DOTTO MAGARI AMUWASHIA MOTO JUMA LOKOLE ,AWEKA WAZI TABIA ZAKE “ATATUHARIBIA WATOTO“

  Рет қаралды 82,520

Truth Media

Truth Media

8 ай бұрын

DOTTO MAGARI AWAVAA ICU “ WALE WOTE NI UPINDE“ NKIPATA CHEO WATAPATA TABU | WANANIOMBA HELA SANA
Hakika ni za kweli
#simba #yanga #simbayanga #mpira #sport #kombeladunia #worldcup

Пікірлер: 218
@shambashareef7316
@shambashareef7316 8 ай бұрын
Dotto anajua alipotoka mwacheni ajiachie ,sema mwana hugeki maisha big up dotto
@dignakanje4508
@dignakanje4508 8 ай бұрын
Kaka doto unanifuraisha kweli kweli,Yani nakusikiliza nacheka mpka naugua.Juma nikiherehere kma ngoma yamdundiko
@LtkMfs-hd5zf
@LtkMfs-hd5zf 8 ай бұрын
Uyu jamaa anaakili sana naanapambana na ipo sku atafika mbali saba doto magari saluti
@saidharith5643
@saidharith5643 7 ай бұрын
Doto hapa kaongea kwa hisia kali sana ukimuelewa cz yeye ni mpambanaji kwanini wanamfatilia maisha yake ya undani hakupenda ndio maana yeye anawajua undani na hakuwasemea mbele za watu leo katoboa Yao pia
@andreamtitunathan9644
@andreamtitunathan9644 8 ай бұрын
Wamekupaisha tu Mtu wangu Maisha ya wengi ni ulio nayo ww ndio haijasumbua jamii
@WaziriRamadhan-ML
@WaziriRamadhan-ML 8 ай бұрын
Daaah nimecheka leooo😂😂😂 walahi hii hata samia km kaiona naye atakuwa kacheka had kajamba😂😂
@kitovasaidi6753
@kitovasaidi6753 8 ай бұрын
Masaki kabisa apatimenti😂😂😂😂 Safi sana nimekukubali sana ukweli utakuweka huru.
@OmarKipanyakhamis-pe2qx
@OmarKipanyakhamis-pe2qx 7 ай бұрын
Semaaa kkaa nmkuelewa sanaaaa point yko sem allh bless 🇹🇿🇹🇿❤️💯💯
@jerryjackson3464
@jerryjackson3464 8 ай бұрын
Original wenyewe hawaja pinda😂😂😂 daaah kiswahili na WA Swahili kinanoga sana
@user-hp3bx8ih4y
@user-hp3bx8ih4y 8 ай бұрын
nakubali broo kimsingi wa bongo tunafeki sana maisha binafsi najifuza sana
@neemaberny3598
@neemaberny3598 8 ай бұрын
Wenye akili timamu Ndio atamuelewa huyu jamaa...Dotto kapitia magumu mengi,na hata hapo alipo Bado anaendelea kujitafuta...uwezi kisa umeanza kupokea rizki wakati unajitafuta uhame nyumba ya 50000 ukahamie nyumba ya millioni kwa mwezi!!Huyu anatambua kwamba Huwa wanapata madili..hayo madili yanamsimu awezi akajitoa kwenye uhalisia na kujitoa amani kwa maisha ya kuwqfurahisha watu wa mitandaoni alafu aje adhalilike mara hana Kodi ..tunawaona mastar kibao yanawakuta..
