MTOTO WA MRISHO MPOTO AWALIZA VIONGOZI KWA UCHUNGU

  Рет қаралды 197,173

MrishoMpoto

MrishoMpoto

Күн бұрын

Katika maadhimisho ya kupiga vita dawa za kulevya 2024

Пікірлер: 186
@AngelAfric
@AngelAfric 2 ай бұрын
Mungu hajalala amesikia atatenda kwa wakati wake kila mwenye Nia ya dhati kutoka kwenye janga Hilo na atamuinua kwa ukubwa.. Mungu ilinde Tanzania 🇹🇿 iondoe kwenye majanga haya na mengineyo yanayoitesa Dunia. AMEN
@MagrethMhina
@MagrethMhina 2 ай бұрын
Mungu kumbuka watoto wetu ooh yesu asaidieeee matumbo mengi ya wamama yanaliaaaa kwa watoto kutumizaaa oooooh Yesuuuuuu
@theopisterjovent3483
@theopisterjovent3483 2 ай бұрын
Bwana wa Majeshi Mungu Mkuu uishiye Milele tunakuomba uwashe taa yako isiyozimika ndani ya mioyo ya watoto wetu wakujue wewe kuwa unatosha🙏🙏🙏
@mcmlandali441
@mcmlandali441 2 ай бұрын
Hiii ni zuri mno and so emotional hongera sana Mrisho Mpoto
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 2 ай бұрын
Inachoma moyoni inaniumiza mpaka natokwa na machozi imenifanya nimkumbukue rafiki yangu ambae kaka yake aliuwawa kwa kumchomwa kisu na producer nakabaki yeye na mama yake tu nae alifariki na kuzikwa pembeni ya nyumba yake karibu na gate ili mwanae asije uza nyumba lakini kwa akili ya unga akauza hakujali hata kaburi ya mama yake nyumba ilikuwa ya ghorofa na ukubwa wa eneo zaidi 5000sqm kwa mlioni Mia na 20 tu, inahuzunisha sana namuombea kill kukicha asirudie tena maana aliacha.
@robertmwanja-ld4hd
@robertmwanja-ld4hd Ай бұрын
Hongereni sana ujumbe mzuri na umefika, mbalikiwe sana mwenyezi MUNGU awalinde.
@ErickLusabara
@ErickLusabara 2 ай бұрын
Hakika hii ni zaidi ya sanaa. Nawapongeza saaana kwa mlichokifanya, mmefikisha ujumbe kwa njia rahisi na yenye kuvuta hisia. Mungu aliponye taifa letu dhidi ya janga hili.
@estamarodaofficialtz5233
@estamarodaofficialtz5233 2 ай бұрын
Asante mungu mkwakulitetea taifa la Tz mungu ibariki tanzania bariki viongozi waTz
@AngelinaChacha-gb3yh
@AngelinaChacha-gb3yh 2 ай бұрын
Wimbo huu uibwe angalau kwa kila chombo cha habari walau mara moja kwa wiki jioni maana unaelimisha sana. Mungu ibariki Tanzania.
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 29 күн бұрын
Ujumbe mzuri ila hapohapo watu wa selikali ndo wanayofanya hayo.inasikitika mnno😢😢😢😢
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 ай бұрын
Mtoto wa nyoka ni nyoka wallah, Mrisho hongera
@peterlucas7246
@peterlucas7246 2 ай бұрын
I was thinking that am strong ....i find myself very weak while listening this song😭😭
@tatumatango2207
@tatumatango2207 2 ай бұрын
Najuta kuusikiliza mbele za watu,,bora ningeusikiliza nyumbani nikalia vzr,,maana naona aibu nalia mbele za watu😢😢😢
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 2 ай бұрын
We lia tu sio shida wakikuuliza ndo useme kinachokuliz
@OliviaMkabatesi
@OliviaMkabatesi 2 ай бұрын
Jaman
@victorianchimbi8640
@victorianchimbi8640 2 ай бұрын
Pole my dear
@WinnieMbwiga
@WinnieMbwiga Ай бұрын
