MKALABOKO: THE GIANT!! SIMBA YATESA REKODI ZOTE CAF | ZAWATUPA ZAMALEK, BERKANE, USM ALGER...

  Рет қаралды 30,683

Data Sports Tv

Data Sports Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 32
@anthonymilinga8696
@anthonymilinga8696 10 күн бұрын
Kocha wa Yanga yuko sahihi wacheni kumsakama, semeni ukweli, Ligi ya Tanzania ni kweli thaifu sababu bodi ya ligi imeruhusu GSM kuzamini zaidi ya timu 6 kwenye ligi moja, yanga hapati upinzani kwenye mechi zote anazocheza na timu zilizo zaminiwa na GSM, Simba ikicheza na timu hizo hizo, wanapata upinzani mkubwa sana sababu wapinzani wa simba wana haidiwa pesa nyingi lakini simba inashinda kibishi. Endeleeni kujitekenya wenyewe na mcheke wenyewe sisi huko hatupo.
@evaristgamba4204
@evaristgamba4204 4 күн бұрын
Simba inawapinzan wengi nje na ndan ya uwanja Yanga wanatumia kila njia na mbinu kuidhoofisha simba lakin hawata waweza
@JamesPaul-o2h
@JamesPaul-o2h 11 күн бұрын
Hayo ni majibu ya Simba kupata gemu zenye ushindani na yanga kupata urahisi kwa timu hizo hizo
@deejayfifty9626
@deejayfifty9626 10 күн бұрын
Gsm anaharibu ligi mechi za ligi zinakuwaga ngumu kwa simba tuu na cyo kwa yanga
@AnciscoKayombo
@AnciscoKayombo 11 күн бұрын
Vipi Utopolo
@sijaonamjungufinias481
@sijaonamjungufinias481 10 күн бұрын
Yanga wasipoacha ujanja ujanja wa kununua mechi za ndani hatafika popote kwa sababu hawapati ushindani halisi
@AllyMwinyi-rx8gr
@AllyMwinyi-rx8gr 11 күн бұрын
Gsm Bila ya kuacha kudhamini vilabu vingi hawatoenda popote Kila siku watasubir point za Bure tu wakifika klabu bingwa mwisho makundi
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 10 күн бұрын
Yanga wamezoe kuachiiwa mechi GSM anazamini team 8
@sadikiabushehe
@sadikiabushehe 9 күн бұрын
kocha kasema ukweli
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v 10 күн бұрын
Ligi inaharibiwa na gsm na injinia ni kuhonga timu ili simba ifunge
@balackaOmally
@balackaOmally 8 күн бұрын
GSM anaalibu ligi ya Tanzania TFF inatakiwa wapingeswalaili lamdhamini mkuu watimu ya yanga kwendakudhamini vilabu vingine ilituipe thamani ligiyetu
@SalmaRashid-t9x
@SalmaRashid-t9x 9 күн бұрын
Sisi kila wakituwekea ahadi ndio tunapevuka kikubwa
@HassanSangu
@HassanSangu 10 күн бұрын
kocha wa yanga mkweli ila kaongea kwakutumia d mbili ligi yetu aina ushindani timu zali yetu zina onga mechi kama iyo timu yake mzami wao kazamini timu kalibia nusu zatimu zaligi kwaiyo ukionana timu zenye malengo kama zile lazima wafeli nakama timu zauku zingekua yanga ingekua inapata ushindani wakweli engesema ugumu waligi
@sadikiabushehe
@sadikiabushehe 9 күн бұрын
kocha wapili yanga kuizungumzia yanga na isitoshe tatizo yanga ukweli hawautaki mpaka kocha wakigeni kagundua mazaifu nimtu kafuatilia kwaumakini yanga ipo kama kampuni yenye matawi
@MathiasManeno
@MathiasManeno 10 күн бұрын
Hata Kama ni dhaifu kimemleta nini si angebaki kwenye ligi ngumu? Yeye aseme tu mbinu zake mbovu
@Amosmakuba-r2k
@Amosmakuba-r2k 11 күн бұрын
yanga imezamiwa na vitimu vingi gsm anadhamini
@sadikiabushehe
@sadikiabushehe 9 күн бұрын
bora nyie mmeongea ukweli lakini wandishi wengi waongo kiukweli wandishi wengi hujuma tupu simba ikifanya vizuri wandishi wanaponda ukweli usemwe timu nane mtu mmoja kazamini ushindani utakuwa wapi
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 10 күн бұрын
Tatizo unaongeaje hadi ukishindwa
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v 10 күн бұрын
Usilinganishe mbingu na arizi
@SuleimanMuhammed-g7q
@SuleimanMuhammed-g7q 8 күн бұрын
Km dhaifu tupe sababu tatu kuu tu
@erickprotace9463
@erickprotace9463 11 күн бұрын
Mimi nauliza swali: kwanini simba ikiwa inacheza ligi kuu baadhi ya timu zinawekewa hela ili simba ifungwe tofauti na timu ya yanga haifanyiwi hivyo?..
@AlcherausMalinzi
@AlcherausMalinzi 11 күн бұрын
Anayeweka hela Simba ifungwe ndo mdhamini wa Yanga na timu 8 za ligi.
@IsmailOmary-b8n
@IsmailOmary-b8n 10 күн бұрын
Simba inapambana kiukweli ila tizingine zinapambaniwa
@albertlaizer8464
@albertlaizer8464 10 күн бұрын
​@@AlcherausMalinziakikà umesema kitu dingilai 👊👊
@allyhuyu1892
@allyhuyu1892 10 күн бұрын
Hicho ulichokiongea natamani kiendeee maana ndicho kinachoifanya simba kua imara sana maana hao wanaoahidiwa pesa hawajapatapo kushinda zaidi ya kulalamika pale wanapoikamia simbasc mpaka wanafanya madhambi langoni kwao wenyewe wakipigiwa penalt wanaanza kulalama lkn ni kitendo kinachoipa nguvu kubwa sana simba sc kupambana na changamoto zozote zinazotokea
@omarali-ut4do
@omarali-ut4do 9 күн бұрын
Hiyo nd sabab Simba inkua strong cz inakamiwa n kupat matokeo sas wanaonyimw competition wanashnd nying n iktokea wakakamiw n waarab hawashnd mwisho kusingzia ligi dhaifu.
@EliasCosmas-qp6gn
@EliasCosmas-qp6gn 10 күн бұрын
Wamuache cocher jmn 🤣🤣 yeye karusha jiwe gizani watu hoooo Ligi Yetu sio hiv,"yako wapi msimusakame kias kateleza t.ff waweke mipaka ndani ya Ligi zetu wazamin wajiwekeze kwenye tim zetu ili Ligi ipate ushindani zaidi kinacho Kela nawaamzi njaa zina wapeleka humohumo isiwe tu Simba na yanga Tim zote ushindani uwepo GSM 6 mwakakundi🐸
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
Simba vs wydad nchini Morocco
9:06
SisamSports
Рет қаралды 254 М.