Kutana na Askari mwenye Mbwembwe balaa Barabarani akiwa kazini, Ni vituko Mwanzo Mwisho, Utampenda!

  Рет қаралды 2,445,979

SIRI ZA BONGO

SIRI ZA BONGO

3 жыл бұрын

#sirizabongo
Kutana na Askari mwenye Mbwembwe balaa Barabarani akiwa kazini, Ni vituko Mwanzo Mwisho, Utampenda! Askari huyu mara nyingi anakuepo maeneo ya Mbezi shule, Mwenge

Пікірлер: 1 800
@robertmwakimi3116
@robertmwakimi3116 Жыл бұрын
Namkubali sana huyu jamaa,hata ukiwa na hasira ukimwona tu zinapotea.kama matraffic wengine wangekuwa hivi,tanzania tungekua mbali sana,mungu ampe maisha marefu.
@user-cv1hk8vn9j
@user-cv1hk8vn9j Жыл бұрын
The best traffic officer ever well done our super traffic officer❤🎉
@josephmsanga6751
@josephmsanga6751 2 жыл бұрын
Napenda Askari Wote Wange kuwa kama Huyu! Maana pia anaondoa pia hata stress za madereva.Hongera Zake Kipenzi cha Madreva.Mungu Amwongezee Umri na Afya njema.
@angelbabee6233
@angelbabee6233 2 жыл бұрын
Nimempnd sanaaaa uyo tlafick mbwembwe nyngiiii hahahaha
@rosekimario8223
@rosekimario8223 Жыл бұрын
Mungu amwepushe na ajal za barabaran nampenda san
@ankohillary2165
@ankohillary2165 Жыл бұрын
M. Napenda wote wawe kama huyu
@sharifashabani8689
@sharifashabani8689 Жыл бұрын
Kiukweli ukifanya kazi kwa moyo unajisikia raha lkn ukifanya hupendi utaona no mzigo
@josesway8797
@josesway8797 Жыл бұрын
Aisee yuko vizuri sana. Napenda sana kupita njia hiyo na gari. Huwa nainjoy sana nikifika mazingira yale.
@user-iq1qu2ot8h
@user-iq1qu2ot8h 11 ай бұрын
Hakika askari wetu huyu anastahili kuwa mfano wakuigwa, Mungu amjalie maisha marefu na afya njema
@magdalenemuchoki9326
@magdalenemuchoki9326 Жыл бұрын
love from Kenya. Beautiful. Sijastaajabu kuona haya kutoka Bongoland. Creativity yenu ni ya hali ya juu, nd'o maana tunawapenda
@tumainilukumay9907
@tumainilukumay9907 2 жыл бұрын
Damu ya Yesu imfunike nimempenda kwakwel,Mungu amuongezee nguvu daima
@mossesmichaelnzowa3378
@mossesmichaelnzowa3378 Жыл бұрын
Amen.
@MwittaJuma-yk5dm
@MwittaJuma-yk5dm Жыл бұрын
Huyu anapenda kazi yake Kwa moyo mumoja Yan safii, mungu ambariki San aendelee nakazi yake
@alexymdee
@alexymdee Жыл бұрын
Asipandishwe cheo bali aingezewe mshahara
@kigwandiohome4174
@kigwandiohome4174 Жыл бұрын
yesu kafikaje tena apa
@geofreylulu4360
@geofreylulu4360 Жыл бұрын
@@alexymdee pesa siyo kitu bro. apandishwe cheo kwa ufanisi wake maana anaweza kuwahimiza wenzake kujitoa kazini Kama yeye na yeye akiwa role model wao. vile vile cheo kikipanda sidhani kama mshahara wake utabakia pale pale
@saleheselemani5581
@saleheselemani5581 2 жыл бұрын
Mungu ambariki sana kwa kazi yake ikibidi aongezewe mshahara. Allah amlinde inshallah!!!
@delphinamakupa4914
@delphinamakupa4914 Жыл бұрын
I visited dar es salaam...around goba..I saw thus guy...I laughed the whole day but was happy that he was happy enjoying his work....
