DIAMOND PLATNUMZ: ZARI ALICHEPUKA NA PETER WA P-SQUARE/ PICHA ZAO NINAZO

  Рет қаралды 1,561,534

Wasafi Media

Wasafi Media

5 жыл бұрын

Diamond Platnumz Akielezea Jitihada Alizofanya Kuhusu Kuwasiliana na Kuwa Karibu na Watoto wake Kupitia Mzazi Mwenzake Zarithebosslady .
.

Пікірлер: 1 300
@irenesese6968
@irenesese6968 5 жыл бұрын
Mwanamme huyu anajielewa sana. Big up chibu nimependa maelezo yako jaman nyumba yake wanaishi watoto wa Mme mwenzio milioni 4 zinatumwa kila mwezi wanakula na ma hawala zake. Utampata wapi mwanamme wa hivyo jaman?? Mh watu mnachezea Bahati kweli ndo kaisha enda Tanasha usifanye makosa shikilia
@MoherZO
@MoherZO 5 жыл бұрын
I understand diamond I lived my life single parented and I always felt the pressure when all that was said about my dad was to turnish his name and I hated him without reasons, after maturity is when I discover the kind of humble man he was, u will never understand this, the mother always use kids to fight their dads only the real ones can relate!!! Watanzania tupumue kidogo diamond kazungumza kiswahili kingi...
@shiimwaniki2536
@shiimwaniki2536 5 жыл бұрын
And you here believing diamond. I think you lack wisdom.
@manallove1
@manallove1 5 жыл бұрын
I salute you Mondy yaani maongezi yako ni mature na straight to the point.
@funtv4797
@funtv4797 5 жыл бұрын
Simple and clear as a man Diamond.. Stand by what you say no matter how it looks like,. People are used to sugar coated business that when someone is being real he gets a bad name..... I like how the guy is expressing himself. Mwenyewe unasema ni uwongo na stori za P Square..i want to ask a simple question have you dated Zari or Diamond have.. He knows her better
@evethanyangu9279
@evethanyangu9279 4 жыл бұрын
who is here aftr watching zari' video
@goodluckymartin334
@goodluckymartin334 5 жыл бұрын
Diamond platnumzzzzz umetishaaaaa cnaaaaaaa aseee
@bahatidan4751
@bahatidan4751 5 жыл бұрын
Zari is the girl meeen... peter and the personal trainer..kuagala nyoooo zari mwenzenuuuu
@akothbake1096
@akothbake1096 5 жыл бұрын
"Namchapa matukio mpaka anaondoka mwenyewe"😅😅😁
@gsbshshzhxsbxbsnhxh5225
@gsbshshzhxsbxbsnhxh5225 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@teddykassinde4608
@teddykassinde4608 5 жыл бұрын
Anadhan uhuni sifa anajidhalilisha tu matukio ya wanawake shame on u
@fatmasaloum1821
@fatmasaloum1821 5 жыл бұрын
Womanizers that's what they do even if they aren't cheated its in their blood can't quit
@tashamorris9896
@tashamorris9896 5 жыл бұрын
Kama yanavyomchapa saa hii hadi anaropokwa, even a kid can tell he's lying.
@kenbaroofficial2422
@kenbaroofficial2422 3 жыл бұрын
Ndio habari ya mji
@deavistz5162
@deavistz5162 5 жыл бұрын
Mwanangu tifa baba ake staar😆😆😆😆😅😅. Kama unamkubali mond gonga like twende sawa
@malafyaletistar7613
@malafyaletistar7613 5 жыл бұрын
interview Kali watangazaji international media internationally
@mufasamufas6023
@mufasamufas6023 5 жыл бұрын
Simba namkubali sana kwenye mziki wake na utafutaji wake wa pesa lakini life style yake sio nzuri hapa mi naona chibu roho inamuuma jinsi Zari anavyotrend na mtu wake mpya anaetaka kumuoa sasa ameamua tu kujaribu kumharibia
@kabaiyukyasnider6797
@kabaiyukyasnider6797 5 жыл бұрын
Ukweli kabisa
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 5 жыл бұрын
Zari aolewe na nani wewe? Hakuna mwanaume wa kuoa pale wanapita tu
@rahimsalum8411
@rahimsalum8411 5 жыл бұрын
John Mwasilu je akiolewa
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 5 жыл бұрын
@@rahimsalum8411 yatakuwa ni maajabu
@emmanuelmwakalinga1971
@emmanuelmwakalinga1971 5 жыл бұрын
Mechizaulaya
@klapjumper7500
@klapjumper7500 5 жыл бұрын
Mondi is as convincing as zari!! So i wish you all the best just produce music for me nskie niende zangu
@teddykassinde4608
@teddykassinde4608 5 жыл бұрын
😂😂😂Watu mna vituko jama. Duh
@selemanimsahani3919
@selemanimsahani3919 4 жыл бұрын
Xaizi mond akitoa nyimbo hana shida na kwenda kufanyiwa interview ili kutambulisha ngoma yake watu wanao fuatilia tu wanatosha Akitoa nyimbo xiku 1 ulimwengu mzima usha jua 🇹🇿💥💥💥💥💥💥❤
@khadijahkhdoo6387
@khadijahkhdoo6387 5 жыл бұрын
Chapa matukio hadi aondoke mwenyewe 🙆‍♀️🙆‍♀️ utauwa jamaniii
@iwenikigodiiwenikigodi4817
@iwenikigodiiwenikigodi4817 2 жыл бұрын
Nime ikubal hyo
@salminiyussuf989
@salminiyussuf989 5 жыл бұрын
😻Wewe msikilize mwana Fa. "Ukimta wa kwako peke yako muumbe mwenyewe,ukiona umemegew na wewe mtafute mnyonge mgongee...."
