Diamond Platnumz Akielezea Jitihada Alizofanya Kuhusu Kuwasiliana na Kuwa Karibu na Watoto wake Kupitia Mzazi Mwenzake Zarithebosslady . .
Пікірлер: 1 300
@irenesese69685 жыл бұрын
Mwanamme huyu anajielewa sana. Big up chibu nimependa maelezo yako jaman nyumba yake wanaishi watoto wa Mme mwenzio milioni 4 zinatumwa kila mwezi wanakula na ma hawala zake. Utampata wapi mwanamme wa hivyo jaman?? Mh watu mnachezea Bahati kweli ndo kaisha enda Tanasha usifanye makosa shikilia
@MoherZO5 жыл бұрын
I understand diamond I lived my life single parented and I always felt the pressure when all that was said about my dad was to turnish his name and I hated him without reasons, after maturity is when I discover the kind of humble man he was, u will never understand this, the mother always use kids to fight their dads only the real ones can relate!!! Watanzania tupumue kidogo diamond kazungumza kiswahili kingi...
@shiimwaniki25365 жыл бұрын
And you here believing diamond. I think you lack wisdom.
@manallove15 жыл бұрын
I salute you Mondy yaani maongezi yako ni mature na straight to the point.
@funtv47975 жыл бұрын
Simple and clear as a man Diamond.. Stand by what you say no matter how it looks like,. People are used to sugar coated business that when someone is being real he gets a bad name..... I like how the guy is expressing himself. Mwenyewe unasema ni uwongo na stori za P Square..i want to ask a simple question have you dated Zari or Diamond have.. He knows her better
@evethanyangu92794 жыл бұрын
who is here aftr watching zari' video
@goodluckymartin3345 жыл бұрын
Diamond platnumzzzzz umetishaaaaa cnaaaaaaa aseee
@bahatidan47515 жыл бұрын
Zari is the girl meeen... peter and the personal trainer..kuagala nyoooo zari mwenzenuuuu
@akothbake10965 жыл бұрын
"Namchapa matukio mpaka anaondoka mwenyewe"😅😅😁
@gsbshshzhxsbxbsnhxh52255 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@teddykassinde46085 жыл бұрын
Anadhan uhuni sifa anajidhalilisha tu matukio ya wanawake shame on u
@fatmasaloum18215 жыл бұрын
Womanizers that's what they do even if they aren't cheated its in their blood can't quit
@tashamorris98965 жыл бұрын
Kama yanavyomchapa saa hii hadi anaropokwa, even a kid can tell he's lying.
@kenbaroofficial24223 жыл бұрын
Ndio habari ya mji
@deavistz51625 жыл бұрын
Mwanangu tifa baba ake staar😆😆😆😆😅😅. Kama unamkubali mond gonga like twende sawa
@malafyaletistar76135 жыл бұрын
interview Kali watangazaji international media internationally
@mufasamufas60235 жыл бұрын
Simba namkubali sana kwenye mziki wake na utafutaji wake wa pesa lakini life style yake sio nzuri hapa mi naona chibu roho inamuuma jinsi Zari anavyotrend na mtu wake mpya anaetaka kumuoa sasa ameamua tu kujaribu kumharibia
@kabaiyukyasnider67975 жыл бұрын
Ukweli kabisa
@johnmwasilu70875 жыл бұрын
Zari aolewe na nani wewe? Hakuna mwanaume wa kuoa pale wanapita tu
@rahimsalum84115 жыл бұрын
John Mwasilu je akiolewa
@johnmwasilu70875 жыл бұрын
@@rahimsalum8411 yatakuwa ni maajabu
@emmanuelmwakalinga19715 жыл бұрын
Mechizaulaya
@klapjumper75005 жыл бұрын
Mondi is as convincing as zari!! So i wish you all the best just produce music for me nskie niende zangu
@teddykassinde46085 жыл бұрын
😂😂😂Watu mna vituko jama. Duh
@selemanimsahani39194 жыл бұрын
Xaizi mond akitoa nyimbo hana shida na kwenda kufanyiwa interview ili kutambulisha ngoma yake watu wanao fuatilia tu wanatosha Akitoa nyimbo xiku 1 ulimwengu mzima usha jua 🇹🇿💥💥💥💥💥💥❤
@khadijahkhdoo63875 жыл бұрын
Chapa matukio hadi aondoke mwenyewe 🙆♀️🙆♀️ utauwa jamaniii
@iwenikigodiiwenikigodi48172 жыл бұрын
Nime ikubal hyo
@salminiyussuf9895 жыл бұрын
😻Wewe msikilize mwana Fa. "Ukimta wa kwako peke yako muumbe mwenyewe,ukiona umemegew na wewe mtafute mnyonge mgongee...."