@RamaKimbeu-tw4po
@RamaKimbeu-tw4po 4 ай бұрын
Yuko vizuri SANA na kaziyake
@JumanneKapinga-mk9zm
@JumanneKapinga-mk9zm 2 ай бұрын
Na wengine waige kazi nzuri ya huyu afande Nampa big. Up
@aminabkr3192
@aminabkr3192 2 жыл бұрын
Huyu jamaa yuk pw San mwenyew nimemshuhudia kabisa mbezi shule pale👍👍👍
@jujudanda5511
@jujudanda5511 2 жыл бұрын
This man must be promoted binafsi nilishawahi kumzawadiya 20,000. Akiwepo hapo makutano ya fire. Good guy serikali impromote itakuwa motisha kwa wengine. Japo I will stay missing him
@kazenmronga4163
@kazenmronga4163 Жыл бұрын
Ckuhz yup chin uku mbez shule
@jonasmpita2206
@jonasmpita2206 Жыл бұрын
clean money alijipatia wala sio rushwa
@LizzyMeibuko-qr7iy
@LizzyMeibuko-qr7iy Жыл бұрын
dah ningekuwa nae karibu ningempa binti yang amuoe kam hajaoa nampenda san
@dannypeter4951
@dannypeter4951 Жыл бұрын
Huyu mtu mungu ampe maisha marefu katika kazi yake
@sabryahmed6940
@sabryahmed6940 Жыл бұрын
This officer is a one in a million.
@allykarama5574
@allykarama5574 2 жыл бұрын
Maa Sha Allhaa Hiki ni Kipaji Alicho Tunukiwa na Allhaa Anafanya Kazi Ndani ya Nafsi yake Nimeipeda
@girremahamed5451
@girremahamed5451 2 жыл бұрын
Ma sha Allah Tabarakaala, jamaa yupo fit sana na anaimudu kazi yake,na pia ana enjoy sana tena sama
@neemaally5997
@neemaally5997 Жыл бұрын
Yaan hata mda wa Kuwaza rushwa hana hata kidgo yaan nampenda sana na alivyokijana anapendeza sana na Mungu kampa mwili mwepesi furahia tu kazi yako kijana ❤❤❤❤
@sebastianrespickius5267
@sebastianrespickius5267 Жыл бұрын
MUNGU Abariki kazi ya mikono yako mahana unaipenda nimejifunza kit kwak chanzo cha kupoteza uchovu n kupenda Nazi yako God bless you
@martinisadru
@martinisadru 2 жыл бұрын
Mungu amlinde katika kazi yake, wangepatikana Askari wengi kama huyo katika majiji makubwa hapa nchini foreni zingetoweka na maendeleo yangekua kwa kasi, maana watu watafika kwa wakati katika kazi zao.
@kulthumabdulrahman2915
@kulthumabdulrahman2915 2 жыл бұрын
Mashaallah
@sharefazngepar8646
@sharefazngepar8646 Жыл бұрын
Kipindi icho napita apo naelekea msasani job namiss tz
@rashadymuhamad6293
@rashadymuhamad6293 2 жыл бұрын
Jamaa yupo vizuri, namkubali kwa sanna. Mungu ampe afya na kila la heri katika kazi yake na maisha yake kwa jumla.
@powerofgodtv9982
@powerofgodtv9982 Жыл бұрын
Kwa mm binafsi kwakweli nimejifunza kitu huyu askari anaipenda sana kazi yake wala hajalazimishwa piya inatakiwa awe mfano kwa wengine utakuta trafiki anasababisha foreni bila sabbu za msingi ila huyu dah!!! aiseee big up sana bro God bless you
@halimahamis3280
@halimahamis3280 Жыл бұрын
Mungu amlinde sana nawenye husda!Aamiin rab
@Mtayamwega
@Mtayamwega 2 жыл бұрын
Daaah! Binafsi mwenyewe nimemkubali sana huyu jamaa. Mungu ampe maisha marefu na mafanikio katika maisha yake.
@aminabobudeo2675
@aminabobudeo2675 Жыл бұрын
Mungu amuongoze katika maisha yake
@haikaelmamuya931
@haikaelmamuya931 2 жыл бұрын
Ni kweli huyu Kaka ndio maisha take mwanzo siku amini mpaka nilipopita eneo lake la kazi Ila ndio utendaji wake. Mungu azidi kukubariki Bro.
@VioletNamz-tq4tg
@VioletNamz-tq4tg 7 ай бұрын
Hongera Sana, Yuko na moyo Safi, damu ya Yesu imfunike Kaka yetu ili na wengine wajifunze kupitia kwake.
