Mimi upenda mafudisho ya efatha unitoa mahali na kuni weka mahali jamani efatha mambo yote nashukuru sana baba mtu nabii mwingira mungu hakubariki sana
@nyamhangamagigemakuri82286 жыл бұрын
Kwanza nafurahia mno kuingia Efatha nnimepata neno la uhakika mungu akubariki babayetu sana
@RuthaMgohamwende-eu4lp Жыл бұрын
Asante baba tuponye
@ukhtyruqyah78604 жыл бұрын
Amina Baba
@grnifamgeni13095 жыл бұрын
Asantee baba umeniponya
@Reginajohnson198842 жыл бұрын
Hallelujah
@BarakrajabuNyakitunga Жыл бұрын
Ameni baba
@josephsimiyu52116 жыл бұрын
Hapo nimebarikiwa mtu wa Mungu akuongeze siku za kuishi
@EV-mathey40593 жыл бұрын
Mtume nakupenda sana sana
@minjagodfrey18448 жыл бұрын
NAKUELEWA SANA BABA MUNGU ANATUKUNZWA KUPITIA WEWE
Mm binafsi ckatai,ila ningekuwa na namba ya huyu nabii wenu aliyemshauri mtumishi aliye chini yake wa Efatha,kuoa tena wakati mke wake n hai wamezaa watoto wengi na maisha wameanza wote,na watoto tayari n wakubwa,nashindwa kuelewa n Mungu yupi hawaz kumbadili mtu hata kama hajaokoka,kwani hata paal mtume alikuwa katili bado alibadilika na kuwa mtumishi,nashindwa pia kuwaelewa watumishi wa efatha baadhi wanawachonganisha wana ndoa waachane,wanafamilia wasipendane kiukweli Mungu anajua.
@sabinadawite9936 жыл бұрын
Sina hakika na unachoongea mpendwa,suala la watu kuachana ni la kiundani sana na ni la wanandoa wenyewe,afu Mungu hapendi kuachana isipokuwa kwa suala la uzinzi