On this song, Abdalla Gama and Joseph Mulenga switched roles. Gama on Solo and Mulenga on Rhythm
@azizmbungiro99194 жыл бұрын
Ni hapo wataalam wa magitaa walibadilishana kuongeza radha ya muziki.Gama alikamata Gitaa kiongozi,Mulenga kwenye rhythm na Mwanyiro kwenye bass.Waweza kusikia jinsi rhythm inaikamata solo hapo.(inaifunika solo)kwa maana rhythm inasikika zaidi ya solo.wimbo upo sawa sana.
@amossute22073 жыл бұрын
rithyn ni mwanyilo bass mulenga na solo ni gama mabadiliko maalum kabisa hayo by ALLY Marijani
@julithamuhale72712 жыл бұрын
Oooh! DDC iliikuwa Moto WA kuotea mbali! Ila kina mfaume wapo Hadi Leo 2022 nawashauri Muache tabia hizo za kunyanyasa wapenzi wenu!
@yusufumatumbo68654 жыл бұрын
Kikosi cha wanamuziki wa Kitanzania kilichojibainisha kuwa ni Bora zaidi
@sesalamamboya99657 жыл бұрын
Hicho ndio kikosi bora cha sikinde ambacho kilitupa raha miaka ya themanini.
@sangomamourice35393 ай бұрын
Sikinde asanteni mno toka 1978 mpka leo na mahasimu wenu msondo naziri yangu mola akinijaria kipata ni kuwapiga vyombo vipya ya kisasa wote wawili ndoto yangu itimie
@Magwega7 жыл бұрын
hatuwezi kuropoka...mfaume wanilizaa
@maghimbihosea10984 жыл бұрын
miongoni mwa nyimbo nzuri sana ambazo zimewahi kuimbwa na sikinde.Unanikumbusha mbali sana
@ابنعثمن7 ай бұрын
Miaka hiyo baba yangu alikuwa na duka TEMEKE Mikoroshini kwa Njigale, ana hela mpaka pa kuweka hakuna. Watu wanapanga foleni barazani kwetu kusubiri unga wa sembe,sukari na mchele kwa kibali cha Mjumbe wa nyumba kumi. Alhamdulillah sisi ndio tulikuwa madoni wakati wengine wakihangaika njaa. Allah amweke mahala pazuri baba yangu mzee Njigale.
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Mambo yetu ayo vigongo vyetu walai auniishii am
@rahmarajab36882 жыл бұрын
Dhahabu hizi, Ni Tam Sana Nyimbo hizi,,,
@isayamazani224 жыл бұрын
Hiyo trumpet bila shaka ni King Michael Enoch (Ticha).Pia kwenye vocalline nawasikia Maalim Kinyasi, Bitchuka, Mzee Gurumo. ASANTE sana kaka Eddie ubarikiwe
@ihanomadili Жыл бұрын
Saxaphone
@jabirkiminza97802 жыл бұрын
Ukweli ni kwamba hakuna kikosi kitakacho undwa na kichanganyike sawa sawa kama Sikinde. Hiki kikosi kilikua na waeledi waimbaji wenye sauti nzuri na wacharaza magita na wapuliza tarumbeta mahodari ; hivi vyote viliingiliana na sauti za magita. Hakuna bendi nyengine itayopatikana Tanzania au East Afrika kama Sikinde - huo ndio ukweli. Hawa wapigaji walikua ni hodari kupita kiasi.
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Kiukweli iki kigongo nakipenda mpaka nauzunika maana enzo zile familia tulitimia sasa weeengi wamefalik mungu awalaze mbaali pema
@hamisidale55678 жыл бұрын
Mfaume waniliza!!! nyimbo za zamani dawa; za stress"Hamisi Dale Boston USA
@rehemaramadhani89382 жыл бұрын
Nakuka mbali Sana'a!!!
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Ah sinaga upinzan kwa mziki uu ni mtam wenye ujumbe unaoeleweka
@ihanomadili11 ай бұрын
Dalle upo wapi?
@paulangoloko86422 жыл бұрын
Mmh iki kigongo kinanikumbusha mbaali miaka1983 akiupenda dada yangu mpenzi ila mungu amempenda zaidi ah nakkumbuka dada k
@nurulevari52194 жыл бұрын
Such a great feeling,reminds my old days in Azasesco
@saadmazen452810 жыл бұрын
hhiki ni kikosi kilichokuwa kimekamilika cha DDC...sikinde ngoma ya Ukae
@othumanlorenzo2605 жыл бұрын
Naomba nikumbishe kaka kikosi hiki
@mbungembunge9865 Жыл бұрын
Bitchuka Gurumo Kinyasi Mulenga Gama Mwanyiro King Enock Juma Town Kachale .......
