Allah akuhifadhi sheikh wetu,Na baada ya Tawfyq ya Allah tumeijua haqq kupitia ww
@suleimanabdul-karim1212 Жыл бұрын
Allah akubarik sheikh QASSIM Mafuta Allah akupe umri na afiya njema akupe mwisho mwema YaaRab
@MuhammadiKulanga10 ай бұрын
MashaAllah nimepata kujifunza kitu Alhamdulillah 🤲🏿 niingie mzigoni sasa InshaAllah ✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️
@IsmailrashidAbdul Жыл бұрын
Mashallah, Allah akuhifadhi sheikh wetu Qasim mafuta na akuzidishie ilm
@aboubakarmakha419422 күн бұрын
MASHA ALLAH ILA WAKATI BADO UKO UNAFUNDISHWA NA MASUFI WENZAKO WAKO KWENYE MARAKIZ ZA KISUNNAH PALE AZHAR AUSHA BONDENI PALE WENGINE WAKO MAMLAKA SAUDIA WENGINE WAPO KISAUNI MOMBASA WENGINE WAKO PAKISTANI JAMMIYATUL ISLAMIYA TAWI LA CHUO CHA MADINA WANAFUNDISWA MANHAJI SALAF TENA ILE PURE
@KassimBakari-mw8ey10 ай бұрын
Sheikh kassim mafutaa " mashallah " , sijamsahau Babu yangu sheikh twaha pongwe , wako kassim Bakari Bindo kutoka kigamboni dar es salaam.
@Abuushaymaatz2 жыл бұрын
Mashekh wetu Allah awahifadhi biidhinih, kweli mlitutoa kwenye jaa, tulikaa Sana na masufi na mahizibi wakatupotezea umri na mda wetu, hatukusoma kwao uislam wa sawa, walillahi lihamdu mmetutua mzigo wa viza. Namuomba Allah ajaalie jitihada zenu hizi ktk mizani ya mema yenu siku ya qiyama.
@kassimkilwiye47422 жыл бұрын
Jazakallahu khairan
@Abuushaymaatz2 жыл бұрын
@@kassimkilwiye4742 amiin wa iyyaka
@muhidinizuberi27263 жыл бұрын
Jaman mim natangaza hadharani mim nampenda sana shekhe wangu huyu allah amuifadhi tuzid kustafidi
@nabillkhamis81882 жыл бұрын
Ww tangaza ila uyo si shekhe
@mbanga67592 жыл бұрын
@@nabillkhamis8188 Ninani .?
@abuuhudhayfa18382 жыл бұрын
Mashaallah Allah amekuhifadhi akhyy
@RahmaIsmail-l9o8 ай бұрын
allah akuhifadhi sana maasha Allah nakupenda sana kwa ajili ya allah
@faizhassan8423 Жыл бұрын
Mashallah Elmu, kajifuze kuwa na thawaadhu, pamoja kuwa na Hikima na Busara.
@AsmaaIssa-wz6by6 ай бұрын
Maasha Alla😂😂 mpaka nimeona wivu jmn Allah akuhifadhi shekhe wetu
@meriamumeriamu9015 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@abuuarqamayubu6 ай бұрын
Masha Allah Sheikh Qassim Mafuta Allah akuhifadhi
@Abuumuqbil4994 Жыл бұрын
Naam very good mafuta allah akuhifadhe
@muniratalal84183 жыл бұрын
Tafadhali Twaomba mwisho wa kisa Chako chakusoma eilm. ALLAH AKUHIFADHI
@Abuushaymaatz2 жыл бұрын
Baaraka Allah fiyka wa jazaka Allah khayran sheikhanaa Abul Fadhwil.
@hashimiddi47892 жыл бұрын
Allah akuhifadhi shekhe
@swalehfarid54663 жыл бұрын
Utamu Umekatika Njiani Haikuisha Mpaka Mwisho...ALLAH Akuhifadhi Sheikh Qasim Na Akupe Umri Wa Kheri
@tawfiqathman20453 жыл бұрын
Aamin yaa rabbal aalamiin
@tawfiqathman20453 жыл бұрын
Allah atujaalie na ss wengine tuwe mfano wake na ss
@MasoudMasoud-mt9bz10 ай бұрын
Mimi napenda kumuita Gogo la Tanzania Allah akuhifadhi Sana kama Kuna mtu ana namba zake nahitaji kumsalimia tu!