@namelessOG15 жыл бұрын
Salmini Yussuf ausio😹💪🏽
@edgergabriely48115 жыл бұрын
Falsafa kkbal
@ethanrioh77765 жыл бұрын
For sure
@sovinahmutuku75035 жыл бұрын
Umemegew ndio nini sasa... 😐
@lilianyona77285 жыл бұрын
👏👏👏👏
@hamedal-shruiqi21235 жыл бұрын
Big up simbaaaaaaaa mungu akujalie ulienae awemke mwema inshaallah 🙏
@swtdonyachanell43515 жыл бұрын
Wale wasoma coment kama mm gong lke hapa twende sambamba
@Sppah6975 жыл бұрын
Dimond mwachie Mungu! I believe you!
@aishahamisi82744 жыл бұрын
I also believe him.
@katemakena19945 жыл бұрын
Huyu anawashwa na KING BAE ...i cant believe a word he says
@graceochiel31335 жыл бұрын
Me too
@matendoa.online8035 жыл бұрын
Hafu amepangilia kuongelea izo issue, Hata ma journalists vile wanavyo uliza ma swali naku tiya chumvi ni kama mpango tu...” people can read inside the box bro, this is just a social media . “Lies lies lies .
@youngmummy10875 жыл бұрын
Strong man ....respect
@djdeytrance7125 жыл бұрын
hapo sawa diamond you are a star ...just be yourself man
@bukavu15 жыл бұрын
People don't understand this system, to separate the man from his children and stress him out to death, destroying the family in the process, all these kids crying that their fathers were absent, they have no clue what these men go through. Diamond should also learn now why he wasn't close to his father, now the wheel have turned and I feel sorry for him. Black men and women should fight to be together, to raise their children together otherwise the wheel will keep turning, against us.
@2.125Official5 жыл бұрын
Get back together already. It's clear they still love each other
@abuukulinga79215 жыл бұрын
Studio konk sana kama umekubali like twende sawa wadau
@graceochiel31335 жыл бұрын
Let that woman be stop trashing her name now that she has moved on why didn't you say all these before?
@arsenalic235 жыл бұрын
So what would be the difference? It doesnt change the fact that she has been acting imature. The kids didnt come outta her bum. Kids have a father as well she shouldnt be doing this. Stop trying to defend evil and stupidity
@afuahhenewaa97225 жыл бұрын
Grace, you don't know what you are talking about,most African men will want people to know that you are not doing well when you leave them,and will do anything to destroy you.
@graceochiel31335 жыл бұрын
@@afuahhenewaa9722 do you understand English properly ?
@afuahhenewaa97225 жыл бұрын
@@graceochiel3133 oh you didn't get me I was having conversations in support of what you said. You the one who didn't get me. Yes I understand English very well,am from West Africa where medium of instruction at school is English, and I am educated.
@worksmart46885 жыл бұрын
I knew this story long time ago from a close member squad of diamond..Zari is poison...ask anyone who knows her deeply..she lies to you in social media..acts the victim, gets all the attention and pity....I have always anticipated the day Diamond would break the ceiling... NON is a saint..
@irenegitonga16795 жыл бұрын
Aii Diamond should talk slowly for the sake of Kenyans.Tunapitwa na maneno zingine aki😂😂😂😂
@artist-scopes83575 жыл бұрын
Vipi? Tunamsikia na kumwelewa vizuri Sana. Tafadhali Usirushe wakenya Kwa hiyo meli umepanda.
@CeeJay254Art5 жыл бұрын
@@artist-scopes8357 u must be from coast
@artist-scopes83575 жыл бұрын
Hata!. Nairobi damu!.ni vile wakenya wengi wamejizoesha ujinga yakufanya Kila kitu in English Hadi kufikiria. Hata vitabu za swa huwa hawasomi vile inafaa. Unajua Kiswahili ilizaliwa Kenya. Sasa lazima tukumbuke hatakama wengine wanaitumia pia, bado ni yetu..Tukona jukumu hapa.+ Siati tz Wana elewa Kiswahili zaida,most of the time ni msamiati nyingi.
