Mziki wa dansi zilipendwa- DDC- Mfaume waniliza

  Рет қаралды 107,644

Eddie Nassor

Eddie Nassor

Күн бұрын

Пікірлер: 92
@rmatalanga
@rmatalanga Жыл бұрын
On this song, Abdalla Gama and Joseph Mulenga switched roles. Gama on Solo and Mulenga on Rhythm
@azizmbungiro9919
@azizmbungiro9919 4 жыл бұрын
Ni hapo wataalam wa magitaa walibadilishana kuongeza radha ya muziki.Gama alikamata Gitaa kiongozi,Mulenga kwenye rhythm na Mwanyiro kwenye bass.Waweza kusikia jinsi rhythm inaikamata solo hapo.(inaifunika solo)kwa maana rhythm inasikika zaidi ya solo.wimbo upo sawa sana.
@amossute2207
@amossute2207 3 жыл бұрын
rithyn ni mwanyilo bass mulenga na solo ni gama mabadiliko maalum kabisa hayo by ALLY Marijani
@julithamuhale7271
@julithamuhale7271 2 жыл бұрын
Oooh! DDC iliikuwa Moto WA kuotea mbali! Ila kina mfaume wapo Hadi Leo 2022 nawashauri Muache tabia hizo za kunyanyasa wapenzi wenu!
@yusufumatumbo6865
@yusufumatumbo6865 4 жыл бұрын
Kikosi cha wanamuziki wa Kitanzania kilichojibainisha kuwa ni Bora zaidi
@sesalamamboya9965
@sesalamamboya9965 7 жыл бұрын
Hicho ndio kikosi bora cha sikinde ambacho kilitupa raha miaka ya themanini.
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 3 ай бұрын
Sikinde asanteni mno toka 1978 mpka leo na mahasimu wenu msondo naziri yangu mola akinijaria kipata ni kuwapiga vyombo vipya ya kisasa wote wawili ndoto yangu itimie
@Magwega
@Magwega 7 жыл бұрын
hatuwezi kuropoka...mfaume wanilizaa
@maghimbihosea1098
@maghimbihosea1098 4 жыл бұрын
miongoni mwa nyimbo nzuri sana ambazo zimewahi kuimbwa na sikinde.Unanikumbusha mbali sana
@ابنعثمن
@ابنعثمن 7 ай бұрын
Miaka hiyo baba yangu alikuwa na duka TEMEKE Mikoroshini kwa Njigale, ana hela mpaka pa kuweka hakuna. Watu wanapanga foleni barazani kwetu kusubiri unga wa sembe,sukari na mchele kwa kibali cha Mjumbe wa nyumba kumi. Alhamdulillah sisi ndio tulikuwa madoni wakati wengine wakihangaika njaa. Allah amweke mahala pazuri baba yangu mzee Njigale.
@paulangoloko8642
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Mambo yetu ayo vigongo vyetu walai auniishii am
@rahmarajab3688
@rahmarajab3688 2 жыл бұрын
Dhahabu hizi, Ni Tam Sana Nyimbo hizi,,,
@isayamazani22
@isayamazani22 4 жыл бұрын
Hiyo trumpet bila shaka ni King Michael Enoch (Ticha).Pia kwenye vocalline nawasikia Maalim Kinyasi, Bitchuka, Mzee Gurumo. ASANTE sana kaka Eddie ubarikiwe
@ihanomadili
@ihanomadili Жыл бұрын
Saxaphone
@jabirkiminza9780
@jabirkiminza9780 2 жыл бұрын
Ukweli ni kwamba hakuna kikosi kitakacho undwa na kichanganyike sawa sawa kama Sikinde. Hiki kikosi kilikua na waeledi waimbaji wenye sauti nzuri na wacharaza magita na wapuliza tarumbeta mahodari ; hivi vyote viliingiliana na sauti za magita. Hakuna bendi nyengine itayopatikana Tanzania au East Afrika kama Sikinde - huo ndio ukweli. Hawa wapigaji walikua ni hodari kupita kiasi.
@paulangoloko8642
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Kiukweli iki kigongo nakipenda mpaka nauzunika maana enzo zile familia tulitimia sasa weeengi wamefalik mungu awalaze mbaali pema
@hamisidale5567
@hamisidale5567 8 жыл бұрын
Mfaume waniliza!!! nyimbo za zamani dawa; za stress"Hamisi Dale Boston USA
@rehemaramadhani8938
@rehemaramadhani8938 2 жыл бұрын
Nakuka mbali Sana'a!!!
@paulangoloko8642
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Ah sinaga upinzan kwa mziki uu ni mtam wenye ujumbe unaoeleweka
@ihanomadili
@ihanomadili 11 ай бұрын
Dalle upo wapi?
