Jazakallahu kheir elimu tosha. Allah ni mkubwa na mwanadamu wa kwanza kuadhini Makkah ni Bilal na alikuwa mweusi.
@aishathabit37326 ай бұрын
Akili za kibaguzi hizi
@ramadhanijuma65226 ай бұрын
Allah akupe umri mrefu ili vizazi viendelee kutoka kwenye kiza cha hii dunia na akikupenda zaidi basi akupe mwisho mwema inshaAllah
@Aisha-qx7kz7 ай бұрын
Masha Allah Allah akujalie umri mrefu uzidi kutuelimisha sule nakukubali kwaajili ya Allah
@eliasmajambomwinyihaji13357 ай бұрын
Shukran sana jazakaallah kheir Dr sule nimepatafundisho na manufaa makubwa sana ambayo nilikua sijui ,kisha kwa upande wa historia nasisitiza tu yiende kwa mpangilio najua ulimruka idris .
@ZukraKarundeАй бұрын
Mashaalah historia nzuri,hao watoto wa Nabii Nuhu walikuwa wakiume tuu? Wanawake wa kuzaa walitokea wapi, Naomba uendelee kutupatia elimu.
@MWANSITIАй бұрын
Alhamdulillah Allah akulinde shekhe wetu
@nurumohammed13105 ай бұрын
Asalam aleikum mungu akulinde uzidi kutufundisha kwa yale tusio yajuwa mungu Akubarik akulinde akuondolee maradhi inshallah 🙏🏽
@MakeleleAboubakarr7 ай бұрын
Mashaa'allah mimi uwa nafatiliaka xana nijuwe asili ya mwanadamu kwa mdamurefu, leo nimeelewa kbs
@zainabuzainabu74037 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akukinge na Shari zote.
@AlliSaidi-xn3xl6 ай бұрын
Doctor mungu akuzidishie uweze kuwafunua watu mawazo yao yalio gizani na pia wasio muogopa mungu
@jamilaathumani54817 ай бұрын
Mashalah mashalah ostazi wng...yani kwa maneno hayo naamin wasio waislam wataslim na watakuwa wameelewa...kama hawajaelewa hawaelewi tena...nyie watu msio waislam naamin mtaslim..uislam ni raha ..mwenyezimungu tufanye tufe tukiwa waislam amin
@thamani58427 ай бұрын
Amiin
@SaeedAzal-zv4fc5 ай бұрын
Mashallah
@SwafaaKaneza7 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akujalie umri mrefu asanthe kabisa kwa kutuelimisha n'a kuelimisha wasiokuwa waislam hâta kama iblis ameshachukuwa roho zawo miongoni mwao,hapa Kuna elmu kubwa sana,alhamdulillah kuujua uislamu!!
@ismailhassan52097 ай бұрын
Maashaallah Dr. Sule Allah kwa fadhila zake akulipe inshaallah
@RashidSaid-t9i7 ай бұрын
Mwenyezi mungu akuzidishie insha allah dr uko vizuli
@surusuru19947 ай бұрын
Mashaallah weli wang umesisimka majozi yanitoka wallah🤲,
@neemakhatib-z5q6 ай бұрын
mume wangu anampenda sana hawezi kulla asimsikilize 🎉mungu akupe kheri na imani wa tz wengi ambao wana akili wanaongea vizuri iyo ndo mana yake🎉🎉🎉 ongera dr sulle
@salimhamid99764 ай бұрын
From amsterdam with love mashallah
@YusuphKazigo6 ай бұрын
Ubarikiwe sn kwa Allah inshaAllah
@eliasmajambomwinyihaji13357 ай бұрын
Dr history nzuri sana mashaallah Mashaallah Mashaallah ,ila niko na swali baada ya nuhu kuzaa watoto watatu kisha hao watoto wakazaa mataifa mbali mbali ,je kizaz cha Adam na idris kilienda wapi ? Maana akitoka Adam na huyu Adam alikua na watoto atujui ni wangapi ? Kisha anakuja idris sijui alikua na watoto ama vipi ?kisha swali lengine linakuja kwa huyu nuhu alizaa watoto watatu tu je wake zao waliwatoa wapi ,Dr naomba utufafanulie vizur tena hatua kwa hatua ili na mimi kesho nikija kuelezea watu waelewe na kuridhika ,mana Dr sule wewe unaeleza vizur sana history ongera sana tafuta mwanafunzi umfunde vyema.
