DR.SULLE: HUYU NDIO SWAHABA WA MTUME S.A.W ALIEKUWA TAJIRI KAMA MO DEWJI AU GSM
Пікірлер: 59
@roseatienoogutu7641 Жыл бұрын
jazakkallahu kheir sheikh may you live long bidhinllah
@khamisshee51312 жыл бұрын
INSHAALLAH tutakutana nae kwa uwezo wa Allah 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@zvpOnlineTv2 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@khamisshee51312 жыл бұрын
Afwan
@HassanAli-lt4xm2 жыл бұрын
Dr,sule Masha Allah Kwa Tiba unazotoa Kwa umma
@tariqbathawab11472 жыл бұрын
DR SULE USIMFANANISHE MBWIA UNGA NA WANAMARUSHWA NI SAWA NA MASAHABAVHUO MFANO NI UPOTOFU HPO UMEKOSEA .HESHIMA YA MASWAHABA HUWEZI KUWAFANANISHA NA HUYO NA HUYO UNALIPWA KIASI GANI KWELI UWAOMBE MSAMAHA MASWAHABA
@mariamngadoa78082 жыл бұрын
NIMEKUELEWA SANA SANA DR SULE, UNA MAPENZI MAKUBWA KWA MTUME NDIO MAANA UNAMPENDA SWAHABA ALIYEMPENDA MTUME SANASANA
@abdallamoha3224 Жыл бұрын
Allahu Akbar
@jumanneissa82262 жыл бұрын
Innalilahi wainna irahi rajoon wallah hawawazushi hawasomi? Hivi umtume na swahaba Nani bora tumeambiwa kumpenda mtume kuliko mtu yoyote
@abrarmohamad62502 жыл бұрын
Yaskitisha sanaa. Pengine amekosea tu apewe naswaha
@omariaman7818 Жыл бұрын
Ameteleza kibinaadam
@muhammadkifakara25732 жыл бұрын
إنالله وإنا إليه راجعون ، Yaani nyie MADAAI uchwara ni khatari sana unaropoka tu ili kuwachekesha wanaokusikiliza ila unachoongea huna mazingatio nacho wala hutafakari madhara na faida zake, Swahaba Abdirrahman ibn Awf unamfananisha na MO Dewji Kisha unaomba ukutanishwe naye kabla ya Mtume !!! ???, yaani ye ni Bora kuliko Mtume, au MO Dewji ni bora kuliko Mtume, KHATAAAAARI KUBWA , NYIE MNAOSILIMU TUNAWAOMBA BAADA YA KUSILIMU ISOMENI DINI YA ALLAH KWANZA JAPO KWA KUONGEA HAMUWEKANI
@muhammadkifakara25732 жыл бұрын
Huenda labda ulighafilika ukajikuta umeropokwa na Domo lako hilo na huenda hujui mpaka sasa, akili ilijaam kufikiria utawauziaje Dawa za KISUNA **HESHIMA YA NYUMBANI** Ila mbona pamoja na watu wanaoendelea ku comment bado umedorora tu hata hujibu ?, MUHIMU KAFANYE ISTIGHFAAR KWA WINGI
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Yani mtihani Sana a naona Bola asikutane na mtume muhaamad sawalallahu alahi wasalam. Sifa zingine hizi
@allycomm15532 жыл бұрын
Kweli kabisa ukhuyya mtihan hawa mashkhe kashasha
@ismailnassor7852 жыл бұрын
Yani dk Sule upo tayari ukutanishwe na swahaba mwanzo kuliko Mtume mm kwa mawazo yangu nahisi umechemka sn
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Sifa a kijinga zitamponza na watu wanamsikilozatu anjiona mjanjaa
@MrAmissi2 жыл бұрын
Ma Sheikh wa Bongo noma kweli unapimanisha wacheza kamari watu wanakula mali za watu kwa batwi unapanisha na swahaba aya sawa
@amadoukimpembe4827 Жыл бұрын
Mashallah
@maryamshuraim41632 жыл бұрын
DR SULE UNAYUMBA...
@abubakarihamissi41782 жыл бұрын
mm huyu jamaa kuna muda mwingine namuonaga kama kibaraka hivi yaani mnafiki mnafiki Allah ànisamehe kwa kweli lkn huyu nina walakini nae
@mahmouduchiwembi29392 жыл бұрын
Mwenzako kaacha Mali zake zote kunfuata mungu na mtume je ww unamkubaki umeacha Mali ngapi kwaajili ya dini.
@sadathboutique62532 жыл бұрын
Doctor sule nakukubali sna,achana na watu wa chuki
@user-qk7zm1dn8e7 ай бұрын
Aaaaa
@rajabuathuman88252 жыл бұрын
Hamna sheikh hapo njoo.kwenye usalafi uisome tauhidi.kwanza alf ukalinganie
@zvpOnlineTv2 жыл бұрын
Hahahaaaaa
@abdulmadhimbarak3998 Жыл бұрын
Ww Kuna mahala umemkosea Mungu omba maghfira mapema
@sheikh.abuusamuhath2 жыл бұрын
Shk. Asalam alaikum... hapo kwa kumtanguliza swahaba kabla ya mtume... umekosea shk...
