Wallah Sheikh Salim umeongea vizuri mno na umetuwekea wazi haya Majambo..!! Hakika endelea na Da’wah.. Allah akuhifadhi Sheikh wetu
@sadambakari257927 күн бұрын
Ndio mjue sasa kuwa uwahabi nifitna katika umma Kwahiyo elimu imekuja nanyi wengine wote waliopita hawajui dini mtihani huu Allah atunusuru nakina Barahiyan tufate wema waliotangulia
@salehabri69572 жыл бұрын
Shek mafuta KAZI ya kusafisha iendelee👍sms zinafika mahala pake.
@zedon20472 жыл бұрын
Jitu Ongo kama Mafuta asafisha nini zaidi ya Kuharibu.. jielewe ewe kijana
@bwagizoselemani84342 жыл бұрын
Nikweli kasimu mafuta anaubish wa kidigo anakibri sana kila shekhe kwake hafai anamsema mpka kishki na hawezi fikia jitihada za shekhe kishki
@salehabri69572 жыл бұрын
@@bwagizoselemani8434 ujahili umekuzidi
@hafidhsalum91492 жыл бұрын
@@bwagizoselemani8434 jitihada gani amefanya kishki tuelezee kidogo
@eng.saalim86462 жыл бұрын
@@bwagizoselemani8434 hahahaha. Hebu acha kuchekesha watu
@nadirmahfoudh18122 жыл бұрын
Namuomba Allah aziunganishe nyoyo zenu kama ziiivyokuwa hapo awali.
@LumolaSteven Жыл бұрын
Hiyo haiwezekani kwasababu hiyo ni nature fitna ndio huenda hivyo. Hata huyo Mafuta atakuja kupingwa na yeye na kuendelea mpaka kiama wanafunzi wa wanafunzi wenu fitna huwa inaendelea
@salimakida953 ай бұрын
Haziwezi kwa sababu Nia zao zote ni tofauti,maslah mbele iwe mali au uongozi
@salimabdallah51768 ай бұрын
DHIKRI FIKFI SHUKRI SUBRI..
@user-hk6ls3yw9q9 ай бұрын
Allah akuhifadhi.
@user-nf6uk6kj6r Жыл бұрын
جزاك اللهُ
@AbdulkhadirMaulid3 ай бұрын
ALLAH akuhifadhi shekhe ila mioyo ilopigwa mihuri ya kiza na ALLAH haiwezi kupenya haki
@abuuirfan95232 жыл бұрын
Tumekuelewa Mwalimu wetu Allah akuhifadhi
@abdulhamidkassim70192 жыл бұрын
masha allah
@aishachande22242 жыл бұрын
Mimi natamani ifike siku mupatane Allah aliwafikishe ilo
@Abuu-bakarHamzaAlawi-re6xq11 ай бұрын
Nashauri kama nyote ni Masheikh wa Da'awa ya Kisalafy basi muondoe tofauti zenu. Macho yetu waislam yako juu yenu
@muniratalal9273 Жыл бұрын
Allah atuoneshe haqi tuifwate na baatil tuepuke
@kigu3 Жыл бұрын
Mashaallah
@HasanatKhamis3 ай бұрын
Allah atujaalie tuwe ni wenye kufuata Qur'an na Sunna. Na atujaalie waislam woote tuwe kitu kimoja kwa kufuata nyayo za mtume صلى الله عليه وسلم. Na nyie masheikh pia Allah azidi kuwapa tawfiiq ili muweze kuondoa tofauti zenu na muweze kushikamana pamoja ktk Kamba ya Allah تبارك وتعالى ili Uislam uzidi kupata nguvu na kusonga mbele.
@fadhilikizayi41822 жыл бұрын
Nguzo kuu za mahizb ni tatu 1.Uongo 2.Hadaa 3.Talbiis (Kuchanganya haki na baatil)
@costantinomnyanga80372 жыл бұрын
Umeongea ukweli hawa mahizbi ni waongo na wenye kuchanganya haki na batili
@halidilikuse97422 жыл бұрын
Una ushahidi gani kwa hilo usemaloo
@rajabumbendenga54802 жыл бұрын
@@halidilikuse9742 UONGO namba 1 kusema kwake kuwa Sheikh Muqbil Rahmahullah alikuwa na ugomvi nao answar sunna wa Sudan
Mashaa Allah sheikh ata uku 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wanatu sumbua sana
@tztanzania22622 жыл бұрын
Daaah painfull
@abdallahabeid41382 жыл бұрын
Badala ya kuunga umma, tunajisifia ukubwa wa makundi na wingi wa misikiti. Tunatukuza mifarakano baina ya waislamu, makundi 72 aliyoyatabiri Mtume ndio haya.
