DUDU BAYA AMCHANA MANARA KUHUSU MAKONDA| PUNGUZENI DHARAU SASA MMEUMBUKA

  Рет қаралды 53,794

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

Күн бұрын

KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
0625466848 AU 0753393036

Пікірлер: 113
@aishaissa2512
@aishaissa2512 11 ай бұрын
Napenda huyu jamaa huwa nimkweli sana🎉🎉🎉dudu baya❤❤
@augustinhopastory1142
@augustinhopastory1142 11 ай бұрын
NO BAD ENERGY, ALL THE WAY UP HOMEBOY @Dudubaya
@dassustephen731
@dassustephen731 11 ай бұрын
Sikuwahi kudhani Dudubaya ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kujieleza.Hongera yake
@nazirjorgedasilva
@nazirjorgedasilva 11 ай бұрын
Dudu baia salute.mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@MihayoMageta
@MihayoMageta 11 ай бұрын
Pole sana na Hongera sana wakunyumba, tuko pamoja!
@moodyzanzibar4336
@moodyzanzibar4336 6 ай бұрын
WEWE MTANGAZAJI YOU ARE SO GOOD / MASWALI YAKO NI YA MAANA SANA KWAKWELI KEEP IT UP MAN KONK MASTER I AM INSPERED WITH YOUR INTERVIEWS YOU ARE THE MASTER OF THE KONK-THE KONK MASTER
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 6 күн бұрын
Pole saaAana! Ooo mama mzazi MSHUKURU Sana.
@AnthonKishiwa
@AnthonKishiwa 11 ай бұрын
Hongera Sana konk kwa kusema ukweli
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 11 ай бұрын
DUDU BAYA UNA KITU CHA KIMUNGU NDANI YAKO AMBACHO WATU WENGI HAWAKIONI NAKUPENDA SANA NAKUKUBALI SANA ❤❤❤❤
@williammkoba1895
@williammkoba1895 11 ай бұрын
Brother conk nakukubari sana una imani sana ya Mungu barikiwa sana
@HamisiKarongo
@HamisiKarongo 11 ай бұрын
konki the dudu baya pole Sana kaka mwenyezimungu mkubwa atakulinda Amina ,Mimi wako master karongo king of lindi
@serianjamal8254
@serianjamal8254 11 ай бұрын
God bless you Dudubaya and may your mother live longer 🙏 ❤️ yaani maneno yako mengi yamenigusa bro😊
@AnthonKishiwa
@AnthonKishiwa 11 ай бұрын
Pole Sanaa ngoshaaa seba agopeje❤
@GeorgeRichard-o8h
@GeorgeRichard-o8h 11 ай бұрын
Konk master upooo ndugu yanguuu, G nice hapa mwanangu.
@ASTONVILLA_254
@ASTONVILLA_254 9 ай бұрын
Amen Oili chafu Kama Yesu yupo nasi tuko Konki mara 3
@SwaumuMussa-xp1zo
@SwaumuMussa-xp1zo 11 ай бұрын
Konki namkubali sanaaa Gongaaa mezaa yani unapenda sana kucheka mda wote ww happy safiì sana bro Mungu atakupa nguvu utapona
@Pedeshee01
@Pedeshee01 11 ай бұрын
Ila mwijaku ana matako mazuri 😍 😍
@williamuphilipo2120
@williamuphilipo2120 11 ай бұрын
Hapo mwishoni umeongea maneno Konki sana.
@sudiabdi4400
@sudiabdi4400 11 ай бұрын
Jamaa yupo vizuli
@damianmwalyego7870
@damianmwalyego7870 11 ай бұрын
Konki anaogopa majukumu, angependa alelewe watoto. Hata hao watoto anaosema ni wake yawezekana aliwaachia mamazao.
@piucomuga3375
@piucomuga3375 11 ай бұрын
Respect brooo
@khadijahussein5298
@khadijahussein5298 11 ай бұрын
Pole sana dudu baya😔
@patrickmukundichalamila3038
@patrickmukundichalamila3038 11 ай бұрын
Mwandishi uko poa kwa maswali,konki majibu muruaaaa 🔥🔥
@benjaminmartin4548
@benjaminmartin4548 11 ай бұрын
Upo vizuri Ila tafuta mke u owe mama atafurahi zaidi. Uzee unakuja.