@convenantTV
@convenantTV 24 күн бұрын
Yupo vizuri ukipenda KAZI yako hakuna uchungu moyoni ...Mungu amlinde baraka Tele kutoka kenya
@raphaelmitimingi6081
@raphaelmitimingi6081 3 жыл бұрын
Anafaa kuongezwa mshahara na kuwafundisha wengine waww na ari ya kuipenda kazi kama yeye! Nimempenda sana!
@nobertevarist6952
@nobertevarist6952 2 жыл бұрын
Me Kwa mala ya kwanza kumuona nilijua anatumia kijit ise
@guidokalinga
@guidokalinga Жыл бұрын
Mm namkubali sana tena sana na ni shauri mzuri kwa madereva kama kuna mapungufu katika gari hatoi adhabu atakupa onyo , kwa mdomo, ilikaidi unapigwa faini Mungu mtie nguvu
@verdianabanabi5943
@verdianabanabi5943 3 жыл бұрын
Mungu amtangukie katika kazi yake.
@Innocentlichad
@Innocentlichad Жыл бұрын
Jamani naipenda mimwenyewe kaziyangu kamahuyu trafiki
@user-ly8hd6pg7w
@user-ly8hd6pg7w 4 ай бұрын
Kweli Mungu akulinde Sana
@user-ly8hd6pg7w
@user-ly8hd6pg7w 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤ waoooooh nimependa Sana🙏🙏🙏🙏🙏
@luluchasama9347
@luluchasama9347 Жыл бұрын
Huyo jamaa ni noma,ni kweli anapenda kazi yake,asiondoshwe barabarani bila kufundisha wengine,ila aongezewe mkwanja
@IsayaMtasiwa-jd4ei
@IsayaMtasiwa-jd4ei Жыл бұрын
Uyu mtu mungu ampe maisha malefu kwenye maisha yake kwamana niwachache sana wenye moyo kama wake safi
@makameali6441
@makameali6441 3 жыл бұрын
Mimi nimempenda na nuombea kwa Allah adumu nayo kazi yake inshaallah
@asteriashios1852
@asteriashios1852 Жыл бұрын
Kabisa nimempenda mno yaani ningekuwa boss wake ningempandisha cheo faster
@saidifund3868
@saidifund3868 2 жыл бұрын
Vizuri sana ni mazoezi ya mwili viungo vinakuwa madhubuti Mungu ampe afya njema.
@alymuhammad8104
@alymuhammad8104 Жыл бұрын
Mm nimefikia kutaka nimuon laiv yan kwa anvyo furahisha by abeid ridhwan suleiman kutaka dong kitarun ukipenda $tar big*
@SimeonMwakalobo
@SimeonMwakalobo 9 ай бұрын
Hongera sana Askari kwa kuipenda kazi yako. Nakuombea Baraka na Neema ya Mungu.
@user-eq2wg9hx6o
@user-eq2wg9hx6o 6 ай бұрын
Jamanii aamishiwe arusha tutafurahi sana❤
@shamsafarijala4801
@shamsafarijala4801 3 жыл бұрын
Nimempenda bureee mungu aendelee kukupa afya njema
@peteryonna4434
@peteryonna4434 2 жыл бұрын
Ama kweli anafanya kazi vizuri sana mungu amlinde na ambariki katika kazi zake aliyoichagua na vituko vyake nimevikubali sanaaaa
@godfreymakau3932
@godfreymakau3932 Жыл бұрын
Anafaa kuigwa
@eliahnjavike4827
@eliahnjavike4827 Жыл бұрын
Asipandishwe cheo,bali aongezewe mshahara.
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Жыл бұрын
Afande wangu mungu akupe maisha marefu kwani nafurahi sana unachokifanya
@fransiscashayo4914
@fransiscashayo4914 8 күн бұрын
Kazi nzuri sana mpaka naenjoy kuangalia unaipenda kazi yako. Mungu akulinde na akuonyeshe Nuru na mwangaza zaidi. Ukawe nyota ya dhahabu. ❤❤❤❤
@amaniswai4969
@amaniswai4969 3 жыл бұрын
Awe mwalimu kwa wengine,na hapendi sifa Ila anajali kazi yake na anaifanya wa upendo wa Hali yajuu.hongera bro
@leahmgunda5248
@leahmgunda5248 2 жыл бұрын
Anafanya kazi aliyopangiwa na Mungu mwenyezi.Wazazi tusilazimishe watoto kazi wasizozipenda.