@irenegitonga16795 жыл бұрын
@@CeeJay254Art he surely must be from Coast..😂😂ata am not reading his swahili text, inachosha😂😂😂
@gitanokambarage87895 жыл бұрын
mayan ahmed. kiswahili ilizaliwa Kenya duu, ndo mnavyodanganyana eeh
@PM-wp2yr5 жыл бұрын
When two people are separated never never never I repeat never put children in the middle, because parent will always be a parent. You can be poor, rich, or anything, if ur parent you'll always be a parent, because that is ur blood..............
@jelemiamwambene22535 жыл бұрын
Big up Diamond
@tatianatataa14895 жыл бұрын
Please people... they both know themselves... I mean Zari and DIAMOND.. I can’t take any side... wanajijua wenyewe 🤨🤨
@hannahayi-bonte82415 жыл бұрын
Tnx sis.
@Mr_Ben2554 жыл бұрын
Ningekua Mimi ndio Diamond Peter wa P square Angeni elewa 👍 👍 👍
@juillajjjj55115 жыл бұрын
Diamond get one person and settle what happened to mabeto
@massageguides49735 жыл бұрын
Some Time in our Life we Play with LOVE...But When the Time comes and you Finally Realize that You want to get Serious, Then LOVE Plays with Ur Life.
@na0m1fes515 жыл бұрын
Massage Guides #facts
@dieudonnenkurunziza66235 жыл бұрын
he is lying ,those are just excuses
@stevewanga9575 жыл бұрын
Hawa journalist wa wasafi wako chini sana,... Hii interview ange Fanya na Lil Ommy ningeamini but hii Inakaa kama Kiki 2
@samiralisamir75945 жыл бұрын
Umeona mama diamond malipo umu umu ubaya unayomfanyia baba diamond sai uyo uyo mtoto wako yamrudia mchezo usichezee
@specialminds235 жыл бұрын
Umeongea neno dear
@gloriagrace89725 жыл бұрын
Huyo mama anaitwaje ninfwate IG😏 he's no a lady. 😂
@marlenesreality6375 жыл бұрын
Thought everybody moved on.. why are we still talking about this stuff.. jeez
@Mothermarlon5 жыл бұрын
Nilijuwa siku itafika tutajuwa Ukweli Kutoka kwa Diamond.. simba ni mtu mzuri sana.. walahi alivumilia mengi.. mwana mke wakiganda?! Kazi yake yeyote yule, kazi yake huwa ni ngumu sana.
@phionanabafu34015 жыл бұрын
It's jealousy disturbing him He thought that zari would beg for him
@jennifermlyakalam50005 жыл бұрын
Mmh wat abt hamisa.......nyie c ten years kbsaaaa mmmmmh
@avitrujweka21135 жыл бұрын
Mambo ni mengi, muda ni mchache 🙌
@reginakerubo20885 жыл бұрын
i like your honestly aki
@mhandolongford30655 жыл бұрын
blog89 fanyeni iwe subscribed on KZbin aisee. D platnumz am proud of you bro
@sugarspice37975 жыл бұрын
Diamond looks like he's lying when talking about how zari was cheating. I can spot a liar from milessss
@plussize254bigboldblack55 жыл бұрын
I second you
@loya.ls.45525 жыл бұрын
I don't think he's lying,his song called niache starts making sense
@worksmart46885 жыл бұрын
No he is Not....before the black rose, we were drinking with some close members of Diamond in Nairobi.He had actually left zari wayyyyyy before she posted the black rose..Attention seeker.Diamond ain't a saint either..but how Zari has been acting like a victim all along(that's what has always sickened me)
@collinbrianoh78295 жыл бұрын
U must be an expert
@chapochapos16965 жыл бұрын
@@loya.ls.4552 HE LIED ABOUT MOBETO CHILD..HIS OWN BLOOD AND U BELIEVE THIS CRAP....JEEZ
@chellayuniz21935 жыл бұрын
A woman enemy is another woman look at that woman trashing.
@anethteodos62085 жыл бұрын
Sure
@mariamabdallah8065 жыл бұрын
Exactly. Lol
@bettymoraa34755 жыл бұрын
She is soo loud and stupid
@sharonoguta85895 жыл бұрын
Aaaaaiii shes at work. They have to dramatic
@prettyh75093 жыл бұрын
😂😂😂she for get her self
@susanonyango86165 жыл бұрын
Diamond huu mchezo hautaki hasira uliuanza mwenyewe. Kipindi umeisha na Zari umetembea na wanawake wangapi?? Umefanya wazi hadi kwenye mitandaoni unapost picha za mahaba hivi ulifikiria ZARI ana moyo wa chuma😉
@kinghenry55115 жыл бұрын
Akuna mwanaume anaye rizika na mwanamke mmoja.
@chapochapos16965 жыл бұрын
😘
@chapochapos16965 жыл бұрын
DIAMOND IS PATHOLOGICAL LIAR KUMBUKA ....ALIVO MRUKA MOBETO ON RADIO
@LUPPER.5 жыл бұрын
@@chapochapos1696 HUNA POINT... YEYE ALIKATAA KWASABABU BUT KWAKUA MOBETO ALIKUA ANAENDA KINYUME NA WALIVYO PANGA NA DAI AKITAKA ATTENTION KATIKA JAMII NA MEDIA NA KUFOSI YEYE NDIO AMILIKIWE NA DAI,ILI AJE AOLEWE,APIGE HELA,AINJOY ETC.NA VYOTE HIVYO ALIFANYA KWA KINGA YA MTOTO WAKATI YEYE NA DAI WALIKUBALIANA AWE SIDE CHICK.. HIVYO ALIKATAA FOR A REASON NA HAMISA ALIPO ZIDI KUFOSI DAI AKAKUBALI NA LENGO LA HAMISA HAKULITIMIZA WALA HALIKUTIMIA...NDIO UKAJA KUONA HAMISA AKIDEMAND HELA NYINGI KWA GIA YA MTOTO,KUTAKA KUMROGA DAI AOLEWE NA AMILIKI VITU ETC...UWE UNATAFAKARI MATUKIO NA KUYAUNGANISHA BILA HIVYO ALWAYS MONDI ATAONEKANA MBAYA.. BUT HE IS VERY WISE
@chapochapos16965 жыл бұрын
@@LUPPER. KWANI LAZIMA AENDE MEDIA?
@mardinhalfany14135 жыл бұрын
Mwenyezi mungu hamkutanishi mume au mke mzinifu isipokuwa na mzinifu mwenzie! !!!!! Mond soma hioooo
@barakacharles67395 жыл бұрын
Nimependa vile diamond ulivoongea ukwel angalau 79% congrats brother sometimes you have to like that bila kujali how bigger you are.
@alyhamad635 жыл бұрын
Diamond Yani apo ndoo ujuwe Kama mwanamke anaweza kukutengenezea chuki ww na baba ako auwezi kujuwa zari anamwambie nn tifa iri akuchukie ww kwaiyo mm naomba msamehe mama ako
@haloommoha1025 жыл бұрын
kabsa
@barakacharles67395 жыл бұрын
Ashawasamehe wote
@shaukatmohamed41875 жыл бұрын
Wewe shogaaa tu zari ni high class hawezi kuwa na mwanamume mwenye vipuli na vikuku
@BoazOngote5 жыл бұрын
The 500k subscriber 👍🤛🏽🤜🏽👏
@fasterwalker14643 жыл бұрын
Alooo hii ni tofauti ya mondi na kiba ngumu kiba kuongelea maisha yake hv
@nancyshikoto1584 жыл бұрын
Una shida sana Tijuana,
@aswanygideon16554 жыл бұрын
Am here after tanasha breakup😂😂
@shamsayakub11375 жыл бұрын
Yah that's y nakupenda...zari anajifanya sana malaika.
@mkonjesamnimbo9365 жыл бұрын
Huna washauri Dai. Sifa zinakuponza. Hataki mawasiliano umemuumiza Sana Zari. Usipoangalia utaishia kubadilisha wanawake mpaka uzeeni ukiwa na watoto timu ya mpira.