@paulangoloko8642
@paulangoloko8642 2 жыл бұрын
Mmh iki kigongo kinanikumbusha mbaali miaka1983 akiupenda dada yangu mpenzi ila mungu amempenda zaidi ah nakkumbuka dada k
@nurulevari5219
@nurulevari5219 4 жыл бұрын
Such a great feeling,reminds my old days in Azasesco
@saadmazen4528
@saadmazen4528 10 жыл бұрын
hhiki ni kikosi kilichokuwa kimekamilika cha DDC...sikinde ngoma ya Ukae
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 5 жыл бұрын
Naomba nikumbishe kaka kikosi hiki
@mbungembunge9865
@mbungembunge9865 Жыл бұрын
Bitchuka Gurumo Kinyasi Mulenga Gama Mwanyiro King Enock Juma Town Kachale .......
@wilbmboma7613
@wilbmboma7613 5 жыл бұрын
Eddy nashauri embu tutengenezee flash mkuu mimi nitakua mteja wako
@robertmihayo4822
@robertmihayo4822 9 жыл бұрын
Asante sana Eddie kwa kupost hizi nyimbo. Zinatumbusha mbali sana
@isayamazani22
@isayamazani22 6 жыл бұрын
Kwa uchache tu gurumo,bartazari,george kessy,bichuka,josef bernard,seleman mwanyilo,machaku salum,josef mulenga,michael enock ticha,abdalah gama, maalim kinyasi,
@khamissalum431
@khamissalum431 4 жыл бұрын
Ddc ni bendi ambayo naipenda sana
@khamissalum431
@khamissalum431 4 жыл бұрын
Kama timu ya taifa bas hii Brazil ya pele
@kilosa2000
@kilosa2000 9 жыл бұрын
Eddie hakika wewe unanifanya sasa nisikize hizi nyimbo zisizochuja, asante sana yaani sikuamini kama ningeweza kuzisikia hizi nyimbo mm naziita za kisasa kwa hawa waimbaji wetu wa computer nyimbo zao zinachuja mara moja
@eddienassor480
@eddienassor480 9 жыл бұрын
Mord Ally Hahahahaa.Huo ndio ulikuwa mziki wa kweli ndugu:burudika
@zonko0488
@zonko0488 5 жыл бұрын
Ahsante sana Eddie pamoja sana..
@nyangehassan902
@nyangehassan902 8 ай бұрын
Hii ni mwaka 1982 nikiwa standard seven Deri shule ya Msingi
@GeoffreyNgonda-bx8me
@GeoffreyNgonda-bx8me 2 ай бұрын
Kazi hiyo
@IssaMwarekwa
@IssaMwarekwa 15 күн бұрын
Kweli za kale nizahabu
@azizgarimo3649
@azizgarimo3649 Жыл бұрын
Mpiga tumba alisimama kweli kweli
@MightyLumber
@MightyLumber 10 жыл бұрын
Pia weka Msondo hizi nyimbo za "Nasikitika", "Sogea Karibu (Chake)"
@masitakiriama4337
@masitakiriama4337 6 жыл бұрын
Muziki tamu tena wenye maadili
@wilkinsonndigajustus33
@wilkinsonndigajustus33 2 жыл бұрын
Ni kumbukumbu ya kikweli ya siku ujana wangu
@ahmedirajab5543
@ahmedirajab5543 8 жыл бұрын
kaka Eddy nakukubali mm huwa najiuliza kunawimbo hapendeki wa ddc orijinol naomba kama opo uposti kaka kunaoliofanyiwa remix haunalatha ya Ddc ya 1982 kabisa pia nakutaki maisha mema Katika Kazi zako
@paulangoloko8642
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Kiukweli mfaume ni kigongo kitam mno
@reginaldnyinge8802
@reginaldnyinge8802 9 жыл бұрын
ndio uko mfaume ulioimbwa pia na Orchestra Makassy..
@kokombwana5865
@kokombwana5865 7 жыл бұрын
enzi hizo kwakivesa handeni na mtunani kisarawe
@rajabupambe6530
@rajabupambe6530 Жыл бұрын
Dar ilikua ya moto miaka hiyo 😅😅
@shomalibakari4140
@shomalibakari4140 5 жыл бұрын
haiwezetokea nyimbokamahizi
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Zipo zote hewani ndugu!