@abdallahjuma43972 жыл бұрын
Allah ajalie Yaishe haya nikikusikiliza ww naona kuna ukimsikiliza Abulfadhil poa naona kitu Mmekhitilafiana kwaajili ya Da awa wekeni nguvu kubwa katika kitafta Sulhu na si kuendelea kuyakuza.. Allah ni muweza wa kila kitu atalimaliza hili In Shaa Allaah watu wa Sunna wote watakuwa kitu kimoja Bi idhn Lilah
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
WALIGOMBANISHA WATU NA SASA ZAMU YAO😂. WAMEPIGWA HALBADIRI NA NAZI YA NJIA PANDA ZA SUFI😂😂😂. WANACHEZEA SUFI HAWAWAJUI. SUFI HAJIBU KWA MDOMO, ANASHITAKIA ALLAH SW TUU KWA KAFARA MOJA TU. MTUME SAW AMESEMA KUWA WAISLAMU IKIFIKA SIKU 3 HAWAJASEMESHANA BASI ATAEKUFA NI MOTONI. SASA HAWA NA MTUME WAO WA NAJDI KAZI WANAYO. mashekhe na dalili za motoni mnaziona. SASA WANAITANA MASUFI. WEE BABU BARAHIANI USHIKE ADABU YAKO MAANA MAFUTA HATUMTAMBUI KATIKA WATU WETU WA KISUFI NA UTUAMBIE KANYWA IJAZA WAPI???. WEWE MZEE HUYO MAFUTA NI MUWAHABI MWENZIO ATA UKIMKATAA NI BURE TUUU. SUFI HAKUNA WATU WAPUMBAVU KAMA HAO KWAIO USIMPE CHEO UKAMUITA SUFI, MAANA KUROPOKWA UPUUZI NDIO UPUMBAVU WENU.
@abdallahjuma43972 жыл бұрын
@@hilalkhalfan1452 muongope Allaah akisamehe ya akhy
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
@@abdallahjuma4397 HUO NDIO UKWELI. NA HIKO KIMAFUTA KAMA PICHA KAKATAA JEE SIMU KWANINI ANATUMIA NA ANATIZAMA PICHA ZA WATU WENGINE? 😂. AU KHARAMU NI PICHA YAKE TUU LAKINI YEYE KUTIZAMA PICHA ZA WENZAKE VIPI?. NA HUYU BARAHIANI KAVUNJA MAKABURI JEE NDIO ILIVYOKUWA TABIA YA MTUME SAW?. MAANA KAVUNJA KABURI LA MTU KISHA ANASINGIZIA KAVUNJA MIZIMU😂😂😂. MAWAHABI KWELI NI WEHU WAMEWEHUKA. MIZIMU IPO UKO KINYAMKERA AENDE AKAKATE MAPORI MAANA MIZIMU HUKAA MAPANGONI AU MAPORINI KWENYE MITI MKUBWA NA UKIENDA UNAO ANA LIVE NA MAJINI NA AENDE HUYO BARAHIANI KAMA CHUPI HAJAISHIKA MKONONI😂😂😂. ATI KAENDA KUVUNJA KABURI MASKINI NDIO ANAONA KAVUNJA MZIMU 🤣🤣🤣. MWEHU KUMBE HUYUU😳
@sheikhwalidalhadtv2950 Жыл бұрын
Nyota mnasumbuliwa na I walaau na ubaraau na msipozitengeneza nafsi zenu mtaendelea kupata tabu na kupingana kila kukicha
@hafidhsalum91492 жыл бұрын
Na milioni 200 pia uzitolee ufafanuzi apo
@user-mt4rw1bu2f3 ай бұрын
Sahihi Akhuy milion 200 pia azitolee maelekezo
@mrangi44542 жыл бұрын
Asalaam Aleykum sheikh hii ni Ramadan na unaposema kitu nivizuru uwe na ushahidi uoneshe
@ramaally92502 жыл бұрын
shekh qasim unamsimulia lakini kumbe anaakili kweli kweli na anaonesha kumbe anaelimu kubwaa
@shkjumaa83392 жыл бұрын
acha tahasubi katika dini
@binaamour3182 жыл бұрын
Kw kipimo kipi ulichopima
@cheapunderage822811 ай бұрын
Akili na elimu ni vitu tofauti
@osmanabuu79892 жыл бұрын
Allah akuweke sheikh Salim!!