@namelessOG1
@namelessOG1 5 жыл бұрын
Salmini Yussuf ausio😹💪🏽
@edgergabriely4811
@edgergabriely4811 5 жыл бұрын
Falsafa kkbal
@ethanrioh7776
@ethanrioh7776 5 жыл бұрын
For sure
@sovinahmutuku7503
@sovinahmutuku7503 5 жыл бұрын
Umemegew ndio nini sasa... 😐
@lilianyona7728
@lilianyona7728 5 жыл бұрын
👏👏👏👏
@hamedal-shruiqi2123
@hamedal-shruiqi2123 5 жыл бұрын
Big up simbaaaaaaaa mungu akujalie ulienae awemke mwema inshaallah 🙏
@swtdonyachanell4351
@swtdonyachanell4351 5 жыл бұрын
Wale wasoma coment kama mm gong lke hapa twende sambamba
@Sppah697
@Sppah697 5 жыл бұрын
Dimond mwachie Mungu! I believe you!
@aishahamisi8274
@aishahamisi8274 4 жыл бұрын
I also believe him.
@katemakena1994
@katemakena1994 5 жыл бұрын
Huyu anawashwa na KING BAE ...i cant believe a word he says
@graceochiel3133
@graceochiel3133 5 жыл бұрын
Me too
@matendoa.online803
@matendoa.online803 5 жыл бұрын
Hafu amepangilia kuongelea izo issue, Hata ma journalists vile wanavyo uliza ma swali naku tiya chumvi ni kama mpango tu...” people can read inside the box bro, this is just a social media . “Lies lies lies .
@youngmummy1087
@youngmummy1087 5 жыл бұрын
Strong man ....respect
@djdeytrance712
@djdeytrance712 5 жыл бұрын
hapo sawa diamond you are a star ...just be yourself man
@bukavu1
@bukavu1 5 жыл бұрын
People don't understand this system, to separate the man from his children and stress him out to death, destroying the family in the process, all these kids crying that their fathers were absent, they have no clue what these men go through. Diamond should also learn now why he wasn't close to his father, now the wheel have turned and I feel sorry for him. Black men and women should fight to be together, to raise their children together otherwise the wheel will keep turning, against us.
@2.125Official
@2.125Official 5 жыл бұрын
Get back together already. It's clear they still love each other
@abuukulinga7921
@abuukulinga7921 5 жыл бұрын
Studio konk sana kama umekubali like twende sawa wadau
@graceochiel3133
@graceochiel3133 5 жыл бұрын
Let that woman be stop trashing her name now that she has moved on why didn't you say all these before?
@arsenalic23
@arsenalic23 5 жыл бұрын
So what would be the difference? It doesnt change the fact that she has been acting imature. The kids didnt come outta her bum. Kids have a father as well she shouldnt be doing this. Stop trying to defend evil and stupidity
@afuahhenewaa9722
@afuahhenewaa9722 5 жыл бұрын
Grace, you don't know what you are talking about,most African men will want people to know that you are not doing well when you leave them,and will do anything to destroy you.
@graceochiel3133
@graceochiel3133 5 жыл бұрын
@@afuahhenewaa9722 do you understand English properly ?
@afuahhenewaa9722
@afuahhenewaa9722 5 жыл бұрын
@@graceochiel3133 oh you didn't get me I was having conversations in support of what you said. You the one who didn't get me. Yes I understand English very well,am from West Africa where medium of instruction at school is English, and I am educated.