Polee unaumiza hakika
@ShabaniMaulidy
@ShabaniMaulidy Ай бұрын
Hii Part 2
@yustinasindamwaka8072
@yustinasindamwaka8072 2 ай бұрын
Ntaonyesha vijana wanaonizunguka wengi ni walevi hawatadhubutu Mungu ibariki na kuirehemu Tanzania
@juliethmagezi3104
@juliethmagezi3104 2 ай бұрын
Ipo NGUVU YA MUNGU mahali apo....I can feel it
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 ай бұрын
Mama Samia wewe ni mama nakupenda mnoo MAOMBI YANGU NA DUA ZANGU MUNGU ASIKUACHE ASIKUPUNGUKIE MAMA WEWE NI MAMA MAMA HAWEZI BADILIKA AKAACHA WATOTO WAKE MAMA NAKUOMBEA SANAAA UTUFIKISHE MAHALI SAHIHI MAMA NAKUOMBEA SANAAA
@SamwelSimion-l5g
@SamwelSimion-l5g 18 күн бұрын
Nyimbo nzur ila nikisikia sifa kwa binadamu nachukia bora umshukuru mungu
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 2 ай бұрын
Kwakweli inaumaa.sana madawa.ya.kulevyaa imeangamiza watu wengi🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤲😭😭😭😭😭😭
@rithaurassa
@rithaurassa 2 ай бұрын
Wauza. Unga wamo humo wametulia kwenda kuziandaa hawapendi watoto wa wenzenu mnataka wafe wo te ili watot wenu wabaki
@RusiaMwambungu
@RusiaMwambungu 2 ай бұрын
Daàaa kiukweli naomba wimbohuu uluxhwe kwenye tv tarehe 8/8/2024 ilimaelfu ya watu waweze kusikiliza angalau kazi ya MUNGU nanguvu yake ikawaponye vijana Amina
@shamiramsoke1365
@shamiramsoke1365 2 ай бұрын
BWANA YESU ULIE KETI MBNGUNI KONE KITI CHA ENZI NAKUOMBA UWASAIDIE WATOTO WETU
@juliethmagezi3104
@juliethmagezi3104 2 ай бұрын
AMINA NA ITAKUWA HIVYO TANZANIA NA ULIMWENGUNI KOTE
@shamiramsoke1365
@shamiramsoke1365 2 ай бұрын
@@juliethmagezi3104 AMINA KWA JINA LA YESU KRISTO ALIE HAI
@bothinaabothinaa2643
@bothinaabothinaa2643 2 ай бұрын
Amen
@MARYNAGUJustin
@MARYNAGUJustin Ай бұрын
Amina
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 2 ай бұрын
Kweli haramu ni tamu .mmmmmh..china Wa. Tanzania..wakishikwa wanadungwa .sindano ya.sumu .na kuchomwa .kwenye .pipa . Lakini wao.wakikatwa..hatusikui.chochote..😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭
@khaylatmwinyi8675
@khaylatmwinyi8675 18 күн бұрын
Mtoto wa nyoka n nyoka...,hongera kaka mwisho mpoto
@challemartin
@challemartin 2 ай бұрын
Mungu waponye watoto wetu wakike na wakiume
@tauhidajumahamad1218
@tauhidajumahamad1218 2 ай бұрын
Amin
@maureenmgeni
@maureenmgeni 2 ай бұрын
Amina tukeshe tukiomba.
@DeboraPeter-tv4dh
@DeboraPeter-tv4dh 2 ай бұрын
Ameeeeeeeen Mungu awanusuru
@judithmwakibete3036
@judithmwakibete3036 3 ай бұрын
Kwa yo yote aliesikiliza ujumbe huu Ana nafasi ya kusemezana na kijana wa jinsia yote juu ya janga hili
@zaishanga1622
@zaishanga1622 2 ай бұрын
Naomba hii nyimbo ipigwe kwenye azam tv two kabla ya kuanza pambano la yanga tarehe 8 mwezi ujao ili maelfu ya wengi itaonekana na wengi maana hao wateja wengi hawana cm ya whtsup naona watajipata na wataokoka 80 cio Tanzania na nchi jirani pia watapata tiba ! Na pia iwe inapigwa kila cku kwenye tv Amun
@FiveStar-uc5ec
@FiveStar-uc5ec Ай бұрын
🎉🎉.
