HISTORIA YA SHEIKH KASSIM MAFUTA -ALLAH AMUHIFADHI

  Рет қаралды 68,559

Elimu sahihi

Elimu sahihi

Күн бұрын

Пікірлер: 228
@OthmanIja
@OthmanIja 15 күн бұрын
Mainsha Allah Allah akuifathi
@fadhiliramadhani7758
@fadhiliramadhani7758 11 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu,Na baada ya Tawfyq ya Allah tumeijua haqq kupitia ww
@suleimanabdul-karim1212
@suleimanabdul-karim1212 Жыл бұрын
Allah akubarik sheikh QASSIM Mafuta Allah akupe umri na afiya njema akupe mwisho mwema YaaRab
@MuhammadiKulanga
@MuhammadiKulanga 10 ай бұрын
MashaAllah nimepata kujifunza kitu Alhamdulillah 🤲🏿 niingie mzigoni sasa InshaAllah ✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️
@IsmailrashidAbdul
@IsmailrashidAbdul Жыл бұрын
Mashallah, Allah akuhifadhi sheikh wetu Qasim mafuta na akuzidishie ilm
@aboubakarmakha4194
@aboubakarmakha4194 22 күн бұрын
MASHA ALLAH ILA WAKATI BADO UKO UNAFUNDISHWA NA MASUFI WENZAKO WAKO KWENYE MARAKIZ ZA KISUNNAH PALE AZHAR AUSHA BONDENI PALE WENGINE WAKO MAMLAKA SAUDIA WENGINE WAPO KISAUNI MOMBASA WENGINE WAKO PAKISTANI JAMMIYATUL ISLAMIYA TAWI LA CHUO CHA MADINA WANAFUNDISWA MANHAJI SALAF TENA ILE PURE
@KassimBakari-mw8ey
@KassimBakari-mw8ey 10 ай бұрын
Sheikh kassim mafutaa " mashallah " , sijamsahau Babu yangu sheikh twaha pongwe , wako kassim Bakari Bindo kutoka kigamboni dar es salaam.
@Abuushaymaatz
@Abuushaymaatz 2 жыл бұрын
Mashekh wetu Allah awahifadhi biidhinih, kweli mlitutoa kwenye jaa, tulikaa Sana na masufi na mahizibi wakatupotezea umri na mda wetu, hatukusoma kwao uislam wa sawa, walillahi lihamdu mmetutua mzigo wa viza. Namuomba Allah ajaalie jitihada zenu hizi ktk mizani ya mema yenu siku ya qiyama.
@kassimkilwiye4742
@kassimkilwiye4742 2 жыл бұрын
Jazakallahu khairan
@Abuushaymaatz
@Abuushaymaatz 2 жыл бұрын
@@kassimkilwiye4742 amiin wa iyyaka
@muhidinizuberi2726
@muhidinizuberi2726 3 жыл бұрын
Jaman mim natangaza hadharani mim nampenda sana shekhe wangu huyu allah amuifadhi tuzid kustafidi
@nabillkhamis8188
@nabillkhamis8188 2 жыл бұрын
Ww tangaza ila uyo si shekhe
@mbanga6759
@mbanga6759 2 жыл бұрын
@@nabillkhamis8188 Ninani .?
@abuuhudhayfa1838
@abuuhudhayfa1838 2 жыл бұрын
Mashaallah Allah amekuhifadhi akhyy
@RahmaIsmail-l9o
@RahmaIsmail-l9o 8 ай бұрын
allah akuhifadhi sana maasha Allah nakupenda sana kwa ajili ya allah
@faizhassan8423
@faizhassan8423 Жыл бұрын
Mashallah Elmu, kajifuze kuwa na thawaadhu, pamoja kuwa na Hikima na Busara.
@AsmaaIssa-wz6by
@AsmaaIssa-wz6by 6 ай бұрын
Maasha Alla😂😂 mpaka nimeona wivu jmn Allah akuhifadhi shekhe wetu
@meriamumeriamu9015
@meriamumeriamu9015 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@abuuarqamayubu
@abuuarqamayubu 6 ай бұрын
Masha Allah Sheikh Qassim Mafuta Allah akuhifadhi
@Abuumuqbil4994
@Abuumuqbil4994 Жыл бұрын
Naam very good mafuta allah akuhifadhe
@muniratalal8418
@muniratalal8418 3 жыл бұрын
Tafadhali Twaomba mwisho wa kisa Chako chakusoma eilm. ALLAH AKUHIFADHI
@Abuushaymaatz
@Abuushaymaatz 2 жыл бұрын
Baaraka Allah fiyka wa jazaka Allah khayran sheikhanaa Abul Fadhwil.