@msouthqualitymabati4657
@msouthqualitymabati4657 8 ай бұрын
Ni kweli
@kivuswahilitv6833
@kivuswahilitv6833 8 ай бұрын
Jamaa huyu kapitia mengi n'a Pia anaweza tajirika kama utani maaana alikotoka huyu bwana sio hapa wenzio wengi wamekufa tayari na madawa ila doto katumia mesadon hadi Leo anajitafuta
@muuminsaid-bd6cm
@muuminsaid-bd6cm 8 ай бұрын
Doto mm nakukbali kicha wangu
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 7 ай бұрын
Kweli tunakuangalia mimi nikiwa dubai wale kweli mashoga
@OmarKipanyakhamis-pe2qx
@OmarKipanyakhamis-pe2qx 7 ай бұрын
🇹🇿🙏💯💯
@koffilove2796
@koffilove2796 8 ай бұрын
Ndoto katika siku leo nimekupa saluti umeongea ukweli mimi niko Europe ila unaongea ukweli wa senge hao
@elizajoseph7209
@elizajoseph7209 8 ай бұрын
Wewe doto eti wanapinda migongo huku wanapiga miruzi😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-pt7qj4qg8p
@user-pt7qj4qg8p 8 ай бұрын
Hahahhahahahahahahaa Dotto una mdomo sana ww duuuuuuh niatari Sana juma njoo huku uruke kichura chura tuone na ndooo juu bro
@madinakitemo8902
@madinakitemo8902 8 ай бұрын
Doto magari nakupenda bureeee umemkomesha uyo shoga juma lokole na wenzie
@amoonatnzani9834
@amoonatnzani9834 8 ай бұрын
Haya wambea wa I C U kula chuma iyo 😂😂😂😂😂😂😂
@amosimussa3360
@amosimussa3360 4 ай бұрын
Dotto magari unajua bro nini unajua ni hayo tu na wish kukuona live hivyo tu♥️♥️♥️
@kismarthashvan
@kismarthashvan 8 ай бұрын
Wazalamo atufeki maisha doto aowa2 wanapenda kitonga awali mbaka wapinde mgogo
@malikzegega3179
@malikzegega3179 8 ай бұрын
Nakubali kaka wazaramo akuna machoko
@Kidotii
@Kidotii 8 ай бұрын
Doto Wa kizimkazi😂😂😂😂 anewawezaa ,JUMA HUYU NDO KIBOKO YAKO
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 8 ай бұрын
Eti kw sisi waislamu😢 na shingoni ana libonge la msalaba dah!!! Uislamu wa kibingo bana😂
@neemammbaga227
@neemammbaga227 8 ай бұрын
Lakin dotto kipindi anaanza anza kujulikana alifanyiw interview kwake anapokaa na palikua palepale icu walipoenda sema tu wambea hawajalitilia maanani kuitafuta hiyo interview dotto alisema kabsa hapa ndo kwangu na ni zamani sana kama miaka miwili
@suleimankitango
@suleimankitango 8 ай бұрын
Kk dotto upo vizuri
@partickkessy5997
@partickkessy5997 8 ай бұрын
😂😂😂ila Doto Leo nimecheka sana
@michaelcharles49
@michaelcharles49 7 ай бұрын
Hawali mpaka wapinde mgongo duu
@moseskulola6913
@moseskulola6913 8 ай бұрын
Tanzania in inchi ya comedy watu wote
@abdishakurhassan7651
@abdishakurhassan7651 2 ай бұрын
Dotto magari self made keep it up the sky is the limit
@user-nl5mm5pu1g
@user-nl5mm5pu1g 8 ай бұрын
Dotto umeomgea ukweli uyoo juma lokole hamna kitu jumba bovu anatuabosha Sana wanaume wenzake hongera Sana kumwambia ukweli uyoo abadilike tabiya yake sio mzuri ya kupinda mgongo
@tatukarume6140
@tatukarume6140 8 ай бұрын
Wape vidonge vyao hakuezi tunakuoenda mpka bas yani mtu ukiwa na stress zako mtu akikuskiliza tu anaenjoy
@elizajoseph7209
@elizajoseph7209 8 ай бұрын
Wanapinda mgongo afu mwingine ni mgonjwa Doto wewe😂😂😂😂
@awadhally1052
@awadhally1052 7 ай бұрын
Kwel 😂😂
@neitherherenorthere8367
@neitherherenorthere8367 8 ай бұрын
Yaani i love tzanian's confidence. Their mouths runs faster than their wallets!