@wilbmboma76135 жыл бұрын
Eddy nashauri embu tutengenezee flash mkuu mimi nitakua mteja wako
@robertmihayo48229 жыл бұрын
Asante sana Eddie kwa kupost hizi nyimbo. Zinatumbusha mbali sana
@isayamazani226 жыл бұрын
Kwa uchache tu gurumo,bartazari,george kessy,bichuka,josef bernard,seleman mwanyilo,machaku salum,josef mulenga,michael enock ticha,abdalah gama, maalim kinyasi,
@khamissalum4314 жыл бұрын
Ddc ni bendi ambayo naipenda sana
@khamissalum4314 жыл бұрын
Kama timu ya taifa bas hii Brazil ya pele
@kilosa20009 жыл бұрын
Eddie hakika wewe unanifanya sasa nisikize hizi nyimbo zisizochuja, asante sana yaani sikuamini kama ningeweza kuzisikia hizi nyimbo mm naziita za kisasa kwa hawa waimbaji wetu wa computer nyimbo zao zinachuja mara moja
@eddienassor4809 жыл бұрын
Mord Ally Hahahahaa.Huo ndio ulikuwa mziki wa kweli ndugu:burudika
@zonko04885 жыл бұрын
Ahsante sana Eddie pamoja sana..
@nyangehassan9028 ай бұрын
Hii ni mwaka 1982 nikiwa standard seven Deri shule ya Msingi
@GeoffreyNgonda-bx8me2 ай бұрын
Kazi hiyo
@IssaMwarekwa15 күн бұрын
Kweli za kale nizahabu
@azizgarimo3649 Жыл бұрын
Mpiga tumba alisimama kweli kweli
@MightyLumber10 жыл бұрын
Pia weka Msondo hizi nyimbo za "Nasikitika", "Sogea Karibu (Chake)"
@masitakiriama43376 жыл бұрын
Muziki tamu tena wenye maadili
@wilkinsonndigajustus332 жыл бұрын
Ni kumbukumbu ya kikweli ya siku ujana wangu
@ahmedirajab55438 жыл бұрын
kaka Eddy nakukubali mm huwa najiuliza kunawimbo hapendeki wa ddc orijinol naomba kama opo uposti kaka kunaoliofanyiwa remix haunalatha ya Ddc ya 1982 kabisa pia nakutaki maisha mema Katika Kazi zako
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Kiukweli mfaume ni kigongo kitam mno
@reginaldnyinge88029 жыл бұрын
ndio uko mfaume ulioimbwa pia na Orchestra Makassy..
@kokombwana58657 жыл бұрын
enzi hizo kwakivesa handeni na mtunani kisarawe
@rajabupambe6530 Жыл бұрын
Dar ilikua ya moto miaka hiyo 😅😅
@shomalibakari41405 жыл бұрын
haiwezetokea nyimbokamahizi
@eddienassor48010 жыл бұрын
Zipo zote hewani ndugu!
@imamumbwambo52915 жыл бұрын
Hizo flush zinapatikana wapi naombo unielekeze nikanunue
@eddienassor4808 жыл бұрын
Ahsante sana ndugu,nikinafasika na kunapo uhai na salama nitau post kaka
@athumanramadhan78017 жыл бұрын
weweeee mambo hayarudi tena basis
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Mh achaga tu
@mzimbiriibrahim62143 жыл бұрын
Namkumbuka marehemu mama yangu Aisha miaka hiyo 1975
@othumanlorenzo2603 жыл бұрын
Oky sikinde imeanza mwaka 1978
@jabirali23249 жыл бұрын
Samahani ndugu Eddie. Kuna wimbo wa DDC Mlimani Park Ochestra unaojulikana kama JIRANI. Je wimbo huu waweza kuupata na ukaupost? Ahasante na nakuombea ufanikiwe.
@twilamtumbi26479 жыл бұрын
eddie samahani kaka hivi huna ile ngoma ya sikinde inasema KUPENDA SIO NDOTO YA USIKU 1, km vp irushe kaka
@aloycetemba86527 жыл бұрын
Hahahah hapo rhythm la Gamma lilikuwa nyota wa mchezo.. Magitaa yanaongea sheikh
@isayamazani225 жыл бұрын
Kwa mujibu wa Jimy Chika "google"mchambuzi maarufu wa nyimbo hizi kutoka TBC fm anadai humu ndani kulipigwa magitaa 3 lakini kwa utaalam wa kupanga sauti za ala lilipatikana gitaa 1 la ziada kwa nadharia tu. Yote ilikuwa kazi ya ticha Michael Enock. rip
@azizmbungiro99194 жыл бұрын
Wataalam walibadilishana zana hapo,Gama kwenye Solo wakati Mulenga kwenye rhythm.Utaona hapo rhythm inaifunika solo.
@hassanbugu500010 жыл бұрын
Sidhani nakusumbua ndugu Eddie ela nimeona ni wewe unaweza kuwa mfumbuzi wa vitendawili vyangu vya kiu ya mziki wa siku hizo.Ingilia Western Jazz uone kama unaweza kupata nyimbo zao Nibadili Dini na Jela ya Mapenzi.Zuwena ya DDC nimeipat isipokuwa Uhuru wa Zimbabwe na Mama Maria Nyerere.(za DDC). Kwa hisani yako pekuapekua.
