No video

DOTO MAGARI ,KIMEWAKA AGUSWA NA RICH MAVOKO AMUOMBA HARMONIZE AMSAIDIE JUMA NATURE AJE KUCHUKUA LAK5

  Рет қаралды 77,486

BONGO 24

BONGO 24

11 ай бұрын

#bongo24 #harmonize #diamondplutnumz

Пікірлер: 107
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 10 ай бұрын
Watu kama Hawa wachache kwenye nchi hii wao wamezaliwa kusema ukweli Tu respect brother
@vincentndonye7989
@vincentndonye7989 10 ай бұрын
Jamaa mshamba kweli...outlander 2014 ya zamani.254 tunazo 2017 model
@user-hl9xu4vo1q
@user-hl9xu4vo1q 10 ай бұрын
2017 nayo ni zamani pia
@mackranmohamed659
@mackranmohamed659 10 ай бұрын
doto nakukubali sna humpondei mtu ukiulzwa swali unafaglia tu kwa kiasi chake huna bya kwann mungu asikupe riziki zako
@me_adams_
@me_adams_ 10 ай бұрын
Si alisemaga hamjui harmo
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 10 ай бұрын
Mganga mungu ,mitishamba Imani na uchawi hela.eeh bwana wee #Bongo misemo kwao.#Konde boy wakati wake sasa
@Combinemedia7569
@Combinemedia7569 10 ай бұрын
Acha ajivunie sababu ata mm binafsi sina na ninatamani hakuna haja niponde
@husseinally4932
@husseinally4932 10 ай бұрын
Huyu jamaa yupo sawa tu tena big up kwake
@modycombo7421
@modycombo7421 10 ай бұрын
Ni mitsubishi outlander,sio otelander dah hatari😊
@user-qu1dz2ed1b
@user-qu1dz2ed1b 5 ай бұрын
😮😮😮😮 doto apewe mauwa yake
@user-yj5xv7xg5z
@user-yj5xv7xg5z 10 ай бұрын
Huyu jamaa🎉🎉tumpe maua yake br anaweza mganga mung mitishamba iman😅😅
@tigejuma9865
@tigejuma9865 10 ай бұрын
2014 Mpka xai...na bado unasema n mpya...hio n reject kwa xaxa😅😅😅
@user-hz5dv2el4m
@user-hz5dv2el4m 3 ай бұрын
Nankubali doto
@user-xe1fl3rz7g
@user-xe1fl3rz7g 5 ай бұрын
good job
@allysudi4429
@allysudi4429 10 ай бұрын
Madalali kwa maneno mengi😂😂😂 hatar sana. Sema gari ya mda mzee it's 2014 vehicle ila fresh tu dalali mwendo wa mazoez tu hata vits itapambwa kama bugatti 😅
@gustavompemba1781
@gustavompemba1781 10 ай бұрын
Unajua magar kweli ww
@davcodavid8651
@davcodavid8651 10 ай бұрын
Nimeipenda singel tiki😂😂😂😂🎉
@bonabonala5559
@bonabonala5559 10 ай бұрын
nakuerwa sana doto kuriko mbwa diamond atakufa mapema kama jpm udictetar mungu anawaua mapema kuaribu maisha ya rich mavoko nakina juma na insectar mungu mfanyie unayo weza tukiwa hai tuone
@halfenmkuki340
@halfenmkuki340 10 ай бұрын
Asubuhi tarehe moja..jioni mwisho wa mwezi 😂😂
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 10 ай бұрын
Wanosema gari la kitambo 2014 sijui wanalo kama hili ama zaidi ya hili.Dharau mbaya jamaa.Doto magari Yuko sawa .
@user-rh7ty7bt4d
@user-rh7ty7bt4d 10 ай бұрын
Wapumbavu tu kikubwa nijipya
@user-zb8bv8cf5z
@user-zb8bv8cf5z 10 ай бұрын
Naqbar sana dotto magar❤❤❤
@MaulidiMagoola-ti1pv
@MaulidiMagoola-ti1pv 10 ай бұрын
Dott magar nakubali