@user-hf2in2xj5n
@user-hf2in2xj5n 8 ай бұрын
😂😂😂you ehh
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 8 ай бұрын
We ni mkenya?
@ellymzera2457
@ellymzera2457 7 ай бұрын
Hata kwetu wapo.🇰🇪 🇹🇿
@amosimussa3360
@amosimussa3360 4 ай бұрын
Unajua nn unafanya kaka mzaramo og big up
@GodfreyMoshi-mk7fn
@GodfreyMoshi-mk7fn 7 ай бұрын
Kaka Dotto yani umenifurahisha sana leo sioni sababu yaku fake maisha kabisa yani kama wew ni mkubwa utakua mkubwa tuuu
@edwardpeter8569
@edwardpeter8569 8 ай бұрын
😂😂😂 ila dotto kawaweza kwa majibuu daaah anajua
@michaelkonga2975
@michaelkonga2975 8 ай бұрын
Hela nyingi mpaka balabendi haitoshi😂😂
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 8 ай бұрын
❤❤❤ hapo hapo Dotto wala usinyamaze😂😂😂
@awadhally1052
@awadhally1052 7 ай бұрын
Kwel kabisaaa
@hansmsangi9828
@hansmsangi9828 7 ай бұрын
Nakukubali sana dotto asante sana unatubeba sana sisi watu kawaida tumezaliwa tuishi hapa duniani dhamira ya Molla sio kuwa tuwe matajiri km wao hapa ni vile Muumba kapendezwa atupe pumzi tuishi maisha ss km wao wamepata basi washkuru tu lkn sio kutuona ss km wakukosa tu hapana tuna haki ya kuishi maisha ya kawaida na katika mazingira yyte... Dotto asante kwa kutetea mazingira yetu km mabaya ndio Mungu katupa... Mwambie huyo mshamba wa dunia atakuelewa tu ss ndio mkazi wa mama Samia....😂
@user-tj2jq1xx1n
@user-tj2jq1xx1n 8 ай бұрын
Doto kwanz mjini imeingia juzi mbuzi wew
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 8 ай бұрын
Team Doto magari gonga like
@user-nl5mm5pu1g
@user-nl5mm5pu1g 8 ай бұрын
Kaka doto Niko zanzibar jumapili nakuja dar umenifurahisha Sana juma lokole kumwambia ukweli tabiya yake aache anatuabosha Sana wanaume wenzake juzi kavaa chupi doto hongera milioni Yako iko😂
@sleyumomar3637
@sleyumomar3637 8 ай бұрын
Weeeh dotto apo umepigajee, huyu ndo dotto keto tajiri wa maneno 😂😂
@AlexJohn-gp6bu
@AlexJohn-gp6bu 8 ай бұрын
Kweli apo umeongea fact mashoga wauliwe wote
@allybobsaith
@allybobsaith 8 ай бұрын
Doto magari umewaweza ICU, umewajibu kisomi sana
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 8 ай бұрын
haya juma piga pushap km za doto kisha upost ili tujirizishe 😅😅😅😅😅😅
@jacklineanthony5191
@jacklineanthony5191 8 ай бұрын
Kweli 😅kabisaa mji wameukuta na watauwacha😂😂chezea wazaramo wwe😂😂😂
@mpozenzidavid4801
@mpozenzidavid4801 8 ай бұрын
Mbona baba levo hajawahi kujibu??😂😂😂
@ayshazambia6509
@ayshazambia6509 8 ай бұрын
Msema kweli kipenz cha mungu umeongea ukweli kabisa
@DeborahChristopher-th6nl
@DeborahChristopher-th6nl 6 ай бұрын
Nakupenda Bure Dotto❤❤❤❤
@firereal001
@firereal001 8 ай бұрын
Eti hawal kabla hawajapinda mgongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
@bakariomari8758
@bakariomari8758 8 ай бұрын
Doto nomaa wameleft group
@benancejohn1198
@benancejohn1198 8 ай бұрын
Duh 🤔 na umewanyea sana kaka
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 8 ай бұрын
Hehehe na mpenda sana Doto ❤❤❤ nani Mgonjwa?
