Numejifunza kitu kikubwa sana’Uhusiano wa mtu na Mungu ni inshu binafsi’
@sylviakitalika97192 ай бұрын
Kabisa, kuwa na Mungu kwa uhakika mtu unakuwa na nguvu hata kuliko watumishi ambao watu wanaweza kuwategemea
@magrethdominick98052 ай бұрын
Simulizi nzuri sana katika haya maisha ukimtegemea MUNGU hawezi kukuacha kamwe mimi nina amini Mungu hajawahi kushindwa Yeremia 32:27
@ashelizakaria63062 ай бұрын
Sema dunia hii inauchawi wa aina aina huo uchawi ulikuwa Mkubwa sana kwaiyo kuuodoa inatakiwa nguvu ya mungu iliyoimara
@dayana5513story2 ай бұрын
Hakika hii story imenifunza sana Mungu nimwema siku zote
@Iragibarune1.2 ай бұрын
Nimejifuza kitu kikubwa huusia nikitu muhim sana Dah Kunawatu wana roho mbaya sana pole sana Hamza waAsant da vero
@Levina0nesmo2 ай бұрын
Samahani da vero. Nimefatilia simlizi zako mda kodogo, nililikua naomba uniambie mda wa kuanza na lini hadi lini nianze kusikiliza napenda❤ sana simlizi zako
@naomiribson46152 ай бұрын
@@Levina0nesmo jumatatu hadi ijumaa kuanzia saa Moja kamili
@EndobileHerman2 ай бұрын
Inawezekana kweli baba hamza alimwambia mama white hiyo ni nyumba yake. Baadhi ya wanaume tu wadhaifu kwa wanawake. Mtu anaweza kumwambia wanamke gari lake kumbe kaomba kwa rafiki ake.
@naimamalekela8122 ай бұрын
Ahsante sana dada
@Levina0nesmo2 ай бұрын
Duh😢 maisha haya😮
@Levina0nesmo2 ай бұрын
Duh😢 maisha haya
@eveliynejoseph79442 ай бұрын
Pole Hamza Ila ungeenda kutoa Sadaka Mungu anakusikia au kuita Masheik au Wachungaji wafanye maombi na sio kukaa tu
@aishatest44512 ай бұрын
😢😢😢😢
@AshaKillo-f1d2 ай бұрын
Jamani ninikumsumbua mtt wamwezio mungu anakuona
@fora20092 ай бұрын
Huyu mama mtihani
@hadija_makange2 ай бұрын
Haya yote alisababisha baba ake hamza nahy mwanamke pia mtihani sana
@nishaabdula50152 ай бұрын
Mama wite. Ipo ck utalipia ili ww nahao unaoshirikiana nao yn famikia ya hamza sio kbs
@jessicamwasandube9442 ай бұрын
Daah pole sana,tumtangulize Mungu Kwa kila jambo
@nishaabdula50152 ай бұрын
Mama wite muongo uyo ni tamaa tu zina msumbuwa anasingizia matehemu
@EllenEmmanuel-g6x2 ай бұрын
Jamn hamza had nimetoka machoz kama naiona hiyo nyumba pole Sanaa kaka
@zeyanaalgheithy65612 ай бұрын
Mama white Limama lichawi
@Kiddohsanga-fw7jh2 ай бұрын
Dada anavosimulia sasa
@naomiribson46152 ай бұрын
Anajivuta duh
@VeledianaKalolo2 ай бұрын
Wakwanza leo
@JanethJaneth-b5f2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Mtumishi wa Mungu anaambiwa unaweza kupambana namapepo Naye Mch anasema yani niache kuombea maisha yangu 😂😂😂😂😂famisihara niniiii namapepo
@PendoMacha-ib6oc2 ай бұрын
😅😅😂
@naimamalekela8122 ай бұрын
Nimecheka sana hapaa😂😂😂😂😂
@ScholarPeter2 ай бұрын
Kwaiyo watumishi wengi waongo 😂😂😂
@MsAggie52 ай бұрын
Mama white mchawi na alikuwa ana m blackmail kumwambia eti amemwachia baba ake as if ni kweli wakati ni yeye na uchawi wake. Watu wanajisahau sana sasa mbona kafa na kaziacha hiyo nyumba na pesa. Afrika ndo maana hatuendelei kwa sababu ya kurogana. Poke yake kijana