KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Пікірлер: 113
@aishaissa251211 ай бұрын
Napenda huyu jamaa huwa nimkweli sana🎉🎉🎉dudu baya❤❤
@augustinhopastory114211 ай бұрын
NO BAD ENERGY, ALL THE WAY UP HOMEBOY @Dudubaya
@dassustephen73111 ай бұрын
Sikuwahi kudhani Dudubaya ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kujieleza.Hongera yake
@nazirjorgedasilva11 ай бұрын
Dudu baia salute.mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@MihayoMageta11 ай бұрын
Pole sana na Hongera sana wakunyumba, tuko pamoja!
@moodyzanzibar43366 ай бұрын
WEWE MTANGAZAJI YOU ARE SO GOOD / MASWALI YAKO NI YA MAANA SANA KWAKWELI KEEP IT UP MAN KONK MASTER I AM INSPERED WITH YOUR INTERVIEWS YOU ARE THE MASTER OF THE KONK-THE KONK MASTER
@rahabnkya82766 күн бұрын
Pole saaAana! Ooo mama mzazi MSHUKURU Sana.
@AnthonKishiwa11 ай бұрын
Hongera Sana konk kwa kusema ukweli
@thomaskiponda607911 ай бұрын
DUDU BAYA UNA KITU CHA KIMUNGU NDANI YAKO AMBACHO WATU WENGI HAWAKIONI NAKUPENDA SANA NAKUKUBALI SANA ❤❤❤❤
@williammkoba189511 ай бұрын
Brother conk nakukubari sana una imani sana ya Mungu barikiwa sana
@HamisiKarongo11 ай бұрын
konki the dudu baya pole Sana kaka mwenyezimungu mkubwa atakulinda Amina ,Mimi wako master karongo king of lindi
@serianjamal825411 ай бұрын
God bless you Dudubaya and may your mother live longer 🙏 ❤️ yaani maneno yako mengi yamenigusa bro😊
@AnthonKishiwa11 ай бұрын
Pole Sanaa ngoshaaa seba agopeje❤
@GeorgeRichard-o8h11 ай бұрын
Konk master upooo ndugu yanguuu, G nice hapa mwanangu.
@ASTONVILLA_2549 ай бұрын
Amen Oili chafu Kama Yesu yupo nasi tuko Konki mara 3
@SwaumuMussa-xp1zo11 ай бұрын
Konki namkubali sanaaa Gongaaa mezaa yani unapenda sana kucheka mda wote ww happy safiì sana bro Mungu atakupa nguvu utapona
@Pedeshee0111 ай бұрын
Ila mwijaku ana matako mazuri 😍 😍
@williamuphilipo212011 ай бұрын
Hapo mwishoni umeongea maneno Konki sana.
@sudiabdi440011 ай бұрын
Jamaa yupo vizuli
@damianmwalyego787011 ай бұрын
Konki anaogopa majukumu, angependa alelewe watoto. Hata hao watoto anaosema ni wake yawezekana aliwaachia mamazao.
@piucomuga337511 ай бұрын
Respect brooo
@khadijahussein529811 ай бұрын
Pole sana dudu baya😔
@patrickmukundichalamila303811 ай бұрын
Mwandishi uko poa kwa maswali,konki majibu muruaaaa 🔥🔥
@benjaminmartin454811 ай бұрын
Upo vizuri Ila tafuta mke u owe mama atafurahi zaidi. Uzee unakuja.
@kitutujuma960211 ай бұрын
Nakupa tano
@DONALDMTOWE-u9g11 ай бұрын
Your right konk,No one know about tomorrow.
@kilogreekachananawatuwasio405411 ай бұрын
Kutoka Ugiriki pole sana baharia dudu baya tupo pamoja mzee wakutubuatumbu😂😂😂
@SolomonNkohozi11 ай бұрын
😂😂😂😂
@IbrahimSalum-v5k11 ай бұрын
Big up mamba👆
@fridakakiko121711 ай бұрын
pole sana dudu
@saphinamshana503711 ай бұрын
Pole sana namimi naumwa kama wewe hospitali hawajaona naomba uniambie dawa
@MawazoMwamba-fz5hr11 ай бұрын
Pole sana Dudu baya 😢
@chandeyusufu957011 ай бұрын
Pole sana dudu baya
@hashimmziray741611 ай бұрын
konki afya imerudi hongeraaaa !
