DR.SULLE: HUYU NDIO SWAHABA WA MTUME S.A.W ALIEKUWA TAJIRI KAMA MO DEWJI AU GSM

  Рет қаралды 61,097

ZVP ONLINE TV

ZVP ONLINE TV

3 жыл бұрын

DR.SULLE: HUYU NDIO SWAHABA WA MTUME S.A.W ALIEKUWA TAJIRI KAMA MO DEWJI AU GSM

Пікірлер: 59
@roseatienoogutu7641
@roseatienoogutu7641 Жыл бұрын
jazakkallahu kheir sheikh may you live long bidhinllah
@khamisshee5131
@khamisshee5131 2 жыл бұрын
INSHAALLAH tutakutana nae kwa uwezo wa Allah 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 2 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@khamisshee5131
@khamisshee5131 2 жыл бұрын
Afwan
@HassanAli-lt4xm
@HassanAli-lt4xm 2 жыл бұрын
Dr,sule Masha Allah Kwa Tiba unazotoa Kwa umma
@tariqbathawab1147
@tariqbathawab1147 2 жыл бұрын
DR SULE USIMFANANISHE MBWIA UNGA NA WANAMARUSHWA NI SAWA NA MASAHABAVHUO MFANO NI UPOTOFU HPO UMEKOSEA .HESHIMA YA MASWAHABA HUWEZI KUWAFANANISHA NA HUYO NA HUYO UNALIPWA KIASI GANI KWELI UWAOMBE MSAMAHA MASWAHABA
@mariamngadoa7808
@mariamngadoa7808 2 жыл бұрын
NIMEKUELEWA SANA SANA DR SULE, UNA MAPENZI MAKUBWA KWA MTUME NDIO MAANA UNAMPENDA SWAHABA ALIYEMPENDA MTUME SANASANA
@abdallamoha3224
@abdallamoha3224 Жыл бұрын
Allahu Akbar
@jumanneissa8226
@jumanneissa8226 2 жыл бұрын
Innalilahi wainna irahi rajoon wallah hawawazushi hawasomi? Hivi umtume na swahaba Nani bora tumeambiwa kumpenda mtume kuliko mtu yoyote
@abrarmohamad6250
@abrarmohamad6250 2 жыл бұрын
Yaskitisha sanaa. Pengine amekosea tu apewe naswaha
@omariaman7818
@omariaman7818 Жыл бұрын
Ameteleza kibinaadam
@muhammadkifakara2573
@muhammadkifakara2573 2 жыл бұрын
إنالله وإنا إليه راجعون ، Yaani nyie MADAAI uchwara ni khatari sana unaropoka tu ili kuwachekesha wanaokusikiliza ila unachoongea huna mazingatio nacho wala hutafakari madhara na faida zake, Swahaba Abdirrahman ibn Awf unamfananisha na MO Dewji Kisha unaomba ukutanishwe naye kabla ya Mtume !!! ???, yaani ye ni Bora kuliko Mtume, au MO Dewji ni bora kuliko Mtume, KHATAAAAARI KUBWA , NYIE MNAOSILIMU TUNAWAOMBA BAADA YA KUSILIMU ISOMENI DINI YA ALLAH KWANZA JAPO KWA KUONGEA HAMUWEKANI
@muhammadkifakara2573
@muhammadkifakara2573 2 жыл бұрын
Huenda labda ulighafilika ukajikuta umeropokwa na Domo lako hilo na huenda hujui mpaka sasa, akili ilijaam kufikiria utawauziaje Dawa za KISUNA **HESHIMA YA NYUMBANI** Ila mbona pamoja na watu wanaoendelea ku comment bado umedorora tu hata hujibu ?, MUHIMU KAFANYE ISTIGHFAAR KWA WINGI
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Yani mtihani Sana a naona Bola asikutane na mtume muhaamad sawalallahu alahi wasalam. Sifa zingine hizi
@allycomm1553
@allycomm1553 2 жыл бұрын
Kweli kabisa ukhuyya mtihan hawa mashkhe kashasha
@ismailnassor785
@ismailnassor785 2 жыл бұрын
Yani dk Sule upo tayari ukutanishwe na swahaba mwanzo kuliko Mtume mm kwa mawazo yangu nahisi umechemka sn
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Sifa a kijinga zitamponza na watu wanamsikilozatu anjiona mjanjaa
@MrAmissi
@MrAmissi 2 жыл бұрын
