Haya ndo mambo tunapenda soccerdata tunaomba na uchambuz wa kocha fadlu🙏
@andreangweshemi770623 күн бұрын
Nilishawahi ku-comment huko nyuma kwamba analysis zako zina mshiko. Huongei tu bora kuongea, bali unatumia evidence kusupport unayosema. Sisi wengine tunapenda hivyo. Siyo porojoporojo tu zilizojaa unazi, ushabiki na uongo. Kazi yako ni nzuri.
@SoccerData.23 күн бұрын
asante
@SprianNana24 күн бұрын
Kaka tupe tathmin ya kocha fadlu tujue falsafa zake na pia jean charles ni mchezaji wa aina gani
@stevekassanda530324 күн бұрын
Unachelewa sana kaka kutupa madini. We jamaa niatari na nusu 🔥🔥🔥🔥🔥
@Immahjr24 күн бұрын
Kuna ulazima wa kumfatilia kwanza mchezaji ili aje na uchambuzi sahihi👏
@SoccerData.23 күн бұрын
mkuu tukitoa kila siku zitakuwa Porojo tu... lakini pia nakiri kama Production iko chini, tutajitahidi Ipande zaidi; sapoti yako ni muhimu...
@qualitymediaproduction23 күн бұрын
Ahsantee Soccer Data Tunaomba Na Uchambuzi wa Kochq Fadlu Davids
@alhimnamussasaid361924 күн бұрын
Kongole Mr sekwao wewe ni mtu na nusu
@israelmunuo793824 күн бұрын
Nimebarikiwa na kutiwa moyo sana!
@hassanntankwa415623 күн бұрын
Dhahiri dhahiri Simba tumefanya usajirii boraa maanaa kikamtuh anakujaa na mtu wake Bora kwa Hans rafaeli Debora ndo usajili wamwisho kwa ubora
@TheMrisho23 күн бұрын
Sema bro sisi hatuna haja ya kuwa na kopi ya Aucho. Simba sio kama jirani kwahiyo wachezaji wetu wasifananishwe na wao😂
@user-xk3ve2wo3l24 күн бұрын
Ninavyojua na nimemfatilia Debora ni mzuri sana akitumika kama box to bos na sio holding ana makosa mengi sana ni sawa na ngoma
@user-xk3ve2wo3l24 күн бұрын
Soccer data nisaidie hapo
@SoccerData.23 күн бұрын
box to box unatakiwa kuwa MCHAFU wa ROHO, Pumzi ya Mbweha, Ukatiri wa simba... Deborah Utamtesa tu bure...
@juliuschacha338617 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@ricardomichael506523 күн бұрын
INSHALLAH!! GOD BLESS SIMBA.
@user-bf3mm5wu1s13 күн бұрын
Debora😮🎉😂
@scollamwanisisi273923 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Asante sana
@SoccerData.23 күн бұрын
AAAAH Familiaaa
@ezrahtossitz285315 күн бұрын
😂😂😂. Tunasubili soka lianze
@SprianNana24 күн бұрын
Kaka tunaomba uchambuzi kuhusu fadlu falsafa zake
@RaphaelKaswahili24 күн бұрын
Lete jiwe la kocha
@user-qw2vl5hi4e24 күн бұрын
Tupe uchambuzi wa kocha wa simba
@stevekassanda530324 күн бұрын
Tanzania hii Kuna garibu, mwaduke na ww. Hao ndo watu wakiongelea mpira unasikiliza na ujutii bado lako, mambo nimengi sana ila msimu huu upo slow sana kaka. Nini shida?❤❤
@revocatussebastian242718 күн бұрын
Ngoja tuone taree8
@GildoAntonioLinguaLingua24 күн бұрын
Ana machaka tumtumaini ni wetu
@longlive_k1024 күн бұрын
Tusila akikusikia kaka utakoma
@allybadimzava23 күн бұрын
Bado hatujawaona
@user-ne6bp7lo3q24 күн бұрын
❤❤❤❤
@civianipyana491523 күн бұрын
Samahani soccer data kwa niaba ya sisi wapenda michezo tunaomba tupe uchambuzi kuhusu fadlu na simba je wataoana kifalsafa na kiuchezaji
@SoccerData.23 күн бұрын
huu unakuja Very Soon; Utaupendaa...
@JK-uq1tv23 күн бұрын
Unatosha sana Kwa uchambuzi
@SoccerData.23 күн бұрын
Subscribe kabisa, Bofya alama ya kengele, kuna mawe mengi ya kulevya yanakuja