@abuuarqamayubu6 ай бұрын
برك الله فيك
@hilmialiomar19832 жыл бұрын
Mashallah, kwa wale hawakusoma muda bado upo tusikate tamaa.
@alimasigasaleh85303 жыл бұрын
Sheikh kuelezea kusoma kwake lengo ni kututia jazba na hamu ya kutafuta ilm. Allah amhifadhi
@wskn90613 жыл бұрын
JazakAllahu Khairan
@umulkulthumabdallasaid8520 Жыл бұрын
ماشاءالله تبارك الله... الله يحفظك
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Inshaaaalah na mie nitakuwa zaid yako
@mbarakassa4347 Жыл бұрын
Mashaallah sheikh Qaaim Mafuta Allah Akuifadhi
@fhyubhhh28812 жыл бұрын
May Allah bless you always Ameen Yarrab
@abuunajat44503 жыл бұрын
Maashaallah good massage my brother kassim mafuta
@hubaybathubaybat27 күн бұрын
Sheikh ajasema tv halal elewa
@selemanishabani463 Жыл бұрын
Huna shukran na mashekh zako walokusomesha kwakutaka ukubwa nyinyi mawahabi ni walokole ktk din hii kila jambo mwajiona mko Sawa kuliko wengine
@TalibMuhsinКүн бұрын
Akhy umewaoona yani mpka wanazuoni wanaona hawajui wakat wametunga vitabu na wavisoma nashangaa wajion wajua sana kam sio kibri nini na riaa
@jumadou84183 жыл бұрын
Barakallah fikum wajazakallah khaira shykhe wangu
@YasirOmar-x5e Жыл бұрын
Alla amuhifadhi
@amenakenya79933 жыл бұрын
Ma shaa Allah shekh wangu tunaomba muendelezaa shaa Allah Allah akuifadhi Amiyn
@ZakariaHamad-y6j3 ай бұрын
❤
@ibrahimracho23573 жыл бұрын
Ma Sha ALLAH umejaaliwa ilmu, shida ni umenyimwa hikma,faman utal hikma faqad uutiya khairan kathira,sasa huko kujisifu ndio kukosa hikma
@fadhilimussa50673 жыл бұрын
Hajisifu Bali anaelezeaa history ili watu waige mema ..mkasome na nyie
@abuhafswin26863 жыл бұрын
Hujui maana yahikma ndo maana ukasema hayo,Allah atuongoze
@HamkingCompanyLimited20233 жыл бұрын
Huelew unachoongea! Na kla unaloongea ujue wapo malaika juu yako wanadhibiti. Usimuongelee mtu usiyo mjua.
@ABUUALLY-u6x12 күн бұрын
😂😂😂😂 mtu kujieleza historia yake ni kujisifiaa na kama kweli huyoo sheikh wenu kassim bin mafuta msomi basi angekuwa anaadabu na heshima Kwa waislamu wenzake Cha ajabu kazi kujisifia na kuwaponda wanachuoni ambao hata robo ya elimu hawezi kuwafikia 😂😂 huyo sheikh wenu na nyinyi munaomtetea nyote sawa ujingaa mwingi basi😂😂
@rizikishekh76393 жыл бұрын
Allah amzidishie elim shekhe wet
@hamzamwaya4633 жыл бұрын
Allah akuhifadhi
@muhammadabdallah53042 жыл бұрын
Mashaallah
@abuyunusmohamed69613 жыл бұрын
Allah atulinde na Shari za mawahabi na hao waliopandikizwa mbegu za chuki dhidi ya waislamu
@abdulraheemhussein1832 Жыл бұрын
Kufa na chuki Yako!!!
@muniratalal84183 жыл бұрын
Very beneficial may Allah reward you jannatalfirdaus Al Aalaa. Shekhe qasim mafuta and all salafy brothers
@azizaj7763 жыл бұрын
Yes May Allah reward him JAHANAMA
@Abuushaymaatz2 жыл бұрын
Allahuma amiin, My Allah reward you the same also.
