Katika maadhimisho ya kupiga vita dawa za kulevya 2024
Пікірлер: 186
@AngelAfric2 ай бұрын
Mungu hajalala amesikia atatenda kwa wakati wake kila mwenye Nia ya dhati kutoka kwenye janga Hilo na atamuinua kwa ukubwa.. Mungu ilinde Tanzania 🇹🇿 iondoe kwenye majanga haya na mengineyo yanayoitesa Dunia. AMEN
@MagrethMhina2 ай бұрын
Mungu kumbuka watoto wetu ooh yesu asaidieeee matumbo mengi ya wamama yanaliaaaa kwa watoto kutumizaaa oooooh Yesuuuuuu
@theopisterjovent34832 ай бұрын
Bwana wa Majeshi Mungu Mkuu uishiye Milele tunakuomba uwashe taa yako isiyozimika ndani ya mioyo ya watoto wetu wakujue wewe kuwa unatosha🙏🙏🙏
@mcmlandali4412 ай бұрын
Hiii ni zuri mno and so emotional hongera sana Mrisho Mpoto
@nassercurtis95792 ай бұрын
Inachoma moyoni inaniumiza mpaka natokwa na machozi imenifanya nimkumbukue rafiki yangu ambae kaka yake aliuwawa kwa kumchomwa kisu na producer nakabaki yeye na mama yake tu nae alifariki na kuzikwa pembeni ya nyumba yake karibu na gate ili mwanae asije uza nyumba lakini kwa akili ya unga akauza hakujali hata kaburi ya mama yake nyumba ilikuwa ya ghorofa na ukubwa wa eneo zaidi 5000sqm kwa mlioni Mia na 20 tu, inahuzunisha sana namuombea kill kukicha asirudie tena maana aliacha.
@robertmwanja-ld4hdАй бұрын
Hongereni sana ujumbe mzuri na umefika, mbalikiwe sana mwenyezi MUNGU awalinde.
@ErickLusabara2 ай бұрын
Hakika hii ni zaidi ya sanaa. Nawapongeza saaana kwa mlichokifanya, mmefikisha ujumbe kwa njia rahisi na yenye kuvuta hisia. Mungu aliponye taifa letu dhidi ya janga hili.
@estamarodaofficialtz52332 ай бұрын
Asante mungu mkwakulitetea taifa la Tz mungu ibariki tanzania bariki viongozi waTz
@AngelinaChacha-gb3yh2 ай бұрын
Wimbo huu uibwe angalau kwa kila chombo cha habari walau mara moja kwa wiki jioni maana unaelimisha sana. Mungu ibariki Tanzania.
@radhiasalum715629 күн бұрын
Ujumbe mzuri ila hapohapo watu wa selikali ndo wanayofanya hayo.inasikitika mnno😢😢😢😢
@joycehaule97172 ай бұрын
Mtoto wa nyoka ni nyoka wallah, Mrisho hongera
@peterlucas72462 ай бұрын
I was thinking that am strong ....i find myself very weak while listening this song😭😭
@tatumatango22072 ай бұрын
Najuta kuusikiliza mbele za watu,,bora ningeusikiliza nyumbani nikalia vzr,,maana naona aibu nalia mbele za watu😢😢😢
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k2 ай бұрын
We lia tu sio shida wakikuuliza ndo useme kinachokuliz
@OliviaMkabatesi2 ай бұрын
Jaman
@victorianchimbi86402 ай бұрын
Pole my dear
@WinnieMbwigaАй бұрын
Polee unaumiza hakika
@ShabaniMaulidyАй бұрын
Hii Part 2
@yustinasindamwaka80722 ай бұрын
Ntaonyesha vijana wanaonizunguka wengi ni walevi hawatadhubutu Mungu ibariki na kuirehemu Tanzania
@juliethmagezi31042 ай бұрын
Ipo NGUVU YA MUNGU mahali apo....I can feel it
@joycehaule97172 ай бұрын
Mama Samia wewe ni mama nakupenda mnoo MAOMBI YANGU NA DUA ZANGU MUNGU ASIKUACHE ASIKUPUNGUKIE MAMA WEWE NI MAMA MAMA HAWEZI BADILIKA AKAACHA WATOTO WAKE MAMA NAKUOMBEA SANAAA UTUFIKISHE MAHALI SAHIHI MAMA NAKUOMBEA SANAAA
@SamwelSimion-l5g18 күн бұрын
