#sirizabongo Kutana na Askari mwenye Mbwembwe balaa Barabarani akiwa kazini, Ni vituko Mwanzo Mwisho, Utampenda! Askari huyu mara nyingi anakuepo maeneo ya Mbezi shule, Mwenge
Пікірлер: 1 800
@robertmwakimi3116 Жыл бұрын
Namkubali sana huyu jamaa,hata ukiwa na hasira ukimwona tu zinapotea.kama matraffic wengine wangekuwa hivi,tanzania tungekua mbali sana,mungu ampe maisha marefu.
@user-cv1hk8vn9j Жыл бұрын
The best traffic officer ever well done our super traffic officer❤🎉
@josephmsanga67512 жыл бұрын
Napenda Askari Wote Wange kuwa kama Huyu! Maana pia anaondoa pia hata stress za madereva.Hongera Zake Kipenzi cha Madreva.Mungu Amwongezee Umri na Afya njema.
Kiukweli ukifanya kazi kwa moyo unajisikia raha lkn ukifanya hupendi utaona no mzigo
@josesway8797 Жыл бұрын
Aisee yuko vizuri sana. Napenda sana kupita njia hiyo na gari. Huwa nainjoy sana nikifika mazingira yale.
@user-iq1qu2ot8h11 ай бұрын
Hakika askari wetu huyu anastahili kuwa mfano wakuigwa, Mungu amjalie maisha marefu na afya njema
@magdalenemuchoki9326 Жыл бұрын
love from Kenya. Beautiful. Sijastaajabu kuona haya kutoka Bongoland. Creativity yenu ni ya hali ya juu, nd'o maana tunawapenda
@tumainilukumay99072 жыл бұрын
Damu ya Yesu imfunike nimempenda kwakwel,Mungu amuongezee nguvu daima
@mossesmichaelnzowa3378 Жыл бұрын
Amen.
@MwittaJuma-yk5dm Жыл бұрын
Huyu anapenda kazi yake Kwa moyo mumoja Yan safii, mungu ambariki San aendelee nakazi yake
@alexymdee Жыл бұрын
Asipandishwe cheo bali aingezewe mshahara
@kigwandiohome4174 Жыл бұрын
yesu kafikaje tena apa
@geofreylulu4360 Жыл бұрын
@@alexymdee pesa siyo kitu bro. apandishwe cheo kwa ufanisi wake maana anaweza kuwahimiza wenzake kujitoa kazini Kama yeye na yeye akiwa role model wao. vile vile cheo kikipanda sidhani kama mshahara wake utabakia pale pale
@saleheselemani55812 жыл бұрын
Mungu ambariki sana kwa kazi yake ikibidi aongezewe mshahara. Allah amlinde inshallah!!!
@delphinamakupa4914 Жыл бұрын
I visited dar es salaam...around goba..I saw thus guy...I laughed the whole day but was happy that he was happy enjoying his work....
@RamaKimbeu-tw4po4 ай бұрын
Yuko vizuri SANA na kaziyake
@JumanneKapinga-mk9zm2 ай бұрын
Na wengine waige kazi nzuri ya huyu afande Nampa big. Up
@aminabkr31922 жыл бұрын
Huyu jamaa yuk pw San mwenyew nimemshuhudia kabisa mbezi shule pale👍👍👍
@jujudanda55112 жыл бұрын
This man must be promoted binafsi nilishawahi kumzawadiya 20,000. Akiwepo hapo makutano ya fire. Good guy serikali impromote itakuwa motisha kwa wengine. Japo I will stay missing him
@kazenmronga4163 Жыл бұрын
Ckuhz yup chin uku mbez shule
@jonasmpita2206 Жыл бұрын
clean money alijipatia wala sio rushwa
@LizzyMeibuko-qr7iy Жыл бұрын
dah ningekuwa nae karibu ningempa binti yang amuoe kam hajaoa nampenda san
@dannypeter4951 Жыл бұрын
Huyu mtu mungu ampe maisha marefu katika kazi yake
@sabryahmed6940 Жыл бұрын
This officer is a one in a million.