@hashimiddi4789
@hashimiddi4789 2 жыл бұрын
Allah akuhifadhi shekhe
@swalehfarid5466
@swalehfarid5466 3 жыл бұрын
Utamu Umekatika Njiani Haikuisha Mpaka Mwisho...ALLAH Akuhifadhi Sheikh Qasim Na Akupe Umri Wa Kheri
@tawfiqathman2045
@tawfiqathman2045 3 жыл бұрын
Aamin yaa rabbal aalamiin
@tawfiqathman2045
@tawfiqathman2045 3 жыл бұрын
Allah atujaalie na ss wengine tuwe mfano wake na ss
@MasoudMasoud-mt9bz
@MasoudMasoud-mt9bz 10 ай бұрын
Mimi napenda kumuita Gogo la Tanzania Allah akuhifadhi Sana kama Kuna mtu ana namba zake nahitaji kumsalimia tu!
@abuuarqamayubu
@abuuarqamayubu 6 ай бұрын
برك الله فيك
@hilmialiomar1983
@hilmialiomar1983 2 жыл бұрын
Mashallah, kwa wale hawakusoma muda bado upo tusikate tamaa.
@alimasigasaleh8530
@alimasigasaleh8530 3 жыл бұрын
Sheikh kuelezea kusoma kwake lengo ni kututia jazba na hamu ya kutafuta ilm. Allah amhifadhi
@wskn9061
@wskn9061 3 жыл бұрын
JazakAllahu Khairan
@umulkulthumabdallasaid8520
@umulkulthumabdallasaid8520 Жыл бұрын
ماشاءالله تبارك الله... الله يحفظك
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Inshaaaalah na mie nitakuwa zaid yako
@mbarakassa4347
@mbarakassa4347 Жыл бұрын
Mashaallah sheikh Qaaim Mafuta Allah Akuifadhi
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 2 жыл бұрын
May Allah bless you always Ameen Yarrab
@abuunajat4450
@abuunajat4450 3 жыл бұрын
Maashaallah good massage my brother kassim mafuta
@hubaybathubaybat
@hubaybathubaybat 27 күн бұрын
Sheikh ajasema tv halal elewa
@selemanishabani463
@selemanishabani463 Жыл бұрын
Huna shukran na mashekh zako walokusomesha kwakutaka ukubwa nyinyi mawahabi ni walokole ktk din hii kila jambo mwajiona mko Sawa kuliko wengine
@TalibMuhsin
@TalibMuhsin Күн бұрын
Akhy umewaoona yani mpka wanazuoni wanaona hawajui wakat wametunga vitabu na wavisoma nashangaa wajion wajua sana kam sio kibri nini na riaa
@jumadou8418
@jumadou8418 3 жыл бұрын
Barakallah fikum wajazakallah khaira shykhe wangu
@YasirOmar-x5e
@YasirOmar-x5e Жыл бұрын
Alla amuhifadhi
@amenakenya7993
@amenakenya7993 3 жыл бұрын
Ma shaa Allah shekh wangu tunaomba muendelezaa shaa Allah Allah akuifadhi Amiyn
@ZakariaHamad-y6j
@ZakariaHamad-y6j 3 ай бұрын
@ibrahimracho2357
@ibrahimracho2357 3 жыл бұрын
Ma Sha ALLAH umejaaliwa ilmu, shida ni umenyimwa hikma,faman utal hikma faqad uutiya khairan kathira,sasa huko kujisifu ndio kukosa hikma
@fadhilimussa5067
@fadhilimussa5067 3 жыл бұрын
Hajisifu Bali anaelezeaa history ili watu waige mema ..mkasome na nyie
@abuhafswin2686
@abuhafswin2686 3 жыл бұрын
Hujui maana yahikma ndo maana ukasema hayo,Allah atuongoze
@HamkingCompanyLimited2023
@HamkingCompanyLimited2023 3 жыл бұрын
Huelew unachoongea! Na kla unaloongea ujue wapo malaika juu yako wanadhibiti. Usimuongelee mtu usiyo mjua.
@ABUUALLY-u6x
@ABUUALLY-u6x 12 күн бұрын
😂😂😂😂 mtu kujieleza historia yake ni kujisifiaa na kama kweli huyoo sheikh wenu kassim bin mafuta msomi basi angekuwa anaadabu na heshima Kwa waislamu wenzake Cha ajabu kazi kujisifia na kuwaponda wanachuoni ambao hata robo ya elimu hawezi kuwafikia 😂😂 huyo sheikh wenu na nyinyi munaomtetea nyote sawa ujingaa mwingi basi😂😂
@rizikishekh7639
@rizikishekh7639 3 жыл бұрын
Allah amzidishie elim shekhe wet
@hamzamwaya463
@hamzamwaya463 3 жыл бұрын
Allah akuhifadhi
@muhammadabdallah5304
@muhammadabdallah5304 2 жыл бұрын
Mashaallah
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 3 жыл бұрын
Allah atulinde na Shari za mawahabi na hao waliopandikizwa mbegu za chuki dhidi ya waislamu
@abdulraheemhussein1832
@abdulraheemhussein1832 Жыл бұрын
Kufa na chuki Yako!!!