Nyimbo nzur ila nikisikia sifa kwa binadamu nachukia bora umshukuru mungu
@khadejakhadeja97132 ай бұрын
Kwakweli inaumaa.sana madawa.ya.kulevyaa imeangamiza watu wengi🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤲😭😭😭😭😭😭
@rithaurassa2 ай бұрын
Wauza. Unga wamo humo wametulia kwenda kuziandaa hawapendi watoto wa wenzenu mnataka wafe wo te ili watot wenu wabaki
@RusiaMwambungu2 ай бұрын
Daàaa kiukweli naomba wimbohuu uluxhwe kwenye tv tarehe 8/8/2024 ilimaelfu ya watu waweze kusikiliza angalau kazi ya MUNGU nanguvu yake ikawaponye vijana Amina
@shamiramsoke13652 ай бұрын
BWANA YESU ULIE KETI MBNGUNI KONE KITI CHA ENZI NAKUOMBA UWASAIDIE WATOTO WETU
@juliethmagezi31042 ай бұрын
AMINA NA ITAKUWA HIVYO TANZANIA NA ULIMWENGUNI KOTE
@shamiramsoke13652 ай бұрын
@@juliethmagezi3104 AMINA KWA JINA LA YESU KRISTO ALIE HAI
@bothinaabothinaa26432 ай бұрын
Amen
@MARYNAGUJustinАй бұрын
Amina
@khadejakhadeja97132 ай бұрын
Kweli haramu ni tamu .mmmmmh..china Wa. Tanzania..wakishikwa wanadungwa .sindano ya.sumu .na kuchomwa .kwenye .pipa . Lakini wao.wakikatwa..hatusikui.chochote..😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭
@khaylatmwinyi867518 күн бұрын
Mtoto wa nyoka n nyoka...,hongera kaka mwisho mpoto
@challemartin2 ай бұрын
Mungu waponye watoto wetu wakike na wakiume
@tauhidajumahamad12182 ай бұрын
Amin
@maureenmgeni2 ай бұрын
Amina tukeshe tukiomba.
@DeboraPeter-tv4dh2 ай бұрын
Ameeeeeeeen Mungu awanusuru
@judithmwakibete30363 ай бұрын
Kwa yo yote aliesikiliza ujumbe huu Ana nafasi ya kusemezana na kijana wa jinsia yote juu ya janga hili
@zaishanga16222 ай бұрын
Naomba hii nyimbo ipigwe kwenye azam tv two kabla ya kuanza pambano la yanga tarehe 8 mwezi ujao ili maelfu ya wengi itaonekana na wengi maana hao wateja wengi hawana cm ya whtsup naona watajipata na wataokoka 80 cio Tanzania na nchi jirani pia watapata tiba ! Na pia iwe inapigwa kila cku kwenye tv Amun
@FiveStar-uc5ecАй бұрын
🎉🎉.
@LeilaAdijaАй бұрын
🎉🎉🎉
@EmmaKirua2 ай бұрын
Nimeipenda hii mungu akupe hekma zaidi
@RehemaMgoba-v4z2 ай бұрын
Mungu isaidie Tanzania
@WillyKibiki24 күн бұрын
Yasin broo umeuwa god bless you kwa huu ujumbe umefika kaka
@joycehaule97172 ай бұрын
Uwiiiiiiiiiiiiiiiii wimbo unagusa sanaaaa .......MAMA YANGU SAMIA NAKUPENDA MAMA NAKUOMBEA UFANIKIWE KUWALEA WATOTO HAWA WA MTAANI WATOTO WETU HAWA NAWAOMBEA SANAA .....
@emmymwakabana2 ай бұрын
Hongera sana kazi nzuri
@kalamuyangu13 ай бұрын
Mbegu bora iliyopandwa juu ya mtoto huyu yapaswa kulindwa kwa gharama kubwa.
@JuniorVsllence2 ай бұрын
Party two hii,hongera kaka mrsho mpoto,hii ni zaid ya sanaa
@mimiMaiko-p6i2 ай бұрын
Touching song, moyo unatetemeka
@KissBoytz-t9i2 ай бұрын
Kama nawew umeludia malambili kama Mimi ngonga like😢
@FatnaAlly-go7ytАй бұрын
Mashallah kwa kufikiaha ujumbe mzuri kwakeeli dunia imearibika
@lazaroeliphas8353Ай бұрын
God bless Tanzania God bless Africa
@mamaabubakari27522 ай бұрын
Ni dhana njema kuangalia chanzo cha tatizo, uwajibikaji dhaifu wa wazazi. Hongera sana kwa ujumbe mzito wenye kuleta athari pia.