@saidaal167911 ай бұрын
😂😂😂ila konki bwana.😂😂 machawa popote mlipo kula chuma hicho kutoka kwa konki master leo umenichekesha sana😂😂😂
@OmanOman-bx5du11 ай бұрын
😂😂😂😂
@DansonMtambi-fq2ff6 ай бұрын
Konk konk konk master ❤❤
@OnlyRuky11 ай бұрын
Mmmmh hapo clouds amewasingizia tena Dahuu yupo very careful kwenye kipindi chao tena huwa ana mdhibiti kweli Mwijaku asije pitiliza kuropoka hata kwa bahati mbaya haijawahi tokea
@frankmganda242411 ай бұрын
Konki nakukubali broo
@stanastana319911 ай бұрын
Konki umeulizwa mbona huowi jibu inakua ndefu sana bro
Pole sana ila tafuta mke uoe yeye ndiye angekusaidia mambo ya uani siyo mama yako
@emmanuellaurent-uw7ym11 ай бұрын
Angusha piano kali konk achana na ishu za ngumu
@DansonMtambi-fq2ff6 ай бұрын
Sasa dudu baya si ufungue kanisa❤❤
@saidmajeba979111 ай бұрын
Jamaa huyu ni kichwa na haongei uongo
@AdamSaffi21111 ай бұрын
Haji Ana ugonjwa wa ADHD, ugonjwa wa akili huo! Msaidieni akatibiwe. Siyo binadamu wa kawaida au IGP amweke ndani 24/4
@NR-ll4sr11 ай бұрын
Anaongea vizuri, lakini ataleta story ndefu,,badala ya kujibu
@emmanuelmasanja604011 ай бұрын
Akili nyingi dudubaya
@NR-ll4sr11 ай бұрын
Hata wanaume wanapaka bwana. Ndio maana mnakuwa na Ngozi mbaya
@bonefacejoseph485011 ай бұрын
Baba levo huna lolote kazi kuchunga wanaume wenzako
@pastorprospermlembasayunip50011 ай бұрын
Safi sana Dudu baya
@danielmarwa329911 ай бұрын
One love mamba
@ephraimmakaranga179511 ай бұрын
Lolekunda uko vzr unanikumbuka
@IssaBacar-i2i6 күн бұрын
Konki nahitaji namba yako ya simu brother
@mwarikimwariki265311 ай бұрын
Pole dudu
@mohameddabwa792311 ай бұрын
Mwamba ulitupiwa jini asee usiombe dhumuni wakupoteze mzee nimeshuhudia sana watu kadha walio pitia Hali km hy nanikweli dalili zake miguu kuwaka moto au kutoka jasho
@merinakassembe11825 күн бұрын
Webye ukimwi ni wengi bongo baadhi ya wasanii wengi. Ni positive
@Ramadhaningamba11 ай бұрын
Jamaa afichi kitu
@amedeuskimario889511 ай бұрын
Uwezo wakujisaidia ukiwa umecmama umekua ng'ombe konki
@serekachacha-zg2vp11 ай бұрын
Ndomaana huyo baba levo mashavu yamemshuka kama mbwa wa wema sepetu
@khadijahussein529811 ай бұрын
Ahahahha
@Mery-st4nu11 ай бұрын
Mungu anakuona 😢
@selemanshaban749611 ай бұрын
Mzee wa fact
@Mr.jambotz11 ай бұрын
Mambaaaa
@eng.mallya953211 ай бұрын
Dudu baya ana akili kiwango kikubwa sana
@deusisindwa61611 ай бұрын
😂😂😂😂 ndomaana kesi hazikuishi
@ZakariaWandwimgerman11 ай бұрын
Mwijaku kumbe Huwa anapakwa mafuta?Alafu anageuza eti anapaka mwenyewe.