@kondeabdallah69877 ай бұрын
Kizazi Cha Adam kilisombwa na gharika ya nuhu kisha nuhu akazaa kizazi kipya..ambayo ndio hao watoto wa tatu waliozaa mataifa mbali mbali...
@simeonmazigo59187 ай бұрын
Kwenye safina waliingia watu8 Nuhu na mkewe pamoja na vijana wake3 na wakezao jumla watu8
@charlesmgonja86897 ай бұрын
Huyu Daktari mampa Big up😊😊😊
@Kinyozzi16027 ай бұрын
@@kondeabdallah6987Kwa hyo nuhu sio kizazi Cha Adam ? Alitokea wapi nuhu
@buu2133 ай бұрын
kwenye safina nuhu aliingia yeye na watu waliomuamini hivyo hakuw nuhu na familia yake pekee
@AmdiniChungulu6 ай бұрын
Mungu akurinde inshaallah
@moureenkamau86977 ай бұрын
Mungu akulipe sheik sule❤❤❤❤
@LucaWanzuki7 ай бұрын
Umetisha sana Dr sule
@SalmaIbrahim-ns6wy7 ай бұрын
Mashaallah mungu akuzidishie moyo huwo
@MaulidMnyamisi7 ай бұрын
Dokta kauli yako kwa wabunge kuhusu kukemea ushoga imeshapokelewa tena kwa uzito mkubwa. Pia wamasai wa kata ya makorongo wilayani chemba ameipokea na wameitisha mkutano wa dharudha na wameazima kwa masai yeyote atakae fanya ushoga na usagaji wao kama wamasai wamefikiana Kuua. Dr. nakuomba utengue lileombi lako ka Allah la kufa ukiwa na umri wa mika 63. Watanzania na jamii inayokufuatilia kote Duniani tunauhitaji wa kiongozi ka wewe. kwasababu ukifa mapema hatuoni kiongozi wa dini ya kiislamu wa aina yako Inshaallah. Allah akujaalie afya njema riski na umri mrefu uendelee kufanya kazi ya ALLAH
@Mnyalu-q6q4 ай бұрын
Hongera sana dkt Kwa kutupa maarifa
@yusufuheri65247 ай бұрын
Mashaalah mashaalah ya Salam ya Salam
@nuhukenny71837 ай бұрын
Shukran Dr Sule. Nakukubali. Unasema kweli
@kimoyoleteipa817 ай бұрын
Mashaallah!!!watu waache kujipodoa kuwa mweupe rangi nyeusi ni dhahabu!
@ShamsaGao-nn1ge7 ай бұрын
Mashallah darasa zuri sana
@IbraahAbdully7 ай бұрын
Mashallah.tabarakallah.shekh
@HaruniMussa-w5l6 ай бұрын
Mashaallah
@binumarybinumary355011 күн бұрын
Asalaam alyku, shekh naomba kujua hapo wale watoto wa nabii nuhu wote walikua wanaume?
@henrysizya2396 ай бұрын
Mimi ni mkristu, naweza kumpinga mengi sana Dr ila kwa hili la asili ya mtu wa kwanza kuwa mweusi nakubaliana nane 100%
@MariamAbdalla-d3z7 ай бұрын
Basi wasipake mikorogo na wasibandike nyele za rasta au wiki kwa k8chwa Chao wasibandike kucha na kope wakubali vile mungu alivyoumba binadamu vile walivyo na tumshukuru mungu sana tena sana.