@muniratalal8418
@muniratalal8418 3 жыл бұрын
Very beneficial may Allah reward you jannatalfirdaus Al Aalaa. Shekhe qasim mafuta and all salafy brothers
@azizaj776
@azizaj776 3 жыл бұрын
Yes May Allah reward him JAHANAMA
@Abuushaymaatz
@Abuushaymaatz 2 жыл бұрын
Allahuma amiin, My Allah reward you the same also.
@Ahmadasshii-raazy8888
@Ahmadasshii-raazy8888 Жыл бұрын
لا يجرمنكم شنآن قوم على ان لا تعدلوا اعدلوا هو اقرب للتقوى
@margayibrahimu4607
@margayibrahimu4607 3 жыл бұрын
Nakupenda kwaajili ya allah Allah akuhifadhi shekh wetu mlezi
@mustafahkapopwa-bi7yb
@mustafahkapopwa-bi7yb 8 ай бұрын
Wewe ume acha nuru na kufwata jiza za Muhammad abdul wahabu mwenyezi mungu akuongoze katika kupotea kwako.
@mudarisuburhan3702
@mudarisuburhan3702 3 жыл бұрын
Upo vzr
@muhidinizuberi2726
@muhidinizuberi2726 3 жыл бұрын
Penda sana shekh wangu ..allah akuifadhi
@Waziyr
@Waziyr 19 күн бұрын
Lakn wot unawaona Hawa juwi
@JuchonlineTV
@JuchonlineTV Жыл бұрын
Mbonaa masheikh zako unawaita vijana???
@muhammadochenje4610
@muhammadochenje4610 3 жыл бұрын
Zamani wanazuoni wengi waafrika wa mashariki walisoma hapa hapa Africa ya mashariki na kisha kuenda kusoma Arabuni mfano wao ni kina sheikh abdallah bin Muhammad bakathir mwanafunzi wa baba wa harakati za elimu Africa ya mashariki Al habib swaleh bin alwiy Jamalullayl,kina sheikh Abubakar bin Muhammad al maawiy,kina al habib Abubakar bin abdrahman manswab,kina al habib alwy bin Abubakar ashaatwiry na wengineo wengi tu katika mabingwa wa kiilimu wa Africa ya mashariki,hawa walisoma makkah kwa mufti wa makkah wa wakati huo assayyid ahmad zain dahlan, mwenye kitabu maarufu cha dahlan,kina sheikh Muhammad bin said babsweyl alikuwa pia mufti wa makkah kina asayyid Abubakar bin Muhammad shattwa mwenye إعانة الطالبين na vitabu vingine hawa ni baadhi tu ya wanazuoni wa makkah walowahi kuwasomesha wanazuoni wetu hao wakubwa tulowataja,upande wa yemen ni kina al habib Ali bin Muhammad al habshy,kina al imam asayyid Aydarus bin umar,kina al habib abdrahman bin Muhammad al mash-hur.hawa walikuwa wanazuoni walokubalika ulimwengu wa kiisilamu wakati ilmu ilikuwa imezagaa.licha ya yote hayo,wanazuoni wetu wa Africa ya mashariki wengi wao kutoka kisiwa cha lamu kenya na wengine unguja waliporudi kutoka arabuni hawakuwadharau walimu zao wala kujiona eti wao ndio wanajuwa sana,bali heshima yao ilizidi kwa walimu zao na walielimisha jamii toka miaka hiyo mpaka sasa ilmu ya afrika ya mashariki yatoka kwao na makkah na yemen.leo akija mtu kama kassim mafuta na mfano wao na madai eti masalafi mara ilmu swahihi,ni fujo tu kwa jamii na utovu wa nidhamu.Afrika ya mashariki ilmu na uisilamu sahihi uko toka zamani huu upuzi awababaishe wasojuwa na wahabi wenziye,kama ni kusoma njee walitangulia zamani wanazuoni wengi waafrika wa mashariki,eti historia ya kusoma kwake!!lipya ni lipi hapo?au cha ajabu?bali kuonesha utovu wa adabu miaka nyingi amesomeshwa na mashekhe wa kisufi kisha hawaombei rahma akiwataja na kuwashutumu kila wakati,toka kuanza kusoma kwake mbona hasipelekwe kwa masalafi?walikuwa wapi?
@abdallahrajabu4401
@abdallahrajabu4401 3 жыл бұрын
Nimekukubali ndugu yangu wewe sio elimu wewe umepata elimu ya hufahamu kutoka kwa Hawa masalafy wasaka tonge...
@ismailmsangule1380
@ismailmsangule1380 3 жыл бұрын
Allah atunufaishe kwa barka zao aamin aaamin aaamin aaamin
@abdulraheemhussein1832
@abdulraheemhussein1832 Жыл бұрын
Kufa na chuki zako!!! Maulamaa wa Yemen wanajulikana Wacha kutaja wanazuoni masufi na makhurafi!
