DOTTO MAGARI AWAVAA ICU “ WALE WOTE NI UPINDE“ NKIPATA CHEO WATAPATA TABU | WANANIOMBA HELA SANA Hakika ni za kweli #simba #yanga #simbayanga #mpira #sport #kombeladunia #worldcup
Пікірлер: 218
@shambashareef73168 ай бұрын
Dotto anajua alipotoka mwacheni ajiachie ,sema mwana hugeki maisha big up dotto
Uyu jamaa anaakili sana naanapambana na ipo sku atafika mbali saba doto magari saluti
@saidharith56437 ай бұрын
Doto hapa kaongea kwa hisia kali sana ukimuelewa cz yeye ni mpambanaji kwanini wanamfatilia maisha yake ya undani hakupenda ndio maana yeye anawajua undani na hakuwasemea mbele za watu leo katoboa Yao pia
@andreamtitunathan96448 ай бұрын
Wamekupaisha tu Mtu wangu Maisha ya wengi ni ulio nayo ww ndio haijasumbua jamii
@WaziriRamadhan-ML8 ай бұрын
Daaah nimecheka leooo😂😂😂 walahi hii hata samia km kaiona naye atakuwa kacheka had kajamba😂😂
@kitovasaidi67538 ай бұрын
Masaki kabisa apatimenti😂😂😂😂 Safi sana nimekukubali sana ukweli utakuweka huru.
@OmarKipanyakhamis-pe2qx7 ай бұрын
Semaaa kkaa nmkuelewa sanaaaa point yko sem allh bless 🇹🇿🇹🇿❤️💯💯
@jerryjackson34648 ай бұрын
Original wenyewe hawaja pinda😂😂😂 daaah kiswahili na WA Swahili kinanoga sana
@user-hp3bx8ih4y8 ай бұрын
nakubali broo kimsingi wa bongo tunafeki sana maisha binafsi najifuza sana
@neemaberny35988 ай бұрын
Wenye akili timamu Ndio atamuelewa huyu jamaa...Dotto kapitia magumu mengi,na hata hapo alipo Bado anaendelea kujitafuta...uwezi kisa umeanza kupokea rizki wakati unajitafuta uhame nyumba ya 50000 ukahamie nyumba ya millioni kwa mwezi!!Huyu anatambua kwamba Huwa wanapata madili..hayo madili yanamsimu awezi akajitoa kwenye uhalisia na kujitoa amani kwa maisha ya kuwqfurahisha watu wa mitandaoni alafu aje adhalilike mara hana Kodi ..tunawaona mastar kibao yanawakuta..
@msouthqualitymabati46578 ай бұрын
Ni kweli
@kivuswahilitv68338 ай бұрын
Jamaa huyu kapitia mengi n'a Pia anaweza tajirika kama utani maaana alikotoka huyu bwana sio hapa wenzio wengi wamekufa tayari na madawa ila doto katumia mesadon hadi Leo anajitafuta
Ndoto katika siku leo nimekupa saluti umeongea ukweli mimi niko Europe ila unaongea ukweli wa senge hao
@elizajoseph72098 ай бұрын
Wewe doto eti wanapinda migongo huku wanapiga miruzi😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-pt7qj4qg8p8 ай бұрын
Hahahhahahahahahahaa Dotto una mdomo sana ww duuuuuuh niatari Sana juma njoo huku uruke kichura chura tuone na ndooo juu bro
@madinakitemo89028 ай бұрын
Doto magari nakupenda bureeee umemkomesha uyo shoga juma lokole na wenzie
@amoonatnzani98348 ай бұрын
Haya wambea wa I C U kula chuma iyo 😂😂😂😂😂😂😂
@amosimussa33604 ай бұрын
Dotto magari unajua bro nini unajua ni hayo tu na wish kukuona live hivyo tu♥️♥️♥️
@kismarthashvan8 ай бұрын
Wazalamo atufeki maisha doto aowa2 wanapenda kitonga awali mbaka wapinde mgogo
@malikzegega31798 ай бұрын
Nakubali kaka wazaramo akuna machoko
@Kidotii8 ай бұрын
Doto Wa kizimkazi😂😂😂😂 anewawezaa ,JUMA HUYU NDO KIBOKO YAKO
@abdulmohd68808 ай бұрын
Eti kw sisi waislamu😢 na shingoni ana libonge la msalaba dah!!! Uislamu wa kibingo bana😂
@neemammbaga2278 ай бұрын
Lakin dotto kipindi anaanza anza kujulikana alifanyiw interview kwake anapokaa na palikua palepale icu walipoenda sema tu wambea hawajalitilia maanani kuitafuta hiyo interview dotto alisema kabsa hapa ndo kwangu na ni zamani sana kama miaka miwili
@suleimankitango8 ай бұрын
Kk dotto upo vizuri
@partickkessy59978 ай бұрын
😂😂😂ila Doto Leo nimecheka sana
@michaelcharles497 ай бұрын
Hawali mpaka wapinde mgongo duu
@moseskulola69138 ай бұрын
Tanzania in inchi ya comedy watu wote
@abdishakurhassan76512 ай бұрын
Dotto magari self made keep it up the sky is the limit
@user-nl5mm5pu1g8 ай бұрын
Dotto umeomgea ukweli uyoo juma lokole hamna kitu jumba bovu anatuabosha Sana wanaume wenzake hongera Sana kumwambia ukweli uyoo abadilike tabiya yake sio mzuri ya kupinda mgongo
@tatukarume61408 ай бұрын
Wape vidonge vyao hakuezi tunakuoenda mpka bas yani mtu ukiwa na stress zako mtu akikuskiliza tu anaenjoy
@elizajoseph72098 ай бұрын
Wanapinda mgongo afu mwingine ni mgonjwa Doto wewe😂😂😂😂
@awadhally10527 ай бұрын
Kwel 😂😂
@neitherherenorthere83678 ай бұрын
Yaani i love tzanian's confidence. Their mouths runs faster than their wallets!
