❤❤bigp San isiisie kumpigia makifi au kumpa hongela ningependa makapuni ya ledio na tivi mumpe kazi afundishe wingine
@ezekielkabuyanja33856 күн бұрын
Kuna watu wanalipwa mshahara Kwa kazi wasioijua afu wataalam wapo kitaa,bigup Sana
@KangaMaluguru7 күн бұрын
Jamaa yuko vizuri sana.Bigup
@CyprianBoniphace13 күн бұрын
Jamaa anajua sana kuchambua big up.
@NasraSaidi-l2h12 күн бұрын
Weee kaka kiboko umeeleweka hongera zako❤❤❤❤❤
@JoyceMasimba-z2v6 күн бұрын
Bravo brother
@seifmbembe10 күн бұрын
Huyu jamaa ukimuona kama bwege lkn anamadini mengi yakutosha hongera sana kijana
@NiceWisley13 күн бұрын
Chambuzi la cuff 🔥🔥🔥
@manestie304413 күн бұрын
Huyu ni hatari sana
@otmarykiowi41323 күн бұрын
Ukitaka kujua mwamba yupo vizuri, ameichambua Simba na Yanga awamu zote amepigiwa makofi hakuna anayeonekana kuwa na wasiwasi naye
@AdamRashidi-n9g3 күн бұрын
Ww ni mwana soka mzuri bila kujali kuwa ww yanga huko vzry saana
@motosyokukulamsando18 күн бұрын
Nakukubali mwamba unajuwa sana
@godfreywilly63918 күн бұрын
Kuna watu wapo redioni wanabaki ze ze afu kuna wachumbuzi mtaa tuu
@otmarykiowi41323 күн бұрын
Dube alisajiliwa kwa sababu ya kuifunga Simba mara nyingi
@NeemaAugustine-s6s4 күн бұрын
serekal na washabiki soka imtazame huyo mwamba anaweza xan
@gibsonjosephat63526 күн бұрын
Zile redio zenye mavuvuzela eti wachambuzi Wamchukue huyu mwamba wampitishe kidogo kwenye utaalam wa studio kisha wampe airtime.
@josephisack878718 күн бұрын
Exactly jamaaa anajua kwel kwel .
@SaidMayunga13 күн бұрын
Anaitwa nani? Huyu jamaa yuko vzri sana
@PamelaHezron13 күн бұрын
Anajua Sana kuchambua.
@omarymwenebatu3 күн бұрын
Upewe mauwayako umewazidi wachambuzi wengi wanaochambua kwenye redio mbali mbali.
@AlexOdasi17 күн бұрын
Inabd chagamba uanze kumhoji na uyu jamaa najua sana
@NasriNassor-c2z17 күн бұрын
Huyu anajua uchambuzi sana hao wengine maredioni mafenesi et salama mchambuzi watu kama hawa muwajiri wataendeleza soka letu.kwanza ana ubaguzi wa uchambuzi.
@sangaelly85483 күн бұрын
Daaaaa weeee dogo ulikuwa wapi?
@AyoubSanga-y8u14 күн бұрын
Big up mwamba
@AllyHozza13 күн бұрын
Huyu alikuwa wapi mbona ni chambuzi za hatari sana anajua kiukweli
@mengisimulizi757712 күн бұрын
Ebwana ninashida ya uyu jamaa anayemjua anipe namba
@JohnJoseph-qq7ow18 күн бұрын
Unajuwa kuchambuwa
@eliyaslosi914218 күн бұрын
Chambusi languvu
@DanielMathias-c8w18 күн бұрын
Nimekusoma mwamba
@chrismtitu79916 күн бұрын
Anachambua vzr sana.Anakielewa kile anachokichambua kiundan.Hakika anajua na anatoa haki ya kile mchezaj anacho.Tofaut kabisa na yule egemeo mchambuz wa Kutoka MBINGA😂😂😂.
Wasani Pale Hatuna Wachambuzi wsmpila UONGOZI Wajue Siwamchukue Uyu Mtu Siyo Akina Dauda na Wale Wamchongo Wa Wasafi
@jumakitanda918313 күн бұрын
Hana unafiki dogo
@PabloDallas25514 күн бұрын
Simba tuendelee kujenga timu 😂
@sadamissa568717 күн бұрын
😂😂mwamba anachambua bila kuweka maneno ya kingereza ili uonekane unajua 😂anajua sana
@SamwelLameck-rv3fd17 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@HarunaUrimwengu14 күн бұрын
W jamaa unajua boli kak
@TomasiklistophaMwinuka13 күн бұрын
Kaka unaongea ukwer sana
@hassanlikwenangu847117 күн бұрын
CDe!
@SaidHamoud-h9t11 күн бұрын
Midomo inaongea sana ingekuwa vizuli mkaacha midomo nakuingia nyinyi mcheza acheni ujinga kama hamna kazi za kufanya kuweni mashoga wajinga wewe na anaekuhoji
@DismasiDaniphodi8 күн бұрын
ww n utopolo
@SaidiOmari-g3f18 күн бұрын
hujui ww dukinabuya kwani hujamuona kule Zambia mkana fu