@elizajoseph7209
@elizajoseph7209 8 ай бұрын
Maimatha
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 8 ай бұрын
@@elizajoseph7209 Ohh
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 8 ай бұрын
@@elizajoseph7209 hope ata letewa shika kwaku sema ivyo
@mohammedkombo9798
@mohammedkombo9798 7 ай бұрын
Wazaramo acha tu watu wa Dar balalaa @!Dotto from MK @uk
@mpozenzidavid4801
@mpozenzidavid4801 8 ай бұрын
Niko nawewe kaka
@mohamedrajabu2734
@mohamedrajabu2734 8 ай бұрын
Dotto magari😂😂😂
@victorjems1865
@victorjems1865 8 ай бұрын
eti rangi kama afkeki michilizi kama tango😂😂
@joharyMussa-kc5vs
@joharyMussa-kc5vs 5 ай бұрын
doto magar ww hua msema ukweli hukosegi anae kuchukia wivu unasumbua
@bakariomari8758
@bakariomari8758 8 ай бұрын
Doto magari mara hii unampoteza mwijaku
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Kweli mwijaku nababa levo wanapotea
@suleimanikimwagas-tk1zq
@suleimanikimwagas-tk1zq 8 ай бұрын
Yaani Leo umeongea mawe tupo, kufeki maisha 😂😂 Ila hahaha kitengo utapata nawachukia Sana hao wapiga miruzi
@wilfredmwakatwila6295
@wilfredmwakatwila6295 8 ай бұрын
Umeongea vizuri
@davidtz4595
@davidtz4595 8 ай бұрын
😂😂😂😂Et eti waluke kichula😂😂
@titongholo6261
@titongholo6261 8 ай бұрын
Doto nakubaliana na wewe , Watanzania wengi ni malimbukeni sana sana akipata kidogo anataka kujionesha . Wewe una tabia kama za Hayati Mwl Nyerere ambaye aliishi maisha yake halisi pale Msasani na kule Mwitongo licha ya kuwa Rais wa nchi kwa miaka 25 Hongera Dito Magari hata hao watangazaji nao ni ovyo kabisa awanafuatilia mambo y ovyo ovyo
@BenjaPas
@BenjaPas 8 ай бұрын
Usifananishe Mwalimu Nyerere na vitu vya kipumbavu wewe
@issaswalehe200
@issaswalehe200 8 ай бұрын
👍👍👍👍👍👍👍
@filemonniariraahadieleliam3275
@filemonniariraahadieleliam3275 7 ай бұрын
@ashurasaid1315
@ashurasaid1315 8 ай бұрын
Hatakae piga mruzi apite huku😂😂😂😂
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 8 ай бұрын
😂😂wakijamba tu sema
@HappyGreenTea-fo8lz
@HappyGreenTea-fo8lz 5 ай бұрын
Kweliii kabisa wasanii wanafeki sana maishaaa😅😅😅😢
@jacklineanthony5191
@jacklineanthony5191 8 ай бұрын
Dotto magari mzaramo wa kizzy mkazi 😂😂😂😂😂
@mohdmbarouk8116
@mohdmbarouk8116 8 ай бұрын
Hhhhhhh yani huyu jmaa anaburdisha
@johnkitwima6963
@johnkitwima6963 8 ай бұрын
Mwite Olamide😂😂
@user-oh2rz6sn5r
@user-oh2rz6sn5r 8 ай бұрын
Dotto bhana et mludhi 😅😅😅
@fortunatah
@fortunatah 4 ай бұрын
visokolokwinyo 😂😂😂😂😂😂ila Dotto
@OmaryKaniki-hs5mz
@OmaryKaniki-hs5mz 7 ай бұрын
Sema mzaramo mwenzangu
@malikzegega3179
@malikzegega3179 8 ай бұрын
Kaka Doto watoto wamjin tunakuelewa nini usema😂😂😂
@user-se5rz8fh6f
@user-se5rz8fh6f 7 ай бұрын
Mh huyu jamaa noma
@koffilove2796
@koffilove2796 8 ай бұрын
Haaa 😅😅
@edithhassan4196
@edithhassan4196 6 ай бұрын
😂😂😂😂 huyu ni balaaah!!