@masakaupdate1488
@masakaupdate1488 10 ай бұрын
Ditto magari kila mtu anamsifiaa 😀😀🇹🇿
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 10 ай бұрын
Mtu sio nyau😅😅😅
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 10 ай бұрын
Watu wanapenda sifa😅
@ally_star
@ally_star 10 ай бұрын
Huyu msenge sindio alisema hamjui konde boy leo kamjua au
@lailalaila8206
@lailalaila8206 10 ай бұрын
Muadhishi kava kanzu ra kulaliah uku oman hayo ya kulalia tz mnatutiha haibu jmn
@stanleynyale2755
@stanleynyale2755 10 ай бұрын
Mkisema milioni 35 tafadhali semeni za Tanzania
@gustavompemba1781
@gustavompemba1781 10 ай бұрын
Kwan kuna milion 35 ya uganda
@stanleynyale2755
@stanleynyale2755 10 ай бұрын
@@gustavompemba1781 Kenya tukiskia milioni 35 twashtuka
@aliomaraliomar6078
@aliomaraliomar6078 10 ай бұрын
Chawa mshamba
@timothybanda6034
@timothybanda6034 10 ай бұрын
imefika iyo mku
@HamisKalulumbe-fv8hc
@HamisKalulumbe-fv8hc 10 ай бұрын
Oto lenda
@MasiziaKari-lh6wc
@MasiziaKari-lh6wc 10 ай бұрын
🙏🙏🙏
@shabanipande5379
@shabanipande5379 10 ай бұрын
Huyu jamaa nomaaa😅😅😅
@TALLUBOY
@TALLUBOY 10 ай бұрын
Kwenye madigad umesha Piga vipin hili medgard yasije Ukayaacha barabaran Hakuna gari hapo mzee
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 2 ай бұрын
Wazungu Wana Akiri Kuriko Wewee Usiseme Sisi Chiizzi Wee
@joshua.o.makundi3079
@joshua.o.makundi3079 10 ай бұрын
😂😂😂😂 MENO YA KUUNGUA
@naswiruidrisa-pu2kv
@naswiruidrisa-pu2kv 10 ай бұрын
😃😃
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 10 ай бұрын
Wakati wake
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 10 ай бұрын
Madalali wa magari wanajua kuongea hatari
@khamisbk8569
@khamisbk8569 10 ай бұрын
Huwez kumuuzia mtu Kwa bei iyo. Zanzibar ...Acha kuwavimbia watu Kwa gari ya toleo la 2014
@bukulutheboss5141
@bukulutheboss5141 10 ай бұрын
Dotto magar van boy Alikimbiliwa na wanajesh ilikuwa kongo na sio marekan kaka
@mapesagreen2436
@mapesagreen2436 10 ай бұрын
Anatafuta ugali ndo namna yake ya kupata ugali yuko sawa
@mathanikibuti6676
@mathanikibuti6676 10 ай бұрын
MTANGAZAJI UJIPANGE SIKU INGINE UKIMPA NAFASI YA KUONGEA TUUU 😂😂😂
@Mr_maamen360
@Mr_maamen360 10 ай бұрын
😂😂
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 10 ай бұрын
Duh
@elgringo8592
@elgringo8592 10 ай бұрын
Et kitamba kama cha sofa😁😁😁
@rajabumalupu4184
@rajabumalupu4184 10 ай бұрын
Nyoa hizo nywere kaka
@subrafive4193
@subrafive4193 10 ай бұрын
Na kenya zimejaa za 2022 wewe unasema za 2014 enyewe tz muponyuma sana
@dilanfamous9529
@dilanfamous9529 10 ай бұрын
Doto magali nikiboko uyu jamaa
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 10 ай бұрын
Iv mnaoji ama mnatangaza biashara
@Mr_maamen360
@Mr_maamen360 10 ай бұрын
Vyote
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 10 ай бұрын
