Safi sana mchambuzi ila simba ubovu aupo Kwa wachezaji Wala aupo kwa makocha ubovu upo Kwa viongozi na mashabiki timu ikifungwa tu wanatimua makocha mmmh sijui kama huyo mwamba atadumu Kwa miezi miwili
@user-ox4fv4cf5l9 сағат бұрын
DAH!HAMNA KOCHA HAPO MECHI 20 ANASHINDA 1 KUFUNGWA MECHI 7 SARE 8 ? Na kuishuha daraja
@godwinkileo77029 сағат бұрын
Mgunda usijali we anza kupasha misuli, utaingia muda si mrefu, watakukubali tu.
@PatriceSiyame13 сағат бұрын
Hakika tunasubiri vitendo zaid
@yasini602721 сағат бұрын
Amakweli ndoto imetimia kwa usajili huu
@ServacCndaКүн бұрын
Upovizuri
@user-wf2iq6kb8cКүн бұрын
Ww ndo mchambuzi
@dullamuso6955Күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉 Vizuri Sana
@user-cj8bi8sf2zКүн бұрын
Kaz nzur ila ningependa matango ungekuwa unatangaza baada ya kumaliza uchambuz wako
@DenisSanga-bj5udКүн бұрын
Uchambuz wa viwango
@JimaliSaniКүн бұрын
Bokaa
@derickcharles7170Күн бұрын
Robison sisyan🎉🎉
@TchidymbangaКүн бұрын
Kwani Baleke tayari 😂😂😂
@DionizyDidas2 күн бұрын
Huu ndio uchambuzi sasa sio borojo za wengi
@amaniomar17552 күн бұрын
Sawa kaka huna baya
@HamicKauno2552 күн бұрын
Umetisha braza
@omarymzuri80122 күн бұрын
Tupo Pamojaaa Man!!
@mashaurimasolwa26012 күн бұрын
Unajua
@SukuboyAlkene4 күн бұрын
Aise umenitia moyo na Simba yangu
@AbdallahMohd-z7q4 күн бұрын
Akuna kocha apo
@user-xl6tn8fn1x3 күн бұрын
sio lazima umkubali ww
@LifMmorf4 күн бұрын
Ngoja tone
@LemaJr-wv8ch5 күн бұрын
Soccer data ni bora kuliko Wasafi fm
@ZawadielNyau6 күн бұрын
Cjapenda kumwita chamou kuni kenedy juma aliyechangamka😂😂😂
@BabaMunir-gj2rf6 күн бұрын
Wangekuja wote wawili Simba sasa maana kufanya kazi kila mmoja peke yake hakuonekani kuna mafanikio
@AmonMeshack6 күн бұрын
Huyu ndiye mchambuzi anae jitambua
@AbdllahRashid6 күн бұрын
Asante kwa uchambuzi mzuri
@AbdllahRashid6 күн бұрын
Asante
@scollamwanisisi27396 күн бұрын
We piga kazi tu watu hawadhamin wanataka watajwe😂😂😂😂
@AbdllahRashid6 күн бұрын
😂😂😂
@RashidiKuji6 күн бұрын
Yes vp have 😂😂😂😂
@Joelnoel-z5r6 күн бұрын
Kwel Kama mbinu ipo hv tutaenjoy mno na simba yetu
@antonymodestus28726 күн бұрын
Debora felnandez nje umezingua unazeeka broo
@SoccerData.6 күн бұрын
Ndio uanze kunisalimia sasa,,, maana nina Mvi
@BADILIJUSTUS-fs3oo7 күн бұрын
😅😅😅 soccer data umebugi leo tunapinga kabisa Joshua mtale ni chaguo namba moja la kocha kama haujui, mwenyewe kocha amesikika akimkubali kuliko ata ahou ,
@SoccerData.7 күн бұрын
Kwani Mutale kawapa nini?😂
@BADILIJUSTUS-fs3oo6 күн бұрын
Kaendana na anavyotaka kocha coz kocha mwenyewe alisema kuwa ameadapt mfumo kwa haraka, namnukuu kocha alisema Joshua mtale anaskills speed mzuri kucheza one angainst one pia anasaidia ulinzi akamalizia kuwa "he is a good player with everything"
@BADILIJUSTUS-fs3oo6 күн бұрын
Lakini binafsi yangu nakuapriciate sana sana kwa uchambuzi pia nakufatilia sana in short shorts I love what you do so don't be angry to me, all the best
@johnjoseph95967 күн бұрын
Uchambuzi mzuri brother
@edwardmizambwa2377 күн бұрын
Soccer Data, kweli ni wa mpira hashwa. Unafaa kuwa kocha kuanzia na Ndondo Cup.