@user-hf2in2xj5n8 ай бұрын
😂😂😂you ehh
@hajimnubi45818 ай бұрын
We ni mkenya?
@ellymzera24577 ай бұрын
Hata kwetu wapo.🇰🇪 🇹🇿
@amosimussa33604 ай бұрын
Unajua nn unafanya kaka mzaramo og big up
@GodfreyMoshi-mk7fn7 ай бұрын
Kaka Dotto yani umenifurahisha sana leo sioni sababu yaku fake maisha kabisa yani kama wew ni mkubwa utakua mkubwa tuuu
@edwardpeter85698 ай бұрын
😂😂😂 ila dotto kawaweza kwa majibuu daaah anajua
@michaelkonga29758 ай бұрын
Hela nyingi mpaka balabendi haitoshi😂😂
@gilliardgodfriend57458 ай бұрын
❤❤❤ hapo hapo Dotto wala usinyamaze😂😂😂
@awadhally10527 ай бұрын
Kwel kabisaaa
@hansmsangi98287 ай бұрын
Nakukubali sana dotto asante sana unatubeba sana sisi watu kawaida tumezaliwa tuishi hapa duniani dhamira ya Molla sio kuwa tuwe matajiri km wao hapa ni vile Muumba kapendezwa atupe pumzi tuishi maisha ss km wao wamepata basi washkuru tu lkn sio kutuona ss km wakukosa tu hapana tuna haki ya kuishi maisha ya kawaida na katika mazingira yyte... Dotto asante kwa kutetea mazingira yetu km mabaya ndio Mungu katupa... Mwambie huyo mshamba wa dunia atakuelewa tu ss ndio mkazi wa mama Samia....😂
@user-tj2jq1xx1n8 ай бұрын
Doto kwanz mjini imeingia juzi mbuzi wew
@hezronsanga51978 ай бұрын
Team Doto magari gonga like
@user-nl5mm5pu1g8 ай бұрын
Kaka doto Niko zanzibar jumapili nakuja dar umenifurahisha Sana juma lokole kumwambia ukweli tabiya yake aache anatuabosha Sana wanaume wenzake juzi kavaa chupi doto hongera milioni Yako iko😂
@sleyumomar36378 ай бұрын
Weeeh dotto apo umepigajee, huyu ndo dotto keto tajiri wa maneno 😂😂
@AlexJohn-gp6bu8 ай бұрын
Kweli apo umeongea fact mashoga wauliwe wote
@allybobsaith8 ай бұрын
Doto magari umewaweza ICU, umewajibu kisomi sana
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm8 ай бұрын
haya juma piga pushap km za doto kisha upost ili tujirizishe 😅😅😅😅😅😅
@jacklineanthony51918 ай бұрын
Kweli 😅kabisaa mji wameukuta na watauwacha😂😂chezea wazaramo wwe😂😂😂
@mpozenzidavid48018 ай бұрын
Mbona baba levo hajawahi kujibu??😂😂😂
@ayshazambia65098 ай бұрын
Msema kweli kipenz cha mungu umeongea ukweli kabisa
@DeborahChristopher-th6nl6 ай бұрын
Nakupenda Bure Dotto❤❤❤❤
@firereal0018 ай бұрын
Eti hawal kabla hawajapinda mgongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
@bakariomari87588 ай бұрын
Doto nomaa wameleft group
@benancejohn11988 ай бұрын
Duh 🤔 na umewanyea sana kaka
@ireneimbuhira77598 ай бұрын
Hehehe na mpenda sana Doto ❤❤❤ nani Mgonjwa?