@LeilaAdija
@LeilaAdija Ай бұрын
🎉🎉🎉
@EmmaKirua
@EmmaKirua 2 ай бұрын
Nimeipenda hii mungu akupe hekma zaidi
@RehemaMgoba-v4z
@RehemaMgoba-v4z 2 ай бұрын
Mungu isaidie Tanzania
@WillyKibiki
@WillyKibiki 24 күн бұрын
Yasin broo umeuwa god bless you kwa huu ujumbe umefika kaka
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 ай бұрын
Uwiiiiiiiiiiiiiiiii wimbo unagusa sanaaaa .......MAMA YANGU SAMIA NAKUPENDA MAMA NAKUOMBEA UFANIKIWE KUWALEA WATOTO HAWA WA MTAANI WATOTO WETU HAWA NAWAOMBEA SANAA .....
@emmymwakabana
@emmymwakabana 2 ай бұрын
Hongera sana kazi nzuri
@kalamuyangu1
@kalamuyangu1 3 ай бұрын
Mbegu bora iliyopandwa juu ya mtoto huyu yapaswa kulindwa kwa gharama kubwa.
@JuniorVsllence
@JuniorVsllence 2 ай бұрын
Party two hii,hongera kaka mrsho mpoto,hii ni zaid ya sanaa
@mimiMaiko-p6i
@mimiMaiko-p6i 2 ай бұрын
Touching song, moyo unatetemeka
@KissBoytz-t9i
@KissBoytz-t9i 2 ай бұрын
Kama nawew umeludia malambili kama Mimi ngonga like😢
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt Ай бұрын
Mashallah kwa kufikiaha ujumbe mzuri kwakeeli dunia imearibika
@lazaroeliphas8353
@lazaroeliphas8353 Ай бұрын
God bless Tanzania God bless Africa
@mamaabubakari2752
@mamaabubakari2752 2 ай бұрын
Ni dhana njema kuangalia chanzo cha tatizo, uwajibikaji dhaifu wa wazazi. Hongera sana kwa ujumbe mzito wenye kuleta athari pia.
@blessingmapazia9545
@blessingmapazia9545 Ай бұрын
Bwana Yesu Kristo naomba waponye watoto wetu walio kwenye makundi mabaya
@EvaPatrickboko
@EvaPatrickboko 2 ай бұрын
Mungu bariki watoto wetu
@MwinjilistiJestusMhelela
@MwinjilistiJestusMhelela Ай бұрын
Hakika mmefanya wanders sanaaaa... Hapa kilichobaki in KUOKOKA TU, MUMPE YESU MAISHA YENU...!!! Maana kuacha dhambi Ba kumwamini YESU na kuokoka ni vena zaidi ya kuacha madawa ya mulevya na kula ngada...!!! YESU ANAWAPENDA BY JESTUS MHELELA
@MwinjilistiJestusMhelela
@MwinjilistiJestusMhelela Ай бұрын
JESTUS
@Jameskisinga
@Jameskisinga 2 ай бұрын
It's very good song for the society god help us to mantain our life
@zaishanga1622
@zaishanga1622 2 ай бұрын
Mamangu kipenzi chetu pambana mama tembo hashindwi na mkonga wake pambana mm big up mungu akutunze kwa ajiri yetu!!
@SakinaMwanga-v4t
@SakinaMwanga-v4t Ай бұрын
mungu ibariki Tanzania mung u walinde watotowetu
@nsubisiseth2993
@nsubisiseth2993 Ай бұрын
Very touching message
@edwinraymond3404
@edwinraymond3404 Ай бұрын
Kwaiyo mjomba kashaanza kumuwela mtoto kwenye system 😅😅😅
@THEEaglz
@THEEaglz Ай бұрын
Kubwaa sanaaa my g
@fahmiabdi7539
@fahmiabdi7539 3 ай бұрын
Ujumbe unasikitisha na ufahmuka na najikuta naliaaaa
@zackzack9730
@zackzack9730 2 ай бұрын
Ukwel watoto wetu watakua kwa usalama zaidi endepo madawa yakitokomea
@DavidAnthony-bk1lm
@DavidAnthony-bk1lm 2 ай бұрын
Ni kweli madawa ya kulevya ni hatari Kwa taifa letu
@mariakilasile8792
@mariakilasile8792 Ай бұрын
Nimeipenda sana njia hii ya risala, hakuna anayeponyoka kuisikiliza hii, very touching. Tupeni elimu namna ya kuwasaidia hawa tulionao huku mtaani. Tunawasaidia kuwalisha lakini wanahitaji kazi tufanyeje?