@RamadanPaul7 ай бұрын
Mashaallah sheikh
@sapnaochu7 ай бұрын
Mashaallah👌
@SwaumRashidi7 ай бұрын
As,alykum nisahihi dokter
@amissishauri-eq7sl3 ай бұрын
Manshallah
@hon.zyumaa.h98986 ай бұрын
Assalamu alaikum, nauliza
@JohnMuhogo5 ай бұрын
Dr wewe mwaga huwa nakukubali sana
@jamilakhamisshaaban47527 ай бұрын
Masha aa Allah
@mckobatz58617 ай бұрын
Mashallah Dr. Sule nimefurahi nimefarijika kuona ukweli unaendelea kuwa revealed kuhusu thamani ya mtu mweusi historically. Ila nina swali hapo kwenye lugha ya kuabudia na mfumo kama ulivyoeleza na kunukuu kuanzia adhana mpaka swala na katika hiyo kuna kumswalia mtume Mohammed SW na kwenye system kuna shahada inayomtaja Mtume je huo ndio mfumo tangu mwanzo? Maana inasemekana uislam ndio dini ya manabii wote yaani hata nabii Isah na wengine waliokuwepo kabla ya Mohammad walikuwa wanaabudu kwa mfumo, lugha na maneno hayo hayo exactly kama inavyofanyika leo??? Kama ndio je Mohammad alikuwako "spiritually" kabla ya akina Adam, Musa, Suleiman, Nuhu Ayubu na wengine? Kama ndio pia natamani kupata ufafanuzi wa kimaandiko
@JazalaRachideMohamede5 ай бұрын
Endeleza daaaaawaaaah
@sifamanyori7 ай бұрын
Umesema ukweri mungu akumbariki
@mqabdullahismaily3687 ай бұрын
Nasikitika kuweka Ombi langu kwenye kipindi am achoo hakija husband na hilo Ombi langu. Naomba Namba ya Simu ya Dr. Ninamaradhi. !! ❤
@SimonNtakobajira-vi3ql4 ай бұрын
kweli,uko mwalimu mkuu...
@ABUNUWASICOMEDIAN6 ай бұрын
Salaam Aleikum. Pia and iko linguine hili hapa linalo dhibitisha kwamba Mtu mweusi ndiye binadamu wa kwanza. Mwanzo 25 :23-26, kiasasi cha Isaaki Essau na Yakobo. Essau ndiye aliye zaliwa mzungu, basi labda ndiye alowazaa wazungu...
Nadhani kuna mambo mengi sana ambayo Sulle hayaelewi kuhusu Evolution. Na hii ndo inayo mchanganya. Mimi najitolea kumpasomo sahihi kuhusu Evoulution. Mimi nayeye tunakubakiana eneo moja tu kwamba Binadamu wa kwanza ni Mweusi Mengine.hili ni lakisayansi. Zaidi ya hapo Anahitaji lecture yakutosha ya Evolution anitafute kwa muda wake.
@Ars-t2k7 ай бұрын
pia si kweli kwamba Wazungu wanasema binadamu wa kwanza ni Mzungu. Vitabu na Chunguzi za kisayansi zinathibitisha Maisha ya Binadamu yalianzia Africa. Na hao wazungu wanafahamu na kukubaliana na hilo.
@rayisadesigns26466 ай бұрын
Kwa hiyo we unaamini asili yako ni nyani?!
@Ars-t2k6 ай бұрын
@@rayisadesigns2646 Wewe pia Unahitaji Elimu ya Evolution.
@Ars-t2k6 ай бұрын
@@rayisadesigns2646 ni ukweli kwamba Binadamu tulitokana na mabadiliko yakimaumbile kutoka kwa kiumbe kinafanana na nyani wa sasa. Sisi na hawa nyani sote tumetoka kwenye Chimbuko moja kwa lugha ingine.
@AmdiniChungulu6 ай бұрын
No kaa pembeni we wazungu na elimu yao imekuathiri
@SELEMANITEKETEKE6 ай бұрын
Ingieni katika uislam
@saidramadhan32125 ай бұрын
❤❤❤
@AmitaBatchan7 ай бұрын
Dr mwenyezimungu akujazie mema
@RamadhaniWaziri-v2p7 ай бұрын
Mashallah........
@KiduoMasimba7 ай бұрын
Doctor akulinde na akupe ulinzi wake @ shekh me nnaswali tunapo maliza swalaa tunatoa salam "asalam alleykum" kwann? Na ile salam tunamsalimia nani?