@lugendomwigoha68812 жыл бұрын
Kweli kabisa hapa shekhe sijamuelewa kabisa
@omariaman7818 Жыл бұрын
Ameteleza
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Allah Akbar
@zvpOnlineTv2 жыл бұрын
Walillahil-hamdu
@amarislam15892 жыл бұрын
وروى البخاري من حديث أنس بن مالك رضي الله عنه أن النبي صلى الله عليه وآله وسلم قال: "لا يؤمن أحدكم حتى أكون أحب إليه من والده وولده والناس أجمعين". وكذلك عن أنس عن النبي صلى الله عليه وسلم قال: ثلاث من كن فيه وجد حلاوة الإيمان أن يكون الله ورسوله أحب إليه مما سواهما.." الحديث Anas bin malik asema .kwamba mtume swalallahu alahi wasalam amesema.haitimii imani ya mmoja wenu mpaka anipende mimi zaidi kuliko wazazi wake na watoto wake na watu wote.na vile vile Anas radhi za Allah ziwe juu yake amesema mwenye kua na mambo matatu atapata utamu wa iman.awe mwenyezimungu na mtume wake ndio anaowapenda zaidi kuliko yoyote yule ama chochote kile. Hapa kateleza kidogo
@nurdinkamote61782 жыл бұрын
Dr sule yupo sawa kama kuna mapungufu kidogo ni yakibinidamu2 ila kwakazi unayofanya sisi tunaiyona mwenyezi mungu akupe kheri nyingi kwakazi yako inshaallah
@alimash18722 жыл бұрын
Kaka unayumba mbona unatembea vibaya mtu sw wee usionane nae was Kwanza wakati.mtume sw awo masahaba wao ndo.wa.mwanzo wamuone.mtume.alaa
@rashidikidume63632 жыл бұрын
Naomba unipatie namba za huyu shehe
@roseatienoogutu7641 Жыл бұрын
❤❤❤ Allah barik
@hajaniacharamadhani80742 жыл бұрын
Hata kama sina Ilmu hili sikweli unaomba bola kukutana na sahaba wamtume mbele ya mtume Astaghfirullah Ikiwa kuna Mtu Bola kitu bola kuliko Mtume wallah sisi hiyo Imani yako tunakua tunashaka nao Allayalaam
@nabilsuleimanhaji24372 жыл бұрын
dahh huyu anapotea itabidi swahaba ni bora kuliko mtume huyu xio shekh
@TALLUBOY2 жыл бұрын
Tanzania Waislam wake Wanajua sana sana Wana elim sana sana sana
@bashkidana94042 жыл бұрын
Uyu jamaa Kama simuelewi vile swahaba anakua Bora kiliko mtume pole sana ndoo maana mwaipopo alisema we n tapeli Sasa unaanza kututapeli tumpende swahaba kiliko mtume
@abuumudhakkir36882 жыл бұрын
dokta sule kwanza kasome TAUHEED
@zvpOnlineTv2 жыл бұрын
Ww umesoma
@abuumudhakkir36882 жыл бұрын
nitakapo kujibu kwamba nimesoma au nikijibu sijasoma itakuaje?
@selemankishema57802 жыл бұрын
Masheikh mizigo ktk uislam sasa wewe mpumbavu unamfananisha tajiri wa kiswahaba na matajiri ambao wala riba wakubwa hivi nyie mnaakili kweli au mnatafuta wawaite wakawape posho?
@kusakisoma31682 жыл бұрын
kaka unakoelekea sasa kuukwaa ubalozi kama siyo gsm ama mo dewj
@zvpOnlineTv2 жыл бұрын
Mh
@abuusaad57912 жыл бұрын
Mitume ni bora kuliko muumini yeyote.
@zaburi23862 жыл бұрын
Sasa mo dewj anatoa bilioni 20 simba anashindwa kujenga hata madrasa vituo vi 5 watoto wajifunze kuhusu MUNGU uislam kaz kwel
@ndayishimiyeabdallah982 жыл бұрын
Huyu jama wa ajabu sana , akutwanish na abdurhaman kabla ya mtume😳😳
@sadiqselengu41972 жыл бұрын
Sasa unafikiri sehemu atakayokuwa aliyetabiriwa pepo yaan suhaba Abdurrahman RA mtume hatokuwepo.... Huyo anayofanya ni kwa ajili ya radhi za Allah na mtume maana hao ndio moja kwake
@salehhuty28872 жыл бұрын
kisa cha bible sehemu ya tatu
@omariaman7818 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@jumanneissa82262 жыл бұрын
Wallah hawawazushi huyuni jahili Hana akili kabisa someni sunna Soma Quran hakunakulimbe chochote chakukipenda kulimtume salana Salam zimfikie hivi nyie mashekh wanganga mnasoma vitabu vya kiganga ndo mnakua wanafiQ hivi subhanallah hatachizi anakupinga kwahili wallah inasikitisha Sana ndomaana mtume swalalahu ayhiwasalaam alisema tuombe elimu yenye manufaa sababu unaweza kusaoma pia ukawa mjinga kama Sulley sababu huna elimu yenye manufaa
@husseinkazigo61892 жыл бұрын
We ndo mnafiki mkubwa hujamskiliza vzr unaanza kuropoka mtot wakaaba wew