Watu kama Hawa wachache kwenye nchi hii wao wamezaliwa kusema ukweli Tu respect brother
@vincentndonye798910 ай бұрын
Jamaa mshamba kweli...outlander 2014 ya zamani.254 tunazo 2017 model
@user-hl9xu4vo1q10 ай бұрын
2017 nayo ni zamani pia
@mackranmohamed65910 ай бұрын
doto nakukubali sna humpondei mtu ukiulzwa swali unafaglia tu kwa kiasi chake huna bya kwann mungu asikupe riziki zako
@me_adams_10 ай бұрын
Si alisemaga hamjui harmo
@MohammedMohammed-uo5sk10 ай бұрын
Mganga mungu ,mitishamba Imani na uchawi hela.eeh bwana wee #Bongo misemo kwao.#Konde boy wakati wake sasa
@Combinemedia756910 ай бұрын
Acha ajivunie sababu ata mm binafsi sina na ninatamani hakuna haja niponde
@husseinally493210 ай бұрын
Huyu jamaa yupo sawa tu tena big up kwake
@modycombo742110 ай бұрын
Ni mitsubishi outlander,sio otelander dah hatari😊
@user-qu1dz2ed1b5 ай бұрын
😮😮😮😮 doto apewe mauwa yake
@user-yj5xv7xg5z10 ай бұрын
Huyu jamaa🎉🎉tumpe maua yake br anaweza mganga mung mitishamba iman😅😅
@tigejuma986510 ай бұрын
2014 Mpka xai...na bado unasema n mpya...hio n reject kwa xaxa😅😅😅
@user-hz5dv2el4m3 ай бұрын
Nankubali doto
@user-xe1fl3rz7g5 ай бұрын
good job
@allysudi442910 ай бұрын
Madalali kwa maneno mengi😂😂😂 hatar sana. Sema gari ya mda mzee it's 2014 vehicle ila fresh tu dalali mwendo wa mazoez tu hata vits itapambwa kama bugatti 😅
@gustavompemba178110 ай бұрын
Unajua magar kweli ww
@davcodavid865110 ай бұрын
Nimeipenda singel tiki😂😂😂😂🎉
@bonabonala555910 ай бұрын
nakuerwa sana doto kuriko mbwa diamond atakufa mapema kama jpm udictetar mungu anawaua mapema kuaribu maisha ya rich mavoko nakina juma na insectar mungu mfanyie unayo weza tukiwa hai tuone
@halfenmkuki34010 ай бұрын
Asubuhi tarehe moja..jioni mwisho wa mwezi 😂😂
@MohammedMohammed-uo5sk10 ай бұрын
Wanosema gari la kitambo 2014 sijui wanalo kama hili ama zaidi ya hili.Dharau mbaya jamaa.Doto magari Yuko sawa .
@user-rh7ty7bt4d10 ай бұрын
Wapumbavu tu kikubwa nijipya
@user-zb8bv8cf5z10 ай бұрын
Naqbar sana dotto magar❤❤❤
@MaulidiMagoola-ti1pv10 ай бұрын
Dott magar nakubali
@masakaupdate148810 ай бұрын
Ditto magari kila mtu anamsifiaa 😀😀🇹🇿
@MohammedMohammed-uo5sk10 ай бұрын
Mtu sio nyau😅😅😅
@godwinkileo770210 ай бұрын
Watu wanapenda sifa😅
@ally_star10 ай бұрын
Huyu msenge sindio alisema hamjui konde boy leo kamjua au
@lailalaila820610 ай бұрын
Muadhishi kava kanzu ra kulaliah uku oman hayo ya kulalia tz mnatutiha haibu jmn
@stanleynyale275510 ай бұрын
Mkisema milioni 35 tafadhali semeni za Tanzania
@gustavompemba178110 ай бұрын
Kwan kuna milion 35 ya uganda
@stanleynyale275510 ай бұрын
@@gustavompemba1781 Kenya tukiskia milioni 35 twashtuka
@aliomaraliomar607810 ай бұрын
Chawa mshamba
@timothybanda603410 ай бұрын
imefika iyo mku
@HamisKalulumbe-fv8hc10 ай бұрын
Oto lenda
@MasiziaKari-lh6wc10 ай бұрын
🙏🙏🙏
@shabanipande537910 ай бұрын
Huyu jamaa nomaaa😅😅😅
@TALLUBOY10 ай бұрын
Kwenye madigad umesha Piga vipin hili medgard yasije Ukayaacha barabaran Hakuna gari hapo mzee
@AbilahSalumu-qx1cb2 ай бұрын