@GervasMalimi
@GervasMalimi Ай бұрын
We ino jowakunifanya nilie mimi kisa kusikiliza nyimbo hii😢😢😢😊
@EmmanuelMajele-ny2hk
@EmmanuelMajele-ny2hk Ай бұрын
Mungu lbariki Tanzania 🇹🇿
@TausiGeorge
@TausiGeorge Ай бұрын
Naumia mm hili janga linaniumiza mm malengo yake yote yameisha kwenye madawa angalau kidogo afya ni nzuri 😭😭😭😭
@daudkindy5807
@daudkindy5807 Ай бұрын
Ujumbe mzur sana
@AmiriHumudi-hn6pt
@AmiriHumudi-hn6pt 15 күн бұрын
Nyinyi fanyeni wazimu tu hapo. Mujaze matumbo yenu na kulala usungizi mororo. Mnaowangoza wanalala njaa. Serekali haina haqqi za kibinaadamu. Julie i wazimu apo lkn mtakwenda kujibu mbele ya alla mb'wa nye.
@DereckNdunguru
@DereckNdunguru Ай бұрын
Mungu akubariki kipaji chako
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 2 ай бұрын
Wapi stive nyerere .aje asikie..kizungu au kingereza.😂😂😂😂😂
@youtube.mwosatv
@youtube.mwosatv 2 ай бұрын
Bonge la movie leny ujumbe mzito
@mbonigabasamueli1860
@mbonigabasamueli1860 2 ай бұрын
Mara nyingi Mtoto hufanya kazi ya babaye, Mrisho ndagukunda
@JakcsonShija-h1f
@JakcsonShija-h1f 2 ай бұрын
Mungu akuinue katika kipaji chako chauimbaji
@victoriafaronendakwamakond4816
@victoriafaronendakwamakond4816 Ай бұрын
Mungu akubariki Rais wetu
@AnaraelMpungu
@AnaraelMpungu 2 ай бұрын
Duuu.upo.vizuri.dogo
@FredricktheonestShayo
@FredricktheonestShayo 2 ай бұрын
Mmetisha kinomanoma❤❤❤❤
@fintanchavala2145
@fintanchavala2145 2 ай бұрын
Well organized Hongereni kwa ujumbe murua
@SamwelSimion-l5g
@SamwelSimion-l5g 18 күн бұрын
Kikwete sijamuona na mtoto wake daaah
@bloodofjesus7542
@bloodofjesus7542 2 ай бұрын
Mpoto kapata mrithi
@AnnaKulwa-k3g
@AnnaKulwa-k3g 14 күн бұрын
Unagusa sana huo wimbo 😢😢
@shakiramshule342
@shakiramshule342 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤ amina
@ElizabethKaroli
@ElizabethKaroli 28 күн бұрын
Aaa jamaniii this is too emotional
@Passy-gj9nc
@Passy-gj9nc 2 ай бұрын
Mungu uwaponye watoto wetu
@LatifaSaid-i3o
@LatifaSaid-i3o 26 күн бұрын
Wimbo unagusa na kusisimua
@JoycebarakaEster
@JoycebarakaEster Ай бұрын
Kazi nzuli kaka
@MathiasMpundukwa
@MathiasMpundukwa 2 ай бұрын
Nakupenda mrisho hii ni zaid ya move
@JoyceChacha-i3w
@JoyceChacha-i3w Ай бұрын
Wimbo mzuri sana
@daxmtiwandege5063
@daxmtiwandege5063 Ай бұрын
🌹🌹🌹 Dogo ameua
@annalugano5246
@annalugano5246 Ай бұрын
Hadi machozi yamenitoka ,Mungu saidia watoto wetu
@richardsimon2464
@richardsimon2464 28 күн бұрын
Simba hazai paka
@kelvinryoba779
@kelvinryoba779 2 ай бұрын
😂😂😂safi sanaaaa
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 2 ай бұрын
Huu wimbo baada ya Pusha kuomba radhi hapo ilitakiwa iingie sauti ya mtu kama Masele Mlevi, ingenoga sana
@Mojabo-qi7sv
@Mojabo-qi7sv Ай бұрын
Amina alla aepushie ili janga
@hashimposho-ju6nz
@hashimposho-ju6nz 28 күн бұрын
Wimbo mzuri ila najiuliza serikali haijui madawa yanapitia wapi
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 2 ай бұрын
Aisee huu wimboooo umeniumiza
@MandoliiMoshi
@MandoliiMoshi 2 ай бұрын
bado moshi na arusha bangi pombe mirungi
@BenedictSamweli
@BenedictSamweli 2 ай бұрын
Inaumiza lakini ndoomaishahalisi ila mungupekee nisuluhisho yahayamamboyote. Naitwa Benedict kutokakibaha mailimoja.
