Nawapenda sana wasafi kwa kutuhabarisha vizuri na kuongea haki. Asanteni sana tunavitiwa na hii media ....! Hamna upendeleo.....WALA unafiki ....! Mko vizuri sana.
@mohanmashine351815 күн бұрын
wew umesahau km hawa nao ni ndo walioenda kurafiti dp would?
@emmanuelmasatuКүн бұрын
Kauli yenu ya mwisho nimeipenda. "... Hakuna jeshi jingine la Polisi linalo kamata, kupeleleza, linalotoa taarifa au linalopeleka kesi mahakamani ISIPOKUWA JESHI LA POLISI.👏👏👏👏👏
@ReginaSungura2 күн бұрын
Mtakuja tekwa vibaya ninyi ila mnasema kwel😅😮
@EliaHiluka2 күн бұрын
Hata kama wengine wamekutwa kwa mganga wa kienyeji wakiwa wamekufa bado jukumu la kuhakikisha raia kuwa salama ni jukumu la polisi🎉
@khalidmamdadi107210 күн бұрын
Nakukubabali sana jezi nambali 6 mshambuliaji machachali Mailid wa Kitenge piga kazi kaka kwafaida yanchi
@MsNajma-j7e14 күн бұрын
Nawapenda sana kipindi chenu kinausu mambo ya jami na sio umbea tu hongeren sana my brothers
@yugemasanza100814 күн бұрын
Suala la Ulinzi na Usalama wa raia ni la kila mmoja / raia.
@user-ky8ux9yu7f3 күн бұрын
Huyo spika atwambie ili kutenganisha atwambie yapi yanayo wahusu polisi na yapi na yapi hayawahusu polisi.
@YusufDuale-eq4kl15 күн бұрын
Hongereni kwa kuongea haqq
@user-cx1xz2is5d14 күн бұрын
Ambaye hajaona kutekwa kwa watu hajasikia sio mzazi hana uchungu
@noelasamugabo513514 күн бұрын
You guys are so very much clever ❤❤
@samwelgetocho6913Күн бұрын
Kitenge zingatia mashart. "Mkinichagua mtakwenda marekani" Sasa kama watu hawajaenda hadi sasa, na mtoa ahadi yupo ofisin, msimuone tu muongo, hapana, jiridhishe pia, walimchagua???? Kumbuka kama hawakumchagua ana haki ya kutowapeleka msiegemee upande mmoja
@amoskoyo459714 күн бұрын
Nawakubali sana tena sana
@Bodiswaibu15 күн бұрын
Mmhh mungu atujaalie sanaa
@TriakonNdoya-iw2qc14 күн бұрын
Dah nakumbuka mimi nijandaa sana kwenda marekani
@HanifaOman-oo4pl15 күн бұрын
Sana watu wanatekwa sana na magali tenawengi wanabebatu ndugu wawiliwawili hawanahuruma watekaji Mungu hawape hadhabu anaiiyoba yeye inawafaa wote wanaoshiliki kuuwawatu. 🤲
@XaiTheFreestyler14 күн бұрын
Wazee wa ovyo Sana hawa 😂😂🤣
@mkondomkondo472114 күн бұрын
Wewe ndo ooovyo na hujitambui
@XaiTheFreestyler13 күн бұрын
@@mkondomkondo4721 umeielewa comment yangu lakini au unadandia gari kwa Mbele 😂🤣
@msafiriamani18242 күн бұрын
Ww ndo mhovyo jinga sana ww ukitaka waongee nn lofa ww
@estambuya390115 күн бұрын
Kwa kweli jeshi la polisi linahusika.
@florencejohn642714 күн бұрын
Zambwela mara nyingi sana yuko upande ule mwingine tunaoujua. Ovyoo sanaa
@EliaHiluka2 күн бұрын
Kwani spika anawasemea polisi au vyombo vya Dora yeye ni msemaji wa Dola spika?
@jumamagoma17433 күн бұрын
Kwani.tulia.nimsemaji.wa.serikali.????
@jituakilimali153 күн бұрын
Huyu tulia juzi amesema wazi na kila mtu kasikia watu wakiwachafua viongozi wa ccm watu washughulike nao sasa tumeanza kuona impact ya ile kauli yake
@alexanderfute45596 күн бұрын
Zembwela unatetea uovu, unazingua, hata waliopotezwa kwenda kwa mganga ni kazi Yao kujua
@antonychitara570715 күн бұрын
Hyo mzee mtoe hapo stidio
@hassanMahmoud-i4l14 күн бұрын
habari za mawio
@KeiFerouz-fn9oc15 күн бұрын
Kwani wanaopotea ni watu wa aina gani
@AthanaseKiyoja3 күн бұрын
Watekaji tunaishi nao:Hivi ni akili ya kawaida kweli?Mtu una nyumba yako halafu unampangisha askari polisi,halafu analala,anaamka, anaenda kazini kwake,anachukua bunduki snarudi huko uraini anaanza kukutisha .Wakataeni wakalale huko wanakotumwa kuwaonea,wakalale serikalini.
@Glorydavid24814 күн бұрын
Mmeshindwa kumtia hatiani askari alie alie tuma watu kubakwa mje kuweza kuzuiya kesi ya watu kutekwa? Kabra ya kudili na shetani Kwanza Anza na vinyamkera na majin wa kubwa. So km kajini kadogo kananguvu kushind wanasheria 10 na nguvu ya raiya kupitia mitandao je mzani mtaweza kulinda raia wanao tekwa? Jib ni hili wananchi wanaita kuandaman ili kukomesha utekaji
@mussakimaro558814 күн бұрын
sasa hivi ni kujilinda wenyewe mtu inabidi utembee hata na panga ndani ya shati kabla mtu ajakukaribia bora akupige bastola sio kutekwa kizembe
@LensonMwaigombe2 күн бұрын
Zembwela acha uchawa
@user-sy5lx7el4z10 күн бұрын
Radio ya serikali
@MutalemwaBiashara15 күн бұрын
Uyo naye ni chawa wa sipika turi
@AthanaseKiyoja3 күн бұрын
Tulia ni mama wa hovyo,mchafuzi.
@charlessolomon592810 күн бұрын
Hhh
@user-vt3uq3xv3s2 күн бұрын
wewe ukiwa mwezi ukipita kwajilani yako alafu kipoteee kitu na wewe ilipitahapo watasema nani
@MsNajma-j7e14 күн бұрын
Supka anatetea jeshi,, na uyo afande ario mteka mdda wa yombo na hao polisi
@AmaniOmari-ev2gu14 күн бұрын
Tulia kama unachomwa sindano za maralia haaaaahaaaa
@amanimusa574414 күн бұрын
Zembwela kibaraka
@SebastianCharles-f6s14 күн бұрын
Mganga haziki maiti huu ni uhuni wa spika kapotosha umma ???ndgu waliompeleka lazima wakazike wenye ndgu ....hapo tumechomoa uwongo usio jitoshereza mwongo wa taifa hili la tz
@mohanmashine351815 күн бұрын
wazee wa dp would mpo na watanzania? au mnawachora?