@worksmart4688
@worksmart4688 5 жыл бұрын
I knew this story long time ago from a close member squad of diamond..Zari is poison...ask anyone who knows her deeply..she lies to you in social media..acts the victim, gets all the attention and pity....I have always anticipated the day Diamond would break the ceiling... NON is a saint..
@irenegitonga1679
@irenegitonga1679 5 жыл бұрын
Aii Diamond should talk slowly for the sake of Kenyans.Tunapitwa na maneno zingine aki😂😂😂😂
@artist-scopes8357
@artist-scopes8357 5 жыл бұрын
Vipi? Tunamsikia na kumwelewa vizuri Sana. Tafadhali Usirushe wakenya Kwa hiyo meli umepanda.
@CeeJay254Art
@CeeJay254Art 5 жыл бұрын
@@artist-scopes8357 u must be from coast
@artist-scopes8357
@artist-scopes8357 5 жыл бұрын
Hata!. Nairobi damu!.ni vile wakenya wengi wamejizoesha ujinga yakufanya Kila kitu in English Hadi kufikiria. Hata vitabu za swa huwa hawasomi vile inafaa. Unajua Kiswahili ilizaliwa Kenya. Sasa lazima tukumbuke hatakama wengine wanaitumia pia, bado ni yetu..Tukona jukumu hapa.+ Siati tz Wana elewa Kiswahili zaida,most of the time ni msamiati nyingi.
@irenegitonga1679
@irenegitonga1679 5 жыл бұрын
@@CeeJay254Art he surely must be from Coast..😂😂ata am not reading his swahili text, inachosha😂😂😂
@gitanokambarage8789
@gitanokambarage8789 5 жыл бұрын
mayan ahmed. kiswahili ilizaliwa Kenya duu, ndo mnavyodanganyana eeh
@PM-wp2yr
@PM-wp2yr 5 жыл бұрын
When two people are separated never never never I repeat never put children in the middle, because parent will always be a parent. You can be poor, rich, or anything, if ur parent you'll always be a parent, because that is ur blood..............
@jelemiamwambene2253
@jelemiamwambene2253 5 жыл бұрын
Big up Diamond
@tatianatataa1489
@tatianatataa1489 5 жыл бұрын
Please people... they both know themselves... I mean Zari and DIAMOND.. I can’t take any side... wanajijua wenyewe 🤨🤨
@hannahayi-bonte8241
@hannahayi-bonte8241 5 жыл бұрын
Tnx sis.
@Mr_Ben255
@Mr_Ben255 4 жыл бұрын
Ningekua Mimi ndio Diamond Peter wa P square Angeni elewa 👍 👍 👍
@juillajjjj5511
@juillajjjj5511 5 жыл бұрын
Diamond get one person and settle what happened to mabeto
@massageguides4973
@massageguides4973 5 жыл бұрын
Some Time in our Life we Play with LOVE...But When the Time comes and you Finally Realize that You want to get Serious, Then LOVE Plays with Ur Life.
@na0m1fes51
@na0m1fes51 5 жыл бұрын
Massage Guides #facts
@dieudonnenkurunziza6623
@dieudonnenkurunziza6623 5 жыл бұрын
he is lying ,those are just excuses
@stevewanga957
@stevewanga957 5 жыл бұрын
Hawa journalist wa wasafi wako chini sana,... Hii interview ange Fanya na Lil Ommy ningeamini but hii Inakaa kama Kiki 2
@samiralisamir7594
@samiralisamir7594 5 жыл бұрын
Umeona mama diamond malipo umu umu ubaya unayomfanyia baba diamond sai uyo uyo mtoto wako yamrudia mchezo usichezee
@specialminds23
@specialminds23 5 жыл бұрын
Umeongea neno dear
@gloriagrace8972
@gloriagrace8972 5 жыл бұрын
Huyo mama anaitwaje ninfwate IG😏 he's no a lady. 😂
@marlenesreality637
@marlenesreality637 5 жыл бұрын
Thought everybody moved on.. why are we still talking about this stuff.. jeez
@Mothermarlon
@Mothermarlon 5 жыл бұрын
Nilijuwa siku itafika tutajuwa Ukweli Kutoka kwa Diamond.. simba ni mtu mzuri sana.. walahi alivumilia mengi.. mwana mke wakiganda?! Kazi yake yeyote yule, kazi yake huwa ni ngumu sana.