@elizajoseph72098 ай бұрын
Maimatha
@ireneimbuhira77598 ай бұрын
@@elizajoseph7209 Ohh
@ireneimbuhira77598 ай бұрын
@@elizajoseph7209 hope ata letewa shika kwaku sema ivyo
@mohammedkombo97987 ай бұрын
Wazaramo acha tu watu wa Dar balalaa @!Dotto from MK @uk
Yaani Leo umeongea mawe tupo, kufeki maisha 😂😂 Ila hahaha kitengo utapata nawachukia Sana hao wapiga miruzi
@wilfredmwakatwila62958 ай бұрын
Umeongea vizuri
@davidtz45958 ай бұрын
😂😂😂😂Et eti waluke kichula😂😂
@titongholo62618 ай бұрын
Doto nakubaliana na wewe , Watanzania wengi ni malimbukeni sana sana akipata kidogo anataka kujionesha . Wewe una tabia kama za Hayati Mwl Nyerere ambaye aliishi maisha yake halisi pale Msasani na kule Mwitongo licha ya kuwa Rais wa nchi kwa miaka 25 Hongera Dito Magari hata hao watangazaji nao ni ovyo kabisa awanafuatilia mambo y ovyo ovyo
@BenjaPas8 ай бұрын
Usifananishe Mwalimu Nyerere na vitu vya kipumbavu wewe
@issaswalehe2008 ай бұрын
👍👍👍👍👍👍👍
@filemonniariraahadieleliam32757 ай бұрын
✨
@ashurasaid13158 ай бұрын
Hatakae piga mruzi apite huku😂😂😂😂
@sofitanzanian9558 ай бұрын
😂😂wakijamba tu sema
@HappyGreenTea-fo8lz5 ай бұрын
Kweliii kabisa wasanii wanafeki sana maishaaa😅😅😅😢
@jacklineanthony51918 ай бұрын
Dotto magari mzaramo wa kizzy mkazi 😂😂😂😂😂
@mohdmbarouk81168 ай бұрын
Hhhhhhh yani huyu jmaa anaburdisha
@johnkitwima69638 ай бұрын
Mwite Olamide😂😂
@user-oh2rz6sn5r8 ай бұрын
Dotto bhana et mludhi 😅😅😅
@fortunatah4 ай бұрын
visokolokwinyo 😂😂😂😂😂😂ila Dotto
@OmaryKaniki-hs5mz7 ай бұрын
Sema mzaramo mwenzangu
@malikzegega31798 ай бұрын
Kaka Doto watoto wamjin tunakuelewa nini usema😂😂😂
@user-se5rz8fh6f7 ай бұрын
Mh huyu jamaa noma
@koffilove27968 ай бұрын
Haaa 😅😅
@edithhassan41966 ай бұрын
😂😂😂😂 huyu ni balaaah!!
@user-dr1su7pf7w6 ай бұрын
leo umeongea point sana
@agnesjohn93828 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka kwenye miluzi
@user-ew3jf6xt3g8 ай бұрын
😂😂😂😂
@abdull_hafidh8 ай бұрын
Hapa ipo
@EricaBizuru-jp9by8 ай бұрын
Ety"Balabendi"haitosh haha😂😂😂😂😂 ila dotto
@HansBwoi8 ай бұрын
Dotto kaongea ukweli mtupu
@ramadhandengera337712 күн бұрын
Ataopiga mluz TU 😂
@CAN.1648 ай бұрын
Doto doto kubali dana
@zachariajustine8738 ай бұрын
Mwamba huyu hapa sass😂😂😂😂😂
@user-gy3bv7nm7d2 ай бұрын
Mpaka wapinde migongo😂😂😂
@AishaTarimo8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka jmn
@mwinyisarai-rm5oo8 ай бұрын
Atakae piga mluzitu..hahahaaaaa swiiiiiiii
@FrancoisElesambo7 ай бұрын
Congo tunamuelewa
@user-sr4ow9wi4k8 ай бұрын
😅😅😅😅😅 kavurugwa
@MussaNassoro-vj9li6 ай бұрын
Mama kizimkazi na hapa ipo
@SelemaniSaid-ip6se8 ай бұрын
we doto mluzi ndo nini hahahaha😅😅😅😅😅
@agnesjohn93828 ай бұрын
Kujamba 😂😂😂😂😂😂
@mvitahamad21268 ай бұрын
Wapi lokole 🤣🤣
@abdull_hafidh8 ай бұрын
Hahahahahahahaha😅
@arafatkasu2 ай бұрын
😂😂 mtungi mirefu 😂😂😂
@user-wk2bg8zf3l5 ай бұрын
mganga wako yupo vizuri kama mganga wa John bocco
@emmanuelnkwabi86108 ай бұрын
😂😂😂😂😂wakiruka vichura wakipiga mluzi tu unawachoma
@malikzegega31798 ай бұрын
😅😅😅😅 Atar nanusu
@HappyGreenTea-fo8lz5 ай бұрын
Mitungi yao kama nguzo za tanesco😅😅😅😅😂
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm8 ай бұрын
nilijua tu yule shoga kayatafuta
@user-ez5br4gu1m5 ай бұрын
Wemukweli sana😅😅😅😅
@saliminyusuph61228 ай бұрын
Bongo bila kuwa moambe na mbambamba nyingi utoboi. Ndo anavyoishi Doto magari.