@kitutujuma9602
@kitutujuma9602 11 ай бұрын
Nakupa tano
@DONALDMTOWE-u9g
@DONALDMTOWE-u9g 11 ай бұрын
Your right konk,No one know about tomorrow.
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 11 ай бұрын
Kutoka Ugiriki pole sana baharia dudu baya tupo pamoja mzee wakutubuatumbu😂😂😂
@SolomonNkohozi
@SolomonNkohozi 11 ай бұрын
😂😂😂😂
@IbrahimSalum-v5k
@IbrahimSalum-v5k 11 ай бұрын
Big up mamba👆
@fridakakiko1217
@fridakakiko1217 11 ай бұрын
pole sana dudu
@saphinamshana5037
@saphinamshana5037 11 ай бұрын
Pole sana namimi naumwa kama wewe hospitali hawajaona naomba uniambie dawa
@MawazoMwamba-fz5hr
@MawazoMwamba-fz5hr 11 ай бұрын
Pole sana Dudu baya 😢
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 11 ай бұрын
Pole sana dudu baya
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 11 ай бұрын
konki afya imerudi hongeraaaa !
@saidaal1679
@saidaal1679 11 ай бұрын
😂😂😂ila konki bwana.😂😂 machawa popote mlipo kula chuma hicho kutoka kwa konki master leo umenichekesha sana😂😂😂
@OmanOman-bx5du
@OmanOman-bx5du 11 ай бұрын
😂😂😂😂
@DansonMtambi-fq2ff
@DansonMtambi-fq2ff 6 ай бұрын
Konk konk konk master ❤❤
@OnlyRuky
@OnlyRuky 11 ай бұрын
Mmmmh hapo clouds amewasingizia tena Dahuu yupo very careful kwenye kipindi chao tena huwa ana mdhibiti kweli Mwijaku asije pitiliza kuropoka hata kwa bahati mbaya haijawahi tokea
@frankmganda2424
@frankmganda2424 11 ай бұрын
Konki nakukubali broo
@stanastana3199
@stanastana3199 11 ай бұрын
Konki umeulizwa mbona huowi jibu inakua ndefu sana bro
@aginsagins-jf4vz
@aginsagins-jf4vz 11 ай бұрын
Niliwamiss wote Zahir na konk master
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 11 ай бұрын
Pole sana Konki
@fahidashishi255
@fahidashishi255 11 ай бұрын
Dudu baya njoo uniowe❤
@MrNdanguza
@MrNdanguza 11 ай бұрын
Hahahah
@fahmafahmavas
@fahmafahmavas 2 ай бұрын
Hahahahahahaha hahaahhahahahahaahahahahahahahhaaahahahahaaaahahahahaahaaaaahaahahahahhahahahahahahahahaahahahahaha
@fabienuwimana9559
@fabienuwimana9559 Ай бұрын
😮
@barikimakessy9542
@barikimakessy9542 11 ай бұрын
Pole sana ila tafuta mke uoe yeye ndiye angekusaidia mambo ya uani siyo mama yako
@emmanuellaurent-uw7ym
@emmanuellaurent-uw7ym 11 ай бұрын
Angusha piano kali konk achana na ishu za ngumu
@DansonMtambi-fq2ff
@DansonMtambi-fq2ff 6 ай бұрын
Sasa dudu baya si ufungue kanisa❤❤
@saidmajeba9791
@saidmajeba9791 11 ай бұрын
Jamaa huyu ni kichwa na haongei uongo
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 11 ай бұрын
Haji Ana ugonjwa wa ADHD, ugonjwa wa akili huo! Msaidieni akatibiwe. Siyo binadamu wa kawaida au IGP amweke ndani 24/4
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 11 ай бұрын
Anaongea vizuri, lakini ataleta story ndefu,,badala ya kujibu
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 11 ай бұрын
Akili nyingi dudubaya
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 11 ай бұрын
Hata wanaume wanapaka bwana. Ndio maana mnakuwa na Ngozi mbaya
@bonefacejoseph4850
@bonefacejoseph4850 11 ай бұрын
Baba levo huna lolote kazi kuchunga wanaume wenzako
@pastorprospermlembasayunip500
@pastorprospermlembasayunip500 11 ай бұрын