@joycejulius5800
@joycejulius5800 2 жыл бұрын
Nampenda saan namuonag pia 🥰❤️
@user-sb5ei2bh6k
@user-sb5ei2bh6k 5 ай бұрын
Uyu djaama nampenda sana Kuna watu wako ici anavituko asipo Vanya vituko Yani kama anaumwa Yuko vizuri from congo DRC.
@erickegidius6625
@erickegidius6625 3 ай бұрын
Mungu akulinde Afande, chapa kazi. Idara zote za Serikali na hata zile za Private sector wanatakaiwa kuwa na watumishi wa hivi kuanzia ngazi ya juu.
@hashimuhaji1036
@hashimuhaji1036 2 жыл бұрын
Dah!kusema ukweli kila mtu na kipaji chake ila jamaa yuko vizuri zaidi ya sana
@robertbutahe2835
@robertbutahe2835 2 жыл бұрын
Bonge la Traffic police officer. Safi sana. Good job, keep it up.
@JamilaOmari-qs4cp
@JamilaOmari-qs4cp Жыл бұрын
Safy
@dianasamson9311
@dianasamson9311 Жыл бұрын
Yuko vizuri sana... akikaa barbarians hakuna misongamano.... welcome. Mungu akulinde Ascari wetu.
@peteruzia8313
@peteruzia8313 Жыл бұрын
Asanteee sana yupo vizuri sana Lakn pia hicho ni kipaji.kuroka kwa Mungu.kweli hasa Maana sis tunaona kwa macho yetu. Wenyewe kuna matrafk wana upendeleo kabsa hawamuogop mungu. Ukfka matumbi unakaa masaa ma2 Mpaka uvuke tazara hv ni kweli
@nimphermonicah4754
@nimphermonicah4754 Жыл бұрын
This guy is Amazing ❤️❤️❤️👍
@bscollection9469
@bscollection9469 Жыл бұрын
Ulinzi wa KRISTO uwepo juu yake na pis watu wajitolrr kumsapoti
@charlessando4129
@charlessando4129 2 жыл бұрын
I like this man Soo Much the way he is responsibilities for his duty
@mirajiissa4721
@mirajiissa4721 2 жыл бұрын
Safi sana uyo jamaa
@saidally4890
@saidally4890 2 жыл бұрын
Nampenda sana naomba hapewe posho ilinawengine wawe nawivu waige undajiuo
@saidimgawe6548
@saidimgawe6548 2 жыл бұрын
👍
@amirikyaka6942
@amirikyaka6942 2 жыл бұрын
Safi sana mkuu hinimeipenda sana
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 Жыл бұрын
Jamaaa anafanya kazi vizuri sana inafaa aongezwe cheo Ila hata akipewa cheo zaidi ,asiache kuongoza magari barabarani . Kulikuwa na mtu akiitwa mayenu pia vizuri sana.
@ahmadalli8169
@ahmadalli8169 Жыл бұрын
Kazi nzuri kheri kubwa ikufikie askar wangu aaaammin
@abdulqareemabdallah2579
@abdulqareemabdallah2579 5 ай бұрын
Dah analet raha za barabarn mawazo hakun makosa tufanye wenyewe kwa huyu askar big up Allah akupe umri mrefu
@pericykiko6198
@pericykiko6198 3 жыл бұрын
Mimi nimempenda hakika anafanya vizuri, barikiwa mtangazaji
@paulolaizer9133
@paulolaizer9133 2 жыл бұрын
Mwambo yuko vizuri kwa kweli mungu amtiye nguvu
@mukafumumukafumu6100
@mukafumumukafumu6100 Жыл бұрын
Kweli kazi hii usipoipenda utakuwa mtumwa. Hongera kijana wetu mpendwa.