@SalumHemedy-k4m
@SalumHemedy-k4m Жыл бұрын
Allah akupe hekima katika elim yako
@Dawah99
@Dawah99 3 жыл бұрын
Our beloved brother, Shaykh Kassim Mafuta حفظه الله
@faatwimahwazir4871
@faatwimahwazir4871 3 жыл бұрын
Allah ambaarik sheikh wet
@ABUUALLY-u6x
@ABUUALLY-u6x 12 күн бұрын
Kawaida mtu msomi na mwenye uchaamungu basi humkutii kuwabagua waislamu wenzake ,cha ajabu huyuu kassim mafuta anajiona anaelimu ila adabu na hikmaa hanaa anajifanya anauchungu na dini kumbe ni fisi wa hatarii 😂😂😂 utawadanganya wasokujua ila wanaokujua huwezi kuwadanganya 😂😂 namnadhalilika sana maovu yenu watu washaanza kuyajuaa .
@hubaybathubaybat
@hubaybathubaybat 27 күн бұрын
amkubali radio na gazet so tv
@muslihharith3692
@muslihharith3692 3 жыл бұрын
Allah akuhifadhi shaykh..
@yahyamohamed4862
@yahyamohamed4862 3 жыл бұрын
mimi niko nairobi napennda kumsiakiza sheikh hafidhahullah
@Heiswatching.
@Heiswatching. 2 жыл бұрын
Allaah akuhifadhi akufanyie wepesi
@yahyamohamed4862
@yahyamohamed4862 2 жыл бұрын
@@Heiswatching. amiin ndugu yangu tuko wengi tunataka tuje tusome uko inshaallah
@Heiswatching.
@Heiswatching. 2 жыл бұрын
@@yahyamohamed4862 Allaah عز وجل , atawatakieni kheri tu.
@Heiswatching.
@Heiswatching. 2 жыл бұрын
@@yahyamohamed4862 dua
@yahyamohamed4862
@yahyamohamed4862 2 жыл бұрын
@@Heiswatching. amiin ndugu yangu Allaah akuhifadhi nawewe
@ismailkasim979
@ismailkasim979 3 жыл бұрын
Mm nampenda shekh wangu huyu Allah amuhifadh na mahasidi
@saamiaabdallah2160
@saamiaabdallah2160 2 жыл бұрын
Aamiin
@sadambakari2579
@sadambakari2579 11 ай бұрын
Allah atupe ilimu na ufahamu tusiwe kama kina hawa masheikh wanaowadharau waliowasomesha
@qasimmafuta
@qasimmafuta 9 ай бұрын
Hivi nikitaka niwe kama sheikh Qasim Mafuta nitakuwa?
@IbrahimGalgalo-c8p
@IbrahimGalgalo-c8p 11 ай бұрын
Ummjua mwenyezmungu kupitia mashekhe wa kisufi sai unwatukana n haki kweli
@AbuuSumayyah-rh7oi
@AbuuSumayyah-rh7oi 7 ай бұрын
Wahiyo ulutaka abaki kwenye batili kwakuwa ndio walio msomesha ?
@abdulkarimmohamed5494
@abdulkarimmohamed5494 3 жыл бұрын
Hata shukran huna .ngojea hisabu yko.من لا يشكر الناس لا يشكر الله
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 жыл бұрын
Abdulkareem:Ulitaka awe na Shukran kwa nani zaidi ya kwa Allah. Unapogundua njia potofu mahali lazima uhame kwa ajili ya kumhofu Allah: We vipi bwana!
@mohamedasaid7910
@mohamedasaid7910 3 жыл бұрын
@@selemanimartin1081 Kwa hivo Sufi ni wapotofu kwa hivo siwaislamu.?
@abuuayoubayoub9260
@abuuayoubayoub9260 2 жыл бұрын
@@mohamedasaid7910 hawana jambo hawa mawahabi ndo maana kila siku wako mbali na Allah
@Abuushaymaatz
@Abuushaymaatz 2 жыл бұрын
@@abuuayoubayoub9260 ahahaha ety mbali na Allah, jahil wewe, wewe ni nani kwa Allah mpaka ujue watu wako mbali naye?, Wewe una haki ipi kwa Allah mpaka ujue walio karibu au mbali naye?, Au una dalili ya Hilo? Itaqillah yaa Abuu Jahli
@Abuushaymaatz
@Abuushaymaatz 2 жыл бұрын
@@mohamedasaid7910 nani kasema sio waislamu?, Wana makosa sio kufru, Sasa kwanini wasijirekebishe?