Safi sana Dudu baya
@danielmarwa3299
@danielmarwa3299 11 ай бұрын
One love mamba
@ephraimmakaranga1795
@ephraimmakaranga1795 11 ай бұрын
Lolekunda uko vzr unanikumbuka
@IssaBacar-i2i
@IssaBacar-i2i 6 күн бұрын
Konki nahitaji namba yako ya simu brother
@mwarikimwariki2653
@mwarikimwariki2653 11 ай бұрын
Pole dudu
@mohameddabwa7923
@mohameddabwa7923 11 ай бұрын
Mwamba ulitupiwa jini asee usiombe dhumuni wakupoteze mzee nimeshuhudia sana watu kadha walio pitia Hali km hy nanikweli dalili zake miguu kuwaka moto au kutoka jasho
@merinakassembe118
@merinakassembe118 25 күн бұрын
Webye ukimwi ni wengi bongo baadhi ya wasanii wengi. Ni positive
@Ramadhaningamba
@Ramadhaningamba 11 ай бұрын
Jamaa afichi kitu
@amedeuskimario8895
@amedeuskimario8895 11 ай бұрын
Uwezo wakujisaidia ukiwa umecmama umekua ng'ombe konki
@serekachacha-zg2vp
@serekachacha-zg2vp 11 ай бұрын
Ndomaana huyo baba levo mashavu yamemshuka kama mbwa wa wema sepetu
@khadijahussein5298
@khadijahussein5298 11 ай бұрын
Ahahahha
@Mery-st4nu
@Mery-st4nu 11 ай бұрын
Mungu anakuona 😢
@selemanshaban7496
@selemanshaban7496 11 ай бұрын
Mzee wa fact
@Mr.jambotz
@Mr.jambotz 11 ай бұрын
Mambaaaa
@eng.mallya9532
@eng.mallya9532 11 ай бұрын
Dudu baya ana akili kiwango kikubwa sana
@deusisindwa616
@deusisindwa616 11 ай бұрын
😂😂😂😂 ndomaana kesi hazikuishi
@ZakariaWandwimgerman
@ZakariaWandwimgerman 11 ай бұрын
Mwijaku kumbe Huwa anapakwa mafuta?Alafu anageuza eti anapaka mwenyewe.
@dismasjerome1658
@dismasjerome1658 11 ай бұрын
Dudu hapo hukusikiliza vizuri ilikuwa ni miguu siyo makalio
@eliamwankenja7087
@eliamwankenja7087 11 ай бұрын
Waafrica kichwani hamna konki ujikomboe akili kwanza
@charlesmpemba9387
@charlesmpemba9387 11 ай бұрын
Mambaaaaaaa
@controlTheoryChamps
@controlTheoryChamps 11 ай бұрын
The Dudu, nakukumbusha kwamba kuna mamba wanaishi baharini. Ila pole sana
@subirajohn728
@subirajohn728 11 ай бұрын
KONK KONK KONK MASTER ! POLE SANA
@EvanceBujiku-dc9rh
@EvanceBujiku-dc9rh 11 ай бұрын
Safi dudu baya konki
@eddymwaifunga8361
@eddymwaifunga8361 11 ай бұрын
Una Baya konki
@nunuuali5316
@nunuuali5316 11 ай бұрын
Kuna kaka wa Ukimwi anaitwa Hepatite acha kabisa
@kwisa4899
@kwisa4899 11 ай бұрын
ni noma
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 11 ай бұрын
Dah! Pombe noma jamaa kachakaa vibaya 😂😂😂😂
@christinainnocent3184
@christinainnocent3184 11 ай бұрын
Na huyu Manara big mouth.kazi yake kudsndia mambo 😂😂😂😂 akisikia Makonda basi basi nae kama ushuzi wa ngomani, akisikia Samia anapura na yeye huyo kadandia anaona kazimwa mdomo na FAT basi kupayuka payuka eee
@manarakassimmanara3132
@manarakassimmanara3132 11 ай бұрын
KULIKO mama Yako uchi wake ulivyo kuwa wazi🤫
@HemediAhmedi
@HemediAhmedi 11 ай бұрын
Puttin babalaooo
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 11 ай бұрын
Nimecheka wallah kupaka matako mafuta na huyu kumzalia mondi
@adambairu8362
@adambairu8362 10 ай бұрын
Makonda ana Nini? Nyote nyie ni Wauza Unga, Punguzeni hizo. Mnavyozidi kumuandama na maneno ya hovyo,ndivyo anazidi kupendwa na watu wengi. Mtaandika mpaka mkonde.