@habibukalema31275 ай бұрын
Tunasalimia malaika2 ambao wale wanamlimda akiwa dunian
@AmisiReddy-dd8gi7 ай бұрын
Takbir
@MakeleleAboubakarr7 ай бұрын
Nimenufaika saaana kbs
@surusuru19947 ай бұрын
Kiarabu❤
@ismailsoud36347 ай бұрын
Naongeza ufafanuzi zaidi. Binadamu ameumbwa mwa vitu 4 vyenye mgawanyiko maalumu navyo ni Udongo, Maji, Hewa, na Moto. Hivi vipo ndani ya mwili wa binadamu, HEWA ni pumzi, MOTO ni body tempreture Udongo ni mifupa n.k
@ABEDISAIDILIGOMAABEDISAIDILIGO6 ай бұрын
Sana tumejifuza
@RashidMatumla-vf4hs5 ай бұрын
Alhamdu lillah
@MukhtarBurah7 ай бұрын
ASANTE SANA KWA KULIFAHAMU HILI PIA NATAKA KUWEKANA WAZI MTUME WETU MUHAMMAD S.W.A. ALIKUWA WARANGI GANI?UTUWEKE WAZI WEWE DR.SULE.
@hatibuahmadi72375 ай бұрын
Alikua anarangi hafifu kwakwetu sisi watz tuna ita chotara hakua mwepe pee kama papai alikua na uafrika kupitia nabii ismail
@shaghalinguva63643 ай бұрын
Mm nauliza naomba kujua uhalali wa kula mnyama poli ( kwenye kuchinjwa).....kam mnyama kanaswa na mtego n akafa bila ya kuchinjwa je n haral kuliwa ??? Na je kintakiwa nn kifanyike....??
@kingofjungle5102 ай бұрын
Mbona hao madiko ya Al hijir 15:28 siaone
@TibaisaTalla3 ай бұрын
Kwani
@hon.zyumaa.h98986 ай бұрын
Mfano: Tembo kizanzibari ni tusi, umri ni tusi, dr. Yupo sawa hapo
@MohamedHalake-cy8bh7 ай бұрын
Ni Mohamed halake kutoka Kenya mola akulinde Dr sule
@roberthyela52396 ай бұрын
Unataka urudishiwe lugha safi, kwani dunia ishateketezwa kwa moto? Dunia ikiteketezwa kwa moto, baada ya hapo ndo itarudishwa lugha iliyosafi. Mnaulizana kisiasa na mtangazaji na yeye anajibu kisiasa.
@DastanfrankMsindo6 ай бұрын
Huyu mwana dam wakwanza AmBAR mweus alikua nch gan
@sharifusagire72317 ай бұрын
Mie niko musoma ila mie ni maskini nawezaje kupata jini mzuri anitoe kwenye umaskini uliyo kidhili kwangu?
@MussageAiuba-k2b6 ай бұрын
Mimi Ally❤ nakukubali ila😂 kwenye majini nakupinga Muhammad sw je" alitumia majini kupitia kipato kingi
@aishathabit37326 ай бұрын
Historia kama hizi za kutungwa tungwa huwa ni akili najisi za kibaguzi Uislam upo mbali na akili chongo hizi za kirangi Ama misikitini hakuna wanao bishana juu ya rangi ya binadamu wa kwanza
@KelvinMlay-mi7kc7 ай бұрын
Kweli
@kisakamangachi47687 ай бұрын
Kama Nuhu alikuwa mweusi ikawaje azae watoto weupe?