@TalibMuhsin
@TalibMuhsin Күн бұрын
Kibri sio kizuri na riaa
@ABUUALLY-tv8rl
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
Wewe hujasoma kwaajili ya kupata radhi za Allah s.w bali umesoma ili tu kupata sifaa kwa watu basi hunajengine na ndio masalafi mulivyoo sifa nyinyi na kibrii basi hamuna jengine
@abdulazizmsonde985
@abdulazizmsonde985 3 жыл бұрын
جفظه الله تعا لى
@Abuuislamibunimran
@Abuuislamibunimran Жыл бұрын
Nami natamani niwe kama uyu sheikh hapa qasim mafuta
@zahirmahir6965
@zahirmahir6965 2 жыл бұрын
Alosoma hajisifu wala hasemi kama kasoma Ila anajulikana na watu kama msomi.ww mafuta inaonesha kichwa cheupee hata mungu humjui unasema Allah anamikono miguu vidolee Kakaaa kitako mbingunii hayo si maneno yakisomi.
@saamiaabdallah2160
@saamiaabdallah2160 2 жыл бұрын
Ila mungu katuchoka no sawa iyooo we nyamaza hujui kitu
@murshidhajji4715
@murshidhajji4715 2 жыл бұрын
Allah amuhifadhi sheikh wetu sisi twampenda sana kwa maana anaongea kutoka kwenye kitabu na sunna hatutaki chuki za watu binafsi
@TalibMuhsin
@TalibMuhsin Күн бұрын
Nanyinyi munao msaport uyu jamaa kwanza someni acheni ushabiki uyu kashaleta fitna sana ktk mujtamaa leo makosa yake hamuyaoni sabab mwampenda akikosea mwngine tu .ndo kesi leo mwafurahi akifa muislamu dah! Muko mbali na mafundisho ya mtume
@منهج_الرسل
@منهج_الرسل 3 жыл бұрын
Kila nikikaa muda natamani kusikiliza hii historia ya Sheikh Allah amuhifadh
@leonardmbonea4117
@leonardmbonea4117 3 жыл бұрын
Allah akuongoze au akuvunje mgongo tubia uongo wako dhidi ya watu wa haki
@JumaabedNzota
@JumaabedNzota Жыл бұрын
Hapa shekhe anaongea nawatu wenye ajili haongei na machiz
@ABUUALLY-tv8rl
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
Umesoma dini lakini Allah s.w hajakupa takwa huna uchaamungu kazi yako kubwa ni kujisifiaa na kuwachafua waislamu wenzio ambao wanamtazamo mwengine ,na kuleta vurugu basi huna jengine 😢
@ABUUALLY-tv8rl
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
Na hii dhimma uliojibebesha na izi fitna na ubaguzi ulizo zianzishaa ukasababisha waislamu leo kutengana ipoo siku zitakutokea puwani 😢
@abdallahrajabu4401
@abdallahrajabu4401 3 жыл бұрын
Tatizo kasoma lkn hakupewa hufahamu wa alichokisoma......
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 жыл бұрын
Abdallah; Hiyo chuki binafsi kwa Sheikh wetu, kakuzidi ki-Elimu wewe na wenzako:
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 жыл бұрын
We Muongo, wivu unakusumbua kakuzidi sana ki-elimu
@abdallahrajabu4401
@abdallahrajabu4401 3 жыл бұрын
Hivi nimeonee wivi mtu anaeshindana na salum Barahiyan kuwa Nani kaleta ulokole ( manhaj ya kisalafy) tz...ndio dini imetufundisha upuhuzi labda kwanyinyi viraza sio mimi
@ramadhanmbwana5718
@ramadhanmbwana5718 2 жыл бұрын
@@abdallahrajabu4401 Wewe hujielewi ungejielewa usinge sema maneno hayo allah akuongoze
@ABUUALLY-tv8rl
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
😂😂😂 Hana elimu Moja acha kumsifia ,angekuwa anaelimu kweli basi asingesubutu kuwachafua waislamu wenzake ili apate kusifiwa yeye na angeheshimu khilafu za wanachuoni ambao wakubwa ambao hata robo za elimu zao hawezi kuwafikia alafu munamsifia anaelimu 😂😂 ni mpuuzi tu Hana elimu Moja kazi sifa nyinyi basi hamna kitu
@ibbutv4275
@ibbutv4275 3 жыл бұрын
Sheikh anajisifu Sana na anakufurisha mpka walimu wake duh hatari hiii
@mohdali2408
@mohdali2408 3 жыл бұрын
Anatia moyo watu wajitume sio kucheza pia kwenye elimu Allah ndie mjuz zaid
@taturamadhan5940
@taturamadhan5940 3 жыл бұрын
Anwajibu waona kazuka tu
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 жыл бұрын
Subhanalah anawatharau na kuwakejeli maulamaa wakubwa kama abdulmajid zindani na yusuf alqarthawi na sleman al udah na nabil alawadhi na........ Ni Nani weye na muruwsibitha wenzako
@صالحمولد-ب1ط
@صالحمولد-ب1ط 3 жыл бұрын
Wewe unawkubali makhawariji hujielewi
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 жыл бұрын
@@صالحمولد-ب1ط Ni nani makhawarij?
