Safi jmn umesem kweli sababu ni kuona technology is poison so Wana ongopa lkn wangejuwa Zina faida
@mima65772 жыл бұрын
Habari yako kaka nakufauatilia sana safari yako ya kupata scholarship na Mimi ni Moja kati ya ndoto yangu nimeaha apply sana ila Bado sijabahatika naomba kama hautojali unipatie namba yako ninamengi ya kukuuliza