Ma Sheikh wa Bongo noma kweli unapimanisha wacheza kamari watu wanakula mali za watu kwa batwi unapanisha na swahaba aya sawa
@amadoukimpembe4827
@amadoukimpembe4827 Жыл бұрын
Mashallah
@maryamshuraim4163
@maryamshuraim4163 2 жыл бұрын
DR SULE UNAYUMBA...
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 2 жыл бұрын
mm huyu jamaa kuna muda mwingine namuonaga kama kibaraka hivi yaani mnafiki mnafiki Allah ànisamehe kwa kweli lkn huyu nina walakini nae
@mahmouduchiwembi2939
@mahmouduchiwembi2939 2 жыл бұрын
Mwenzako kaacha Mali zake zote kunfuata mungu na mtume je ww unamkubaki umeacha Mali ngapi kwaajili ya dini.
@sadathboutique6253
@sadathboutique6253 2 жыл бұрын
Doctor sule nakukubali sna,achana na watu wa chuki
@user-qk7zm1dn8e
@user-qk7zm1dn8e 7 ай бұрын
Aaaaa
@rajabuathuman8825
@rajabuathuman8825 2 жыл бұрын
Hamna sheikh hapo njoo.kwenye usalafi uisome tauhidi.kwanza alf ukalinganie
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 2 жыл бұрын
Hahahaaaaa
@abdulmadhimbarak3998
@abdulmadhimbarak3998 Жыл бұрын
Ww Kuna mahala umemkosea Mungu omba maghfira mapema
@sheikh.abuusamuhath
@sheikh.abuusamuhath 2 жыл бұрын
Shk. Asalam alaikum... hapo kwa kumtanguliza swahaba kabla ya mtume... umekosea shk...
@lugendomwigoha6881
@lugendomwigoha6881 2 жыл бұрын
Kweli kabisa hapa shekhe sijamuelewa kabisa
@omariaman7818
@omariaman7818 Жыл бұрын
Ameteleza
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 2 жыл бұрын
Allah Akbar
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 2 жыл бұрын
Walillahil-hamdu
@amarislam1589
@amarislam1589 2 жыл бұрын
وروى البخاري من حديث أنس بن مالك رضي الله عنه أن النبي صلى الله عليه وآله وسلم قال: "لا يؤمن أحدكم حتى أكون أحب إليه من والده وولده والناس أجمعين". وكذلك عن أنس عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: ثلاث من كن فيه وجد حلاوة الإيمان أن يكون الله ورسوله أحب إليه مما سواهما.." الحديث Anas bin malik asema .kwamba mtume swalallahu alahi wasalam amesema.haitimii imani ya mmoja wenu mpaka anipende mimi zaidi kuliko wazazi wake na watoto wake na watu wote.na vile vile Anas radhi za Allah ziwe juu yake amesema mwenye kua na mambo matatu atapata utamu wa iman.awe mwenyezimungu na mtume wake ndio anaowapenda zaidi kuliko yoyote yule ama chochote kile. Hapa kateleza kidogo
@nurdinkamote6178
@nurdinkamote6178 2 жыл бұрын
Dr sule yupo sawa kama kuna mapungufu kidogo ni yakibinidamu2 ila kwakazi unayofanya sisi tunaiyona mwenyezi mungu akupe kheri nyingi kwakazi yako inshaallah
@alimash1872
@alimash1872 2 жыл бұрын
Kaka unayumba mbona unatembea vibaya mtu sw wee usionane nae was Kwanza wakati.mtume sw awo masahaba wao ndo.wa.mwanzo wamuone.mtume.alaa
@rashidikidume6363
@rashidikidume6363 2 жыл бұрын
Naomba unipatie namba za huyu shehe
@roseatienoogutu7641
@roseatienoogutu7641 Жыл бұрын
❤❤❤ Allah barik
@hajaniacharamadhani8074
@hajaniacharamadhani8074 2 жыл бұрын
Hata kama sina Ilmu hili sikweli unaomba bola kukutana na sahaba wamtume mbele ya mtume Astaghfirullah Ikiwa kuna Mtu Bola kitu bola kuliko Mtume wallah sisi hiyo Imani yako tunakua tunashaka nao Allayalaam