@Ahmadasshii-raazy8888 Жыл бұрын
لا يجرمنكم شنآن قوم على ان لا تعدلوا اعدلوا هو اقرب للتقوى
@margayibrahimu46073 жыл бұрын
Nakupenda kwaajili ya allah Allah akuhifadhi shekh wetu mlezi
@mustafahkapopwa-bi7yb8 ай бұрын
Wewe ume acha nuru na kufwata jiza za Muhammad abdul wahabu mwenyezi mungu akuongoze katika kupotea kwako.
@mudarisuburhan37023 жыл бұрын
Upo vzr
@muhidinizuberi27263 жыл бұрын
Penda sana shekh wangu ..allah akuifadhi
@Waziyr19 күн бұрын
Lakn wot unawaona Hawa juwi
@JuchonlineTV Жыл бұрын
Mbonaa masheikh zako unawaita vijana???
@muhammadochenje46103 жыл бұрын
Zamani wanazuoni wengi waafrika wa mashariki walisoma hapa hapa Africa ya mashariki na kisha kuenda kusoma Arabuni mfano wao ni kina sheikh abdallah bin Muhammad bakathir mwanafunzi wa baba wa harakati za elimu Africa ya mashariki Al habib swaleh bin alwiy Jamalullayl,kina sheikh Abubakar bin Muhammad al maawiy,kina al habib Abubakar bin abdrahman manswab,kina al habib alwy bin Abubakar ashaatwiry na wengineo wengi tu katika mabingwa wa kiilimu wa Africa ya mashariki,hawa walisoma makkah kwa mufti wa makkah wa wakati huo assayyid ahmad zain dahlan, mwenye kitabu maarufu cha dahlan,kina sheikh Muhammad bin said babsweyl alikuwa pia mufti wa makkah kina asayyid Abubakar bin Muhammad shattwa mwenye إعانة الطالبين na vitabu vingine hawa ni baadhi tu ya wanazuoni wa makkah walowahi kuwasomesha wanazuoni wetu hao wakubwa tulowataja,upande wa yemen ni kina al habib Ali bin Muhammad al habshy,kina al imam asayyid Aydarus bin umar,kina al habib abdrahman bin Muhammad al mash-hur.hawa walikuwa wanazuoni walokubalika ulimwengu wa kiisilamu wakati ilmu ilikuwa imezagaa.licha ya yote hayo,wanazuoni wetu wa Africa ya mashariki wengi wao kutoka kisiwa cha lamu kenya na wengine unguja waliporudi kutoka arabuni hawakuwadharau walimu zao wala kujiona eti wao ndio wanajuwa sana,bali heshima yao ilizidi kwa walimu zao na walielimisha jamii toka miaka hiyo mpaka sasa ilmu ya afrika ya mashariki yatoka kwao na makkah na yemen.leo akija mtu kama kassim mafuta na mfano wao na madai eti masalafi mara ilmu swahihi,ni fujo tu kwa jamii na utovu wa nidhamu.Afrika ya mashariki ilmu na uisilamu sahihi uko toka zamani huu upuzi awababaishe wasojuwa na wahabi wenziye,kama ni kusoma njee walitangulia zamani wanazuoni wengi waafrika wa mashariki,eti historia ya kusoma kwake!!lipya ni lipi hapo?au cha ajabu?bali kuonesha utovu wa adabu miaka nyingi amesomeshwa na mashekhe wa kisufi kisha hawaombei rahma akiwataja na kuwashutumu kila wakati,toka kuanza kusoma kwake mbona hasipelekwe kwa masalafi?walikuwa wapi?
@abdallahrajabu44013 жыл бұрын
Nimekukubali ndugu yangu wewe sio elimu wewe umepata elimu ya hufahamu kutoka kwa Hawa masalafy wasaka tonge...
@ismailmsangule13803 жыл бұрын
Allah atunufaishe kwa barka zao aamin aaamin aaamin aaamin
@abdulraheemhussein1832 Жыл бұрын
Kufa na chuki zako!!! Maulamaa wa Yemen wanajulikana Wacha kutaja wanazuoni masufi na makhurafi!