@phionanabafu3401
@phionanabafu3401 5 жыл бұрын
It's jealousy disturbing him He thought that zari would beg for him
@jennifermlyakalam5000
@jennifermlyakalam5000 5 жыл бұрын
Mmh wat abt hamisa.......nyie c ten years kbsaaaa mmmmmh
@avitrujweka2113
@avitrujweka2113 5 жыл бұрын
Mambo ni mengi, muda ni mchache 🙌
@reginakerubo2088
@reginakerubo2088 5 жыл бұрын
i like your honestly aki
@mhandolongford3065
@mhandolongford3065 5 жыл бұрын
blog89 fanyeni iwe subscribed on KZbin aisee. D platnumz am proud of you bro
@sugarspice3797
@sugarspice3797 5 жыл бұрын
Diamond looks like he's lying when talking about how zari was cheating. I can spot a liar from milessss
@plussize254bigboldblack5
@plussize254bigboldblack5 5 жыл бұрын
I second you
@loya.ls.4552
@loya.ls.4552 5 жыл бұрын
I don't think he's lying,his song called niache starts making sense
@worksmart4688
@worksmart4688 5 жыл бұрын
No he is Not....before the black rose, we were drinking with some close members of Diamond in Nairobi.He had actually left zari wayyyyyy before she posted the black rose..Attention seeker.Diamond ain't a saint either..but how Zari has been acting like a victim all along(that's what has always sickened me)
@collinbrianoh7829
@collinbrianoh7829 5 жыл бұрын
U must be an expert
@chapochapos1696
@chapochapos1696 5 жыл бұрын
@@loya.ls.4552 HE LIED ABOUT MOBETO CHILD..HIS OWN BLOOD AND U BELIEVE THIS CRAP....JEEZ
@chellayuniz2193
@chellayuniz2193 5 жыл бұрын
A woman enemy is another woman look at that woman trashing.
@anethteodos6208
@anethteodos6208 5 жыл бұрын
Sure
@mariamabdallah806
@mariamabdallah806 5 жыл бұрын
Exactly. Lol
@bettymoraa3475
@bettymoraa3475 5 жыл бұрын
She is soo loud and stupid
@sharonoguta8589
@sharonoguta8589 5 жыл бұрын
Aaaaaiii shes at work. They have to dramatic
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
😂😂😂she for get her self
@susanonyango8616
@susanonyango8616 5 жыл бұрын
Diamond huu mchezo hautaki hasira uliuanza mwenyewe. Kipindi umeisha na Zari umetembea na wanawake wangapi?? Umefanya wazi hadi kwenye mitandaoni unapost picha za mahaba hivi ulifikiria ZARI ana moyo wa chuma😉
@kinghenry5511
@kinghenry5511 5 жыл бұрын
Akuna mwanaume anaye rizika na mwanamke mmoja.
@chapochapos1696
@chapochapos1696 5 жыл бұрын
😘
@chapochapos1696
@chapochapos1696 5 жыл бұрын
DIAMOND IS PATHOLOGICAL LIAR KUMBUKA ....ALIVO MRUKA MOBETO ON RADIO
@LUPPER.
@LUPPER. 5 жыл бұрын
@@chapochapos1696 HUNA POINT... YEYE ALIKATAA KWASABABU BUT KWAKUA MOBETO ALIKUA ANAENDA KINYUME NA WALIVYO PANGA NA DAI AKITAKA ATTENTION KATIKA JAMII NA MEDIA NA KUFOSI YEYE NDIO AMILIKIWE NA DAI,ILI AJE AOLEWE,APIGE HELA,AINJOY ETC.NA VYOTE HIVYO ALIFANYA KWA KINGA YA MTOTO WAKATI YEYE NA DAI WALIKUBALIANA AWE SIDE CHICK.. HIVYO ALIKATAA FOR A REASON NA HAMISA ALIPO ZIDI KUFOSI DAI AKAKUBALI NA LENGO LA HAMISA HAKULITIMIZA WALA HALIKUTIMIA...NDIO UKAJA KUONA HAMISA AKIDEMAND HELA NYINGI KWA GIA YA MTOTO,KUTAKA KUMROGA DAI AOLEWE NA AMILIKI VITU ETC...UWE UNATAFAKARI MATUKIO NA KUYAUNGANISHA BILA HIVYO ALWAYS MONDI ATAONEKANA MBAYA.. BUT HE IS VERY WISE
@chapochapos1696
@chapochapos1696 5 жыл бұрын
@@LUPPER. KWANI LAZIMA AENDE MEDIA?
@mardinhalfany1413
@mardinhalfany1413 5 жыл бұрын
Mwenyezi mungu hamkutanishi mume au mke mzinifu isipokuwa na mzinifu mwenzie! !!!!! Mond soma hioooo
@barakacharles6739
@barakacharles6739 5 жыл бұрын
Nimependa vile diamond ulivoongea ukwel angalau 79% congrats brother sometimes you have to like that bila kujali how bigger you are.
