Ipo siku Mwenyezi Mungu ataniwezesha nitamiliki yangu 🤲
@ramadhanihudhaifani43762 жыл бұрын
Amiin
@donseifbashraf55592 жыл бұрын
Aamiin Inshaallah
@binaljabirmshihirzanzibar83692 жыл бұрын
Ameen ameen kwa uwezo wa Allah
@hasaniabdalah61482 жыл бұрын
Inshaalah akujaalie maanani ila kama hakijaja hicho kipatto usilazimishe ukaenda kwa mganga au ukazulumu wengine
@mahmoodalghefeili53702 жыл бұрын
@@hasaniabdalah6148 kwakweli
@paschalmartin15162 жыл бұрын
Abood bus service, King of the road, ndani ya mkoa wetu wa Morogoro. Blessings 🙏
@abdallahlugendo32212 жыл бұрын
Mungu humpa ampendae kubwa toa fungu la kumi ama zaka kwa wasiojiweza mungu atakuongezea zaidi Asante
@nikodemmwahangila33342 жыл бұрын
Mungu akuinue sana pereka mikoa yote basi nzima kuna makampuni wanatuchezea kwa mfano mbeya mwanza. Vimeo mbeya Moshi. Vimeo. Mbeya arusha. Vimeo tunaomba tusaidie mbunge
@michaelmbughi44082 жыл бұрын
Sana sana waje mbeya masukan tupate ajira
@allenmalidadimdollo70492 жыл бұрын
Hongera zake mumiliki maana wengine maisha yanatukomoa kweli
@shaddybmc83422 жыл бұрын
Hahahahahsh kwahy
@zulfahamissi92662 жыл бұрын
😄😄😄
@kataninyido9623 жыл бұрын
Hongera sana Mkuu Mungu akubariki kwa Bidii, Ahsante sana 🙏👍
@nastonjuma10912 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuzidishie zaidi ya hapo
@hawahbohero24253 жыл бұрын
Hongera na tushukuru kwa kuongeza ajira kwa watanzania
@dulleyjuma8423 жыл бұрын
MASHAALLAH ALLAH(SWT) AKUZIDISHIE KHERI NA BARAKA
@siliviamaneno29052 жыл бұрын
Mungu akuzidishie
@asajilemwaitenga49352 жыл бұрын
Unajua kwanin hakufany ivi kipind cha jiwe now days hawalip kodi wala nin? "Freedom of speech"
@feisalharush95502 жыл бұрын
Freedom of speech inauhusiana nini na mabasi ya watu. Alafu tunaongezewa ajira Naona hamna hasara hapo
@Mkinga_Nyota_2 жыл бұрын
Ok nivizuli nimeona mabasi ya abud yameandamana morogoro sirens ya msavu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
@mwajumathomas15942 жыл бұрын
Tunakupenda sana wanamorogoro ubarikiwe
@frankcharles95952 жыл бұрын
Even me I believe One day yes
@ziadamtebwa3712 Жыл бұрын
Mashallah ltangaze neema ya mola wako
@znzmawaidh87023 жыл бұрын
ماشاءاللہ الله Akuzidishie khair inshaallah
@donseifbashraf55592 жыл бұрын
Maashaallah apate anufaike na kipato cha halali inshaallah
@muksinmkahakala86042 жыл бұрын
Abood ni noma
@athumaniubwa33932 жыл бұрын
Huyo aboud mwamba wa usafirishaji harafu mkongwe sana tokea kipindi kile mabasi yanapaki mbuyuni manzese sasa hivi daraja LA manzese
@halimayahya19482 жыл бұрын
Mashaallah
@edwinmangulah67112 жыл бұрын
Nimepend sana
@nimoaskar67172 жыл бұрын
Ma sha Allah
@jumasimba5723 жыл бұрын
Bus nzur ila muache kupakia hadi godoro hapo kwa dereva abiria wengine had wanasimama!!ipeni heshima abood acheni tamaa
@waziriomar14142 жыл бұрын
Congratulation mkuu
@ashiriiyulu64303 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah
@tanzanianationalquantumbus78172 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@bobchanda24603 жыл бұрын
Nyie sifieni tu eti kazi nzuri mnajua pesa alizipataje
@johanesbina13023 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 ngoja nicheke
@arinestaanton98953 жыл бұрын
Kazpataje kwan inakuhusu nn wewe baki na umaskini wako acha wivu wa kishamba
@eminenttyrant42183 жыл бұрын
Na ww tafta zako tuone una zipataje usipende ku judge rizk ya mtu hutokuja kuendlea daima utabaki chini tu ombea mtu anapo fanikiwa Kuna wengne wanategmea hko hko kidg chake au wingi wake usiwe na jealous ww🤲🤲
@landrymabutu52302 жыл бұрын
Dr mabutu
@erastitesha9433 жыл бұрын
Good job 👍
@ibrahimgamba80533 жыл бұрын
vip kuhs viwanda vyetu.?