@allykarama55742 жыл бұрын
Maa Sha Allhaa Hiki ni Kipaji Alicho Tunukiwa na Allhaa Anafanya Kazi Ndani ya Nafsi yake Nimeipeda
@girremahamed54512 жыл бұрын
Ma sha Allah Tabarakaala, jamaa yupo fit sana na anaimudu kazi yake,na pia ana enjoy sana tena sama
@neemaally5997 Жыл бұрын
Yaan hata mda wa Kuwaza rushwa hana hata kidgo yaan nampenda sana na alivyokijana anapendeza sana na Mungu kampa mwili mwepesi furahia tu kazi yako kijana ❤❤❤❤
@sebastianrespickius5267 Жыл бұрын
MUNGU Abariki kazi ya mikono yako mahana unaipenda nimejifunza kit kwak chanzo cha kupoteza uchovu n kupenda Nazi yako God bless you
@martinisadru2 жыл бұрын
Mungu amlinde katika kazi yake, wangepatikana Askari wengi kama huyo katika majiji makubwa hapa nchini foreni zingetoweka na maendeleo yangekua kwa kasi, maana watu watafika kwa wakati katika kazi zao.
@kulthumabdulrahman29152 жыл бұрын
Mashaallah
@sharefazngepar8646 Жыл бұрын
Kipindi icho napita apo naelekea msasani job namiss tz
@rashadymuhamad62932 жыл бұрын
Jamaa yupo vizuri, namkubali kwa sanna. Mungu ampe afya na kila la heri katika kazi yake na maisha yake kwa jumla.
@powerofgodtv9982 Жыл бұрын
Kwa mm binafsi kwakweli nimejifunza kitu huyu askari anaipenda sana kazi yake wala hajalazimishwa piya inatakiwa awe mfano kwa wengine utakuta trafiki anasababisha foreni bila sabbu za msingi ila huyu dah!!! aiseee big up sana bro God bless you
@halimahamis3280 Жыл бұрын
Mungu amlinde sana nawenye husda!Aamiin rab
@Mtayamwega2 жыл бұрын
Daaah! Binafsi mwenyewe nimemkubali sana huyu jamaa. Mungu ampe maisha marefu na mafanikio katika maisha yake.
@aminabobudeo2675 Жыл бұрын
Mungu amuongoze katika maisha yake
@haikaelmamuya9312 жыл бұрын
Ni kweli huyu Kaka ndio maisha take mwanzo siku amini mpaka nilipopita eneo lake la kazi Ila ndio utendaji wake. Mungu azidi kukubariki Bro.
@VioletNamz-tq4tg7 ай бұрын
Hongera Sana, Yuko na moyo Safi, damu ya Yesu imfunike Kaka yetu ili na wengine wajifunze kupitia kwake.
@convenantTV24 күн бұрын
Yupo vizuri ukipenda KAZI yako hakuna uchungu moyoni ...Mungu amlinde baraka Tele kutoka kenya
@raphaelmitimingi60813 жыл бұрын
Anafaa kuongezwa mshahara na kuwafundisha wengine waww na ari ya kuipenda kazi kama yeye! Nimempenda sana!
