DOTTO MAGARI AMTUMIA UJUMBE MZITO BABA LEVO BAADA YA KUMWAMBIA ANAISHI CHOONI/ YUPO TAYALI KUOLEWA

  Рет қаралды 31,024

BinaTv

BinaTv

8 ай бұрын

Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
#alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv

Пікірлер: 68
@najimnagy6020
@najimnagy6020 8 ай бұрын
“Nipige kioo nivunje ujue ni gari yangu” 😅😂 Hapo nimechoka
@JamesSeleman
@JamesSeleman 6 ай бұрын
Jeshiiiiiiiiiiiiii.dotoo
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 8 ай бұрын
Dotto keto nakuelewa mwanangu toka enzi izo nakuona kinondoni unapiga Debe adi Leo big up Sana Kaka.
@juliuslengai5089
@juliuslengai5089 8 ай бұрын
Kumbe alikuwa mpga debe
@graceingram4263
@graceingram4263 8 ай бұрын
⁶I
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 8 ай бұрын
Sio pazia, Dotto anaishi chooni chumba Giza katikati kimetengwa na shuka kutenga chumba na sebule.
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 4 ай бұрын
Sawa Kodi analipa mwenyewe halipiwi na mwanamme mwezake
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x 8 ай бұрын
Haya maisha doto we jikubari kwan kwao makazuramimba wanapaonyesha af mjin nimjin tu asikudanganyemmtu ndiomana mrume wamungu alitoka maka kwenda madina alivipita vijiji vingi tu mbona hajakaa chamsingi kuheshimiana tu ila wanavijiji tunawavumiliasana
@ElogbneyoBreezy-yz4vq
@ElogbneyoBreezy-yz4vq 8 ай бұрын
Nacho mpendea mwamba huu hana upande sijui NLM sijui Konde gang sijui wasafi sijui kings apo utatukusanya mze baba nakufurahia sanaa
@OrhanMlanzi-yo3ep
@OrhanMlanzi-yo3ep 5 ай бұрын
Doto wachane brother
@user-nl5mm5pu1g
@user-nl5mm5pu1g 8 ай бұрын
Baba levoo sio mwanaume jinsia nyengine Hana akili kweli ikaseme ukazaa na mwanaume mwanzako yule choko achana nae hamna kitu askikupijishe kelele hamna kitu
@jumamaisara7557
@jumamaisara7557 8 ай бұрын
Tupo live dotto magari nahapa ipo choko huyo babalevo salute ninja dotto magari
@user-ie3lw9eb6p
@user-ie3lw9eb6p 8 ай бұрын
Dotto magari mzima kuliko mapuwa anaye sifiya mali ya mwanaume mwenzake kuliko kujisifiya mali yake
@user-hd3ks3cj6w
@user-hd3ks3cj6w 8 ай бұрын
Hawakuwez kutoka mteja mpaka kulipa kod me najua iyo broda sio rahis wakuacheeee hao machoko
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x 8 ай бұрын
Doto anamtihan mkubwa kubishana na mashoga kazisana
@saidirandon
@saidirandon 8 ай бұрын
Oya mtt wa kzmkaz wape makavu hao makocho 🎉🎉😮
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 8 ай бұрын
❤wakuache mara mia
@godfreymongomongo4494
@godfreymongomongo4494 8 ай бұрын
Nakubal brother
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 8 ай бұрын
Ila ukija kwetu kizimkazi hatuvai misarabaaa uwachee bandarini usije nao hukuu Doto
@kiuje
@kiuje 8 ай бұрын
Makocho mboni wapo huko
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 8 ай бұрын
Baba levo shoga asimuumize kichwa dotto
@user-yo4cc3uq1n
@user-yo4cc3uq1n 8 ай бұрын
Jump jump no position 😂
@maulidmtowi3937
@maulidmtowi3937 7 ай бұрын
Watu wengi tunashindwa kutofautisha nini maana ya tajiri,ni hivi utajiri sio kuwa na pesa nyingi mfukoni,utajiri ni kuwa na uwezo wa kupanga mipango ya kuingiza yani maarifa ya kupata yani pesa kuiita na ikaja kuituma na ikakubali sio kutembea na mabulungutu mfukoni huo sio utajiri
@hassanchuji8965
@hassanchuji8965 8 ай бұрын
Wee magali wahambie ukweli pumbavu hao
@itunganobalanga5373
@itunganobalanga5373 8 ай бұрын
Afazali umejikubali❤❤
@dannymusictz9442
@dannymusictz9442 8 ай бұрын
Nice
@JacklineNamundengozi
@JacklineNamundengozi 8 ай бұрын
Dotto ❤😂
@Satier47
@Satier47 8 ай бұрын
Dotto❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅😅
@user-ht6yc1ty4g
@user-ht6yc1ty4g 4 ай бұрын
Doto nakuku bali lakini usivae msalaba kama wewe muislamu sasa ndo unamaanisha nini?
@Whoisthismantalking
@Whoisthismantalking 8 ай бұрын
Wamuache doto 😅
@twalhamnyira5318
@twalhamnyira5318 8 ай бұрын
Dotto kibali unaishi karibu na chooni
@tonnytonie7423
@tonnytonie7423 7 ай бұрын
Saf
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 8 ай бұрын
Wengi wasafi mashoga tunajua
@magrethmagonza186
@magrethmagonza186 8 ай бұрын
Dotto magari anaongea sana kapigwa kwenye mshono panauma
@regiuskasomo3360
@regiuskasomo3360 8 ай бұрын
Aliongea darasa, Nan mjanja, mzawa alochoka au shilole alojipata kutoka igunga
@sidemashine7168
@sidemashine7168 8 ай бұрын
Acha dharau mtoto wa kike hii Dunia tunapita
@magrethmagonza186
@magrethmagonza186 8 ай бұрын
@@sidemashine7168 welcome Dotto magari kwenye ulimwenguwa wambeya na bado hujasema mpaka useme
@BTON_TV.
@BTON_TV. 8 ай бұрын
JAMAA ANAJITAMBUA SANA
@binthkhamis8042
@binthkhamis8042 8 ай бұрын
Ilaa mahann wadau huyu dott mwislm mbn kifuan kwake kabeba zigo la msl7
@sidemashine7168
@sidemashine7168 8 ай бұрын
Hahahaaa
@moseskulola6913
@moseskulola6913 8 ай бұрын
Hawa kuwezi
@saidirandon
@saidirandon 8 ай бұрын
Oya broo inabid wakupe ktengo cha kuatumbua wasio na mkole maana wapowengi atakwetu wapo
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 8 ай бұрын
Ila kweli wakiongozwa na Lokole group lao moja😂😂😂
@user-cv4dw7iq9z
@user-cv4dw7iq9z 7 ай бұрын
kaka mchane mshamba huyo
@ndayisengaamissi6102
@ndayisengaamissi6102 8 ай бұрын
Wengi wa meLEFT ma GROUP
@MbongoBoy-yg9tq
@MbongoBoy-yg9tq 8 ай бұрын
Kee basisiodoto uyo nimendekamaanaishichooni
@Rajabukajutikajuti
@Rajabukajutikajuti 8 ай бұрын
Iforensa brother na ukiitajika utaitwa...
@mbonijabut1405
@mbonijabut1405 8 ай бұрын
Msalaba shingoni kaka yangu uku unaswali
@abisaimuhanji3687
@abisaimuhanji3687 7 ай бұрын
hahaha
@djkush2547
@djkush2547 8 ай бұрын
dotto dotto kaka wewe ni OG.....baba lavo.. ni chiziiiiii,,,,,,,,,,,
@user-on6eb7ty2r
@user-on6eb7ty2r 8 ай бұрын
Kweli anakaa chooni ana mpango anajiona fala tu
@regiuskasomo3360
@regiuskasomo3360 8 ай бұрын
Unaeza zaliwa dar na Bado ukaonekana fala, wakuja wakaja beba kiwanja chako 🤣🤣
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 8 ай бұрын
ujue tunechoka kusikiliza au kuona habari ya Doto kila siku mnakazi yakubadilsha tarehe tu
@JacklineNamundengozi
@JacklineNamundengozi 8 ай бұрын
Stop watching are they forcing you? 😏
@AnithaMapromo-db1to
@AnithaMapromo-db1to 8 ай бұрын
Njoo uojiwe wewe
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
🤣😂eti naweka vipi pamnzia kati nimecheka kifala
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 8 ай бұрын
Unavaaa mislabelled mbwa ww
@aboudiga6381
@aboudiga6381 8 ай бұрын
Bunda hilo lakupiga picha nalo daily anatuonesha hyo iyo tumia hela wacha ubakhili sio tu kupiga picha nalo
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Ela zinafanana
@hajikhamis3288
@hajikhamis3288 8 ай бұрын
Mfanyaaa biasharaaa huanapesaaa kilaaa sikuuu so kuamuelewa wewe na comnt zko
@nziyumviraassina1429
@nziyumviraassina1429 8 ай бұрын
Huyu sio mu Islam anava musalaba
@JohnPamfil
@JohnPamfil 8 ай бұрын
kwani msalaba dini?
@kombakomba7922
@kombakomba7922 8 ай бұрын
Doto unasema ukweli na uhalisia wa maisha.
@user-cr7vi4qp9c
@user-cr7vi4qp9c 8 ай бұрын
Mbona huwa anasemaga yeye msilamu hafu anamsalaba
@Kidotii
@Kidotii 8 ай бұрын
Huo sio msalaba ni Alama ya kujumlisha
@ummulkulsum6124
@ummulkulsum6124 8 ай бұрын
Subhannallah watu wadunia dini jina
@kiuje
@kiuje 8 ай бұрын
Uwe muislam uwe mkriso wote kwa mungu sawa Sisi afrika msituretee matabaka muacheni
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 10 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 21 МЛН
UTACHEKA VITUKO VYA DOTTTO MAGARI WASAFI, AJIITA 'BOSS LADY'😂
6:50
Они так быстро убрались!
1:00
Аришнев
Рет қаралды 1,3 МЛН
Choices for your loved ones❤️
0:15
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 19 МЛН
Don’t Stealing 👵Moral Stories for kids #kidsvideos #goodhabits #youtubekids #cartoon
0:21
Elizabeth and Briceida Learning & Fun
Рет қаралды 8 МЛН
ToRung short film: 🙏save water💦
0:24
ToRung
Рет қаралды 20 МЛН
❗️XOTINI HAMMASINI URMOQCHI 😱😱😱
0:14
HUSAN_SHORTS1
Рет қаралды 2,4 МЛН