@akbardasilva20285 жыл бұрын
mwenzako amekuzidi mapenzi San 😂😂😂
@chrisfabolous21305 жыл бұрын
Diamond Platinumz my man,grow stronger bro
@youngtwite75805 жыл бұрын
sema zari unazingua nawe
@juwairiyamambo5 жыл бұрын
Diamond..you need to grow up man! What kind of talk is that??!!
@turibamweali86615 жыл бұрын
Diamond tu ni malaya hana chochote cha kuelezeya watu
@luckysounds45554 жыл бұрын
EXACTLY
@Jolly_Jollyk5 жыл бұрын
Zari your very smart enough hahahhah Imagine you made him sign for Tiffah A south African passport 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@gidionmanwingi5203 жыл бұрын
Safin sana hyo ndoo sawa yao matukio
@siphiwosenkosiphiri92072 жыл бұрын
Kkkkk
@gabrielgerald80855 жыл бұрын
Huna akilii na wengi hatukushangai maana cha kulidhi kinazidi maana hapa mwanafunzi kamzidi mwalimu haya kazi kwenu mama na mwana ovyooo
@katenzau40725 жыл бұрын
Men are liars siamini huyu diamond,wanahabari wenyewe ni minions
@abdul-aziziomar59895 жыл бұрын
cate mercy m
@silperaura59815 жыл бұрын
Mwansema yeye muongo ukweli wenu UPI sasa mnaoujua
@kadzo66145 жыл бұрын
Stfu
@mohammedahmad54444 жыл бұрын
Fuck off Lady he has never lie
@sashaseraphinembote80375 жыл бұрын
Hapa ulichezwa kubadilisha uraiya wa mtoto, utajua wanawake ni nani umeona mamako mzazi kafanya hio miaka yote huna uhusiano na baba sasa subiri Zari akuonyeshe, nimefurahi umemsamehe baba lakini yote ulio mpitishia Dai ujue malipo ni hapa hapa, mzazi ni mzazi tu maana bila mbegu yake usingekuepo hata kama hajakulea msaidie tu mwachie Mungu adeal nae, alafu huko South iweje mtoto apewe uraiya, nahata akipewa passport bado sio raiya wa South bado itaandikwa Alien. Mimi mwenyeji wa South wacha kupanga your fellow Tanzanians, also my brother diamond you need to grow up and be a man, bedroom matters should be bedroom matters, i feel sorry for the ladies who fall for the little egocentric boy in you coz real men don't disrespect women the way you do, although i have realized most Tanzanian men have zero respect for women, like how were you guys raised up, huku kwenu is the first African country i have been to, that women are discussed undressed in public like trash. Y'all need to grow up like the men in our parent's generation who knew sex was sacred, i saw your interview being asked about Tanasha and you said "Maana anakata mauno kitandani vizuri" sex should be sacred not a public affair, www.sashaspicezanzibar.com
@mufasamufas60235 жыл бұрын
Dai muongo hakuna cha kutia sigh kama mtoto alizaliwa South africa mimi naishi huku South na mke wangu ni raia wa hapa south watoto wamepata passport bila hata mimi kutia sigh yoyote mtoto akizaliwa hapa anakua tayari ni msouth sababu hata hospital kuna kitengo cha home affairs pale pale kabla mtoto hajaenda nyumbani anatoka ma cheti chake cha kuzaliwa kikiwa na full details za baba ma mama lakini kama baba mwenyewe haupo basi mtoto atatoka hospitali ma cheti chenye sir name ya mama baba lazima uwepo pale pale utoe kitambulisho chako kama sio raia basi utoe passport yako mama hawezi kutoa majina ya baba kwa mdomo tu sababu anaweza kudanganya kwa hiyo kama haupo basi mtoto anapewa sir name ya mama kama kubadilisha ni baadae baba utakapo jitokeza lakini utakapo kuja baadae lazima upimwe DNA ili wamjue kama wewe ndio baba halali ila haupimwi DNA kama utakuwepo siku aliyojifungua mtoto utawapa tu pasport yako watajaza wenyewe kisha uka sigh cheti cha mtoto kabla mtoto hajatoka hospitali
@faridahangedo55545 жыл бұрын
Sasha Seraphine Mbote Mimi mtu awezi kunidanganya chochote kusuhu waganda iknow them ,unasema ukweli sasha.