@صالحمولد-ب1ط
@صالحمولد-ب1ط 3 жыл бұрын
@@khamisptrany9393 yusufu qardhawi salmanil,auda
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 жыл бұрын
@@صالحمولد-ب1ط Nipe dalili kwenye qurani na sunah kuwa salman al udah na yusuf alqardhawi na abdul majid zindani na......... ni makhawarij Na ikiwa hukupata dalili kwenye qurani na sunah niambie ni kitu gani kilichokufanya wewe uwaeke kwenye kundi la khawarij?
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 жыл бұрын
@@aidathsued9938 Nakushukuru sana kwa nasiha yako lakini mpaka sasa sijapata dalili kwenye qurani aw sunah kuwa mashekhe hao ni makhawarij, na wala sijapata vipimo ambavyo vilikufanyeni muwaeke kwenye ukhawarij Nakilini nami nakunasihini sana sana kuwa neno khawarij kihistoria lilitumika kisiasa, kila mpinzani anamtuhumu mpinzani wake kuwa ni makhawarij ili kumpaka matope na kumuondolea sapoti kwa waisilam. Kama leyo linavyo tumika neno ugaidi ( irhab) Ukhawarij ni sifa fulani zikiwepo ndio unaweza kusema kuwa fulani ni kharijiy, sasa je nisifa gani za kikhawarij zilizopo kwa mashekhe hao? Mfano selmani al audah yupo jela, je alie mfunga ni mcha mungu? Aw ni mwanasiasa mpotofu? Ndio maana nakunasihini kuwa tujaribu kuchambuwa baina ya aqidah na siasa, kwani upotofu wa siasa umefekenyezwa kwenye dini, na hicho kitu kimeanza tokea enzi za bani umeya
@ummuzubayr2759
@ummuzubayr2759 3 жыл бұрын
yaan tunauumiwa ni ss tunaoanza kufata quran na sunna,,,,za kisalafi ilaa sasa ndo unakuta hawa masheh ndo wanatoleani tofauti kabisa na kuzihirisha kama wana ugomvi kabisa,allah awajalie waweze kujua jinsi gani wanatuvuruga sisi beginers,,allah awalipeni heri sababu wote mnfanya hayo kwa ajili ya allah.hapa wengine hatujui tushike lipi.anyways :namuomba allah aniongoze kwenye njia ilio sahihi...na hii haihusiani na hio video hapo juu
@assayyidaydaruus181
@assayyidaydaruus181 3 жыл бұрын
Mafuta ya taa haya
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 жыл бұрын
Wivu wakusumbua
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 3 жыл бұрын
Hukwenda kusoma umeenda kutembea tu.Miezi sita unasoma nini?wenzio kima Cha chini ni miaka miwili.
@abaa_nzinzaofficial
@abaa_nzinzaofficial Ай бұрын
Sikiliza kuelewa
@idrisshogobe6424
@idrisshogobe6424 3 жыл бұрын
Naomba yote, imekatika
@fikafikan8484
@fikafikan8484 2 жыл бұрын
Asalam alekum warahmatullah wabarakatu ustadh mwenye ilimu hajisifu husifiwa pili mwenye elimu hakosowi watu mitandaoni sasa mm sina ilimu lakini mafuta wanitia wasi wasi elimu yako ndogo
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 2 жыл бұрын
Kasome ili asijutie waswas man kukosa elmu pia nitatizo mana lazima Ibliis akutie waswas
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 жыл бұрын
Kujisifu tu hata mashekhe walio msomesha hivisasa anawakufurisha Bado anakiri hata kwenye masomo alikuwa anapigana na wenzake tena ugenini
@مبغضالبدع-ع9ص
@مبغضالبدع-ع9ص 3 жыл бұрын
Kama ni mjinga si unyamaze tu, una ruhusa kuwa mjinga wakati mwengine lakini usitumie vibaya ruhusa hiyo, ukawa mjinga kila jambo wataka kutia lako.
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 жыл бұрын
@@مبغضالبدع-ع9ص Mjinga ni weye ulio tiwa ujamu ukawa unabururwa na mijitu ya fitna iliyo kuwa haina elimu , Na kujipa ruhusa ya kufanya ujinga badhi ya wakati, hiyo ni dalili tosha ya kubobea ujinga wako Hata honi haya
@hijjafadhili8873
@hijjafadhili8873 3 жыл бұрын
Kwani wewe una elmu kiasi gani mbona kina siku mnaawambia watu hawana elmu jiangalie maana miongoni mwa kibli mtu kujiona yeye Ana elmu kuliko wezake
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 жыл бұрын
@@hijjafadhili8873 Unajuwa sisi wale wajinga ambao wanabakia na ujinga wao kwa nafsi zao tu sisi hatwaulizi, lakini wajinga hao wakatumia ujinga wao wakanza kuwashambulia wengine huwa tunawabainishia watu kuwa hao ni wajinga, kwani wenye elimu huwa wanaheshimu rai za wengine na hujiepusha na kujenga fitna kwa hoja za kusema kubadilisha munkar
@maryamshuraim4163
@maryamshuraim4163 3 жыл бұрын
kwan ukisoma kwa masufi wanasomesha dini gani ?