@blessingmapazia9545Ай бұрын
Bwana Yesu Kristo naomba waponye watoto wetu walio kwenye makundi mabaya
@EvaPatrickboko2 ай бұрын
Mungu bariki watoto wetu
@MwinjilistiJestusMhelelaАй бұрын
Hakika mmefanya wanders sanaaaa... Hapa kilichobaki in KUOKOKA TU, MUMPE YESU MAISHA YENU...!!! Maana kuacha dhambi Ba kumwamini YESU na kuokoka ni vena zaidi ya kuacha madawa ya mulevya na kula ngada...!!! YESU ANAWAPENDA BY JESTUS MHELELA
@MwinjilistiJestusMhelelaАй бұрын
JESTUS
@Jameskisinga2 ай бұрын
It's very good song for the society god help us to mantain our life
@zaishanga16222 ай бұрын
Mamangu kipenzi chetu pambana mama tembo hashindwi na mkonga wake pambana mm big up mungu akutunze kwa ajiri yetu!!
@SakinaMwanga-v4tАй бұрын
mungu ibariki Tanzania mung u walinde watotowetu
@nsubisiseth2993Ай бұрын
Very touching message
@edwinraymond3404Ай бұрын
Kwaiyo mjomba kashaanza kumuwela mtoto kwenye system 😅😅😅
@THEEaglzАй бұрын
Kubwaa sanaaa my g
@fahmiabdi75393 ай бұрын
Ujumbe unasikitisha na ufahmuka na najikuta naliaaaa
@zackzack97302 ай бұрын
Ukwel watoto wetu watakua kwa usalama zaidi endepo madawa yakitokomea
@DavidAnthony-bk1lm2 ай бұрын
Ni kweli madawa ya kulevya ni hatari Kwa taifa letu
@mariakilasile8792Ай бұрын
Nimeipenda sana njia hii ya risala, hakuna anayeponyoka kuisikiliza hii, very touching. Tupeni elimu namna ya kuwasaidia hawa tulionao huku mtaani. Tunawasaidia kuwalisha lakini wanahitaji kazi tufanyeje?
@GervasMalimiАй бұрын
We ino jowakunifanya nilie mimi kisa kusikiliza nyimbo hii😢😢😢😊
@EmmanuelMajele-ny2hkАй бұрын
Mungu lbariki Tanzania 🇹🇿
@TausiGeorgeАй бұрын
Naumia mm hili janga linaniumiza mm malengo yake yote yameisha kwenye madawa angalau kidogo afya ni nzuri 😭😭😭😭
@daudkindy5807Ай бұрын
Ujumbe mzur sana
@AmiriHumudi-hn6pt15 күн бұрын
Nyinyi fanyeni wazimu tu hapo. Mujaze matumbo yenu na kulala usungizi mororo. Mnaowangoza wanalala njaa. Serekali haina haqqi za kibinaadamu. Julie i wazimu apo lkn mtakwenda kujibu mbele ya alla mb'wa nye.
