Mungu akufunike mtumish wa Mungu.leo nakupa jina jipya.wewe sasa unaitwa mwana mwema nasi dudubaya tena
@EmmanuelMaganga-be7blАй бұрын
Wew ni hatari sanaaaaaa brother ❤❤❤❤
@abdulikilala59022 ай бұрын
Dudu baya akili Yako moja ni sawa na wasanii wa Sasa hivi 20000
@WorlduniteАй бұрын
Zaidi ya 20,000 😂😂😂
@lameckmathias11882 ай бұрын
Mamba!, konki!, konki! Master. Uko vizuri wachache watakuelewa, ipo siku mtu mmoja atakuelewa na malaika watashangilia.
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
Ubarikiwe kiongozi dudu baya ❤
@ramadhanisakalani837219 күн бұрын
Mungu aku simamieee inshallah
@T-Fellow2 ай бұрын
Dah, uncle Dudu Baya Nakubali sana unasema mazuri mapana manene!
@eliankota5702 ай бұрын
Great thinker 👏👏
@williamuphilipo21202 ай бұрын
Mwenye masikio ya kusikia na asikie
@user-el4pg9zg8wАй бұрын
The master mind. The dudu
@MohamedIbrahim-bn1gz2 ай бұрын
Sawa kabisa manenoyako
@JustinaPeter-nq6dn2 ай бұрын
Naitwa justina hiyo nmeielewa sana kka yang
@nabiimgongolwa87282 ай бұрын
YES DUDUBAYA UKO RIGHT VIONGOZI WA DINI SASA HIVI NI WASANII.
@ramadhanisakalani837219 күн бұрын
Wallah Tena dudu baya umengea point sana
@ambitiousholyspirit3952 ай бұрын
Maneno ya Mungu halisi hakika maadiki yetu yamemomonyoka Mungu akutumie.
@thomaskiponda6079Ай бұрын
NIMEIPENDA HIYO.; MTUMISHI WA MUNGU UMEAMBIWA KUNA MGONJWA WASHA NDINGA UNAENDA KUTIMIZA WAJIBU❤❤❤❤❤❤. 😂😂😂😂😂😂. HAPO VIPI HAPO ❤❤❤❤❤❤
@abdulisikeАй бұрын
Konk konk konk master hua nafrai sana interview zako .
@alexandersangi17242 ай бұрын
Aminaaaaaaaaa
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Matendo 1:8 Kaeni humu mpk mtiwe nguvu..... Ila yuko sahihi mtu unapambana eti upate kiwanja katikati ya makazi ya watu badala ya kwenda nje ya mji
@arjunmutotowadzaleka2 ай бұрын
Niatari Sana
@mataypanga5262Ай бұрын
Huwezi kuwa kiongozi wa dini bila pesa kwa sababu kufanya kazi ya Mungu inataka pesa
@raymondthomas39602 ай бұрын
Konki kweli una akili kaka nimekipenda bure
@mbukumagiubukumagu4062 ай бұрын
Dudu baya yupo sahihi
@user-qq2oc4bt3iАй бұрын
Mtumishi wa Munguu fanya Kazii Mungu ameshakuita tayariiii
@thomaskiponda6079Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@njiasalamatv479412 сағат бұрын
DUDU BAYA FATILIA HOPE CHANEL TANZANIA....... UTASIKIA AMRI KUMI ZIKIFUNDISHWA KWA UPANA SANAA KUPITIA WAHUBIRI MBALIMBALI.. MUNGU AKUBARIKI KWA KUJALI AMRI ZA MUNGU
@user-uk6vv8ug1gАй бұрын
Kweli
@IsraelUrasa2 ай бұрын
Kweli duduu
@morisanicent63399 күн бұрын
We kichwa..