@imamumbwambo5291
@imamumbwambo5291 5 жыл бұрын
Hizo flush zinapatikana wapi naombo unielekeze nikanunue
@eddienassor480
@eddienassor480 8 жыл бұрын
Ahsante sana ndugu,nikinafasika na kunapo uhai na salama nitau post kaka
@athumanramadhan7801
@athumanramadhan7801 7 жыл бұрын
weweeee mambo hayarudi tena basis
@paulangoloko8642
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Mh achaga tu
@mzimbiriibrahim6214
@mzimbiriibrahim6214 3 жыл бұрын
Namkumbuka marehemu mama yangu Aisha miaka hiyo 1975
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 3 жыл бұрын
Oky sikinde imeanza mwaka 1978
@jabirali2324
@jabirali2324 9 жыл бұрын
Samahani ndugu Eddie. Kuna wimbo wa DDC Mlimani Park Ochestra unaojulikana kama JIRANI. Je wimbo huu waweza kuupata na ukaupost? Ahasante na nakuombea ufanikiwe.
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 9 жыл бұрын
eddie samahani kaka hivi huna ile ngoma ya sikinde inasema KUPENDA SIO NDOTO YA USIKU 1, km vp irushe kaka
@aloycetemba8652
@aloycetemba8652 7 жыл бұрын
Hahahah hapo rhythm la Gamma lilikuwa nyota wa mchezo.. Magitaa yanaongea sheikh
@isayamazani22
@isayamazani22 5 жыл бұрын
Kwa mujibu wa Jimy Chika "google"mchambuzi maarufu wa nyimbo hizi kutoka TBC fm anadai humu ndani kulipigwa magitaa 3 lakini kwa utaalam wa kupanga sauti za ala lilipatikana gitaa 1 la ziada kwa nadharia tu. Yote ilikuwa kazi ya ticha Michael Enock. rip
@azizmbungiro9919
@azizmbungiro9919 4 жыл бұрын
Wataalam walibadilishana zana hapo,Gama kwenye Solo wakati Mulenga kwenye rhythm.Utaona hapo rhythm inaifunika solo.
@hassanbugu5000
@hassanbugu5000 10 жыл бұрын
Sidhani nakusumbua ndugu Eddie ela nimeona ni wewe unaweza kuwa mfumbuzi wa vitendawili vyangu vya kiu ya mziki wa siku hizo.Ingilia Western Jazz uone kama unaweza kupata nyimbo zao Nibadili Dini na Jela ya Mapenzi.Zuwena ya DDC nimeipat isipokuwa Uhuru wa Zimbabwe na Mama Maria Nyerere.(za DDC). Kwa hisani yako pekuapekua.
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Hapana shaka kaka.Fanya subira tu tukijaaliwa nitazi post
@plasidyamhaya2797
@plasidyamhaya2797 4 жыл бұрын
Muziki umeenda skuli yahee
@samsonmongeri9409
@samsonmongeri9409 6 жыл бұрын
Nduvu Eddie mie napenda sana nyimbo za klmulimuli kama vile kabwe na christna ,nitaslpataje kwa sababu hizo umewaka hapa kwa youtube sio kamilifu? KISII KENYA.
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 5 жыл бұрын
Ninazo nicheki 0687849999 whatsup Nina makilachiku, ,kabwe,kiss cha photo album,Cleopatra
@josiahmuthemba115
@josiahmuthemba115 6 жыл бұрын
Sio mfaume ! But Faume
@leonardkipondya4216
@leonardkipondya4216 5 жыл бұрын
Msikie Bitchuka anapoloa anaita Mfaume sio Faume
@leonardkipondya4216
@leonardkipondya4216 5 жыл бұрын
Anapolia
@azizgarimo3649
@azizgarimo3649 Жыл бұрын
Mfaume
@zonko0488
@zonko0488 5 жыл бұрын
Orchestra Mlimani Park ikiwa kileleni….ubora wa Bitchuka huu akiwa na kundi zima la wana Sikinde wakiwa bado nyumbani Mlimani Park hii ndio Dar es Salaam iliyokuwa inachemka kama bahari aliyoisema King Kiki Mpango Mwema
@paulnyingo7316
@paulnyingo7316 5 жыл бұрын
Ukiwakosa wana msondo ngoma pitia sikinde ngoma ya ukae,Urafiki na Uda jazz...king kiki.
@MightyLumber
@MightyLumber 10 жыл бұрын
Eddie hivi unaweza kuapata wimbo wa National Panasonic band uitwao "Laiti Moyo" Unaitikiwa kama hivi: Laiti moyo ungekuwa na kifuniko Nisingeona radhi kufungua, uone jinsi ninavyokereketwa mama, eheee eheee... Tafadhali kama unao weka kigongo hicho. To hell with fleva.
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Nna hakika nnao hu Lumber.Nitauchungulia na nikiupata nitaurusha Mungu Muumba akipenda
@MightyLumber
@MightyLumber 10 жыл бұрын
Nitashukuru sana Eddie....Mungu akulinde daima kwani unatupa raha za hajabu sana. Wewe ndiyo raisi etu humu mtandaoni.