@mbarikiaally28147 ай бұрын
Swala kila nabii kapewa zake kwa idadi yake
@NursinKabora29 күн бұрын
Na dini n ya mtu mweusi hawa wanasema din n za weupe wazungu na waarabu wajivunie kuwa ustaarabu umeanzia africa. Na mzungu anamhofia mwafrica mana africa ndio chimbuko halisi
@FundiAyo7 ай бұрын
Dr hapoado ujaelezea historia ya AFrica kisayansi bidam wakwanza uligundulika unyayo wale miaka mingi sana haijakaa sawa hio history haya hawo watt walizaa bila wenza
@fredericmbokobest6 ай бұрын
Nikiwa mfuatiliaji wa hiki kipindi ambocho kichwa chake kilinipa shauku zaidi ya kufuatilia, na kusema ukweli mwalimu alianza vizuri akisimama kwenye Mada, lakini alipofika sehemu ya lugha, basi mwenyewe yaani kama alijivuruga kidogo na hiyo kusababisha kwenda inje ya mada. Maana kama lugha ya asili ya mwanadamu ilikuwa Kiharabu, je sasa wa harabu ni watu weusi? Maana sijui kama inawezekana vipi, watu wote wawe ni weusi (asili) kisha lugha yao iwe ya taifa lisilo kuwa nyeusi
@rjmoirati72425 ай бұрын
Huyo ni kumatu dawa yake Ndacha
@Mnyalu-q6q4 ай бұрын
Sasa sheikh ham shem na yaphet wake zao waliwapata wapi?
Na ndio maana africa tuna lugha nyingi kuliko watu weupe Kwa sababu sisi ndio Wa kwanza
@JacklineMukunzi6 ай бұрын
❤ NIUKWERI PIA ASANTE IRA UMEKOSEA UMEONGEA VIZURI KISHA UKASAHAU MADA UKORONI .WADINIYAKO UKAKUBARI KUKUTAWARA DAKIKANYINGI UKATUPA MADA 2 WAZUNGU WANCHINA WA HINDI HAO HAKUNA. HAISLAM WAO. WA NA MADINIYAO. CHINA DINIYAO NI. MUDASM HINDIA DINIYAO NI. HINDRU . WAZUNGU DINIYAO NI UKRISTO KWAHIYO. UKIONA WA ISLAM MWENYE INCHI ZAO. INAKUA. NI SISI WA AFRICA. TUKO WAKORONI WAWA ISLAM TUNA SWARIA KURE MU MOSK SIO WAO .sasa RUGA HIYO imeandikwa itaongerewa SIO charabu wapi. NI kuwa na. Imani. Moja ndo mwenyezi MUNGU. ARIONGEREA. TUKISEMA VYA MARUGA. MATAIFA MENGI WANATUMIKISHA KINGEREZA WAZUNGU. WATATAWARA KWAKUA KWAJU WA KRISTO NI MATAIFA KAMA YOTE DUNIA. IRA WARABU. WARI KAMATA. WA AFRICA TU TUKASAMBA DUNIA IRA. TUNA BAKI. NI SISI TU MATAIFA MENGINE HAYAKUBARI WISILAM. NA HUYU NI UKWERI NAONGEA NA NDO JISI IRIVYO WISILAM NI WETU TU WA FRIKA NA WARABU TU TUACHE. KUJIDANGANYA NA KUDANGANYA. WENGINE NA SISI WENYEHAKIRI. TUSIDANGANYWE. NA UKORONI WA MADINI NA KUDANGANYA WENGINE KWA MAMBO ANAONEKANA .. IRA. AYO MENGINE UMEONGEA NI UKWERI SISI WA AFRICA TUKO ORIGINAL
@ImanikhatbMussa6 ай бұрын
Jitahd kuandika kiswahili fasaha
@rjmoirati72425 ай бұрын
Dr.Sule anasem biblia sio kitabu cha Mung sas anatafuta vp ushaid kweny biblia??
@shubebunyesi5425 ай бұрын
Mule kuna maneno ya Mungu ambayo ni ya kweli lkn mengne yamepotoshwa so anaenda na yale abayo yako sawa lkn hakuna nabii aliyekuja na bibilia
@OmaryAlly-vw3ue6 ай бұрын
Sasa hiyo ni biblia ama injili tujuze maalim?