@goodlucktemu3149Ай бұрын
Anaishi nje ya mda Dudu Baya yuko really
@kabhikachambala33922 ай бұрын
Dudu baya ... Uko sahihi
@user-hu9bf7nw4cАй бұрын
Amri 10 zilikua ni adhabu ya izrael walishindwa kumwamin mungu ,na sio mataifa ,maana sisi zilikua sio adhabu zetu hizo ,ila sisi amri tunayotakiwa tuifaate ambayo ni asili ya utu wa ndan toka hapo mwanzo ni upendo ktk nafsi na wala sio hizo amri tunazozifuatilia ,wakati zilikua adhabu kwa izrael kwakua walimuuz kwakutomuamin yy, kikubwa sheria au amri kubwa ya moyon hua ni kuishi kwa iman ktk pendo na sio sheria hizo ambazo ni adhabu. Ila kwakua watu wameshazoea pasipo kuelewa uhalisia ,unakuta ndio maana wanakua wabaya zaidi maana wanafikilia amri za adhabu kuliko kufikilia haki ilio ktk sheria ya nafsi ya mtu kwa asili ambayo ni uoendo.
@mnyama82 ай бұрын
Kiukwel Mungu alieko agano LA kale ambaye ni OG mwenyewr ni tofaut na Wa agano jipya ,Wa agano LA kale keshasema kabisa hakuna Mungu mwingie apasaye kuabudiwa juu mbinguni ,dunian au chini ya Maji ,lakin Mungu Wa agano jipya aseee , 😂😂😂😂😂anasema Yesu pia ni Mungu ,aaabudiwe na kuombwa uliniz na mahitaji Mengine ,sas a izo amri kumi zitakumbushwa SAA ngap
@abelmwakipesile98682 ай бұрын
Nakubali
@moussamoss27862 ай бұрын
Kwa muda mdogo tuu nime muelewa Dudu Baya kuliko jinsi nilikua sija muelewa Kwa muda mrefu. Wewe ni dhahabu ambayo haija safishwa, Ila ipo siku uta safika tu kaka.
@jitabojilala6162Ай бұрын
Simama na Mungu mtumikie Mungu tu
@johnfaustinechannel746Ай бұрын
Dudu baya! Limebaki tu jambo moja ! Soma Kutoka 20:3-17 uzijue amri 10 za Mungu za kweli ! Alafu zilinganishe na za kwenye Katekisimu utagundua kuna mahali tumepigwa!
@nelsonnyamle2 ай бұрын
Dudu baya umeongea ukweli
@YoshuaSeverinoАй бұрын
Kwenye jamii hayo yapo, wengi wenye wake wazuri wasiojua Mungu ni tatizo kubwa 5:31
@mataypanga5262Ай бұрын
Dudu Baya zinaa ni jambo la kawaida kwa binadamu hata wakioana.😂
@hemedmwipopo780Ай бұрын
Dudu Baya nyumba za Ibada zinajengwa jirani na makazi kwasababu ya kutaka wewe Kama DuduBaya Ifike kwenye nyumba ya Ibada ya kumuabudia Mungu. Hujajua kwa hata Yesu aliwafuta wenye dhambi majumbani mwao Kisha akala nao ndipo akawahubiria habari za Mungu na kuwaasa waache kufanya dhambi, kama ingekuwa kama hivyo unavyo fikilia basi angeenda kilimani au polini ili wenye dhambi na wanao taka kujua habari za Mungu wamfuate huko lakini Yesu alienda katikati ya miji na kuhubiri habari za Mungu.
@josejosepg66012 ай бұрын
Dudu bayaa master
@abunajreenELSESANYАй бұрын
MISIKITI HAIFAI KUKAA MBALI. MISIKITI NI SEHEM YA MAISHA. 5-TIMES SWALA MISIKITI NI SEHEM YA MAISHA
@taifaramadhan8684Ай бұрын
Ahsante sana kumbe unajua
@AdilianoSiwale-pt5muАй бұрын
Amrikumi zimebaki kwa kakobetu maana yeye anakemea dhambi mpakaleo
@user-uk6vv8ug1gАй бұрын
Dudu unatisha
@thomaskiponda6079Ай бұрын
NILIWAHI KUWAAMBIA HUYU NI ZAIDI YA WALE MITUME NA MANABII WA SASA HIVI MTANIELEWA TU NAMAANISHA NINI.