@dafrosadeus52032 жыл бұрын
Hongera yake kwakweli
@waheedahtanzania49123 жыл бұрын
Mashallah mabrouk
@athumaniubwa33932 жыл бұрын
Kumiliki Mali siyo dhambi uwapo umezichuma kialali ila unapo zitumia vibaya Mali zako uwenda siku ya kiyama ikawa khasala kwako matajiri wakumbuke kutoa nusu ya utajiri wao kuwapa masikini kila mwaka hiyo ndiyo njia iliyo nyooka
@raohaelingwijo89243 жыл бұрын
du kazi nzuri san
@nellytsuma75193 жыл бұрын
Keep it up
@WitnesseNdanshau-zx2jr Жыл бұрын
Nafasi za kazi please ukondakta niko dar es salaam mbez mwisho
@MABASITV Жыл бұрын
+255763584776
@WitnesseNdanshau-zx2jr Жыл бұрын
Mbna namba haipatikani hii
@hafidhdrogba33922 жыл бұрын
Magufuli kaondoka kilakitu tutaona
@allysstarbus3 жыл бұрын
HONGERA SANA BOSS!
@kelvinchuwa22122 жыл бұрын
Na boss km huyo hajisifu vikute viboss vingine vigar 4 lakini kelele na majigambo kibao kila sku wafanyakazi wanafukuzwa hivi Mungu ndiyo angevipunguza na corona
@mariamwakabuta10342 жыл бұрын
Dar kwenda kagela bei gani
@gannzy-tvoline92772 жыл бұрын
Abood ni Mfanya Biashara Abood ni Mbunge, Abood ni Mfanya Kaz wa Selikali Abood ni kiongoz mwenyew uwezo wa kusaidia jamii bila kushiklikiana na chama Wala taasisi yoyote Haitosh Abood ni Mfugaji Hapohapo ni Mkulima.....we kalaga baho na uhenzehenze wako😊😊wenzako wanafanikiwa we unapata dhambi za kuwafikilia vibaya
@danogeto78 Жыл бұрын
Yote maendeleo 🇰🇪🇹🇿
@mwitamgaya50372 жыл бұрын
Kila mmoja nafasi take. Juhudi iwepo.
@feisalharush95502 жыл бұрын
Freedom of speech inauhusiana nini na mabasi ya watu. Alafu tunaongezewa ajira Naona hamna hasara hapo
@leviskahonga39852 жыл бұрын
saf si tunataka pesa
@luganomwakyusa76973 жыл бұрын
Namkubali sana al saedy hanaga tambo
@BMGOnlineTV3 жыл бұрын
Kazi Iendelee
@nardhismhagama62663 жыл бұрын
Scandinavia ifufueni haijapata mfadhiri
@nixonjohngerson73022 жыл бұрын
Viwanda kuwa mabasi ya mtu ..mungu atasema sku moja..
@saliminyusuph61222 жыл бұрын
Kumbukeni pia kufufua viwanda Watanzania wapate ajira.