Wazungu Wana Akiri Kuriko Wewee Usiseme Sisi Chiizzi Wee
@joshua.o.makundi307910 ай бұрын
😂😂😂😂 MENO YA KUUNGUA
@naswiruidrisa-pu2kv10 ай бұрын
😃😃
@abdull_hafidh10 ай бұрын
Wakati wake
@godwinkileo770210 ай бұрын
Madalali wa magari wanajua kuongea hatari
@khamisbk856910 ай бұрын
Huwez kumuuzia mtu Kwa bei iyo. Zanzibar ...Acha kuwavimbia watu Kwa gari ya toleo la 2014
@bukulutheboss514110 ай бұрын
Dotto magar van boy Alikimbiliwa na wanajesh ilikuwa kongo na sio marekan kaka
@mapesagreen243610 ай бұрын
Anatafuta ugali ndo namna yake ya kupata ugali yuko sawa
@mathanikibuti667610 ай бұрын
MTANGAZAJI UJIPANGE SIKU INGINE UKIMPA NAFASI YA KUONGEA TUUU 😂😂😂
@Mr_maamen36010 ай бұрын
😂😂
@kennethbenjamin27510 ай бұрын
Duh
@elgringo859210 ай бұрын
Et kitamba kama cha sofa😁😁😁
@rajabumalupu418410 ай бұрын
Nyoa hizo nywere kaka
@subrafive419310 ай бұрын
Na kenya zimejaa za 2022 wewe unasema za 2014 enyewe tz muponyuma sana
@dilanfamous952910 ай бұрын
Doto magali nikiboko uyu jamaa
@msowamhokole771410 ай бұрын
Iv mnaoji ama mnatangaza biashara
@Mr_maamen36010 ай бұрын
Vyote
@MohammedMohammed-uo5sk10 ай бұрын
Doto magari kiboko bwana
@mackranmohamed65910 ай бұрын
we unalo ilo la 2014 mwache atangaze biashara yake bwana
@karimjuma401910 ай бұрын
Uyu jamaa mshamba kweli gar ya mwaka 2014 unaongea mbele za watu kwa kujigamba ungesema tu nashukuru mungu mepata usafiri wangu bas sio kwa kijigamba uko
@nurdinmkwachu2810 ай бұрын
Gari ya elfu 14 kibongo ni gari mpya sana bro gari zote za mtaani tunazo miliki ni 2010 chin huko
@simbaasad581110 ай бұрын
Mbona kali sana. Au unadhani magari yanatazamwa kama bithday za watu.
@mbwanamtessa860710 ай бұрын
Sasa hapa bongo magari tunayo endeshaga miaka nenda rudi unataka kusema kilometa 00? Wanaoendesha kilomea bongo wana hesabika banah we ndo unaonekana unakinyongo sasa. Mwache jamaa ajigambe anamagari ya kizamani sawa lakini anamengi siyo moja. Haya sasa we unagari la mwaka gani mwenzetu?
@chingaboy114910 ай бұрын
Ikisha hajigambi hii nibiashara wacha makasiriko
@ugexclusive667410 ай бұрын
utakutaaaa Unamponda Mwenzako Lakini wee Hataa IST ya M.4 Hauna
@frankmgunjimgunji92618 ай бұрын
ila dotto 😂😂😂😂😂
@Lanihsarumu10 ай бұрын
😂😂😂
@nomineetz25510 ай бұрын
Wanajeshi gani wa marekani waliomkimbilia unadhani ni hao wetu wa Tz?? Kwanza huyo hajulikani hata kwa watu mia huku alafu ulete pelee zako za wamarekani eti kupiga picha nae 😂😂😂 oyaaa alipiga picha na wale makuruti wa DRCongo😊😅😅
@user-dh5jg7cp7v10 ай бұрын
Ukifa huozi
@user-rh7ty7bt4d10 ай бұрын
Ata kama iwe ya 2014 ila mpya
@hilmialiomar198310 ай бұрын
Muslim
@allenbierra884110 ай бұрын
Blackstage yake😂
@user-jr7kn7sd2y10 ай бұрын
2014-2022-😂😂You say a new car, leave the farm, but you know if we will talk, but leave the stupid officials
@mtangacomedy10 ай бұрын
😂😂😂😂🎉
@marthageorge504310 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@masizitony980010 ай бұрын
💪💪💪🦣🦣
@aminiayubu419910 ай бұрын
Unasema je new model wakati ni 2014😂😂 wa bongo mnamambo