Doto magari kiboko bwana
@mackranmohamed659
@mackranmohamed659 10 ай бұрын
we unalo ilo la 2014 mwache atangaze biashara yake bwana
@karimjuma4019
@karimjuma4019 10 ай бұрын
Uyu jamaa mshamba kweli gar ya mwaka 2014 unaongea mbele za watu kwa kujigamba ungesema tu nashukuru mungu mepata usafiri wangu bas sio kwa kijigamba uko
@nurdinmkwachu28
@nurdinmkwachu28 10 ай бұрын
Gari ya elfu 14 kibongo ni gari mpya sana bro gari zote za mtaani tunazo miliki ni 2010 chin huko
@simbaasad5811
@simbaasad5811 10 ай бұрын
Mbona kali sana. Au unadhani magari yanatazamwa kama bithday za watu.
@mbwanamtessa8607
@mbwanamtessa8607 10 ай бұрын
Sasa hapa bongo magari tunayo endeshaga miaka nenda rudi unataka kusema kilometa 00? Wanaoendesha kilomea bongo wana hesabika banah we ndo unaonekana unakinyongo sasa. Mwache jamaa ajigambe anamagari ya kizamani sawa lakini anamengi siyo moja. Haya sasa we unagari la mwaka gani mwenzetu?
@chingaboy1149
@chingaboy1149 10 ай бұрын
Ikisha hajigambi hii nibiashara wacha makasiriko
@ugexclusive6674
@ugexclusive6674 10 ай бұрын
utakutaaaa Unamponda Mwenzako Lakini wee Hataa IST ya M.4 Hauna
@frankmgunjimgunji9261
@frankmgunjimgunji9261 8 ай бұрын
ila dotto 😂😂😂😂😂
@Lanihsarumu
@Lanihsarumu 10 ай бұрын
😂😂😂
@nomineetz255
@nomineetz255 10 ай бұрын
Wanajeshi gani wa marekani waliomkimbilia unadhani ni hao wetu wa Tz?? Kwanza huyo hajulikani hata kwa watu mia huku alafu ulete pelee zako za wamarekani eti kupiga picha nae 😂😂😂 oyaaa alipiga picha na wale makuruti wa DRCongo😊😅😅
@user-dh5jg7cp7v
@user-dh5jg7cp7v 10 ай бұрын
Ukifa huozi
@user-rh7ty7bt4d
@user-rh7ty7bt4d 10 ай бұрын
Ata kama iwe ya 2014 ila mpya
@hilmialiomar1983
@hilmialiomar1983 10 ай бұрын
Muslim
@allenbierra8841
@allenbierra8841 10 ай бұрын
Blackstage yake😂
@user-jr7kn7sd2y
@user-jr7kn7sd2y 10 ай бұрын
2014-2022-😂😂You say a new car, leave the farm, but you know if we will talk, but leave the stupid officials
@mtangacomedy
@mtangacomedy 10 ай бұрын
😂😂😂😂🎉
@marthageorge5043
@marthageorge5043 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@masizitony9800
@masizitony9800 10 ай бұрын
💪💪💪🦣🦣
@aminiayubu4199
@aminiayubu4199 10 ай бұрын
Unasema je new model wakati ni 2014😂😂 wa bongo mnamambo
@gustavompemba1781
@gustavompemba1781 10 ай бұрын
Tulia ujuh kitu kuhusu magar
@nesielias9493
@nesielias9493 10 ай бұрын
😂😂😂
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 19 МЛН
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 32 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
Chapitosiki
Рет қаралды 3,3 МЛН
CHIEF GODLOVE . .
3:38
Best TV
Рет қаралды 3 М.
UTACHEKA VITUKO VYA DOTTTO MAGARI WASAFI, AJIITA 'BOSS LADY'😂
6:50
DOTTO MAGARI,AMVAA WEMA SEPETU ,UMEKOSEA WIVU ANANYUMBA YAKE
15:54