Рет қаралды 2,729
Hakuna asiyependa maisha na kutaka kuishi maisha marefu, lakini kwanini wengi tunashindwa na vitu kama magonjwa, uzee wa haraka, mwili kuchoka, ajali na mengine hutuzuia kufikia lengo hili? Yako mambo ukiyazingatia yatakusaidia kupunguza nafasi za kuchoka mapema au kukatishwa uhai mapema. Natamani nikusaidie #DrChrisMauki #Siri #MaishaMarefu