@StellaErick-k4i
@StellaErick-k4i 11 ай бұрын
Dudu baya amekua ssaiv
@rajabunyambi541
@rajabunyambi541 11 ай бұрын
konk msemakweli
@Mery-st4nu
@Mery-st4nu 11 ай бұрын
Kaka zahiri mwambie huyo kaka minataka anioe
@Pedeshee01
@Pedeshee01 11 ай бұрын
Njoo nikuoe mimi ila una tako?
@Pedeshee01
@Pedeshee01 11 ай бұрын
Uwe na matako mazuri kama ya mwijaku
@Pedeshee01
@Pedeshee01 11 ай бұрын
Haraka nakuletea posa
@abdulbora812
@abdulbora812 11 ай бұрын
😅😅
@AnthonKishiwa
@AnthonKishiwa 11 ай бұрын
Acheni ushamba kwani binadamu anakosaje mabadiliko kuwa mvi ni kawaidaa kwa binadamu musiwe wajinga kwani nyie hamtabadilika au kuzeeka
@AhmedHussein-j6c
@AhmedHussein-j6c 11 ай бұрын
mafala sana unachekaje uzee au ugonjwa,,..?
@abelmbijima4324
@abelmbijima4324 11 ай бұрын
Safisana binadamu kuugua au kupungua ndiyo kawaida kwanza hawa wanafikiri ukimwi lazima ukonde? Watu wameathirika na miili yao iko safi ugonjwa kwa mwenzako leo kesho wewe
@bernardmpakasi9729
@bernardmpakasi9729 11 ай бұрын
52:31 52:33
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 11 ай бұрын
Acha pombe
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 11 ай бұрын
Kwel ngoja afeli figo
@JuniorMasanyiwa
@JuniorMasanyiwa 2 ай бұрын
Dudu ni jembe tena hembe la mambo ziwa Victoria
@mussakamando2678
@mussakamando2678 11 ай бұрын
Waandishi stupid kabisa.😢 Hilo swali la kumuuliza kama alipokuwa anaumwa alikuwa na familia yake ama alikuwa peke yake ni swali la kipumbavu!!
@OmanOman-bx5du
@OmanOman-bx5du 11 ай бұрын
😂😂😂
@aisharamdan8358
@aisharamdan8358 11 ай бұрын
Yani umri huo huna mke wala mtt duuuh
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 11 ай бұрын
Watoto anao Aisha!!! Kuna Mariam Binti mkubwa Sana na kijana mmoja wa kiume mkubwa umri wa kuoa,,, kwa hao ndio ninao wajua
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 11 ай бұрын
Aisharamadan8358 hebu jaribu kumaliza interview ndio unakomenti sio wacomment wakati kajieleza watt alio kuwa nao wote acha kudandia gari mbele 😂😂😂😂😂
@timothymikola2317
@timothymikola2317 11 ай бұрын
Sio mtoto tu anawajukuu
@tatotato506
@tatotato506 11 ай бұрын
​@@zulekhasaud483 KUNA WATU WANALOPOKA TUU BILA KUSIKILIZA
@NGULYATI
@NGULYATI 11 ай бұрын
Putini
@bonabonala5559
@bonabonala5559 11 ай бұрын
konk master kadata mgonjwa wa pumu manara yupo imara kuriko huyo bashite
@tatotato506
@tatotato506 11 ай бұрын
18:26 18:31 18:47
@tatotato506
@tatotato506 11 ай бұрын
WENAE AKILI HUNA ET MANARA NAMAKONDA MANARA IMALA NDOA TUU ZINAMSHINDA KILA MWAKA ANAOWA NAKUACHA
Mkasi | SO9E09 with Dudubaya ( Extended Show )
48:44
MkasiTV
Рет қаралды 112 М.
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 32 МЛН
Good teacher wows kids with practical examples #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 13 МЛН
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,6 МЛН
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 72 МЛН
DUDU BAYA AFICHUA MADUDU YA SARAH WA DIAMOND, WAMEFANYA UPUUZI
25:37
سورة البقرة كاملة, رقية للبيت, وعلاج للسحر | القارئ علاء عقل - Surah Al Baqarah
3:59:16
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 32 МЛН