@SalumHemedy-k4m Жыл бұрын
Allah akupe hekima katika elim yako
@Dawah993 жыл бұрын
Our beloved brother, Shaykh Kassim Mafuta حفظه الله
@faatwimahwazir48713 жыл бұрын
Allah ambaarik sheikh wet
@ABUUALLY-u6x12 күн бұрын
Kawaida mtu msomi na mwenye uchaamungu basi humkutii kuwabagua waislamu wenzake ,cha ajabu huyuu kassim mafuta anajiona anaelimu ila adabu na hikmaa hanaa anajifanya anauchungu na dini kumbe ni fisi wa hatarii 😂😂😂 utawadanganya wasokujua ila wanaokujua huwezi kuwadanganya 😂😂 namnadhalilika sana maovu yenu watu washaanza kuyajuaa .
@hubaybathubaybat27 күн бұрын
amkubali radio na gazet so tv
@muslihharith36923 жыл бұрын
Allah akuhifadhi shaykh..
@yahyamohamed48623 жыл бұрын
mimi niko nairobi napennda kumsiakiza sheikh hafidhahullah
@Heiswatching.2 жыл бұрын
Allaah akuhifadhi akufanyie wepesi
@yahyamohamed48622 жыл бұрын
@@Heiswatching. amiin ndugu yangu tuko wengi tunataka tuje tusome uko inshaallah
@Heiswatching.2 жыл бұрын
@@yahyamohamed4862 Allaah عز وجل , atawatakieni kheri tu.
Mm nampenda shekh wangu huyu Allah amuhifadh na mahasidi
@saamiaabdallah21602 жыл бұрын
Aamiin
@sadambakari257911 ай бұрын
Allah atupe ilimu na ufahamu tusiwe kama kina hawa masheikh wanaowadharau waliowasomesha
@qasimmafuta9 ай бұрын
Hivi nikitaka niwe kama sheikh Qasim Mafuta nitakuwa?
@IbrahimGalgalo-c8p11 ай бұрын
Ummjua mwenyezmungu kupitia mashekhe wa kisufi sai unwatukana n haki kweli
@AbuuSumayyah-rh7oi7 ай бұрын
Wahiyo ulutaka abaki kwenye batili kwakuwa ndio walio msomesha ?
@abdulkarimmohamed54943 жыл бұрын
Hata shukran huna .ngojea hisabu yko.من لا يشكر الناس لا يشكر الله
@selemanimartin10813 жыл бұрын
Abdulkareem:Ulitaka awe na Shukran kwa nani zaidi ya kwa Allah. Unapogundua njia potofu mahali lazima uhame kwa ajili ya kumhofu Allah: We vipi bwana!
@mohamedasaid79103 жыл бұрын
@@selemanimartin1081 Kwa hivo Sufi ni wapotofu kwa hivo siwaislamu.?
@abuuayoubayoub92602 жыл бұрын
@@mohamedasaid7910 hawana jambo hawa mawahabi ndo maana kila siku wako mbali na Allah
@Abuushaymaatz2 жыл бұрын
@@abuuayoubayoub9260 ahahaha ety mbali na Allah, jahil wewe, wewe ni nani kwa Allah mpaka ujue watu wako mbali naye?, Wewe una haki ipi kwa Allah mpaka ujue walio karibu au mbali naye?, Au una dalili ya Hilo? Itaqillah yaa Abuu Jahli
@Abuushaymaatz2 жыл бұрын
@@mohamedasaid7910 nani kasema sio waislamu?, Wana makosa sio kufru, Sasa kwanini wasijirekebishe?
@TalibMuhsinКүн бұрын
Kibri sio kizuri na riaa
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
Wewe hujasoma kwaajili ya kupata radhi za Allah s.w bali umesoma ili tu kupata sifaa kwa watu basi hunajengine na ndio masalafi mulivyoo sifa nyinyi na kibrii basi hamuna jengine
@abdulazizmsonde9853 жыл бұрын
جفظه الله تعا لى
@Abuuislamibunimran Жыл бұрын
Nami natamani niwe kama uyu sheikh hapa qasim mafuta
@zahirmahir69652 жыл бұрын
Alosoma hajisifu wala hasemi kama kasoma Ila anajulikana na watu kama msomi.ww mafuta inaonesha kichwa cheupee hata mungu humjui unasema Allah anamikono miguu vidolee Kakaaa kitako mbingunii hayo si maneno yakisomi.