@dismasjerome165811 ай бұрын
Dudu hapo hukusikiliza vizuri ilikuwa ni miguu siyo makalio
@eliamwankenja708711 ай бұрын
Waafrica kichwani hamna konki ujikomboe akili kwanza
@charlesmpemba938711 ай бұрын
Mambaaaaaaa
@controlTheoryChamps11 ай бұрын
The Dudu, nakukumbusha kwamba kuna mamba wanaishi baharini. Ila pole sana
@subirajohn72811 ай бұрын
KONK KONK KONK MASTER ! POLE SANA
@EvanceBujiku-dc9rh11 ай бұрын
Safi dudu baya konki
@eddymwaifunga836111 ай бұрын
Una Baya konki
@nunuuali531611 ай бұрын
Kuna kaka wa Ukimwi anaitwa Hepatite acha kabisa
@kwisa489911 ай бұрын
ni noma
@ismailchibonda500511 ай бұрын
Dah! Pombe noma jamaa kachakaa vibaya 😂😂😂😂
@christinainnocent318411 ай бұрын
Na huyu Manara big mouth.kazi yake kudsndia mambo 😂😂😂😂 akisikia Makonda basi basi nae kama ushuzi wa ngomani, akisikia Samia anapura na yeye huyo kadandia anaona kazimwa mdomo na FAT basi kupayuka payuka eee
@manarakassimmanara313211 ай бұрын
KULIKO mama Yako uchi wake ulivyo kuwa wazi🤫
@HemediAhmedi11 ай бұрын
Puttin babalaooo
@maryamtanzania974311 ай бұрын
Nimecheka wallah kupaka matako mafuta na huyu kumzalia mondi
@adambairu836210 ай бұрын
Makonda ana Nini? Nyote nyie ni Wauza Unga, Punguzeni hizo. Mnavyozidi kumuandama na maneno ya hovyo,ndivyo anazidi kupendwa na watu wengi. Mtaandika mpaka mkonde.
@StellaErick-k4i11 ай бұрын
Dudu baya amekua ssaiv
@rajabunyambi54111 ай бұрын
konk msemakweli
@Mery-st4nu11 ай бұрын
Kaka zahiri mwambie huyo kaka minataka anioe
@Pedeshee0111 ай бұрын
Njoo nikuoe mimi ila una tako?
@Pedeshee0111 ай бұрын
Uwe na matako mazuri kama ya mwijaku
@Pedeshee0111 ай бұрын
Haraka nakuletea posa
@abdulbora81211 ай бұрын
😅😅
@AnthonKishiwa11 ай бұрын
Acheni ushamba kwani binadamu anakosaje mabadiliko kuwa mvi ni kawaidaa kwa binadamu musiwe wajinga kwani nyie hamtabadilika au kuzeeka
@AhmedHussein-j6c11 ай бұрын
mafala sana unachekaje uzee au ugonjwa,,..?
@abelmbijima432411 ай бұрын
Safisana binadamu kuugua au kupungua ndiyo kawaida kwanza hawa wanafikiri ukimwi lazima ukonde? Watu wameathirika na miili yao iko safi ugonjwa kwa mwenzako leo kesho wewe
@bernardmpakasi972911 ай бұрын
52:31 52:33
@NR-ll4sr11 ай бұрын
Acha pombe
@husseinkonz519211 ай бұрын
Kwel ngoja afeli figo
@JuniorMasanyiwa2 ай бұрын
Dudu ni jembe tena hembe la mambo ziwa Victoria
@mussakamando267811 ай бұрын
Waandishi stupid kabisa.😢 Hilo swali la kumuuliza kama alipokuwa anaumwa alikuwa na familia yake ama alikuwa peke yake ni swali la kipumbavu!!
@OmanOman-bx5du11 ай бұрын
😂😂😂
@aisharamdan835811 ай бұрын
Yani umri huo huna mke wala mtt duuuh
@gabrielmoses686011 ай бұрын
Watoto anao Aisha!!! Kuna Mariam Binti mkubwa Sana na kijana mmoja wa kiume mkubwa umri wa kuoa,,, kwa hao ndio ninao wajua
@zulekhasaud48311 ай бұрын
Aisharamadan8358 hebu jaribu kumaliza interview ndio unakomenti sio wacomment wakati kajieleza watt alio kuwa nao wote acha kudandia gari mbele 😂😂😂😂😂
@timothymikola231711 ай бұрын
Sio mtoto tu anawajukuu
@tatotato50611 ай бұрын
@@zulekhasaud483 KUNA WATU WANALOPOKA TUU BILA KUSIKILIZA