@BenedictSamweli
@BenedictSamweli 2 ай бұрын
😂daaah wimbowauchungusana ukikaa kwamakini Italian sana wengine wasiojua watakushangaa
@AndrewAgustino-b5o
@AndrewAgustino-b5o 2 ай бұрын
Serikari naomba mjenge Simba house nyingi nchini nazitoe huduma bure upite msako mtaan kuwakama waraibu wote WA madawa wakatibiwe jaman yanawatesa watu
@BinBiNasir
@BinBiNasir 2 ай бұрын
Nimeipenda hii😭😭
@PaschalPaulo-k6m
@PaschalPaulo-k6m Ай бұрын
Nice❤
@HarunMsigwa-od1gd
@HarunMsigwa-od1gd 2 ай бұрын
Hapa ndo sanaa🎉
@lucypatrick7830
@lucypatrick7830 Ай бұрын
Kuna watu wakubwa na wafanyabiashara wa hayo madawa unakuta wapo hapo, watoto wa wenzao wanaangamia wao wanaingiza vipato kwa ajili ya watoto wao, dah Mungu tusaidie
@AsiaMohamed-gw6fq
@AsiaMohamed-gw6fq 2 ай бұрын
MUNGU atusaidie sana
@danielamosi6871
@danielamosi6871 2 ай бұрын
Hili janga kuisha ni pale mtu mmoja mmoja aamue kutotumia
@bujanlau7079
@bujanlau7079 Ай бұрын
Wameu design vzuri huu wimbo na hatta jinsi ya ku ACT uhalisia saafi saana kwa ajili ya kuokoa ambao wanataka kuingia au wameshaingia lakin wanashida ya kutoka.... MADAWA YA KULEVYA HUANZIA KWA KUSHAWISHIWA NA WATU WA KARIBU EITHER MARAFIKI AU WANAFUNZI WENZAKO WENGI WAO HUANZIA MASHULEN...
@NyandaLufungulo
@NyandaLufungulo 2 ай бұрын
Dah it's paining
@arya-star53
@arya-star53 2 ай бұрын
Haki nimelia kwa uchungu😭
@mariamabdul7686
@mariamabdul7686 Ай бұрын
ujumbe🎉
@stopazmusictz4201
@stopazmusictz4201 2 ай бұрын
❤❤ kwa woteeee
@lilianebahati7290
@lilianebahati7290 2 ай бұрын
Usaidie hatawangini funzu kwa inci j'irai kama ville EAC
@agentchidisautimbaya2141
@agentchidisautimbaya2141 Ай бұрын
Mtoto wa mamba awezi kuwa kenge
@princebuganzilut2047
@princebuganzilut2047 29 күн бұрын
nyimbo zilizomtaja JK zote haziimbwi. nyimbo zilizomtaja JPM haziimbwi tena wasanii mjifunze jambo. acha kutaja majina taja vyeo nyimbo zenu zidumu tawala baada ya tawala
BALAA LA MRISHO MPOTO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
11:17
MrishoMpoto
Рет қаралды 57 М.
UPONYAJI KUPITIA KUSIFU NA KUABUDU DAY 3 //Dr  Ipyana Kibona
59:12
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 12 МЛН
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 122 МЛН
MRISHO MPOTO AMNYANYUA RAIS BILA UWOGA
10:44
MrishoMpoto
Рет қаралды 7 М.
CHOZI LAZIMA LIKUTOKE | ALICHOKIFANYA MWANDALE MBELE YA RAIS SAMIA
17:27
Annoint Amani = MSIBA UNAUMA ( official audio )
6:52
Annoint Amani
Рет қаралды 7 М.
MRISHO MPOTO ALICHOKIFANYA KWENYE SGR AWATOSAHAU
7:27
MrishoMpoto
Рет қаралды 2,2 М.
Yona Chilolo_-_Amesema (Official Music Audio)
7:58
Yona Chilolo Official
Рет қаралды 13 М.
MOGmusic feat.   NTOKOZO  MBAMBO - Praise the LORD
9:41
MOGmusic
Рет қаралды 110 М.
Hizi hapa dakika 15 tu! za Kufurahi na Mch. Hananja. UDSM CCT.
15:29
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 979 М.
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 12 МЛН