@sadasada42033 жыл бұрын
Manshallah manshallah
@KizitoKizito-pi9mk6 ай бұрын
Ana hela bana
@healingsschool46302 жыл бұрын
ECCLESIASTES 10:19....but money answerth all things All traps failed to catch Jesus Christ but when Chief of Priests gave 30 silver coins (money) to Judas they succeed (Mathew 16:15) Abraham the Father of Faith when he was in lack and want, this means he had no money for buying food (when there is famine we can buy from far countries) his wife Sarah was taken because she told kings Abraham is her brother in order to get favour Genesis: 12:16, 20:2, 26:6-11. A rich man got miracle because he gave to people and built a synagogue Luke 7:5. Next an altar of blessings built by Abraham Genesis 12, Galatians 3:13......In the mighty Name of Jesus Christ....
@officialmubytz10762 жыл бұрын
Mjomba uwe serious kdgo umafika ndo Nini?!?!
@trumptz68213 жыл бұрын
Abood congratulations
@grantmwakalambile28082 жыл бұрын
Kama malizake ni halali apongezwe sana ila kama co halali alaniwe sana
@abelchuche79682 жыл бұрын
TRENI YA UMEME TUTAISIKIA WAFANYA BIASHARA WAMEISHIKA NCHIIII 😁😁
@inviorathavedasto25646 ай бұрын
Wafanyakazi wako sio waaminfu na wanazalau sana 0:43
@Yusto-s3o7 ай бұрын
Hello
@hezronpeterhongoli90602 жыл бұрын
Hii siasa na Biashara tumekwisha, tunakwenda wapi?🔥
@hamyconcepts71472 жыл бұрын
Hapa kuna Sgr kweli
@nassersalim34083 жыл бұрын
Mashala
@surujajwie47683 жыл бұрын
mashaallah maedeleo 🔥🔥🔥👏👏👏
@mwijagenelsoni3572 жыл бұрын
Wawekee na macopolo scania,man Volvo or mercedes yutong not luxury bus
@wilsonmvungi65463 жыл бұрын
Huyu ndio bos sio bakhresa analeta ka bus kamoja kanatangwazwa nchi nzima
@mrishogange42763 жыл бұрын
Duh,bakhresa anafanya biashara ya mabasi? Acha kumfananisha Yule tajir na muhangaikaj
@mehboobkarmali52113 жыл бұрын
Congratulations
@bonangatuni80772 жыл бұрын
Safi sanaaa
@jumasingania2112 жыл бұрын
Maqz
@bongorashidy59302 жыл бұрын
Mkuu kigoma wilaya ya kasulu mtuletee mabasi jamani usafiri Bado ni shida
@osoyarabuor49203 жыл бұрын
Hayo ndio mambo na wewe tafuta ulete yako sio kujaa roho Mbabane tu
@bikemastertz12002 жыл бұрын
Nice 🏁🏁💪💪🔥🔥🔥🚴🏻♂️🚴🏻♂️🇹🇿🇹🇿🇹🇿☠️☠️☠️
@zulhajjj22763 жыл бұрын
Naomba kazi ya udereva
@Dmx4713 ай бұрын
Watu wana pesa hii nchi sio poa
@ezramasawe80212 жыл бұрын
Ongera zake
@abdillahhussein30202 жыл бұрын
MashaAllah
@kagwilengaiza20502 жыл бұрын
Pesa za walipa kodi
@nicksonchanuka60073 жыл бұрын
Ongera vyuma tumeviona Abood
@neemaashery22412 жыл бұрын
Neema Ashery
@HoseniMohamed-rx3ns Жыл бұрын
Stendi mabasi handeni
@venancerichard9202 жыл бұрын
Ana jipya
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Chezea tanzanight na makinikia bwete bwete wanajibebea wacha walambe asali
@farzanananji25111 ай бұрын
Safi
@noahmbaruku38542 жыл бұрын
Kwa hali hii SGR atapata tabu sana