@salumrashidabdullashmely25584 ай бұрын
Amuweke nini
@ramadhanswalehe8643 Жыл бұрын
Allah akufanyie wepes shekh barhiyan
@aboubakarynassor25082 жыл бұрын
Sheikh asalaam alaikum Nauliza eti naskia uliwahi kusoma na mzee chilo
@abdallahkambangwa72152 жыл бұрын
MashaAllah
@ShabaniYusuph-ii1ru3 ай бұрын
Yaani mizozo inayo endelea ndio napata picha kua hata uwe na elimu vipi lakini mpaka Allah akupe hekma na Busala na uwe na moyo wa kusubiri bila hivyo hata kama umesoma na ukiwa huna subira ndio ikitokea kukwazana tu kila mtu anaangalia mazwaifu ya mwenzie na kuanza kuyatangaza sijui utapata faida gani.
@abuuyusra61392 жыл бұрын
Mzee uliulizwa maswali kumi na shekh Abul faadhl Qasim mafuta حفظه الله Fanya mpango wakuyajibu mamb yakae Waz me najuwa hauto wez basi jitahid ujibu ata Moja
@Yu-jr9uf2 жыл бұрын
Acha fitna na ushabiki kwenye dini!! Sasa kama tayar unajua hawez kuyajibu unakejeli ajibu nini sasa
@hamisrajab53402 жыл бұрын
Uisilam nikuweka bayana Sasa kwanini asijibu kwahiyo unatetea ujinga
@abuuyusra61392 жыл бұрын
Inamuwajibikia kutaraajai ktk Yale alio kosea jambo alijaisha Kwa kunyamaza kwake umetumia mzani gan mpaka ukaniona mshabik ktk dini lazima abainish ili mamb yakae saw
@emanuelkimalo49662 жыл бұрын
@@Yu-jr9uf wewe ndiiyo unafitina nakingine aseme Ml 200 alitapeli saudia iko wapi
@zedon20472 жыл бұрын
Tutoleee Upuuzi hapa.. mambo yakielimu hatutaki Ujinga
@hamadselfabdalla83442 жыл бұрын
Kundi la masalafi au kama mnavyojivuwa gamba mawahabi maanswari masalafi . mpasuko kwenu kitaifa na kimataifa ni tarajio .. Mnatumikia ajenda za kuwafitisha na kuwaf waislamu kwa kujuwa . HAKIKA ALLAH HAWAONGOZI WATU MADHALIM.
@eddieeddie27552 жыл бұрын
Maulidi kwisha alhamdulillah, uzushi ndani ya dini.
@Kijokatv2 жыл бұрын
Changamoto hamtuungi ktk magroup ya sunna nandio mana tuna wa sikiliza sana kina mafuta tuungeni ili tupate hizi darasa
@mussamsuya85952 жыл бұрын
Wew kweli bado kumbe
@CalvinVenance3 ай бұрын
Tatizo mane muogope mungu
@darajanida2 ай бұрын
mtajuwana nyote nimawahab
@mohammedmussa73782 жыл бұрын
tatizo la watu wa zama hizi zetu kutoheshimiana , kuto fata maneno ya allah subhana wataala na mtume wake swalah allahu alayhiwasalam , kuona elimu za wenzao silolote wala sichochote wao na hii inaleta raka baina ya waislam na tumekatazwa kufarakana
@saadahmed74592 жыл бұрын
Uyu mzee amejaa Hadaa,Talbis na urongoo
@muhammadhassanmsaky3752 жыл бұрын
Muulize milioni 200 hikowap?
@jumanasoro89032 жыл бұрын
Kaa kimya wewe
@shaban66442 жыл бұрын
16:25 point to note
@mrangi44542 жыл бұрын
Kama kweli ni wailamu wazuri sio kukashifiana munge kaa chini mumalize tafauti zenu
@ummahmed335411 ай бұрын
kweli kabisa
@khalfansharji-ez7pg Жыл бұрын
Miwahabi itamalizana oh oh oh kumbe Hela!!! Dini pembeni Hela Hela mshajulikana!!!