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 3 жыл бұрын
Mariam unauliza ukisoma kwa masufi unasoma dini gani ?? Marima uko mbali kweli na mambo ya kielim hiv ujui kuna ushia kuna ukadiani ulshabab ambao ni ukhawariji kuna ujahmiyya kuna uashaira hayo yote ni makundi katika dini ya uislam je we wasoma uislam wa kikadiani au upi ?? Lazima ujue baada ya mtume صلى الله عليه وسلم Kufariki waislam waliingia kwenye fitna wakauliwa baadhi ya makhalifa kama vile Othman na waislam wakasambalatika wakaingia watu wa ovu ndani ya dini yetu kwa kupitia mwanya uo na wakaweka myenendo ndani ya dini yetu tukufu ambayo si myenendo ya mtume na maswahaba wake wakaanzisha fikra ndani ya dini zinakwenda kinyume na dini ya mtume na maswahaba wake kama vile kadariyya khawariji murjiya shia wote hawa wamezua mambo kwenye dini maswahaba hawakuridhia walipingana nao lkn wapi moto ulishawaka wakapata nafasi na wao hivyo uislam una njia sahihi na mbovu kwenye kuusoma .
@salamakhamis8092
@salamakhamis8092 3 жыл бұрын
@@mahengomwenyewe4204 Sasa ya Masufi ndio umehakikisha wewe ndio miongoni mwao hizo elimu zisizofaa? Uko tayari ukawe shahidi wa hili mbele ya Alla?
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 жыл бұрын
Wanasomesha Usufi! Tatizo hamtaki kusoma, tutawajibu hivihivi
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 Жыл бұрын
HUNA LOLOTE WEWEEE
@abufatmawario6299
@abufatmawario6299 3 жыл бұрын
Allah akuongoze uwe hizbih!!!
@zahirmahir6965
@zahirmahir6965 2 жыл бұрын
Mtu hajisifu mwenyewe Bali husifika ukimuona mtu ajisifu mwenyewe ujue hamna kitu kichwani inawezekana umesoma sana lkn hujafahamu kitu kwani kusoma na kufahamu ni vitu tofauti
@saamiaabdallah2160
@saamiaabdallah2160 2 жыл бұрын
Alhamdulillah twamsifu shekhe wetu mpka bac Yani adi raha Allah amuhifadhi na husda za makhawaarij
@mohamedkijuu9675
@mohamedkijuu9675 Жыл бұрын
Yaani had raha nikustafid tu elimu ya qasim bin mafuta Allah akihifadhi shekh let la nguvu afu na nyie washamb kama hamjui ki2 kuhusu din fungen midomo yenu so kutoa maneno ya kashfa
@jumamzee6999
@jumamzee6999 3 жыл бұрын
Huna mpango hata mmoja zaidi ya kujisifu. Kazi yako fitna mara useme maibadhi uwatukane kwa sababu hawafungi mikono .sasa sisi tuweke mikono wapi karibu ya shingo kwrnye kifua .juu ya kitovu au chini ya kitovu maana ukiingia msikitini kila mmoja kaweka mikono srhemu mbali mbali
@hafidhsalum9149
@hafidhsalum9149 2 жыл бұрын
Na wewe jisifu tuone basi au ni chuki tuu
@hashimal-ahdal1210
@hashimal-ahdal1210 3 жыл бұрын
ww kasim mafuta kwangu si shk kabisa
@adamhashim3352
@adamhashim3352 3 жыл бұрын
😁😁😁😁
@khamiskhamis5098
@khamiskhamis5098 3 жыл бұрын
Bade tusome shekh mafuta
@yusufodhiambo9623
@yusufodhiambo9623 3 жыл бұрын
wacha kwa na hasid
@salimhassan1874
@salimhassan1874 3 жыл бұрын
Mashallah jazzakallah khair.
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 2 жыл бұрын
Hata Mimi ntashangaa ukisema nishekh wako twakuona umepinda hivyoo...wanafunz wakasimu mafuta Allah amuhifadhi wote wamwnyooka maashaallah.....
@MURIDIWASHEIKHE
@MURIDIWASHEIKHE 8 ай бұрын
Mpofu ww kaa chni usome tena kwa masuf
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 жыл бұрын
mtu ambae ni wafitna huyo bado hajasoma kitu wala hana elimu yoyote
@tawfiqathman2045
@tawfiqathman2045 3 жыл бұрын
Naomba nambar yako habiib
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 жыл бұрын
@@tawfiqathman2045 تفضل karibu
@مبغضالبدع-ع9ص
@مبغضالبدع-ع9ص 3 жыл бұрын
Duh na wewe umesomea wapi kaka? Ingawa comment zako ni kama wewe ni guta kiasi.