@saamiaabdallah21602 жыл бұрын
Ila mungu katuchoka no sawa iyooo we nyamaza hujui kitu
@murshidhajji47152 жыл бұрын
Allah amuhifadhi sheikh wetu sisi twampenda sana kwa maana anaongea kutoka kwenye kitabu na sunna hatutaki chuki za watu binafsi
@TalibMuhsinКүн бұрын
Nanyinyi munao msaport uyu jamaa kwanza someni acheni ushabiki uyu kashaleta fitna sana ktk mujtamaa leo makosa yake hamuyaoni sabab mwampenda akikosea mwngine tu .ndo kesi leo mwafurahi akifa muislamu dah! Muko mbali na mafundisho ya mtume
@منهج_الرسل3 жыл бұрын
Kila nikikaa muda natamani kusikiliza hii historia ya Sheikh Allah amuhifadh
@leonardmbonea41173 жыл бұрын
Allah akuongoze au akuvunje mgongo tubia uongo wako dhidi ya watu wa haki
@JumaabedNzota Жыл бұрын
Hapa shekhe anaongea nawatu wenye ajili haongei na machiz
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
Umesoma dini lakini Allah s.w hajakupa takwa huna uchaamungu kazi yako kubwa ni kujisifiaa na kuwachafua waislamu wenzio ambao wanamtazamo mwengine ,na kuleta vurugu basi huna jengine 😢
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
Na hii dhimma uliojibebesha na izi fitna na ubaguzi ulizo zianzishaa ukasababisha waislamu leo kutengana ipoo siku zitakutokea puwani 😢
@abdallahrajabu44013 жыл бұрын
Tatizo kasoma lkn hakupewa hufahamu wa alichokisoma......
@selemanimartin10813 жыл бұрын
Abdallah; Hiyo chuki binafsi kwa Sheikh wetu, kakuzidi ki-Elimu wewe na wenzako:
@selemanimartin10813 жыл бұрын
We Muongo, wivu unakusumbua kakuzidi sana ki-elimu
@abdallahrajabu44013 жыл бұрын
Hivi nimeonee wivi mtu anaeshindana na salum Barahiyan kuwa Nani kaleta ulokole ( manhaj ya kisalafy) tz...ndio dini imetufundisha upuhuzi labda kwanyinyi viraza sio mimi
@ramadhanmbwana57182 жыл бұрын
@@abdallahrajabu4401 Wewe hujielewi ungejielewa usinge sema maneno hayo allah akuongoze
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
😂😂😂 Hana elimu Moja acha kumsifia ,angekuwa anaelimu kweli basi asingesubutu kuwachafua waislamu wenzake ili apate kusifiwa yeye na angeheshimu khilafu za wanachuoni ambao wakubwa ambao hata robo za elimu zao hawezi kuwafikia alafu munamsifia anaelimu 😂😂 ni mpuuzi tu Hana elimu Moja kazi sifa nyinyi basi hamna kitu
@ibbutv42753 жыл бұрын
Sheikh anajisifu Sana na anakufurisha mpka walimu wake duh hatari hiii
@mohdali24083 жыл бұрын
Anatia moyo watu wajitume sio kucheza pia kwenye elimu Allah ndie mjuz zaid
@taturamadhan59403 жыл бұрын
Anwajibu waona kazuka tu
@khamisptrany93933 жыл бұрын
Subhanalah anawatharau na kuwakejeli maulamaa wakubwa kama abdulmajid zindani na yusuf alqarthawi na sleman al udah na nabil alawadhi na........ Ni Nani weye na muruwsibitha wenzako
@صالحمولد-ب1ط3 жыл бұрын
Wewe unawkubali makhawariji hujielewi
@khamisptrany93933 жыл бұрын
@@صالحمولد-ب1ط Ni nani makhawarij?