@nabilsuleimanhaji2437
@nabilsuleimanhaji2437 2 жыл бұрын
dahh huyu anapotea itabidi swahaba ni bora kuliko mtume huyu xio shekh
@TALLUBOY
@TALLUBOY 2 жыл бұрын
Tanzania Waislam wake Wanajua sana sana Wana elim sana sana sana
@bashkidana9404
@bashkidana9404 2 жыл бұрын
Uyu jamaa Kama simuelewi vile swahaba anakua Bora kiliko mtume pole sana ndoo maana mwaipopo alisema we n tapeli Sasa unaanza kututapeli tumpende swahaba kiliko mtume
@abuumudhakkir3688
@abuumudhakkir3688 2 жыл бұрын
dokta sule kwanza kasome TAUHEED
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 2 жыл бұрын
Ww umesoma
@abuumudhakkir3688
@abuumudhakkir3688 2 жыл бұрын
nitakapo kujibu kwamba nimesoma au nikijibu sijasoma itakuaje?
@selemankishema5780
@selemankishema5780 2 жыл бұрын
Masheikh mizigo ktk uislam sasa wewe mpumbavu unamfananisha tajiri wa kiswahaba na matajiri ambao wala riba wakubwa hivi nyie mnaakili kweli au mnatafuta wawaite wakawape posho?
@kusakisoma3168
@kusakisoma3168 2 жыл бұрын
kaka unakoelekea sasa kuukwaa ubalozi kama siyo gsm ama mo dewj
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 2 жыл бұрын
Mh
@abuusaad5791
@abuusaad5791 2 жыл бұрын
Mitume ni bora kuliko muumini yeyote.
@zaburi2386
@zaburi2386 2 жыл бұрын
Sasa mo dewj anatoa bilioni 20 simba anashindwa kujenga hata madrasa vituo vi 5 watoto wajifunze kuhusu MUNGU uislam kaz kwel
@ndayishimiyeabdallah98
@ndayishimiyeabdallah98 2 жыл бұрын
Huyu jama wa ajabu sana , akutwanish na abdurhaman kabla ya mtume😳😳
@sadiqselengu4197
@sadiqselengu4197 2 жыл бұрын
Sasa unafikiri sehemu atakayokuwa aliyetabiriwa pepo yaan suhaba Abdurrahman RA mtume hatokuwepo.... Huyo anayofanya ni kwa ajili ya radhi za Allah na mtume maana hao ndio moja kwake
@salehhuty2887
@salehhuty2887 2 жыл бұрын
kisa cha bible sehemu ya tatu
@omariaman7818
@omariaman7818 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@jumanneissa8226
@jumanneissa8226 2 жыл бұрын
Wallah hawawazushi huyuni jahili Hana akili kabisa someni sunna Soma Quran hakunakulimbe chochote chakukipenda kulimtume salana Salam zimfikie hivi nyie mashekh wanganga mnasoma vitabu vya kiganga ndo mnakua wanafiQ hivi subhanallah hatachizi anakupinga kwahili wallah inasikitisha Sana ndomaana mtume swalalahu ayhiwasalaam alisema tuombe elimu yenye manufaa sababu unaweza kusaoma pia ukawa mjinga kama Sulley sababu huna elimu yenye manufaa
@husseinkazigo6189
@husseinkazigo6189 2 жыл бұрын
We ndo mnafiki mkubwa hujamskiliza vzr unaanza kuropoka mtot wakaaba wew
@user-fm8ll7ln9i
@user-fm8ll7ln9i Жыл бұрын
Mashehe wa kibongo wa mchongo huyu
@abujuhaifah7461
@abujuhaifah7461 2 жыл бұрын
Mwaipopo alisema sule sio shehe kaongea pumba kishenz huyu
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 2 жыл бұрын
Acha jazba
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 78 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 63 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
KATI YA ALLAH NA MALAKMAUT NANI ANATOA ROHO ? // SHEIKH OTHMAN MAALIM
52:15