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Matajiri Tanzania asilimia kubwa waarabu na Wahindi ngozi nyeusi wabantu wapambe au wanatumwa sijui tatizo ni lipu au hawataki kuwa matajiri nchini mwao. Sijui huyu abood alirudisha Serikali viwanda alivyoshindwa kujiendeleza na kufanya magodauni na kufugia mbuzi
@jumannedulahmbeho57043 жыл бұрын
Abdi hakamatiki uyooo😂😂😂😂😂
@shabanikamsawa1812 жыл бұрын
Usione anazo nyingi unakuta kuna watu wapo kimya wamewekeza kwake kwa sili jina la abood kumbe kuna watu nyuma yake unaweza ukakuta yeye mwenyewe zakwake tano tu
@sharifurashidi36662 жыл бұрын
Abood anapesa toka kitambo Zake izo
@lucasndaganiwe57642 жыл бұрын
Wakina mzee Fulani huko Zanzibar hao wana rimbikiza tena uncle magu rest in peace usi one kufuru zao
@ladsonmshana99203 жыл бұрын
Kazi nzuri
@maryamramadhan30013 жыл бұрын
boss kumbuka na ongezeko la mshahara nakatochi usisahau ,,,,
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Watu wanapesa aisee
@HalimaAdamu-r2n Жыл бұрын
Naipataje hiy kz jamn
@lufunganovath14452 жыл бұрын
Nasisi tunaomba tuleteeni kisaki dutumi kolelo Daar
@SamweliMwalyungu2 ай бұрын
Kpnd cha yule wa chato aku fany ivy saiz ayupo aaaa yan amulip kod muna onyesha usenge wen
@masala80992 жыл бұрын
duu kama kanunua buku jero
@kijahboy Жыл бұрын
Hujui kuesabu mm bimepata 1250 tu
@hassanmohammed28352 жыл бұрын
Zulumatu awa wananunua magali deleva anaye sababisha wao wanunue magali ata awamsamini silolote sichochote zulumatuizo
@waleoofficial68163 жыл бұрын
ATuongezee Safari za mikoa mingine pia..
@dottokingo62323 жыл бұрын
hongera sana
@everever28072 жыл бұрын
Nihayo ya cku zote yapushiwa rangi mna shambauka vyenu hivyo pambaneni wee ulie leta utopolo huu peleka kwenu mshamba weee
@ototek80373 жыл бұрын
Baada ya mama kuucheza mwingi, hilo jina tu! Mwenye mali yupo pembeni.
@ipzzoisraely25713 жыл бұрын
Mbona kam umekasirikaa🤣🤣
@mossilamanne33503 жыл бұрын
Husda hiyo
@mkude3 жыл бұрын
Husda mbaya sanaaa watu dizaini hii ya kina oto wanakuwaga na roho mbaya mpaka uzee wao
@ototek80373 жыл бұрын
@@mkude tuliza nyege mtoto, hawa watu tunawajuwa tangu hujazaliwa..wanaficha mali kwa wafanyabiashara wenye vitengo serikalini, hakuna roho mbaya hizo ni tozo zetu.
@edwigamassawe43213 жыл бұрын
Ni kweli kbs,,zipo kipacha ziliingia hivihivi kumbe za K
@saididrissa5593 жыл бұрын
Mashallha
@vascokasambala21593 жыл бұрын
DAR TUNDUMA TUNATAKA IJE KATI YA IZO MANA UKU NEW FORCE NI BALAAAA SAULI ANAHAHA BALAAAAA
@vascokasambala21593 жыл бұрын
Tuleeeeeteeeee mawili dar tunduma yashindane New force
@HalimaAdamu-r2n Жыл бұрын
Mim nip daa ofisi naipat wp jmn
@masoudalriyamy62982 жыл бұрын
Watu hawaogopi madeni ya riba sijui itakuaje yaumu lkiama
@sharfshehe44543 жыл бұрын
Katisha sana apo ni sisi tu kutaka wenyewe kama gari katuletea mpyaaaa kama sisi tulizoea safar za mkoa mpaka raaaahaa