@alyhamad63
@alyhamad63 5 жыл бұрын
Diamond Yani apo ndoo ujuwe Kama mwanamke anaweza kukutengenezea chuki ww na baba ako auwezi kujuwa zari anamwambie nn tifa iri akuchukie ww kwaiyo mm naomba msamehe mama ako
@haloommoha102
@haloommoha102 5 жыл бұрын
kabsa
@barakacharles6739
@barakacharles6739 5 жыл бұрын
Ashawasamehe wote
@shaukatmohamed4187
@shaukatmohamed4187 5 жыл бұрын
Wewe shogaaa tu zari ni high class hawezi kuwa na mwanamume mwenye vipuli na vikuku
@BoazOngote
@BoazOngote 5 жыл бұрын
The 500k subscriber 👍🤛🏽🤜🏽👏
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 3 жыл бұрын
Alooo hii ni tofauti ya mondi na kiba ngumu kiba kuongelea maisha yake hv
@nancyshikoto158
@nancyshikoto158 4 жыл бұрын
Una shida sana Tijuana,
@aswanygideon1655
@aswanygideon1655 4 жыл бұрын
Am here after tanasha breakup😂😂
@shamsayakub1137
@shamsayakub1137 5 жыл бұрын
Yah that's y nakupenda...zari anajifanya sana malaika.
@mkonjesamnimbo936
@mkonjesamnimbo936 5 жыл бұрын
Huna washauri Dai. Sifa zinakuponza. Hataki mawasiliano umemuumiza Sana Zari. Usipoangalia utaishia kubadilisha wanawake mpaka uzeeni ukiwa na watoto timu ya mpira.
@akbardasilva2028
@akbardasilva2028 5 жыл бұрын
mwenzako amekuzidi mapenzi San 😂😂😂
@chrisfabolous2130
@chrisfabolous2130 5 жыл бұрын
Diamond Platinumz my man,grow stronger bro
@youngtwite7580
@youngtwite7580 5 жыл бұрын
sema zari unazingua nawe
@juwairiyamambo
@juwairiyamambo 5 жыл бұрын
Diamond..you need to grow up man! What kind of talk is that??!!
@turibamweali8661
@turibamweali8661 5 жыл бұрын
Diamond tu ni malaya hana chochote cha kuelezeya watu
@luckysounds4555
@luckysounds4555 4 жыл бұрын
EXACTLY
@Jolly_Jollyk
@Jolly_Jollyk 5 жыл бұрын
Zari your very smart enough hahahhah Imagine you made him sign for Tiffah A south African passport 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@gidionmanwingi520
@gidionmanwingi520 3 жыл бұрын
Safin sana hyo ndoo sawa yao matukio
@siphiwosenkosiphiri9207
@siphiwosenkosiphiri9207 2 жыл бұрын
Kkkkk
@gabrielgerald8085
@gabrielgerald8085 5 жыл бұрын
Huna akilii na wengi hatukushangai maana cha kulidhi kinazidi maana hapa mwanafunzi kamzidi mwalimu haya kazi kwenu mama na mwana ovyooo
@katenzau4072
@katenzau4072 5 жыл бұрын
Men are liars siamini huyu diamond,wanahabari wenyewe ni minions
@abdul-aziziomar5989
@abdul-aziziomar5989 5 жыл бұрын
cate mercy m
@silperaura5981
@silperaura5981 5 жыл бұрын
Mwansema yeye muongo ukweli wenu UPI sasa mnaoujua
@kadzo6614
@kadzo6614 5 жыл бұрын
Stfu
@mohammedahmad5444
@mohammedahmad5444 4 жыл бұрын
Fuck off Lady he has never lie
@sashaseraphinembote8037
@sashaseraphinembote8037 5 жыл бұрын
Hapa ulichezwa kubadilisha uraiya wa mtoto, utajua wanawake ni nani umeona mamako mzazi kafanya hio miaka yote huna uhusiano na baba sasa subiri Zari akuonyeshe, nimefurahi umemsamehe baba lakini yote ulio mpitishia Dai ujue malipo ni hapa hapa, mzazi ni mzazi tu maana bila mbegu yake usingekuepo hata kama hajakulea msaidie tu mwachie Mungu adeal nae, alafu huko South iweje mtoto apewe uraiya, nahata akipewa passport bado sio raiya wa South bado itaandikwa Alien. Mimi mwenyeji wa South wacha kupanga your fellow Tanzanians, also my brother diamond you need to grow up and be a man, bedroom matters should be bedroom matters, i feel sorry for the ladies who fall for the little egocentric boy in you coz real men don't disrespect women the way you do, although i have realized most Tanzanian men have zero respect for women, like how were you guys raised up, huku kwenu is the first African country i have been to, that women are discussed undressed in public like trash. Y'all need to grow up like the men in our parent's generation who knew sex was sacred, i saw your interview being asked about Tanasha and you said "Maana anakata mauno kitandani vizuri" sex should be sacred not a public affair, www.sashaspicezanzibar.com