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 жыл бұрын
@@مبغضالبدع-ع9ص Mimi mijitu ya fitna kama hiyi huwa ninaichukia sana, na sichiki kwa upotofu wa manhaji aw aqida zao lakini naichukia kwa fitna zao, kwani kazi yao ni kufuatilia mitelezo ya wengine na wasipo pata hujitungia
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 жыл бұрын
Alie kuwa nyuba yake mi yakiyoo hawalengi wengine mawe
@ramadhanimussa9324
@ramadhanimussa9324 3 жыл бұрын
Shukra mkuu
@jumanasoro8903
@jumanasoro8903 2 жыл бұрын
Bingwa wa kuwafanyie waislam wenzake kiburi, madharau, kejeli na kufuatilia aibu zao Mafuta hanaa adabu hata chembe
@omadal1
@omadal1 2 жыл бұрын
@Juma Naso kwani huo uislamu unao utaja umetufunza kukashifiana from ur comments?
@jumanasoro8903
@jumanasoro8903 2 жыл бұрын
@@omadal1 الجزاء من جنس العمل وكما تدين تدان
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 3 жыл бұрын
Kumbe ndio huyu Sheikh anaetukana watu, embu wekeni picha yake tumuone
@saamiaabdallah2160
@saamiaabdallah2160 2 жыл бұрын
Alafu inasaidia nn ukimuona
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 2 жыл бұрын
@@saamiaabdallah2160 mimi najua nini itabisaidia ntumie tu picha yake nimuone
@saamiaabdallah2160
@saamiaabdallah2160 2 жыл бұрын
@@saidsuleiman1753 كل تسوير حرام Picha haramu
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 2 жыл бұрын
@@saamiaabdallah2160 kumbe
@saamiaabdallah2160
@saamiaabdallah2160 2 жыл бұрын
@@saidsuleiman1753 ndy Kaka
@salimakida95
@salimakida95 9 ай бұрын
Nini faida ya kutaja ilmu yako?
@rashid3562
@rashid3562 Жыл бұрын
Kwhyo usalafi umeanza juzi tu afu mnaona ndio dini pumbavu
@JumaMsangaziMsangazi-nq1ru
@JumaMsangaziMsangazi-nq1ru Жыл бұрын
Upo sahihi uliyetoa maoni yako...Mafuta shida yake kubwa kanyimwa HIKMA,NA BUSARA...nahisi ujana bado unsumbua
@mahammoudhaji
@mahammoudhaji 2 жыл бұрын
Hio ni ria tu
@hassanmati4861
@hassanmati4861 3 жыл бұрын
Unaweza ukasoma sana lakin huku elimika hivi leo mnawalingania watu waingie katika kundi na mnasema kua kundi fulani ndo lilo ongoka umeona wapi mambo ayo walinganieni watu waingie kwenye dini sio kuwaita watu katika makundi
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 3 жыл бұрын
Hassan wewe mbumbumbu kaa kimya wenzio tulivyokua wajinga tulisema kama wewe lkn baada ya kujitambua tumejua makundi yapo na haya kayasema mtume kama ujui kaa kimya. Utatukana bure kwa ujinga mwisho udhurike
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 жыл бұрын
Muongo mkubwa, acha kijicho
@abusultanzimbawy501
@abusultanzimbawy501 3 жыл бұрын
Sifa zako za riyaa
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 жыл бұрын
Muongo
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 Жыл бұрын
wee punguza kuvuta Bamgi ukubwani
@mohamedsalim972
@mohamedsalim972 3 жыл бұрын
We Endelea kudharau Watu ndio ushehehe
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 жыл бұрын
Kamdharau nani,kumrudisha mtu mstarini ndo kumdharau?
Mdahalo Kuhusu Kupiga Dufu Sheikh Kassim Mafuta Dhidi ya Kazuba
2:36:10
Мен атып көрмегенмін ! | Qalam | 5 серия
25:41
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
Chain Game Strong ⛓️
00:21
Anwar Jibawi
Рет қаралды 41 МЛН
MIAMALA KATIKA JAMII YETU-SHEIKH KASSIM MAFUTA-ALLAH AMUHIFADHI
1:29:04
40 QISO oo XUL ah | Sheekh Mustafe Xaaji Ismaaciil
3:25:44
Max Amiin
Рет қаралды 22 М.
SHEIKH MUHAMMAD IS'HAKA AWARIPUA WATU WA TWARIQA
1:24:46
AL MUBAJJAL TV
Рет қаралды 25 М.
FAHAMU HISTORIA YA KUSOMA DINI YA DUKTUR KHAMIS IMAM
30:58
Al Hilaaly Online TV
Рет қаралды 6 М.
Historia/Kisa cha nabii Nuh (A.S) - Sheikh Othman Maalim (Sehemu ya 1)
26:46
Мен атып көрмегенмін ! | Qalam | 5 серия
25:41