@stevekassanda53037 күн бұрын
Golikipa BRO Salimu apo utakua umeuwa, Daah! Umenipangia kikoc kama umeme! WEE BALAAA💕❤️💪🔥🔥🔥🔥🔥
@elibarikilaizer56767 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤ ayubu 1
@sailoo57227 күн бұрын
😂😂😂😂
@nelsonbaregu89427 күн бұрын
Abel
@rahimjuma58947 күн бұрын
Hussein abeli au shekh
@SoccerData.7 күн бұрын
Au sio?!
@AbdallaKhamis-m6i7 күн бұрын
Hussien abeli
@Shemahonge-ku7xx7 күн бұрын
Alisalimu
@asifiwemwasimba49337 күн бұрын
Leo mchambuzi umefeli sana yan kiufupi umeniangusha mutale akar nje are you serious
@SoccerData.7 күн бұрын
Tujipe muda kwanza,,,, modern football na mawinga ni kazi ngumu kuweka imani 100% kwao
@husseinpetro86157 күн бұрын
Simba wanafafuta new signing ya golikipa haraka iwezekanavyo, ally salim ni mzuri kwa vipindi sio wakati wote
@adrianorayner65517 күн бұрын
Niambie mechi ngapi alizo haribu ?
@Ceomadmax7 күн бұрын
@@adrianorayner6551zote muhimu klabu bingwa ameharibu lile goli alilojifunga akaliingiza mwenyewe tukafa 1-0 sijui ilikuwa wydad ile tukatoka mapenati dogo anamawenge sanaa ndo shida ila alikuwa anakuja vizuri
@Philosophy2197 күн бұрын
Sio kweli
@abakuriatv33517 күн бұрын
Tumeanza kuchoka na ww sasa kila content Simba Simba simba
@frayy55957 күн бұрын
Em kanywe maji mbona siku nyingine anachambua yanga usituchoshee apa😂
@abakuriatv33517 күн бұрын
@@frayy5595 angalia chambuzi zake 10 za mwisho
@DBIRobotics7 күн бұрын
Simba ni tamu kuliko yanga
@abakuriatv33517 күн бұрын
@@DBIRobotics amka naona utakojoa kitandani
@johnjoseph95967 күн бұрын
Mbona anachambua zote ww ndo hufuatilii chambuz zote anazotoa
@rodgersmwagu2397 күн бұрын
Uhakika
@ricardomichael50657 күн бұрын
Uchambuzi Mbovu.Nakwataarifa Yako Sasa Huyo Fred ,Ngoma Na Onana Wote Out.
@bone1027 күн бұрын
Sawa msajili wa Simba
@husseinpetro86157 күн бұрын
Lete uchambuzi wako Kwa takwimu
@triplea34637 күн бұрын
Duh mpka Ngoma tatizo hujui ubora wa Ngoma
@Ceomadmax7 күн бұрын
Ngoma hapo hatakiwi kabisaaa yaan una mtu kama Bruno fernandez box to box ile inafaa sanaaa apo kati ila ngoma kupata juu sio mwepesi mda mwingi anakaa nyuma na kutoa pasi ndefu basi ila debora fernandez anaweza kudribble akapanda juu na kutoa pasi pia mwepesi na mnyumbulifu sanaa kama ni mtu mzima naiman sana na zimbwe na che malon fondoh
@BADILIJUSTUS-fs3oo7 күн бұрын
@@Ceomadmaxpia naona mtale akianza so soccer data kazingua leo😅😅😅
@ricardomichael50657 күн бұрын
Ubaya Ubwela ❤️😂.
@hamisimtente21267 күн бұрын
Abel anze
@abubakarjuma4437 күн бұрын
Ali Salim
@samponews16897 күн бұрын
Fanya ata mtu akiwa wa kwanza unamtag kwenye uchambuz ujao🎉😂
@husseinpetro86157 күн бұрын
Ni kweli
@SoccerData.7 күн бұрын
Sasa hapa wa kwanza ni yupi?😂
@samponews16897 күн бұрын
@@SoccerData. Si mm mkuu au hauon😂😂
@hamisimtente21266 күн бұрын
@@SoccerData. Kwani kua wakwanza na mm kua wamwisho inakuje wote tumeo jiwe ulioshusha bro