@DereckNdunguruАй бұрын
Mungu akubariki kipaji chako
@khadejakhadeja97132 ай бұрын
Wapi stive nyerere .aje asikie..kizungu au kingereza.😂😂😂😂😂
@youtube.mwosatv2 ай бұрын
Bonge la movie leny ujumbe mzito
@mbonigabasamueli18602 ай бұрын
Mara nyingi Mtoto hufanya kazi ya babaye, Mrisho ndagukunda
@JakcsonShija-h1f2 ай бұрын
Mungu akuinue katika kipaji chako chauimbaji
@victoriafaronendakwamakond4816Ай бұрын
Mungu akubariki Rais wetu
@AnaraelMpungu2 ай бұрын
Duuu.upo.vizuri.dogo
@FredricktheonestShayo2 ай бұрын
Mmetisha kinomanoma❤❤❤❤
@fintanchavala21452 ай бұрын
Well organized Hongereni kwa ujumbe murua
@SamwelSimion-l5g18 күн бұрын
Kikwete sijamuona na mtoto wake daaah
@bloodofjesus75422 ай бұрын
Mpoto kapata mrithi
@AnnaKulwa-k3g14 күн бұрын
Unagusa sana huo wimbo 😢😢
@shakiramshule3422 ай бұрын
❤❤❤❤❤ amina
@ElizabethKaroli28 күн бұрын
Aaa jamaniii this is too emotional
@Passy-gj9nc2 ай бұрын
Mungu uwaponye watoto wetu
@LatifaSaid-i3o26 күн бұрын
Wimbo unagusa na kusisimua
@JoycebarakaEsterАй бұрын
Kazi nzuli kaka
@MathiasMpundukwa2 ай бұрын
Nakupenda mrisho hii ni zaid ya move
@JoyceChacha-i3wАй бұрын
Wimbo mzuri sana
@daxmtiwandege5063Ай бұрын
🌹🌹🌹 Dogo ameua
@annalugano5246Ай бұрын
Hadi machozi yamenitoka ,Mungu saidia watoto wetu
@richardsimon246428 күн бұрын
Simba hazai paka
@kelvinryoba7792 ай бұрын
😂😂😂safi sanaaaa
@UzalendoNaUtu2 ай бұрын
Huu wimbo baada ya Pusha kuomba radhi hapo ilitakiwa iingie sauti ya mtu kama Masele Mlevi, ingenoga sana
@Mojabo-qi7svАй бұрын
Amina alla aepushie ili janga
@hashimposho-ju6nz28 күн бұрын
Wimbo mzuri ila najiuliza serikali haijui madawa yanapitia wapi
@UzalendoNaUtu2 ай бұрын
Aisee huu wimboooo umeniumiza
@MandoliiMoshi2 ай бұрын
bado moshi na arusha bangi pombe mirungi
@BenedictSamweli2 ай бұрын
Inaumiza lakini ndoomaishahalisi ila mungupekee nisuluhisho yahayamamboyote. Naitwa Benedict kutokakibaha mailimoja.
@BenedictSamweli2 ай бұрын
😂daaah wimbowauchungusana ukikaa kwamakini Italian sana wengine wasiojua watakushangaa
@AndrewAgustino-b5o2 ай бұрын
Serikari naomba mjenge Simba house nyingi nchini nazitoe huduma bure upite msako mtaan kuwakama waraibu wote WA madawa wakatibiwe jaman yanawatesa watu
@BinBiNasir2 ай бұрын
Nimeipenda hii😭😭
@PaschalPaulo-k6mАй бұрын
Nice❤
@HarunMsigwa-od1gd2 ай бұрын
Hapa ndo sanaa🎉
@lucypatrick7830Ай бұрын
Kuna watu wakubwa na wafanyabiashara wa hayo madawa unakuta wapo hapo, watoto wa wenzao wanaangamia wao wanaingiza vipato kwa ajili ya watoto wao, dah Mungu tusaidie
@AsiaMohamed-gw6fq2 ай бұрын
MUNGU atusaidie sana
@danielamosi68712 ай бұрын
Hili janga kuisha ni pale mtu mmoja mmoja aamue kutotumia
@bujanlau7079Ай бұрын
Wameu design vzuri huu wimbo na hatta jinsi ya ku ACT uhalisia saafi saana kwa ajili ya kuokoa ambao wanataka kuingia au wameshaingia lakin wanashida ya kutoka.... MADAWA YA KULEVYA HUANZIA KWA KUSHAWISHIWA NA WATU WA KARIBU EITHER MARAFIKI AU WANAFUNZI WENZAKO WENGI WAO HUANZIA MASHULEN...
@NyandaLufungulo2 ай бұрын
Dah it's paining
@arya-star532 ай бұрын
Haki nimelia kwa uchungu😭
@mariamabdul7686Ай бұрын
ujumbe🎉
@stopazmusictz42012 ай бұрын
❤❤ kwa woteeee
@lilianebahati72902 ай бұрын
Usaidie hatawangini funzu kwa inci j'irai kama ville EAC
@agentchidisautimbaya2141Ай бұрын
Mtoto wa mamba awezi kuwa kenge
@princebuganzilut204729 күн бұрын
nyimbo zilizomtaja JK zote haziimbwi. nyimbo zilizomtaja JPM haziimbwi tena wasanii mjifunze jambo. acha kutaja majina taja vyeo nyimbo zenu zidumu tawala baada ya tawala