@MrLevis3
@MrLevis3 9 жыл бұрын
+MightyLumber Kaka huo wimbo unaitwa "Tofiki" hata mimi pia naupenda sana.
@tgeofrey
@tgeofrey 4 жыл бұрын
the best
@ibrahimkambi7943
@ibrahimkambi7943 7 жыл бұрын
wewe ni kichwa huko juu sana eddy nakumbuka siku moja wakenya kwenye radio yao walisema hii ni ddc mlimani ya kenya unaweza kuniambia ni kwanini walisema vile?
@isayamazani22
@isayamazani22 6 жыл бұрын
Ibrahim Kambi mimi nadhani ni kile kipindi ddc walikwenda nairobi kurekodi albam bila ruhusa ya bamuta hivyo albam hiyo ilipigwa marufuku rtd. Kenya wakatumia fursa hiyo kuzicheza nyimbo za ddc
@mohamedalawy7704
@mohamedalawy7704 4 жыл бұрын
Zamani hairudi.Nikiwa kijana wakati huo nikisikiliza RTD kila siku. Miziki kama hio ilinifanya mbaka leo naipenda sana TZ. Mombasa Kenya
@flowila82
@flowila82 10 жыл бұрын
Haya kaka ubarikiwe
@omaribongo4291
@omaribongo4291 7 жыл бұрын
Eddie ndugu yangu tafaaadhali kuna vibao vya sikinde nimetafuta mpaka uvungu wa kariakoo sijavipata kama vile Mume si riziki,supu ukitia nazi.Pls naomba tutafutie na sisi tuweze kutoa stresses zilizotunguuka na majukumu haya tunahitaji vitu kama hivi ili kuongeza uhai tafadhali.ommyb74@gmail.com.0785670095.
@mryrapatrick6433
@mryrapatrick6433 9 жыл бұрын
Kuna mfaume ya makassy pia ama am mistaken?
@eddienassor480
@eddienassor480 9 жыл бұрын
Mryra Patrick Sina hakika kaka.Ngoja nichungulie
@mryrapatrick6433
@mryrapatrick6433 9 жыл бұрын
chuki yanini kwa wazazi wanngu mfaume/sijakukataa eeh mama/nilikueleza subiri nimalize shule/nitakujibu bla bla..... Ama kitu kama hiyo
@eddienassor480
@eddienassor480 9 жыл бұрын
Sijaukumbuka bado lakini nitaupata!
@AnthonyKisondella
@AnthonyKisondella 9 жыл бұрын
Mryra Patrick Huo wimbo upo kweli uliimbwa na Mzee Makassy with Makassy Orchestra
@kilosa2000
@kilosa2000 9 жыл бұрын
Anthony Kisondella nafikiri mzee Anthony huna kumbukumbu vizuri, makassy na wimbo huu wapi na wapi
@josiahmuthemba115
@josiahmuthemba115 6 жыл бұрын
Correction : huu wimbo waitwa Faume wanilisa
@josiahmuthemba115
@josiahmuthemba115 3 жыл бұрын
@@akimumwabulanga6231 ni faume waniliza but not mfaume
@Magwega
@Magwega 7 жыл бұрын
hatuwezi kuropoka...mfaume wanilizaa
@diorsmith2585
@diorsmith2585 4 жыл бұрын
adeladius makwega Kwega boy 👍
Mziki wa dansi zilipendwa- Marquiz- Wanasema mrudie- Kamanyola
8:32
DDC Mlimani Park - Mkataa Pema
9:56
Zilipendwa TZ
Рет қаралды 24 М.
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 12 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 129 МЛН
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 121 МЛН
Mziki wa dansi zilipendwa- DDC-Pata potea
7:08
Eddie Nassor
Рет қаралды 44 М.
Mziki wa dansi zilipendwa- DDC- Penzi donda la roho
6:34
Eddie Nassor
Рет қаралды 18 М.
Molema
9:37
Mose Se 'Fan Fan' - Topic
Рет қаралды 13 М.
ZILIPENDWA(ZUWENA) MARIJAN RAJAB_by sunyareh
10:10
Kanakwamba kwetu Sunyareh
Рет қаралды 181 М.
DDC mlimani Park orchestra   Fikirini Nisamehe
5:47
Sam Exavery
Рет қаралды 32 М.
Mziki wa dansi- zilipendwa DDC- Selina
7:49
Eddie Nassor
Рет қаралды 19 М.
Mziki wa dansi zilipendwa- DDC- Bubu hutaka kusema
7:00
Eddie Nassor
Рет қаралды 29 М.