@williamkavishe3972 ай бұрын
Amri kumi Ni zipi tunaomba uzitaje nami nizijue mungu akubariki
@MajaliwaLechipya2 ай бұрын
Usiibe usizini usimshuhudie jilan yako uongo usilitaaje jina labwana Mungu wako bule usitaman usiseme uongo uikumbuke siku yasaba usimtumikishe mjakaz wako wala mnyama alieko malangon mwako
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Soma kutoka 20 itazikuta hapo
@IsraelUrasa2 ай бұрын
Tumetoka somo baba siisawana watoto wa mbarikiwa kikosikazi
@thomaskiponda6079Ай бұрын
Israelliiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤
@robisonikadogo737110 күн бұрын
Unacho sema niukweri mtupu
@user-ly4jw9qi9x2 ай бұрын
Tunaomba namba zako mwana mwema
@user-uk6vv8ug1gАй бұрын
Maokotoooo
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Wapo bwana Ila wachache😅
@josephkadeghe4720Ай бұрын
Sasa kwanini kwa mganga unatoa sadaka, lakini kwa watumishi asitoe sadaka?
@MasterG-dc1tx2 ай бұрын
Duh mwamba umeeleweka kiufupi
@davidkawesa3594Ай бұрын
Mb zangu sijuti
@profs.a5412Ай бұрын
Watu hawa wasipopiga kelele, mawe yatapiga kelele🤔 imefika hatua wanaojiita wanadini , wanahubiriwa na watu wanao waita wapagani
@user-rn6ej2fs1lАй бұрын
Umeongea ukweli
@WorlduniteАй бұрын
Unafuata amri 10, umekuwa myahudi😂😂😂😂😂😂😂
@OmariJuma-su6fz2 ай бұрын
Dudu Baya nakutakwajinakubwa sana mpendwa hata mimi napenda ufunguwe kanisa tutakuhungamkono ndugu mpendwa wewe utakuwa mchungaji mzuri sana kabisa wa Chana Nahao wachungaji wamchongo mimi niko apa ujerumani tutakuhinua usihogopi kabisa
@sarabura8933Ай бұрын
Uchungaji bila wito
@user-xm9wr1lk4tАй бұрын
Wewe nae huna akili kabisa yaani; unaposema usioe mwanamke mzuri ndiyo upumbavu wa wapi!! Kuoa au kuolewa ni kibali, ni jambo la rohoni na halina uhusiano na muonekano wa nje!! We vipi!!!? Binafsi, nadhani huyu dudu sijui nani ameanza kudata!! Sehemu Gani mtume Paulo alisema bado!!!!? Acha uongo bro! Kama maandiko huyajui piga kimya na usiyaletee mazoea maandiko ya Mungu; Paulo anasema sikuyaasi Yale maono ya Mbinguni. Halafu mtu aliyeitwa kuifanya kazi ya Mungu ana muda wa kusikilizia; Na wewe dudubaya usije ukajidanganya kwamba wewe ukiacha kazi ya Mungu basi ndiyo haitatendeka, eti anataka nimtumikie Mungu kama mapadre wa Roman Catholic! DUDUBAYA HUNA WITO HUO; Kina Paulo, Musa, Petro, na wengine wengi waliacha kazi zao
@josephkadeghe4720Ай бұрын
Tatizo unazungumza vitu kwa akili zako, neno la Mungu linasema wataendeaje bila kupelekwa?
@davidkawesa3594Ай бұрын
Umeandika kwa akili zanani?
@Motheking-ps2tl2 ай бұрын
Kama amri za mungu ni kumi peke yake kila mmoja angeenda peponi. Halafu wewe ni unaongea ujinga tu nyinyi wasanii ndo mnaongoza kwa kutuharibia watoto kwa maadilu yenu ya kijinga. Ungeanza na wasanii wenzako ndo uje kwa viongozi wa dini. Halafu ulitaka mchungaji aje nyumbani kukushika mkono au? Acha upumbavu. Maadili yangeanza na wewe kwanza ndo utoke nje kuongea.
@samwelmatemu8873Ай бұрын
Wewe mwombe Mungu akupe neema na akuchague kwenye kazi yake