@صالحمولد-ب1ط3 жыл бұрын
@@khamisptrany9393 yusufu qardhawi salmanil,auda
@khamisptrany93933 жыл бұрын
@@صالحمولد-ب1ط Nipe dalili kwenye qurani na sunah kuwa salman al udah na yusuf alqardhawi na abdul majid zindani na......... ni makhawarij Na ikiwa hukupata dalili kwenye qurani na sunah niambie ni kitu gani kilichokufanya wewe uwaeke kwenye kundi la khawarij?
@khamisptrany93933 жыл бұрын
@@aidathsued9938 Nakushukuru sana kwa nasiha yako lakini mpaka sasa sijapata dalili kwenye qurani aw sunah kuwa mashekhe hao ni makhawarij, na wala sijapata vipimo ambavyo vilikufanyeni muwaeke kwenye ukhawarij Nakilini nami nakunasihini sana sana kuwa neno khawarij kihistoria lilitumika kisiasa, kila mpinzani anamtuhumu mpinzani wake kuwa ni makhawarij ili kumpaka matope na kumuondolea sapoti kwa waisilam. Kama leyo linavyo tumika neno ugaidi ( irhab) Ukhawarij ni sifa fulani zikiwepo ndio unaweza kusema kuwa fulani ni kharijiy, sasa je nisifa gani za kikhawarij zilizopo kwa mashekhe hao? Mfano selmani al audah yupo jela, je alie mfunga ni mcha mungu? Aw ni mwanasiasa mpotofu? Ndio maana nakunasihini kuwa tujaribu kuchambuwa baina ya aqidah na siasa, kwani upotofu wa siasa umefekenyezwa kwenye dini, na hicho kitu kimeanza tokea enzi za bani umeya
@ummuzubayr27593 жыл бұрын
yaan tunauumiwa ni ss tunaoanza kufata quran na sunna,,,,za kisalafi ilaa sasa ndo unakuta hawa masheh ndo wanatoleani tofauti kabisa na kuzihirisha kama wana ugomvi kabisa,allah awajalie waweze kujua jinsi gani wanatuvuruga sisi beginers,,allah awalipeni heri sababu wote mnfanya hayo kwa ajili ya allah.hapa wengine hatujui tushike lipi.anyways :namuomba allah aniongoze kwenye njia ilio sahihi...na hii haihusiani na hio video hapo juu
@assayyidaydaruus1813 жыл бұрын
Mafuta ya taa haya
@selemanimartin10813 жыл бұрын
Wivu wakusumbua
@abuyunusmohamed69613 жыл бұрын
Hukwenda kusoma umeenda kutembea tu.Miezi sita unasoma nini?wenzio kima Cha chini ni miaka miwili.
@abaa_nzinzaofficialАй бұрын
Sikiliza kuelewa
@idrisshogobe64243 жыл бұрын
Naomba yote, imekatika
@fikafikan84842 жыл бұрын
Asalam alekum warahmatullah wabarakatu ustadh mwenye ilimu hajisifu husifiwa pili mwenye elimu hakosowi watu mitandaoni sasa mm sina ilimu lakini mafuta wanitia wasi wasi elimu yako ndogo
@abuushakiraddausiy86662 жыл бұрын
Kasome ili asijutie waswas man kukosa elmu pia nitatizo mana lazima Ibliis akutie waswas
@khamisptrany93933 жыл бұрын
Kujisifu tu hata mashekhe walio msomesha hivisasa anawakufurisha Bado anakiri hata kwenye masomo alikuwa anapigana na wenzake tena ugenini
@مبغضالبدع-ع9ص3 жыл бұрын
Kama ni mjinga si unyamaze tu, una ruhusa kuwa mjinga wakati mwengine lakini usitumie vibaya ruhusa hiyo, ukawa mjinga kila jambo wataka kutia lako.