@user-ve3wu5jn1l
@user-ve3wu5jn1l 3 ай бұрын
Mashalah inapendeza Sana . Anafamya kazi yake kiuweled Sana .Mwenyezi Mungu ampe Maisha marefu
@emmanuelshayo2794
@emmanuelshayo2794 2 жыл бұрын
Mungu ambariki aisee. Ni kijana mzuri na anaipenda kazi yake.. BIG UP
@mboyagift9558
@mboyagift9558 2 жыл бұрын
Kaz nzur san.mung ambarik.a
@robnsonurasss5042
@robnsonurasss5042 Жыл бұрын
Mungu amuweke maisha marefu ❤❤❤
@metuselangungulu4011
@metuselangungulu4011 Жыл бұрын
Tz we are proud with this kind of workers may God bless a man
@yasinta2342
@yasinta2342 Жыл бұрын
Proud of** SIO PROUD WITH!
@RamjiNdomba-cz7qv
@RamjiNdomba-cz7qv Жыл бұрын
Yuko poa vizuri na Kila mtu ana kalama yake so huyo ni kalama ambayo Mungu amempa pamoja na kwamba ananipenda kazi yake
@AbedKidami
@AbedKidami 18 күн бұрын
Nakukubali kamanda kazi nzuri
@sharifuteacher5025
@sharifuteacher5025 2 жыл бұрын
Allhamdulillah allh amtangulie kwa kila jema kwenye kazi yake insha allh
@magumeangelo7926
@magumeangelo7926 2 жыл бұрын
Mungu ampe afya njema ikiwezekana serikali imwongezee mshahara maana anaipenda kazi yake. Na anaifanya kwa weledi mzuri sana
@magumeangelo7926
@magumeangelo7926 2 жыл бұрын
Mungu ambariki
@magumeangelo7926
@magumeangelo7926 2 жыл бұрын
Piga kazi kaka wengine wajifunze kwako
@f.a6043
@f.a6043 2 жыл бұрын
Hakuna jambo zuri kama mtu kupenda kazi yake MUNGU AKUBARI Traffic officer asipandishwe Cheo ili azidi kuonyesha mfano mzuri wa kazi lkn aongezewe mshahara
@samwelimabula
@samwelimabula Жыл бұрын
Wao jamaa anaheshim kazi yake mimi binafsi nimempenda
@jacquelinechriss6085
@jacquelinechriss6085 Жыл бұрын
Ni Poa Sana Mungu Ampe Kipawa Cha Milele,,,Kazi Nzuri Mno Aisee!!! Safi Sana
@nurujulius1797
@nurujulius1797 Жыл бұрын
Nampenda bure Mungu amtie nguvu Daima kwakuifurahia kazi yake🥰
@margaretwangari3523
@margaretwangari3523 Жыл бұрын
This is so good! GOD BLess him and help others to learn from him 😂
@kelvinmhilu6509
@kelvinmhilu6509 2 жыл бұрын
I love this guy his in love with the job and his enjoying it his super
@deofelix8003
@deofelix8003 2 жыл бұрын
Good job afande
@lokurepeter3396
@lokurepeter3396 2 жыл бұрын
Has to be promoted
@kamburanyamaronda1893
@kamburanyamaronda1893 Жыл бұрын
I appreciate too
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 Жыл бұрын
Huyu jamaa ktk kazi yake anapata faida nyingi sana 1)Mshahara 2)Umaarufu. 3)Mahusiano mazur na watu 4)Uchapakazi nzur kazini/kwa ofisi 5)Mazoezi. Yaan huyu haitaji gym hata akiondoka hapo basi kila kitu kipo sawa ktk mwili wake. Kwa kifupi yupo vzur sana ktk majukumu yake.
@tulisamwel41
@tulisamwel41 Жыл бұрын
Ni askari mtanashati ,mwenye kuipenda kazi yake. Mungu amwinue viwango vikubwa zaidi.Mungu amlinde na kumbariki.
@rayommy
@rayommy Жыл бұрын
Hii jamaa ni nouma sana sijaonaga kama yeye. Ila yupo yule wa makutano ya united RD NA MOROGORO ROAD na yeye yupo safi
@omarykiza
@omarykiza Жыл бұрын
This man deserves a Prize 🏆
@SimoniPhilipocom-ce7xi
@SimoniPhilipocom-ce7xi Жыл бұрын
Hai broo
@adammartinmwigune4501
@adammartinmwigune4501 2 жыл бұрын
Mimi binafsi nimemkubali, anaonyesha dhahiri kazi ipo kwenye damu.
