Kweli Diamond kiboko yao duuuuu,,,,,Manake hapo kuna maadui zake wote amewapa maisha Alianza NA Maulidi Kitenge Akaja NA baba Levo, saizi ni Diva hao niliokutajia wote walishaingia kwenye malumbano NA Diamondi Leo hii ni bosi wao hakika ktk maisha hujui nani atakuja kuwa mwema badae
@minboy15613 жыл бұрын
wow coming home diva🥰🥰🥰🥰🥰
@iqramadam58333 жыл бұрын
Wow
@irangabiyesamuel25933 жыл бұрын
Diva boss yeah is nice to be day man
@olengelatamoleltzolengelat36962 жыл бұрын
Diva 💞💞💞💞💞
@muzafarsharif94653 жыл бұрын
Kwani hajui kiswahili hili buyu
@iqramadam58333 жыл бұрын
Nakubali sana
@chibudangote41103 жыл бұрын
💕💕💕💕watajuje
@sitiabubakar28923 жыл бұрын
Ukiskia waombee madui zako miaka mingi waje waone mafanikio yko ni hawa kina diva umeshaongea sana vibaya kuhusu diamond sasa yy ndio amekua boss na rafiki yko sasa ulimi kiungo cha fitna mujiangalia kabla hamjamkashif m2 ona sasa unaropokwaaa😂😂😂aloo hatari binadamu
@ambakisyemwanjemba57873 жыл бұрын
Kashfa zote zile kwa Diamond mmmmmh bongo ni nchi pekee yenye maajabu mengi Duniani + Ngorongoro,Serengeti,manyara nahili
@kimwagaboy89553 жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤💕💕💕💕💕💋💋💋💋
@kheiromar20683 жыл бұрын
Hiyo sura yake kashaiona mkuu uyo vishavu vishapanda ivo mitaro ya uso taur apo asa ile 10Bil.,sjui kam atokuja kusema kma Madam Ritta nanukuu'mimi saiv akitokea tu yyte tukaelewana basi atanioa'mwsho wa nukuu,naye alikuw ivoivo kw wakat wake kujihis daima atakuwa kijana kasahau kama ujana ni kipindi kifupi sana tu
@sirbinladen7863 жыл бұрын
*Habar zenu ndgu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za Asili mbali mbali bila malipo yoyote karbuun mjifunze ingia KZbin andika sir Binladen 786 yaliyomo kumvuta mpenzi, Tiba ya nguvu za kiume,tiba ya kizazi, Mvuto wa biashara,tiba za majini na mengineo mengi karbuun mjifunze*
@sarahminja72553 жыл бұрын
Huyo anaonekana kabisa mpaka kafika hapo kuna kitu nyuma ya pazia tena mwanamke Yani kwa bongo mwanamke kufika sehemu kubwa lazima atakuwa kapitia mambo mengi
@rithakuyala99513 жыл бұрын
Chefuuu😏😏😏😏
@nyehupale68613 жыл бұрын
Kwani uzugu migi sana
@mohammedkitcarson6973 жыл бұрын
🇹🇿
@johnelias91793 жыл бұрын
Mbonahana uzarendo warughaya taifa,xukumandanihao
@ramadhanichalachala5493 жыл бұрын
Asilimia 85 % ya Watanzania hawajui kiingereza sasa wewe kwenye kipindi chako unjifanya unaongea sana kingereza punguza kingereza alafubnilijua bonge la demu kumbe dah yani hataukipita sokoni hakuna hatakae kupukupa salamu
@chibudangote41103 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣watajuaje
@lulually52093 жыл бұрын
Kumbe yote mipovu kumtoka alikuwa anataka kazi wasafi fyuuuuu ovyooo kujifanya hajui kiswahili mshenzi tu
@ndayishimiyepascal59283 жыл бұрын
Yani wanasemaga harmo anaroho mbaya na mondi ila kiukweli monde njo anataka kumfelisha harmo ila harmo anachokifanya ni kujihami ila asopoteye mazima. Fact , kila anayejenga uadiwi na harmo uwa anakuwa rafiki wa mondi kwa kweli inasikitisha yani anamajili kisa tuu amesha ni adui wa harmo
@aishaukuthymwanachahaya45113 жыл бұрын
Haha
@aronize25463 жыл бұрын
Likes kwangu😆
@Werema37603 жыл бұрын
Mond kiboko yao!
@DjCastro_013 жыл бұрын
Kumbe ndio mana alkua aki mponda Ali kiba ,Machoko watakua machoko tu .!!