@user-dr1su7pf7w
@user-dr1su7pf7w 6 ай бұрын
leo umeongea point sana
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka kwenye miluzi
@user-ew3jf6xt3g
@user-ew3jf6xt3g 8 ай бұрын
😂😂😂😂
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 8 ай бұрын
Hapa ipo
@EricaBizuru-jp9by
@EricaBizuru-jp9by 8 ай бұрын
Ety"Balabendi"haitosh haha😂😂😂😂😂 ila dotto
@HansBwoi
@HansBwoi 8 ай бұрын
Dotto kaongea ukweli mtupu
@ramadhandengera3377
@ramadhandengera3377 12 күн бұрын
Ataopiga mluz TU 😂
@CAN.164
@CAN.164 8 ай бұрын
Doto doto kubali dana
@zachariajustine873
@zachariajustine873 8 ай бұрын
Mwamba huyu hapa sass😂😂😂😂😂
@user-gy3bv7nm7d
@user-gy3bv7nm7d 2 ай бұрын
Mpaka wapinde migongo😂😂😂
@AishaTarimo
@AishaTarimo 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka jmn
@mwinyisarai-rm5oo
@mwinyisarai-rm5oo 8 ай бұрын
Atakae piga mluzitu..hahahaaaaa swiiiiiiii
@FrancoisElesambo
@FrancoisElesambo 7 ай бұрын
Congo tunamuelewa
@user-sr4ow9wi4k
@user-sr4ow9wi4k 8 ай бұрын
😅😅😅😅😅 kavurugwa
@MussaNassoro-vj9li
@MussaNassoro-vj9li 6 ай бұрын
Mama kizimkazi na hapa ipo
@SelemaniSaid-ip6se
@SelemaniSaid-ip6se 8 ай бұрын
we doto mluzi ndo nini hahahaha😅😅😅😅😅
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 8 ай бұрын
Kujamba 😂😂😂😂😂😂
@mvitahamad2126
@mvitahamad2126 8 ай бұрын
Wapi lokole 🤣🤣
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 8 ай бұрын
Hahahahahahahaha😅
@arafatkasu
@arafatkasu 2 ай бұрын
😂😂 mtungi mirefu 😂😂😂
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 5 ай бұрын
mganga wako yupo vizuri kama mganga wa John bocco
@emmanuelnkwabi8610
@emmanuelnkwabi8610 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂wakiruka vichura wakipiga mluzi tu unawachoma
@malikzegega3179
@malikzegega3179 8 ай бұрын
😅😅😅😅 Atar nanusu
@HappyGreenTea-fo8lz
@HappyGreenTea-fo8lz 5 ай бұрын
Mitungi yao kama nguzo za tanesco😅😅😅😅😂
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 8 ай бұрын
nilijua tu yule shoga kayatafuta
@user-ez5br4gu1m
@user-ez5br4gu1m 5 ай бұрын
Wemukweli sana😅😅😅😅
@saliminyusuph6122
@saliminyusuph6122 8 ай бұрын
Bongo bila kuwa moambe na mbambamba nyingi utoboi. Ndo anavyoishi Doto magari.
@moseskulola6913
@moseskulola6913 8 ай бұрын
Waadishi hawa wanasoma wapi jamani
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 14 МЛН
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 37 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 99 МЛН
貓咪 小鬼當家🎮🔫🚑 #aicat #shorts #cute
0:41
Cat Cat Cat
Рет қаралды 29 МЛН
Waka waka 🤣 Which video is the best 1,2,3,4? 🤩
0:13
Adani Family
Рет қаралды 7 МЛН
НАЛЕТЕЛ НА БРАТА САНИ🧨
0:36
RFC Fighting Championship
Рет қаралды 241 М.