@MariamuSalum-bb9ov
@MariamuSalum-bb9ov 33 минут бұрын
Aiseee yuko vizuri sanaa ❤
@cynthiawashisino3735
@cynthiawashisino3735 Жыл бұрын
Amazing 😍 God bless you
@josemgy1199
@josemgy1199 Жыл бұрын
This man deserves a prize
@solomonpeter8843
@solomonpeter8843 Жыл бұрын
Mmabodaboda wameshapack wanamshangaa tu
@dayanakassanga944
@dayanakassanga944 2 жыл бұрын
Safi wazalendo bado wapo nchi hii
@abdulazeezuae2442
@abdulazeezuae2442 Жыл бұрын
Mi naona hana habar ya kupendwa ndivo halivyo uyoo hata kwake hanaonekana mtu mwenye vichekesho mashaAllah
@juniorberbilizjr921
@juniorberbilizjr921 2 жыл бұрын
❤❤ God bless him
@anastanziaaroisi8666
@anastanziaaroisi8666 Жыл бұрын
Safi nimeturia sana huyu turafk jembe anaipenda kazi take naanajali uutu sana nawengine wajinze
@graciousdavid9818
@graciousdavid9818 2 жыл бұрын
He is amazing!! I like it.
@engmasanjamayenga5048
@engmasanjamayenga5048 2 жыл бұрын
Naipenda sana hawa ndo wanatakiwa
@abelikizitosawasawa635
@abelikizitosawasawa635 2 жыл бұрын
Vizur sana 👊👊👊
@rashidmohamed6792
@rashidmohamed6792 Жыл бұрын
Mwamba anauchapa mwingi
@mohammedkombawadomtznamungopig
@mohammedkombawadomtznamungopig Жыл бұрын
Huyu mwamba nakubali sana namfahamu muda kidogo ukipita maeneo alipo una enjoy kiukweli Mungu ambariki sana
@mourinhowakawe7867
@mourinhowakawe7867 3 жыл бұрын
Mungu akuzidishie police wetu
@janetmanyansa7385
@janetmanyansa7385 2 жыл бұрын
so encouraging,l like it
@elikanayese5076
@elikanayese5076 Жыл бұрын
Jamaa yuko pw
@rehemamkumbo6746
@rehemamkumbo6746 11 ай бұрын
Safi sana kwakweli inafurahisha inaonyesha jinsi gani anavyo ipenda kazi yake namuombea kwa MUNGU YESU AMLINDE NA MABAYA YOTE YASIMPATE DAMU YA YESU IWE JUU YAKE POPOTE ATAKAPO KUA
@user-up2ef7dc6k
@user-up2ef7dc6k 6 ай бұрын
Yupo vizuri cn askari ❤mng amtangulia ktk kz yake in shaallah
@pendopeter3769
@pendopeter3769 3 жыл бұрын
Nimependa pia nafikiri ni askari kijana ndo maana. Askari ambao umri umeenda pia na walionenepa wanaona tabu kusogea sogea haraka kwa kuchangamka wanasimama sehemu moja, japo wapo vijana ambao hawajitumi hii inakuwa nitabia ya mtu pia.
@verdianabanabi5943
@verdianabanabi5943 3 жыл бұрын
Miaskari mingine inajificha pembezoni kutafuta mlungula
@magomakabanja480
@magomakabanja480 6 ай бұрын
Yaani Ningekua Dereva Ningempa Hata Lako Moja Maana Kanivutia Sana Wengine Wamebakia Rushwa Tyu Buku Buku zetu Wana Chukua Watakufa na Laana za Rushwa na Watakufa Vibaya
@user-kj8bd6rq5c
@user-kj8bd6rq5c Жыл бұрын
Hata Mimi nimependa Yuko sawa kabisa Mungu amlinde na ampe maisha marefu
@rukiammanyi-qm9iz
@rukiammanyi-qm9iz Жыл бұрын
So proud of him 🫠
@ziadaskitchen5060
@ziadaskitchen5060 2 жыл бұрын
Mashaallah
@aishaseif3817
@aishaseif3817 Жыл бұрын
Hongera sana unaipenda kazi yako mungu akutangulie ktk kila jambo nakupenda sana kila ninapokuona
@surusuru1994
@surusuru1994 2 жыл бұрын
Mashaallah 💞
@swalehemshana4684
@swalehemshana4684 Жыл бұрын
Ukweli nimemkabal
@nkolemuya9283
@nkolemuya9283 2 жыл бұрын
Huku kutesana tena karne hii ya technology Msiweke traffic lights kwa nini Hongera kwa kujitoa askari wetu ila afya yako ni muhimu pia ili ulitumikie taifa na familia yako kwa umri mrefu zaidi