@eddienassor48010 жыл бұрын
Hapana shaka kaka.Fanya subira tu tukijaaliwa nitazi post
@plasidyamhaya27974 жыл бұрын
Muziki umeenda skuli yahee
@samsonmongeri94096 жыл бұрын
Nduvu Eddie mie napenda sana nyimbo za klmulimuli kama vile kabwe na christna ,nitaslpataje kwa sababu hizo umewaka hapa kwa youtube sio kamilifu? KISII KENYA.
@othumanlorenzo2605 жыл бұрын
Ninazo nicheki 0687849999 whatsup Nina makilachiku, ,kabwe,kiss cha photo album,Cleopatra
@josiahmuthemba1156 жыл бұрын
Sio mfaume ! But Faume
@leonardkipondya42165 жыл бұрын
Msikie Bitchuka anapoloa anaita Mfaume sio Faume
@leonardkipondya42165 жыл бұрын
Anapolia
@azizgarimo3649 Жыл бұрын
Mfaume
@zonko04885 жыл бұрын
Orchestra Mlimani Park ikiwa kileleni….ubora wa Bitchuka huu akiwa na kundi zima la wana Sikinde wakiwa bado nyumbani Mlimani Park hii ndio Dar es Salaam iliyokuwa inachemka kama bahari aliyoisema King Kiki Mpango Mwema
@paulnyingo73165 жыл бұрын
Ukiwakosa wana msondo ngoma pitia sikinde ngoma ya ukae,Urafiki na Uda jazz...king kiki.
@MightyLumber10 жыл бұрын
Eddie hivi unaweza kuapata wimbo wa National Panasonic band uitwao "Laiti Moyo" Unaitikiwa kama hivi: Laiti moyo ungekuwa na kifuniko Nisingeona radhi kufungua, uone jinsi ninavyokereketwa mama, eheee eheee... Tafadhali kama unao weka kigongo hicho. To hell with fleva.
@eddienassor48010 жыл бұрын
Nna hakika nnao hu Lumber.Nitauchungulia na nikiupata nitaurusha Mungu Muumba akipenda
@MightyLumber10 жыл бұрын
Nitashukuru sana Eddie....Mungu akulinde daima kwani unatupa raha za hajabu sana. Wewe ndiyo raisi etu humu mtandaoni.
@MrLevis39 жыл бұрын
+MightyLumber Kaka huo wimbo unaitwa "Tofiki" hata mimi pia naupenda sana.
@tgeofrey4 жыл бұрын
the best
@ibrahimkambi79437 жыл бұрын
wewe ni kichwa huko juu sana eddy nakumbuka siku moja wakenya kwenye radio yao walisema hii ni ddc mlimani ya kenya unaweza kuniambia ni kwanini walisema vile?
@isayamazani226 жыл бұрын
Ibrahim Kambi mimi nadhani ni kile kipindi ddc walikwenda nairobi kurekodi albam bila ruhusa ya bamuta hivyo albam hiyo ilipigwa marufuku rtd. Kenya wakatumia fursa hiyo kuzicheza nyimbo za ddc
@mohamedalawy77044 жыл бұрын
Zamani hairudi.Nikiwa kijana wakati huo nikisikiliza RTD kila siku. Miziki kama hio ilinifanya mbaka leo naipenda sana TZ. Mombasa Kenya
@flowila8210 жыл бұрын
Haya kaka ubarikiwe
@omaribongo42917 жыл бұрын
Eddie ndugu yangu tafaaadhali kuna vibao vya sikinde nimetafuta mpaka uvungu wa kariakoo sijavipata kama vile Mume si riziki,supu ukitia nazi.Pls naomba tutafutie na sisi tuweze kutoa stresses zilizotunguuka na majukumu haya tunahitaji vitu kama hivi ili kuongeza uhai tafadhali.ommyb74@gmail.com.0785670095.
@mryrapatrick64339 жыл бұрын
Kuna mfaume ya makassy pia ama am mistaken?
@eddienassor4809 жыл бұрын
Mryra Patrick Sina hakika kaka.Ngoja nichungulie
@mryrapatrick64339 жыл бұрын
chuki yanini kwa wazazi wanngu mfaume/sijakukataa eeh mama/nilikueleza subiri nimalize shule/nitakujibu bla bla..... Ama kitu kama hiyo
@eddienassor4809 жыл бұрын
Sijaukumbuka bado lakini nitaupata!
@AnthonyKisondella9 жыл бұрын
Mryra Patrick Huo wimbo upo kweli uliimbwa na Mzee Makassy with Makassy Orchestra
@kilosa20009 жыл бұрын
Anthony Kisondella nafikiri mzee Anthony huna kumbukumbu vizuri, makassy na wimbo huu wapi na wapi
@josiahmuthemba1156 жыл бұрын
Correction : huu wimbo waitwa Faume wanilisa
@josiahmuthemba1153 жыл бұрын
@@akimumwabulanga6231 ni faume waniliza but not mfaume