@selemanijafari92259 ай бұрын
Mimi toka nijue picha haramu sipingi na sijazurka chochot
@hamzayusuf29992 жыл бұрын
nikweli mowlidi ni dini mungu amesema nyenye mawahabi ni makafiri
@mahmoudmohamed-vt8wg2 жыл бұрын
kheeee we vp tena asee
@allyjaffar70726 ай бұрын
Narudia tena hizi ni POROJO...jizee hili Allaah alirehemu
@user-mi3cs9lc6y6 ай бұрын
Mimi no mtu was madufu ila hukutakiwa kusema jizee.
@allyjaffar70726 ай бұрын
@@user-mi3cs9lc6y Bali nilitakiw kusem vipi kinyume na jizee
Salafy sio wabaya mm huwapenda zaidi pale wanapoingia peponi kabla ya kufa,na dini ni ya kwao tu ukienda kinyume na mitazamo yao ww ni kafiri sema bado kuvaa msalaba tu,Allah anatutazama tunavyoyakoroga halafu atupe tathmini ya matendo yetu,turudi ktk njia sahihi nayo ni kuheshimiana na kufuata muongozo sahihi wa qur an na sunna
@jabirmwalimu21042 жыл бұрын
mjinga
@bilalhamisisalim1469 Жыл бұрын
دع الكذب!
@nassorsaleh2127 Жыл бұрын
ufaham wako mdogo kwenye dini
@majidiabdi4243 ай бұрын
Eti sio WABAYA Wakati Kila asie jiita SALAFI wanamuiita ( HIZIBI ) au kuitana Majina MABAYA si katika UBAYA ? Usiwatakase Wanachama CHA kisalafi - wanawatusi sana Wasio kua wao Na Wana wadharau vile vile - Wakati Allah Mwenye Dini yake hakututaka Tue MASALAFI wala MTUME wake Hakuutangaza USALAFI - Na Hakuna Mlango kati ya Milango ( 8 ) ya JANNAH wa MASAFI.
@majidiabdi4243 ай бұрын
@@nassorsaleh2127Mtume WETU ( S.A.W ) alitukataza DHARAU - lakini kwakua Mwatangaza USALAFI Badala ya UISILAMU madhambi kibao ya KUWATUSI WAISILAAM na KUA DHARAU - wakati Hakuna Mlango kati ya Milango ( 8 ) ya JANNAH kua Mlango huu Ni wa kila Alie jiita SALAFI
@user-vg3bf5vi1y2 жыл бұрын
As-lam a'aleykum 👋 Shekhe tafadhari chuo kipo wapi naitaji kusoma Dini pia 🙏
@osmanabuu79892 жыл бұрын
Njoo Tanga Ansaar Muslim Youth centre. Tuta kupeleka Mahad Al Imamu Shafiy!!
@user-vg3bf5vi1y2 жыл бұрын
@@osmanabuu7989 Shukran mie Niko tabora hapa wilaya ya nzega
@abdujalilukilahama12092 жыл бұрын
@@osmanabuu7989 Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh vp Hali shekh Osman
@Abuuabdillah2592 жыл бұрын
Nenda pongwe
@user-vg3bf5vi1y2 жыл бұрын
@@Abuuabdillah259 as-lam a'aleykum 👋 Shekhe nivuzur ninge pata ma wasiliano kwani mie katika mji huwo Ni mgeni kabisa 🙏
@MohamedMgwami-nw6bl9 ай бұрын
Mawahabi ni sumu mbaya kwa waislamu,sasa ndio kila mmoja wetu awatambue hawa watu,watu hawa hawana kheir nasi,
@rashidwesonga747511 ай бұрын
Hao mafuta wanaleta fitna msikitini lakini hawatafaulu kwa uwezo wa Allah
@mkanash31442 жыл бұрын
Binafsi bado sijaridhika na hatua yenu ya kunyoosheana vidole wenyewe kwa wenyewe
@salumjabir8132 жыл бұрын
Raha jamani....mnovokurofshana wenyewe kwa wenyewe...RAHA MNO.
@mohamedhamismagoraonlinetv459 Жыл бұрын
Raha sana Wallahi Mawahhabi wanavyotofautiana.
@khadijabakari461 Жыл бұрын
Eti shekhe chombo ulichoweka nyama yangulue unakitwahalishaje?