@jemawiliam9075
@jemawiliam9075 2 жыл бұрын
Traffic light zipo ila maranyingi huwa ndio sababu ya jam ndio huenda askari kupunguza jam kwakuwa taa hazina upendeleo huluhusu kwa muda marumu
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 Жыл бұрын
@@jemawiliam9075 kweli anasaidia unakuta taa zinaruhusu upande ambao magari hamna au machache, so anasaidia sana nimependa ubunifu sio kila saa stooop! Lete kadi lesenia mara bima mara fire extinguisher
@deusogiro9044
@deusogiro9044 Жыл бұрын
nampenda ssna Askari uyo Kama wangekuwa wote Kama uyo daa tungefurai Sana mungu ampe ulizi afanye kazi vizuri kupita iyo
@oldgoldcancela2034
@oldgoldcancela2034 5 ай бұрын
Uyu jamaa ni comedian mzee bongo nzima Yuko pekeaka
@zuleikhaahmed7220
@zuleikhaahmed7220 2 жыл бұрын
❤😍❤
@fenethmsungu3363
@fenethmsungu3363 Жыл бұрын
Powa sana
@mahepajumanne
@mahepajumanne Жыл бұрын
Hongera sana kwa kazi nzuri mkubwa wangu traffic 🚦
@devotamutayoba9373
@devotamutayoba9373 Жыл бұрын
Good Job,siyo rahisi kuiga kitu ambacho hakiko kwenye damu,huyu askari anaipenda kazi yake na hivyo ni vizuri serikali imuangalie. Muda wote anasmile,hata akikamata mtu huwa anaelimisha na hapendagi rushwa.Mungu ambariki
@selulehamisi4928
@selulehamisi4928 Жыл бұрын
Naomba unitumie namba zahuyu askari nimpe zawad amenifurahisha sana
@stievengenerally963
@stievengenerally963 Жыл бұрын
Hongera sana,this guy is great and talented,Amen.
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 Жыл бұрын
Daaaah nimeipenda style yake feeling today from NEW YORK CITY 🏙️
@user-hm6hy6rr1h
@user-hm6hy6rr1h 4 ай бұрын
Honger san kk mung akubarik🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mung akuwek uhamishiwe pemb jaman
@rosekimario8223
@rosekimario8223 Жыл бұрын
Nimempenda San anajali kazi yake mungu amuepushe na ajali za barabaran jaman
@user-gj4qk9uz2v
@user-gj4qk9uz2v 2 ай бұрын
Kazi yake nzuri na eye ndivyo alivyoumbwa na anatakiwa awe mwalim wa wenzake
@MINJAANDEKIAMSUYA-ul4os
@MINJAANDEKIAMSUYA-ul4os 6 ай бұрын
Mimi pekee nimempenda sana. Na WMENYEZ MUNGU ambariki katika maisha yake na awe na mafanikio
@ramadhanalmashamza3458
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Mungu ambariki anafanya kazi yake vizuri sana
@hunaynasalimu-te6fi
@hunaynasalimu-te6fi Жыл бұрын
Mashallah nimempenda mungu amuongoz katk kaz yake amuondoshe na husda wengine hawapend anachokifanya huy askari
@senedsalum2963
@senedsalum2963 Жыл бұрын
Yuko vizuri na kazi yake mungu amjalie kila la kheri katika mazi yake na mafanikio pamoja na familia yake
@abdullahimohamed9828
@abdullahimohamed9828 Жыл бұрын
Hata mimi mkenya nikubali anapenda kazi yake Masha Allah
Неприятная Встреча На Мосту - Полярная звезда #shorts
00:59
Полярная звезда - Kuzey Yıldızı
Рет қаралды 7 МЛН
small vs big hoop #tiktok
00:12
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 33 МЛН
JESUS (Swahili: Tanzania) 🎬  (CC)
2:07:54
Jesus Film
Рет қаралды 10 МЛН
KINGWENDU AJARIBU KUWA PATANISHA DAIMONDI NA KONDE BOY UTACHEKA SANA HII
7:44
Legendary Red Cards in Football #3
7:49
Spor Delisi HD
Рет қаралды 17 МЛН