbe alitega uchumi kapost aka unblock akisubiri txt ama call any time..... Zari arudi Bongo kwa Mondi waendelee kulea ameachwa na KingBae asitupie lawama kwa Mondi..... alitalk shit aendelee na shit zake au atulie dawa imuingie
@ibrahimhungu51544 жыл бұрын
Izi hela, mondi ashaukuwa bwana mkubwa katikat ya wazee
@pragiragibm48994 жыл бұрын
Shemu letuuuuuuuuu zari zari zari zari
@shuumbassa46794 жыл бұрын
itakuwa jambo labusara Sana km umefikia
@jamesthuita96204 жыл бұрын
Hamna la maana la kutwambia... Kwani diamond ni nani??? Ana nini huyu diamond.. Mara simba Mara chui tupisheni tumechoka