@nobertevarist69522 жыл бұрын
Me Kwa mala ya kwanza kumuona nilijua anatumia kijit ise
@guidokalinga Жыл бұрын
Mm namkubali sana tena sana na ni shauri mzuri kwa madereva kama kuna mapungufu katika gari hatoi adhabu atakupa onyo , kwa mdomo, ilikaidi unapigwa faini Mungu mtie nguvu
Asanteee sana yupo vizuri sana Lakn pia hicho ni kipaji.kuroka kwa Mungu.kweli hasa Maana sis tunaona kwa macho yetu. Wenyewe kuna matrafk wana upendeleo kabsa hawamuogop mungu. Ukfka matumbi unakaa masaa ma2 Mpaka uvuke tazara hv ni kweli
@nimphermonicah4754 Жыл бұрын
This guy is Amazing ❤️❤️❤️👍
@bscollection9469 Жыл бұрын
Ulinzi wa KRISTO uwepo juu yake na pis watu wajitolrr kumsapoti
@charlessando41292 жыл бұрын
I like this man Soo Much the way he is responsibilities for his duty
@mirajiissa47212 жыл бұрын
Safi sana uyo jamaa
@saidally48902 жыл бұрын
Nampenda sana naomba hapewe posho ilinawengine wawe nawivu waige undajiuo
@saidimgawe65482 жыл бұрын
👍
@amirikyaka69422 жыл бұрын
Safi sana mkuu hinimeipenda sana
@venancemwanya4212 Жыл бұрын
Jamaaa anafanya kazi vizuri sana inafaa aongezwe cheo Ila hata akipewa cheo zaidi ,asiache kuongoza magari barabarani . Kulikuwa na mtu akiitwa mayenu pia vizuri sana.
@ahmadalli8169 Жыл бұрын
Kazi nzuri kheri kubwa ikufikie askar wangu aaaammin
@abdulqareemabdallah25795 ай бұрын
Dah analet raha za barabarn mawazo hakun makosa tufanye wenyewe kwa huyu askar big up Allah akupe umri mrefu
Kweli kazi hii usipoipenda utakuwa mtumwa. Hongera kijana wetu mpendwa.
@user-ve3wu5jn1l3 ай бұрын
Mashalah inapendeza Sana . Anafamya kazi yake kiuweled Sana .Mwenyezi Mungu ampe Maisha marefu
@emmanuelshayo27942 жыл бұрын
Mungu ambariki aisee. Ni kijana mzuri na anaipenda kazi yake.. BIG UP
@mboyagift95582 жыл бұрын
Kaz nzur san.mung ambarik.a
@robnsonurasss5042 Жыл бұрын
Mungu amuweke maisha marefu ❤❤❤
@metuselangungulu4011 Жыл бұрын
Tz we are proud with this kind of workers may God bless a man
@yasinta2342 Жыл бұрын
Proud of** SIO PROUD WITH!
@RamjiNdomba-cz7qv Жыл бұрын
Yuko poa vizuri na Kila mtu ana kalama yake so huyo ni kalama ambayo Mungu amempa pamoja na kwamba ananipenda kazi yake
@AbedKidami18 күн бұрын
Nakukubali kamanda kazi nzuri
@sharifuteacher50252 жыл бұрын
Allhamdulillah allh amtangulie kwa kila jema kwenye kazi yake insha allh
@magumeangelo79262 жыл бұрын
Mungu ampe afya njema ikiwezekana serikali imwongezee mshahara maana anaipenda kazi yake. Na anaifanya kwa weledi mzuri sana
@magumeangelo79262 жыл бұрын
Mungu ambariki
@magumeangelo79262 жыл бұрын
Piga kazi kaka wengine wajifunze kwako
@f.a60432 жыл бұрын
Hakuna jambo zuri kama mtu kupenda kazi yake MUNGU AKUBARI Traffic officer asipandishwe Cheo ili azidi kuonyesha mfano mzuri wa kazi lkn aongezewe mshahara
@samwelimabula Жыл бұрын
Wao jamaa anaheshim kazi yake mimi binafsi nimempenda
@jacquelinechriss6085 Жыл бұрын
Ni Poa Sana Mungu Ampe Kipawa Cha Milele,,,Kazi Nzuri Mno Aisee!!! Safi Sana
@nurujulius1797 Жыл бұрын
Nampenda bure Mungu amtie nguvu Daima kwakuifurahia kazi yake🥰
@margaretwangari3523 Жыл бұрын
This is so good! GOD BLess him and help others to learn from him 😂
@kelvinmhilu65092 жыл бұрын
I love this guy his in love with the job and his enjoying it his super
@deofelix80032 жыл бұрын
Good job afande
@lokurepeter33962 жыл бұрын
Has to be promoted
@kamburanyamaronda1893 Жыл бұрын
I appreciate too
@suleimansalym7537 Жыл бұрын
Huyu jamaa ktk kazi yake anapata faida nyingi sana 1)Mshahara 2)Umaarufu. 3)Mahusiano mazur na watu 4)Uchapakazi nzur kazini/kwa ofisi 5)Mazoezi. Yaan huyu haitaji gym hata akiondoka hapo basi kila kitu kipo sawa ktk mwili wake. Kwa kifupi yupo vzur sana ktk majukumu yake.
