Рет қаралды 167,275
#DIWANI ATHUMANI; KACHERO ALIYEPITA MIKONO ya MARAIS 3, RAIS SAMIA AKAMUAMINI na KUMTENGUA SIKU ya 2
Januari 3, 2023, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan alifanya uteuzi wa viongozi wanne akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Kamishna Diwani Athuman ambaye alimteua kuwa Katibu Mkuu-Ikulu akichukua nafasi ya Moses Kusiluka ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
Lakini habari ambayo imeibua mjadala leo Januari 5, 2022 ni kutenguliwa kwa Diwani Athumani katika nafasi yake hiyo hata kabla ya kuapishwa.
Maswali yameibuka kwa wengi wakijiuliza huyu Diwani Athumani ni nani?
Global TV inakuletea undani wa panda-shuka za kamishna huyo wa Polisi ambaye ameshika nyadhifa mbalimbali nchini Tanzania hadi ngazi kubwa kabisa ya Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa, ungana nasi…
Kabla ya kuteuliwa hii leo na kutenguliwa, Diwani Athumani alikuwa ni Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa akihudumu nafasi hiyo kwa siku 1,210, tangu alipoteuliwa na Rais wa wakati huo, Hayati John Magufuli Septemba 12 mwaka 2019.
Kwa undani kabisa ni kwamba, Diwani Athumani Msuya ni mzaliwa wa Mwanga mkoani Kilimanjaro.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline