Kiukweli Dr Cheni ni mtu poa na so humble,Yani Hana mambo mengi,me nimesha interact nao mara Moja mbili ni bonge la mtu poa, Watanzania msimuogope,ni maarufu lkn mwana sana,big up Dr cheni
@ramhuudulla8921Ай бұрын
Mashaallah Dr. Cheni toka msimbazi mseto sharif shamb ni kaka mwema sana na nidham na adabu ya juu mashaallah Allah akuhifadhi
@Shadia544Ай бұрын
Hongera doctar acheni ni zamani hakuna kuzeeka jamaniii 😂😂❤❤
@valentinamjindo5374Ай бұрын
Hongera kaka kazi nzuri hunaga mambo mengi kweli ukijiheshimu unaheshimiwa.
@hanifamziray277Ай бұрын
Upo vzr sn huringi km.mafulan.ndio maana hakupata hy nafasi
@EsterMosha-jb3nxАй бұрын
Uko vzr sana kaka Mungu akuinue zaid
@rehemashabaniameenАй бұрын
Nakukubali Dr Cheni tulikutana ilkua siku ya walemavu big up my brother 💪
@DarKopoАй бұрын
Ayo akoseagi watangazaji Vido hupo vzr sana na una maswali ya msingi sn congr
Dr chen HAZEEEKI JAMANI YY,ALIKIBA,WAHENGA WANATUNZA MIILI YAO
@user-pu6pr5jt4nАй бұрын
Dr cheni yuko vzuri Mc best kbsaaa ktk kazi yke❤❤❤
@shaddybmc8342Ай бұрын
HONGERA SANA DOCTOR CHENI
@Thisisgrace979Ай бұрын
Natamani sana uwe mc kwenye Harusi yangu, kwenye maokoto sasa 😢😢
@user-sv6zy3hc8oАй бұрын
Jipange
@geofreybarama4000Ай бұрын
Hongera sana Doctor cheni
@efrahfarahahmed8960Ай бұрын
MC Dr cheni ni MC na nusu msikivu na anajua sana kupagilia mambo yake mtu powa sana
@user-ro5xe6le1eАй бұрын
Mc wa Taifa.dr Cheni Mungu akutunze ushereheshe sherehe zte kubwa.
@ilynpayne7491Ай бұрын
Duh sherehe kubwa hivyo siyo mchezo
@EsterShirima-vr7cvАй бұрын
Yuko vizuri sana
@jacquelinemwakasala9563Ай бұрын
Mc wangu pendwa huyu tangu enzi hizo alisherehesha harusi ya mdogo wangu
@dotnataonlinetv5729Ай бұрын
Hongera sana mkwe wangu Dr. Cheny
@AsungaStevenАй бұрын
Kweli Dr Chen yupo poa sana,jamaa hana zarahu kabisa,nimekutana naye pale mkuki nikampa hi yupo poa sana Kwa kweli
@vinenswilliam3534Ай бұрын
Huyu brother anadumu kwa sababu anajitambua saana!
@mwajohari4385Ай бұрын
Docta cheni hazeeki,,nilianza kumjua akiigiza mchezo wa tausi mie nilikuwa mdogo hadi sasa nina miaka 40je hadi sasa atakuwa na miaka mingapi yaan hazeeki
@mwanakitengeАй бұрын
Weeeèe mbona mi sikumbuki kama cheni alikuwepo kwenye mchezo wa tausi alikuwa sehemu gani embu nikumbushe kidogo
@Hajer-be2khАй бұрын
Huyu mwamba majina yake halisi huwa anaitwa nani? Nampenda sn alivyo tu😊
@AbdallaBakari-m3tАй бұрын
Muhsin Awadhi
@jacquelinemwakasala9563Ай бұрын
Yea
@SamSam-ob6tdАй бұрын
mahsein awadh
@jescarwegoshola1754Ай бұрын
Safi sana, uko vizuri kijana 🤝
@precioussamantha9482Ай бұрын
Jamani sikuelewi kwanini nampenda sana Vidox
@sabtinaramadhani5413Ай бұрын
Kila la kheri dr cheni katika kazi ya mikono yako
@vivianallan8963Ай бұрын
Hongera sana Doctar cheni. Kwanza kwenye cherehe umetulia na huko smart. Kwa muda unaenda vizuri sana. Ubarikiwe na Bwana
@user-pu6pr5jt4nАй бұрын
Ma mc wachanga waje kujifunza hapa😂ila gara b pia mc wangu pendwa.hawa wawildr chen na gar what gara B😂❤❤
@rendozrendo7804Ай бұрын
Mc cheni🎉
@judithtitomalyeta4000Ай бұрын
Yaani walichukua dj safi cheni Hana mambo mengi
@marygregory7566Ай бұрын
Kwakweli kuhusu muda Mimi nakubali kuna harusi pale mirado uliifanya 2014 ilikuwa nzuri sana ulienda ndan ya muda
@nyakasaganichangasi9986Ай бұрын
Acheni ulimbukeni, kutokuzeeka siyo sifa kwani kila stage ya maisha ina sifa zake,mzee wa miaka 60 kujipaka dye ni upungufu wa akili na low self esteem!Accept your age and other things fall into place !
@nishaabdula5015Ай бұрын
Yn uyu. Ukiwa na kichen oaty senfiof ata birtjiday ukimtaka samia unamoata na anakuja
@user-sv6zy3hc8oАй бұрын
Eee we mwenzetu mtu wawap mbona sijui unandika kwa lugha gani kiswahili au kingereza
@Zainab-qg6xvАй бұрын
Dr Chen he is getting old now
@ShadiamtwalibuАй бұрын
Vido vyote nimesikia ila ratiba yako ya kufunga ndoa baada ya miaka mitatu au minee imenichekesha aisee 😂😂😂