@lovennamisi86095 жыл бұрын
Tanzania mnafaa kusoma tu 😂😂
@rahmaabdallah45145 жыл бұрын
@@mufasamufas6023 tiffa kazaliwa Tz
@sashaseraphinembote80375 жыл бұрын
@@mufasamufas6023 Alafu hata wakipewa imeandikwa Alien
@xbdbdgdgsbdbbxx42544 жыл бұрын
Papa Tiffah aaaaa,, Mungu aliku Zoom 😂😂😂😂😂
@loner_wolf5 жыл бұрын
Kwahiyo wanao wajue ati p square boy alikuwa anadadavua kichaka walichotokea nahakuwa baba yao??? Hunawashauri wazuri mkuu wa kazi
@sakeenanadaly5595 жыл бұрын
Hahahhahahhahah
@chapochapos16965 жыл бұрын
THANX😂HE IS AN IDIOT
@eugenemidega45555 жыл бұрын
The last part 😂 😂😂😂 Simba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@akbardasilva20285 жыл бұрын
sas diamond anakuja na ungine mwana ume mwingine kwako uyo ni umama
@alicesituma97065 жыл бұрын
I need a kamusi. Tz swahili cwezi proud kenyan
@christianangelo48325 жыл бұрын
Mondi Muuni Af Haongopi... Nampenda sana huyu jamaa. Wale bad boys wote huyu ndo Roll model wenu sasa... Mwanamke haachwi, wew mchape matukio tuu mpaka asepe mwenyewe😂😂😂😂😂
@gogozitodumelannzi55 жыл бұрын
Pumbafu kauli yako ya kuita beki tatu sio vizuri sema Dada wa kazi
@kaniyahiouise14745 жыл бұрын
*Kama unamkubali Diamond platnumz gonga like*
@ramlaramadhan42065 жыл бұрын
That lady in levi's tshirt is too cute...
@carolinenkatha51432 жыл бұрын
2years later she is pregnant for him
@dinaorio18525 жыл бұрын
That's why I like Alikiba hanaga hizi mambo
@makkahwamimz20935 жыл бұрын
True
@anaisatangana74485 жыл бұрын
Wow, where can I find a video like this but with English subtitles at least please ?
@mariammganga43014 жыл бұрын
Daimondi acha hizo mwanamke hubemberezwa
@siphiwosenkosiphiri92072 жыл бұрын
.l
@lizmociku15955 жыл бұрын
This is very true, we know women after divorcing their men they never want to see their partners happy...zari should respect Diamond he bought him a house and he has always stayed away of dramas about his own house
@divinahkemunto14295 жыл бұрын
I believe Diamond amemeza mengi and he is strong,,,,salute 😍😍
@mamaabdul55775 жыл бұрын
Lakshim Chopra i
@divinahkemunto14295 жыл бұрын
Mama Abdul hi
@phaustineauma2672 ай бұрын
Babake star❤❤I love chibu jamanii
@jesusmysaviour9295 жыл бұрын
Zari get back home you are welcome marry our own Ugandans. let them be.
@sarajohn84315 жыл бұрын
Opio Ambrose wamma kittuffu
@moudymchemia65985 жыл бұрын
Achana nae huyo Malaya unatakiwa utambue kama alimuacha mumewe akakufata wewe atashindwa vipi kukuacha amfate Peter huyo ni demu wa wasanii mistake huwa zinatokea
@moudymchemia65985 жыл бұрын
Haya bhana
@maureenkamakia10644 жыл бұрын
Kiswahili chake ni kigumu watu wa Nairobi manze😂😂
@mayahhajih26365 жыл бұрын
Duuuh hao waaandishi sasa kama wanakula ubwabwa pilau hizo shobo 😂😂😂😂😂😂
@timelessbeauty56775 жыл бұрын
Ukiona Diamond ameongea , kuhusu zari, niukweli ameudhika
@chapochapos16965 жыл бұрын
ALISEMA UONGO KUWA MTOTO WA MOBETO SIO WAKE ...JE DIAMOND NI MTU WAKUMUAMINI?KILA KINACHOKA KWENYE KAULI YAKE NI UONGO MTUPU...P.SQUARE NI. FAMILY FRIEND NA MWENYE FAMILIA YAKE....PUMBAVU SANA DIAMOND
@Madanstars5 жыл бұрын