@nicksonlyimo15627 ай бұрын
Mtu mweusi alianza baada ya gharika ya Nuhu soma vizuri utaona na aliitwa kushi yaani mweusi .,
@abdulsaid45796 күн бұрын
original inatoa copy lakini copy haiwezi kutoa original. Daah. hii kali. 😂😂😂😂
@KassimKhalaid7 ай бұрын
Na makafiri wanabisha tu kusudi lkn ukweli dini ni islam tu akuna nyengine
@masoud-d2n7 ай бұрын
bado hakuna aya inayosema mtu wa mwanzo alikua mweusi bicoz ata spam wote ni weupe lakini wana toka watu wa rangi nyeusi na nyeupe kwaio ata udongo ulikua mweusi lakin inawezekana binadamu wa kwanza alikua mweupe ata kama udongo ulikua mweusi
@husseinmbega42275 ай бұрын
Mtu mweusi watu weupe wanaamini ni shetani
@seiphyahya53535 ай бұрын
Dr. SULE kuna baadhi ya wataalamu wamesema kuwa MTUME WETU SAW PIA ALIKUWA MWEUSI. NI KWELI ?
@husseinmbega42275 ай бұрын
Kama mtu mweusi ndio wa kwanza mbona hana akili yupo kama mlemavu yupoyupo haeleweki mwizi Malaya chizi mtambo sheh angalia vizuri
@DialogueplatformPlatform27 күн бұрын
😂😂😂
@eliasmajambomwinyihaji13357 ай бұрын
Dr sule wakat malaika anachukua mchanga au udongo alichukua sehemu tofaut sindio ,kwa hali ya asili mtu yoyote huku Africa lazima akizaa hakosi mtoto mweupe na mweusi na maji ya kunde ,Dr sule swali langu ni hili kwanini quran ilikuja kwa njia ya kiarabu ?kisha Adam alikua anazungumza lugha gani ,ninavyo jua baada ya kuumbwa Adam ndio malaika waliulizwa wataje majina vile vitu wakashindwa na Adam akavitaja,sasa ilikuaje kuaje mpaka ikakuja quran ,mtume akapewa swala tena na nyuma Adam alikua anajua kila kitu na alikua anaswali swala hizi hizi ,si hao mitume wengine walikua wanapokezana ?
@ramadhanwilbard81967 ай бұрын
Adamu kipindi anaulizwa hivyo vitu hakuwa duniani bali alikuwa peponi kwa Allah na malaika zake na lugha ya ibada ni Kiarabu na lugha ya peponi ni Kiarabu ndiyo maana Sheikh anakwambia kwamba lugha iliyotumika hapo mwanzo ilikuwa ni Kiarabu baadae alipokuja Nuhuu na watu walipotaka kujenga munala wa kwenda mbinguni ndipo Allah alipowabadilishia lugha automatic kila mtu alijikuta anaongea lugha yake ili wasielewane katika ujenzi haramu huo lakini katika andiko hilo la Bibilia Mungu alisema kuirejesha lugha moja ya ibada moja katika ulimwengu wote ambayo ni lugha ya Kiarabu na hili liko wazi halihitaji kuoneshwa andiko Mimi leo nikienda Kenya nitaswali na Waislamu wenzangu Wakenya,nikienda Kore hivyo hivyo,nikienda Misri namna hiyo,nikienda Congo naswali bila shaka yaani Dunia nzima !
@salimabdul44247 ай бұрын
Kwa hiyo vitabu vyote vya mitume vipo katika lugha ya kiarabu
@ramadhanwilbard81967 ай бұрын
@@salimabdul4424 Hapana sio Kila Kitabu kilikuja na lugha ya Kiarabu na sio Kila Mtume alipewa Kitabu !
@aishathabit37326 ай бұрын
Ana nukuu bible sijui Sesi na nani Huyu Sule hajui bible ni uzushi nanuongo ? Huyu sio msomi wa dini Huwezi kunukuuu makorokocho kwenye bible halafu utumie kwenye kusomeshea uislamu
@tozzaalexandar49057 ай бұрын
Swadacta
@SalumBamba7 ай бұрын
We selemani wee,, mashaalwa tupe elmu huna ghiyaana sleiman
@topeng.15067 ай бұрын
Naomba kujua ni Lugha gani aliyoiongea nabii Adamu na kizazi chake?!!
@kiberengegora24076 ай бұрын
Ukovizuri
@mmasaalonda4996 ай бұрын
Swali umesema hamu diye mtoto wapili dio sisi wa africa Nadiye mtoto aliyeona uchi wa baba yake tumelaaniwa na babu nuo kwasababu baba yetu hamu aliona uchi wa babaye ?