@mufasamufas6023
@mufasamufas6023 5 жыл бұрын
Dai muongo hakuna cha kutia sigh kama mtoto alizaliwa South africa mimi naishi huku South na mke wangu ni raia wa hapa south watoto wamepata passport bila hata mimi kutia sigh yoyote mtoto akizaliwa hapa anakua tayari ni msouth sababu hata hospital kuna kitengo cha home affairs pale pale kabla mtoto hajaenda nyumbani anatoka ma cheti chake cha kuzaliwa kikiwa na full details za baba ma mama lakini kama baba mwenyewe haupo basi mtoto atatoka hospitali ma cheti chenye sir name ya mama baba lazima uwepo pale pale utoe kitambulisho chako kama sio raia basi utoe passport yako mama hawezi kutoa majina ya baba kwa mdomo tu sababu anaweza kudanganya kwa hiyo kama haupo basi mtoto anapewa sir name ya mama kama kubadilisha ni baadae baba utakapo jitokeza lakini utakapo kuja baadae lazima upimwe DNA ili wamjue kama wewe ndio baba halali ila haupimwi DNA kama utakuwepo siku aliyojifungua mtoto utawapa tu pasport yako watajaza wenyewe kisha uka sigh cheti cha mtoto kabla mtoto hajatoka hospitali
@faridahangedo5554
@faridahangedo5554 5 жыл бұрын
Sasha Seraphine Mbote Mimi mtu awezi kunidanganya chochote kusuhu waganda iknow them ,unasema ukweli sasha.
@lovennamisi8609
@lovennamisi8609 5 жыл бұрын
Tanzania mnafaa kusoma tu 😂😂
@rahmaabdallah4514
@rahmaabdallah4514 5 жыл бұрын
@@mufasamufas6023 tiffa kazaliwa Tz
@sashaseraphinembote8037
@sashaseraphinembote8037 5 жыл бұрын
@@mufasamufas6023 Alafu hata wakipewa imeandikwa Alien
@xbdbdgdgsbdbbxx4254
@xbdbdgdgsbdbbxx4254 4 жыл бұрын
Papa Tiffah aaaaa,, Mungu aliku Zoom 😂😂😂😂😂
@loner_wolf
@loner_wolf 5 жыл бұрын
Kwahiyo wanao wajue ati p square boy alikuwa anadadavua kichaka walichotokea nahakuwa baba yao??? Hunawashauri wazuri mkuu wa kazi
@sakeenanadaly559
@sakeenanadaly559 5 жыл бұрын
Hahahhahahhahah
@chapochapos1696
@chapochapos1696 5 жыл бұрын
THANX😂HE IS AN IDIOT
@eugenemidega4555
@eugenemidega4555 5 жыл бұрын
The last part 😂 😂😂😂 Simba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@akbardasilva2028
@akbardasilva2028 5 жыл бұрын
sas diamond anakuja na ungine mwana ume mwingine kwako uyo ni umama
@alicesituma9706
@alicesituma9706 5 жыл бұрын
I need a kamusi. Tz swahili cwezi proud kenyan
@christianangelo4832
@christianangelo4832 5 жыл бұрын
Mondi Muuni Af Haongopi... Nampenda sana huyu jamaa. Wale bad boys wote huyu ndo Roll model wenu sasa... Mwanamke haachwi, wew mchape matukio tuu mpaka asepe mwenyewe😂😂😂😂😂
@gogozitodumelannzi5
@gogozitodumelannzi5 5 жыл бұрын
Pumbafu kauli yako ya kuita beki tatu sio vizuri sema Dada wa kazi
@kaniyahiouise1474
@kaniyahiouise1474 5 жыл бұрын
*Kama unamkubali Diamond platnumz gonga like*
@ramlaramadhan4206
@ramlaramadhan4206 5 жыл бұрын
That lady in levi's tshirt is too cute...
@carolinenkatha5143
@carolinenkatha5143 2 жыл бұрын
2years later she is pregnant for him
@dinaorio1852
@dinaorio1852 5 жыл бұрын
That's why I like Alikiba hanaga hizi mambo
@makkahwamimz2093
@makkahwamimz2093 5 жыл бұрын
True
@anaisatangana7448
@anaisatangana7448 5 жыл бұрын
Wow, where can I find a video like this but with English subtitles at least please ?