Chapo acha UNIA muongo sana wewe mond hanaga ngebe
@chapochapos16965 жыл бұрын
@@Madanstars UMESAU UONGO YA MOBETO SAGA........MWANAMMKE GANI AWE NA P.SQURE AWE NA MOSQUITO LEGS...NA ZARI AMEWAAMBIA KAMA AME CHEAT WAKIWA PAMOJA NA WANAWE WAFE HIYO SIO KIAPO CHA KAWAIDA #UTUMUHIMU...KAMA ZARI AMECHEAT BASI WATOTO SIO WAKE A MOVE ON
@chapochapos16965 жыл бұрын
@@Madanstars KAMA HANA NGEBE BASI HANA WATOTO HATA DULLY SIO WAKE SI ALISEMA SIO WAKE BASI HAZAI NAONA HANA NGEBE NA PIA HANA SPERMS YA KUTOA WATOTO
@timelessbeauty56775 жыл бұрын
@@chapochapos1696 watu huhapa tu coz wao hujua God is so graceious....what if ...Mungu afuate mdomo wa Zari na atende kama alivyoongea
@othmanmohammed34595 жыл бұрын
diamond Muongo Izo Picha Na Pitar Wa PSquare Zipo Kabla Ya Hata Kukutana Na Wewe Usimchafulie Zari
@saidchimetse35342 жыл бұрын
We are men vpuli kando bro,Safi sana chapa ma2kio mpaka waondoke wenyewe
@donniebrasco30355 жыл бұрын
I like diamonds watch😍
@saadiamohamed27105 жыл бұрын
Vile anaongea haraka unasema tu vitu anasema ni wongo tu ( a lier always speaks faster ) wangapi wamekubali ni wongo
@juniorkamarat72335 жыл бұрын
Hakuna urongo wala nni simbaa mkweli mtupu
@juslmao56835 жыл бұрын
He's graduated from cheating- stealing songs & now insulting the mother of his kids. Ata kama Zari cheated, you cheated multiple times publicly though inakaa uongo mtupu
@faridahangedo55545 жыл бұрын
jus' lmao we call it u do me ido u,psquare ndo waimbaji tena hataaarrrr
@browntiger48495 жыл бұрын
Wah wah wah bro wewe strong bro
@idyjumanne97965 жыл бұрын
iyo ndio studio nzuri sio clouds chafuuuu mbovu jina2
@mercyomobe80025 жыл бұрын
Nani mwingine anajiskia kumuita matako
@obieromatoke39405 жыл бұрын
U have moved on and she has...why go back to talk about her? So tuanze kurudia iii story tena! So unataka kusema u cheated on her with Mobeto bkoz of that! Seriously Diamond! Achana na Zari
@rachealandisi37025 жыл бұрын
Guys wacheni kuingilia diamond Ivo he he he he atujui Nani amazes ukweli Kati Ya wote
@jmrcy29302 жыл бұрын
They are just hurting each other and yet they love each other
@dosianasimon3125 жыл бұрын
Acha uongo mimi sikupendi
@epiconreview44945 жыл бұрын
Dosiana Simon na mimi sikupendi
@dosianasimon3125 жыл бұрын
@@epiconreview4494 ukweli ni kitu kizuri na usinipende milele
@epiconreview44945 жыл бұрын
Dosiana Simon 😂😂
@henrygatimu2715 жыл бұрын
Thats the naked truth from Simba, i like that following from +974
@munashabani13765 жыл бұрын
Waallah daimond umenichekesha Sanaa una mchapa matukio unaondoka mwenyewe
@priskusiprochesi4124 жыл бұрын
Upuuuzi we daimond ulichepuka sannaa ndo mpaka ukaachwa 😎😎😎😎
@pendoernest86555 жыл бұрын
I'm so crazy wid ure music not in your life style nothing else than finding kiki
@kevohwapipelinetransami43515 жыл бұрын
Hehehehe diamond ameongea kama ndume kumi👊👊🇰🔥🔥👏👏
@kevohwapipelinetransami43515 жыл бұрын
@Miriam Wambui yes
@rmussa71965 жыл бұрын
Mondi huwa mi naamin maongez yako...uko muwaz...I lyk it.
@amtafawes37435 жыл бұрын
Bana acha kutuchezea akili kuwa na msemamo give us a break