@tulisamwel41 Жыл бұрын
Ni askari mtanashati ,mwenye kuipenda kazi yake. Mungu amwinue viwango vikubwa zaidi.Mungu amlinde na kumbariki.
@rayommy Жыл бұрын
Hii jamaa ni nouma sana sijaonaga kama yeye. Ila yupo yule wa makutano ya united RD NA MOROGORO ROAD na yeye yupo safi
@omarykiza Жыл бұрын
This man deserves a Prize 🏆
@SimoniPhilipocom-ce7xi Жыл бұрын
Hai broo
@adammartinmwigune45012 жыл бұрын
Mimi binafsi nimemkubali, anaonyesha dhahiri kazi ipo kwenye damu.
@MariamuSalum-bb9ov33 минут бұрын
Aiseee yuko vizuri sanaa ❤
@cynthiawashisino3735 Жыл бұрын
Amazing 😍 God bless you
@josemgy1199 Жыл бұрын
This man deserves a prize
@solomonpeter8843 Жыл бұрын
Mmabodaboda wameshapack wanamshangaa tu
@dayanakassanga9442 жыл бұрын
Safi wazalendo bado wapo nchi hii
@abdulazeezuae2442 Жыл бұрын
Mi naona hana habar ya kupendwa ndivo halivyo uyoo hata kwake hanaonekana mtu mwenye vichekesho mashaAllah
@juniorberbilizjr9212 жыл бұрын
❤❤ God bless him
@anastanziaaroisi8666 Жыл бұрын
Safi nimeturia sana huyu turafk jembe anaipenda kazi take naanajali uutu sana nawengine wajinze
@graciousdavid98182 жыл бұрын
He is amazing!! I like it.
@engmasanjamayenga50482 жыл бұрын
Naipenda sana hawa ndo wanatakiwa
@abelikizitosawasawa6352 жыл бұрын
Vizur sana 👊👊👊
@rashidmohamed6792 Жыл бұрын
Mwamba anauchapa mwingi
@mohammedkombawadomtznamungopig Жыл бұрын
Huyu mwamba nakubali sana namfahamu muda kidogo ukipita maeneo alipo una enjoy kiukweli Mungu ambariki sana
@mourinhowakawe78673 жыл бұрын
Mungu akuzidishie police wetu
@janetmanyansa73852 жыл бұрын
so encouraging,l like it
@elikanayese5076 Жыл бұрын
Jamaa yuko pw
@rehemamkumbo674611 ай бұрын
Safi sana kwakweli inafurahisha inaonyesha jinsi gani anavyo ipenda kazi yake namuombea kwa MUNGU YESU AMLINDE NA MABAYA YOTE YASIMPATE DAMU YA YESU IWE JUU YAKE POPOTE ATAKAPO KUA
@user-up2ef7dc6k6 ай бұрын
Yupo vizuri cn askari ❤mng amtangulia ktk kz yake in shaallah
@pendopeter37693 жыл бұрын
Nimependa pia nafikiri ni askari kijana ndo maana. Askari ambao umri umeenda pia na walionenepa wanaona tabu kusogea sogea haraka kwa kuchangamka wanasimama sehemu moja, japo wapo vijana ambao hawajitumi hii inakuwa nitabia ya mtu pia.