@mariammganga4301
@mariammganga4301 4 жыл бұрын
Daimondi acha hizo mwanamke hubemberezwa
@siphiwosenkosiphiri9207
@siphiwosenkosiphiri9207 2 жыл бұрын
.l
@lizmociku1595
@lizmociku1595 5 жыл бұрын
This is very true, we know women after divorcing their men they never want to see their partners happy...zari should respect Diamond he bought him a house and he has always stayed away of dramas about his own house
@divinahkemunto1429
@divinahkemunto1429 5 жыл бұрын
I believe Diamond amemeza mengi and he is strong,,,,salute 😍😍
@mamaabdul5577
@mamaabdul5577 5 жыл бұрын
Lakshim Chopra i
@divinahkemunto1429
@divinahkemunto1429 5 жыл бұрын
Mama Abdul hi
@phaustineauma267
@phaustineauma267 2 ай бұрын
Babake star❤❤I love chibu jamanii
@jesusmysaviour929
@jesusmysaviour929 5 жыл бұрын
Zari get back home you are welcome marry our own Ugandans. let them be.
@sarajohn8431
@sarajohn8431 5 жыл бұрын
Opio Ambrose wamma kittuffu
@moudymchemia6598
@moudymchemia6598 5 жыл бұрын
Achana nae huyo Malaya unatakiwa utambue kama alimuacha mumewe akakufata wewe atashindwa vipi kukuacha amfate Peter huyo ni demu wa wasanii mistake huwa zinatokea
@moudymchemia6598
@moudymchemia6598 5 жыл бұрын
Haya bhana
@maureenkamakia1064
@maureenkamakia1064 4 жыл бұрын
Kiswahili chake ni kigumu watu wa Nairobi manze😂😂
@mayahhajih2636
@mayahhajih2636 5 жыл бұрын
Duuuh hao waaandishi sasa kama wanakula ubwabwa pilau hizo shobo 😂😂😂😂😂😂
@timelessbeauty5677
@timelessbeauty5677 5 жыл бұрын
Ukiona Diamond ameongea , kuhusu zari, niukweli ameudhika
@chapochapos1696
@chapochapos1696 5 жыл бұрын
ALISEMA UONGO KUWA MTOTO WA MOBETO SIO WAKE ...JE DIAMOND NI MTU WAKUMUAMINI?KILA KINACHOKA KWENYE KAULI YAKE NI UONGO MTUPU...P.SQUARE NI. FAMILY FRIEND NA MWENYE FAMILIA YAKE....PUMBAVU SANA DIAMOND
@Madanstars
@Madanstars 5 жыл бұрын
Chapo acha UNIA muongo sana wewe mond hanaga ngebe
@chapochapos1696
@chapochapos1696 5 жыл бұрын
@@Madanstars UMESAU UONGO YA MOBETO SAGA........MWANAMMKE GANI AWE NA P.SQURE AWE NA MOSQUITO LEGS...NA ZARI AMEWAAMBIA KAMA AME CHEAT WAKIWA PAMOJA NA WANAWE WAFE HIYO SIO KIAPO CHA KAWAIDA #UTUMUHIMU...KAMA ZARI AMECHEAT BASI WATOTO SIO WAKE A MOVE ON
@chapochapos1696
@chapochapos1696 5 жыл бұрын
@@Madanstars KAMA HANA NGEBE BASI HANA WATOTO HATA DULLY SIO WAKE SI ALISEMA SIO WAKE BASI HAZAI NAONA HANA NGEBE NA PIA HANA SPERMS YA KUTOA WATOTO
@timelessbeauty5677
@timelessbeauty5677 5 жыл бұрын
@@chapochapos1696 watu huhapa tu coz wao hujua God is so graceious....what if ...Mungu afuate mdomo wa Zari na atende kama alivyoongea
@othmanmohammed3459
@othmanmohammed3459 5 жыл бұрын
diamond Muongo Izo Picha Na Pitar Wa PSquare Zipo Kabla Ya Hata Kukutana Na Wewe Usimchafulie Zari
@saidchimetse3534
@saidchimetse3534 2 жыл бұрын
We are men vpuli kando bro,Safi sana chapa ma2kio mpaka waondoke wenyewe
@donniebrasco3035
@donniebrasco3035 5 жыл бұрын
I like diamonds watch😍
@saadiamohamed2710
@saadiamohamed2710 5 жыл бұрын
Vile anaongea haraka unasema tu vitu anasema ni wongo tu ( a lier always speaks faster ) wangapi wamekubali ni wongo
@juniorkamarat7233
@juniorkamarat7233 5 жыл бұрын
Hakuna urongo wala nni simbaa mkweli mtupu
@juslmao5683
@juslmao5683 5 жыл бұрын
He's graduated from cheating- stealing songs & now insulting the mother of his kids. Ata kama Zari cheated, you cheated multiple times publicly though inakaa uongo mtupu