@khamisptrany93933 жыл бұрын
@@مبغضالبدع-ع9ص Mjinga ni weye ulio tiwa ujamu ukawa unabururwa na mijitu ya fitna iliyo kuwa haina elimu , Na kujipa ruhusa ya kufanya ujinga badhi ya wakati, hiyo ni dalili tosha ya kubobea ujinga wako Hata honi haya
@hijjafadhili88733 жыл бұрын
Kwani wewe una elmu kiasi gani mbona kina siku mnaawambia watu hawana elmu jiangalie maana miongoni mwa kibli mtu kujiona yeye Ana elmu kuliko wezake
@khamisptrany93933 жыл бұрын
@@hijjafadhili8873 Unajuwa sisi wale wajinga ambao wanabakia na ujinga wao kwa nafsi zao tu sisi hatwaulizi, lakini wajinga hao wakatumia ujinga wao wakanza kuwashambulia wengine huwa tunawabainishia watu kuwa hao ni wajinga, kwani wenye elimu huwa wanaheshimu rai za wengine na hujiepusha na kujenga fitna kwa hoja za kusema kubadilisha munkar
@maryamshuraim41633 жыл бұрын
kwan ukisoma kwa masufi wanasomesha dini gani ?
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Mariam unauliza ukisoma kwa masufi unasoma dini gani ?? Marima uko mbali kweli na mambo ya kielim hiv ujui kuna ushia kuna ukadiani ulshabab ambao ni ukhawariji kuna ujahmiyya kuna uashaira hayo yote ni makundi katika dini ya uislam je we wasoma uislam wa kikadiani au upi ?? Lazima ujue baada ya mtume صلى الله عليه وسلم Kufariki waislam waliingia kwenye fitna wakauliwa baadhi ya makhalifa kama vile Othman na waislam wakasambalatika wakaingia watu wa ovu ndani ya dini yetu kwa kupitia mwanya uo na wakaweka myenendo ndani ya dini yetu tukufu ambayo si myenendo ya mtume na maswahaba wake wakaanzisha fikra ndani ya dini zinakwenda kinyume na dini ya mtume na maswahaba wake kama vile kadariyya khawariji murjiya shia wote hawa wamezua mambo kwenye dini maswahaba hawakuridhia walipingana nao lkn wapi moto ulishawaka wakapata nafasi na wao hivyo uislam una njia sahihi na mbovu kwenye kuusoma .
@salamakhamis80923 жыл бұрын
@@mahengomwenyewe4204 Sasa ya Masufi ndio umehakikisha wewe ndio miongoni mwao hizo elimu zisizofaa? Uko tayari ukawe shahidi wa hili mbele ya Alla?
Mtu hajisifu mwenyewe Bali husifika ukimuona mtu ajisifu mwenyewe ujue hamna kitu kichwani inawezekana umesoma sana lkn hujafahamu kitu kwani kusoma na kufahamu ni vitu tofauti
@saamiaabdallah21602 жыл бұрын
Alhamdulillah twamsifu shekhe wetu mpka bac Yani adi raha Allah amuhifadhi na husda za makhawaarij
@mohamedkijuu9675 Жыл бұрын
Yaani had raha nikustafid tu elimu ya qasim bin mafuta Allah akihifadhi shekh let la nguvu afu na nyie washamb kama hamjui ki2 kuhusu din fungen midomo yenu so kutoa maneno ya kashfa
@jumamzee69993 жыл бұрын
Huna mpango hata mmoja zaidi ya kujisifu. Kazi yako fitna mara useme maibadhi uwatukane kwa sababu hawafungi mikono .sasa sisi tuweke mikono wapi karibu ya shingo kwrnye kifua .juu ya kitovu au chini ya kitovu maana ukiingia msikitini kila mmoja kaweka mikono srhemu mbali mbali
@hafidhsalum91492 жыл бұрын
Na wewe jisifu tuone basi au ni chuki tuu
@hashimal-ahdal12103 жыл бұрын
ww kasim mafuta kwangu si shk kabisa
@adamhashim33523 жыл бұрын
😁😁😁😁
@khamiskhamis50983 жыл бұрын
Bade tusome shekh mafuta
@yusufodhiambo96233 жыл бұрын
wacha kwa na hasid
@salimhassan18743 жыл бұрын
Mashallah jazzakallah khair.