Yaani Ningekua Dereva Ningempa Hata Lako Moja Maana Kanivutia Sana Wengine Wamebakia Rushwa Tyu Buku Buku zetu Wana Chukua Watakufa na Laana za Rushwa na Watakufa Vibaya
@user-kj8bd6rq5c Жыл бұрын
Hata Mimi nimependa Yuko sawa kabisa Mungu amlinde na ampe maisha marefu
@rukiammanyi-qm9iz Жыл бұрын
So proud of him 🫠
@ziadaskitchen50602 жыл бұрын
Mashaallah
@aishaseif3817 Жыл бұрын
Hongera sana unaipenda kazi yako mungu akutangulie ktk kila jambo nakupenda sana kila ninapokuona
@surusuru19942 жыл бұрын
Mashaallah 💞
@swalehemshana4684 Жыл бұрын
Ukweli nimemkabal
@nkolemuya92832 жыл бұрын
Huku kutesana tena karne hii ya technology Msiweke traffic lights kwa nini Hongera kwa kujitoa askari wetu ila afya yako ni muhimu pia ili ulitumikie taifa na familia yako kwa umri mrefu zaidi
@jemawiliam90752 жыл бұрын
Traffic light zipo ila maranyingi huwa ndio sababu ya jam ndio huenda askari kupunguza jam kwakuwa taa hazina upendeleo huluhusu kwa muda marumu
@fatmazullu4933 Жыл бұрын
@@jemawiliam9075 kweli anasaidia unakuta taa zinaruhusu upande ambao magari hamna au machache, so anasaidia sana nimependa ubunifu sio kila saa stooop! Lete kadi lesenia mara bima mara fire extinguisher
@deusogiro9044 Жыл бұрын
nampenda ssna Askari uyo Kama wangekuwa wote Kama uyo daa tungefurai Sana mungu ampe ulizi afanye kazi vizuri kupita iyo
@oldgoldcancela20345 ай бұрын
Uyu jamaa ni comedian mzee bongo nzima Yuko pekeaka
@zuleikhaahmed72202 жыл бұрын
❤😍❤
@fenethmsungu3363 Жыл бұрын
Powa sana
@mahepajumanne Жыл бұрын
Hongera sana kwa kazi nzuri mkubwa wangu traffic 🚦
@devotamutayoba9373 Жыл бұрын
Good Job,siyo rahisi kuiga kitu ambacho hakiko kwenye damu,huyu askari anaipenda kazi yake na hivyo ni vizuri serikali imuangalie. Muda wote anasmile,hata akikamata mtu huwa anaelimisha na hapendagi rushwa.Mungu ambariki
@selulehamisi4928 Жыл бұрын
Naomba unitumie namba zahuyu askari nimpe zawad amenifurahisha sana
@stievengenerally963 Жыл бұрын
Hongera sana,this guy is great and talented,Amen.
@ahmadsayyeed7910 Жыл бұрын
Daaaah nimeipenda style yake feeling today from NEW YORK CITY 🏙️
@user-hm6hy6rr1h4 ай бұрын
Honger san kk mung akubarik🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mung akuwek uhamishiwe pemb jaman
@rosekimario8223 Жыл бұрын
Nimempenda San anajali kazi yake mungu amuepushe na ajali za barabaran jaman
@user-gj4qk9uz2v2 ай бұрын
Kazi yake nzuri na eye ndivyo alivyoumbwa na anatakiwa awe mwalim wa wenzake
@MINJAANDEKIAMSUYA-ul4os6 ай бұрын
Mimi pekee nimempenda sana. Na WMENYEZ MUNGU ambariki katika maisha yake na awe na mafanikio
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Mungu ambariki anafanya kazi yake vizuri sana
@hunaynasalimu-te6fi Жыл бұрын
Mashallah nimempenda mungu amuongoz katk kaz yake amuondoshe na husda wengine hawapend anachokifanya huy askari
@senedsalum2963 Жыл бұрын
Yuko vizuri na kazi yake mungu amjalie kila la kheri katika mazi yake na mafanikio pamoja na familia yake
@abdullahimohamed9828 Жыл бұрын
Hata mimi mkenya nikubali anapenda kazi yake Masha Allah