@faridahangedo5554
@faridahangedo5554 5 жыл бұрын
jus' lmao we call it u do me ido u,psquare ndo waimbaji tena hataaarrrr
@browntiger4849
@browntiger4849 5 жыл бұрын
Wah wah wah bro wewe strong bro
@idyjumanne9796
@idyjumanne9796 5 жыл бұрын
iyo ndio studio nzuri sio clouds chafuuuu mbovu jina2
@mercyomobe8002
@mercyomobe8002 5 жыл бұрын
Nani mwingine anajiskia kumuita matako
@obieromatoke3940
@obieromatoke3940 5 жыл бұрын
U have moved on and she has...why go back to talk about her? So tuanze kurudia iii story tena! So unataka kusema u cheated on her with Mobeto bkoz of that! Seriously Diamond! Achana na Zari
@rachealandisi3702
@rachealandisi3702 5 жыл бұрын
Guys wacheni kuingilia diamond Ivo he he he he atujui Nani amazes ukweli Kati Ya wote
@jmrcy2930
@jmrcy2930 2 жыл бұрын
They are just hurting each other and yet they love each other
@dosianasimon312
@dosianasimon312 5 жыл бұрын
Acha uongo mimi sikupendi
@epiconreview4494
@epiconreview4494 5 жыл бұрын
Dosiana Simon na mimi sikupendi
@dosianasimon312
@dosianasimon312 5 жыл бұрын
@@epiconreview4494 ukweli ni kitu kizuri na usinipende milele
@epiconreview4494
@epiconreview4494 5 жыл бұрын
Dosiana Simon 😂😂
@henrygatimu271
@henrygatimu271 5 жыл бұрын
Thats the naked truth from Simba, i like that following from +974
@munashabani1376
@munashabani1376 5 жыл бұрын
Waallah daimond umenichekesha Sanaa una mchapa matukio unaondoka mwenyewe
@priskusiprochesi412
@priskusiprochesi412 4 жыл бұрын
Upuuuzi we daimond ulichepuka sannaa ndo mpaka ukaachwa 😎😎😎😎
@pendoernest8655
@pendoernest8655 5 жыл бұрын
I'm so crazy wid ure music not in your life style nothing else than finding kiki
@kevohwapipelinetransami4351
@kevohwapipelinetransami4351 5 жыл бұрын
Hehehehe diamond ameongea kama ndume kumi👊👊🇰🔥🔥👏👏
@kevohwapipelinetransami4351
@kevohwapipelinetransami4351 5 жыл бұрын
@Miriam Wambui yes
@rmussa7196
@rmussa7196 5 жыл бұрын
Mondi huwa mi naamin maongez yako...uko muwaz...I lyk it.
@amtafawes3743
@amtafawes3743 5 жыл бұрын
Bana acha kutuchezea akili kuwa na msemamo give us a break
DIAMOND PLATNUMZ AONGEA KUHUSU RUGE MUTAHABA KWA MARA YA KWANZA
7:24
Diamond Platnumz alivyowaacha hoi wanachuo Nairobi kwenye THE TREND
28:08
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН
DIAMOND ALIVYO MPOKEA ZARI NA WATOTO WAKE KWA MAHABA MAZITO
9:40
Mwendokasi Tv
Рет қаралды 1,2 МЛН
EXCLUSIVE: Zari afunguka baada ya msiba wa Ivan The Don
18:22
Millard Ayo
Рет қаралды 954 М.
EXCLUSIVE: NYUMBA ZA ZARI SOUTH AFRICA, MAGARI NA MAISHA
14:47
Millard Ayo
Рет қаралды 1,3 МЛН
DIAMOND : NALIPWA MIL. 55 KWA WIKI / MIL. 200 KWA MWEZI
5:13
Wasafi Media
Рет қаралды 827 М.
NDARO STEVE WE NI TAPELI   MSIKILIZE MANENOYAKE
14:35
Steve Mweusi
Рет қаралды 43 М.
There’s A Starman #superman #shorts #memes
0:26
Walking Streets 워킹스트리트
Рет қаралды 49 МЛН
Аниматоры в форме СПЕЦНАЗА: Именинника разыграли
0:21
Собиратель новостей
Рет қаралды 12 МЛН
БУТЫЛКИ (смешное видео, приколы, юмор, поржать)
0:59
Натурал Альбертович
Рет қаралды 3,7 МЛН
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
0:16
Mini Katana
Рет қаралды 18 МЛН
Oi Oi Oi & E E Ei Meme Looking For a Girlfriend
0:26
Mischief time
Рет қаралды 36 МЛН
It worked for me)
0:19
F&T Team
Рет қаралды 23 МЛН