@abuushakiraddausiy86662 жыл бұрын
Hata Mimi ntashangaa ukisema nishekh wako twakuona umepinda hivyoo...wanafunz wakasimu mafuta Allah amuhifadhi wote wamwnyooka maashaallah.....
@MURIDIWASHEIKHE8 ай бұрын
Mpofu ww kaa chni usome tena kwa masuf
@khamisptrany93933 жыл бұрын
mtu ambae ni wafitna huyo bado hajasoma kitu wala hana elimu yoyote
@tawfiqathman20453 жыл бұрын
Naomba nambar yako habiib
@khamisptrany93933 жыл бұрын
@@tawfiqathman2045 تفضل karibu
@مبغضالبدع-ع9ص3 жыл бұрын
Duh na wewe umesomea wapi kaka? Ingawa comment zako ni kama wewe ni guta kiasi.
@khamisptrany93933 жыл бұрын
@@مبغضالبدع-ع9ص Mimi mijitu ya fitna kama hiyi huwa ninaichukia sana, na sichiki kwa upotofu wa manhaji aw aqida zao lakini naichukia kwa fitna zao, kwani kazi yao ni kufuatilia mitelezo ya wengine na wasipo pata hujitungia
@khamisptrany93933 жыл бұрын
Alie kuwa nyuba yake mi yakiyoo hawalengi wengine mawe
@ramadhanimussa93243 жыл бұрын
Shukra mkuu
@jumanasoro89032 жыл бұрын
Bingwa wa kuwafanyie waislam wenzake kiburi, madharau, kejeli na kufuatilia aibu zao Mafuta hanaa adabu hata chembe
@omadal12 жыл бұрын
@Juma Naso kwani huo uislamu unao utaja umetufunza kukashifiana from ur comments?
@jumanasoro89032 жыл бұрын
@@omadal1 الجزاء من جنس العمل وكما تدين تدان
@saidsuleiman17533 жыл бұрын
Kumbe ndio huyu Sheikh anaetukana watu, embu wekeni picha yake tumuone
@saamiaabdallah21602 жыл бұрын
Alafu inasaidia nn ukimuona
@saidsuleiman17532 жыл бұрын
@@saamiaabdallah2160 mimi najua nini itabisaidia ntumie tu picha yake nimuone
@saamiaabdallah21602 жыл бұрын
@@saidsuleiman1753 كل تسوير حرام Picha haramu
@saidsuleiman17532 жыл бұрын
@@saamiaabdallah2160 kumbe
@saamiaabdallah21602 жыл бұрын
@@saidsuleiman1753 ndy Kaka
@salimakida959 ай бұрын
Nini faida ya kutaja ilmu yako?
@rashid3562 Жыл бұрын
Kwhyo usalafi umeanza juzi tu afu mnaona ndio dini pumbavu
@JumaMsangaziMsangazi-nq1ru Жыл бұрын
Upo sahihi uliyetoa maoni yako...Mafuta shida yake kubwa kanyimwa HIKMA,NA BUSARA...nahisi ujana bado unsumbua
@mahammoudhaji2 жыл бұрын
Hio ni ria tu
@hassanmati48613 жыл бұрын
Unaweza ukasoma sana lakin huku elimika hivi leo mnawalingania watu waingie katika kundi na mnasema kua kundi fulani ndo lilo ongoka umeona wapi mambo ayo walinganieni watu waingie kwenye dini sio kuwaita watu katika makundi
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Hassan wewe mbumbumbu kaa kimya wenzio tulivyokua wajinga tulisema kama wewe lkn baada ya kujitambua tumejua makundi yapo na haya kayasema mtume kama ujui kaa kimya. Utatukana bure kwa ujinga mwisho udhurike
@selemanimartin10813 жыл бұрын
Muongo mkubwa, acha kijicho
@abusultanzimbawy5013 жыл бұрын
Sifa zako za riyaa
@selemanimartin10813 жыл бұрын
Muongo
@masoudmasoud8138 Жыл бұрын
wee punguza kuvuta Bamgi ukubwani
@mohamedsalim9723 жыл бұрын
We Endelea kudharau Watu ndio ushehehe
@selemanimartin10813 жыл бұрын
Kamdharau nani,kumrudisha mtu mstarini ndo kumdharau?