@karamaabeid96972 жыл бұрын
Mmmh hebu tusubiri ramadhani ipite tutajua ni ya kweli hayo uliozungumza maana kwa uongo pia hujambo
@wazirihamisi64842 жыл бұрын
Allah amuongoze huyu mzee ktk haki kwasababu ni muongo sana tena sana wallahi yani ana chuki sana na sheikh QAASIM
@zedon20472 жыл бұрын
Wewe hutaki kuongozwa??! Au ushaongoka wewe.. Hakika ujadida ni Maradhi
@ameerzulfiquar21112 жыл бұрын
@@zedon2047 na mbona mnatoa ilm kwa masalafi? Sheikh fawzan? Sheikh al albani rahimullah? Na sheikh wengi wengi tu,nyinyi ma ikhwani mnatabu sana, faham muhim sana omba dua sana kupata ilm ya manufa
@skozamsai26542 жыл бұрын
Ni kwa sababu wewe ni mfuasi wa sheikh kassim ndio maana umesema haya. Kuwa mfuasi wa Allah , acha kuwa mfuasi wa shekhe. Kitakachokutetea siku ya kiama na kaburini ni qur an na mtume muhammad tu na sio shekhe. Amka ndg qur an inatosha acha kutafuta kingine wakati qur an hujaimaliza kuisoma na kuilewa
@wazirihamisi64842 жыл бұрын
@@skozamsai2654 UKITAKA KUJUA KUA ANACHUKI NAE SIKILIZA MANENO YAKE ANA UHAKIKA GANI GANI KAMA SHEIKH QAASIM ALIKUA AKIWATUPIA MAWE KAMA SIO CHUKI
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
Huyu kassim mafuta kila sheikh anagombana naye.Allah anamtosha
@halidilikuse97422 жыл бұрын
Sio kweli wew ni muongoo
@emanuelkimalo49662 жыл бұрын
Hivyo kama si mdogo wakuwaza watu wakikufuru wote nawe utawafuata kuwaridhisha au utafuata watu Acha ujinga wakuwaza
@lovepipy48112 жыл бұрын
Kaa usome kiazi wewe Huna unalojua...
@attyambaraka37562 жыл бұрын
Barahiyani jibu maswali uliyoulizwa.... Milioni 200 umezipeleka wapi
@zedon20472 жыл бұрын
Tutolee Mipasho hapa
@abuunuumaan65902 жыл бұрын
Wacha Elimu iongoze, Sheykh Qaasim aliyemwinua ni Allaah sivinginevyo. Pana Elimu kubwa pale Pongwe. Tuitafute Elimu ndugu zangu, tuache kupoteza mda na uchochezi. Watu wanastafidi wanapanuka kifikra kila kukicha, Wallaah anaewasema vibaya masheykh wa Pongwe Bado Allaah hajamuinua au hawafaham wala hajawadiriki anasikia sikia tu. Pale ni Dammaj ya Tanzania, Wallaah, Elimu kubwa ipo pale. Namuomba Allaah atuoneshe Haqq.
@abuuqatada97912 жыл бұрын
Chanzo hasa ni baada ya wew kuihalifu Haki tena uctafute chochoro
@zedon20472 жыл бұрын
Wewe waongea hivyo kama nani???
@zedon20472 жыл бұрын
Na ni Haki gani hiyo ambayo imekhalifiwa ambayo mwanzo ilikua inafuatwa??
@abuuqatada97912 жыл бұрын
@@zedon2047 na wew umeniuliza ni Kam nan
@zedon20472 жыл бұрын
@@abuuqatada9791 Lazma uulizwe kwasababu umeingilia mambo ambayo hayakuhusu..! Hapo pameongelewa chanzo cha Ugomgi baina ya Mafuta na Sheikh Barahiyan.. sasa wewe waongea hivyo kama nani!!? Wewe wahusika vipi kwenye Ugomvi huo??
@abuuqatada97912 жыл бұрын
@@zedon2047 mhmmm yanayomuhusu ni Nani ikiwa humu yalimoekwa ni public media ?
@mohammedmussa73782 жыл бұрын
hapo sawa imeeleza vizuri juu ya swala la answari kua si madh-heb
@abuuammar49242 жыл бұрын
Kumbe aliijua sunnah akiwa kisauni mombasa,mbna unatwambie aliijua sunnah kupitia nyinyi?...alaf najua shekh Qaasim alitoka pongwe na akaenda tamta makao makuu kusoma wala hakuungana na nyinyi ila baada ya kutoka mombasa ambapo huko ndo aliifaham sunnah
@mussaissa67962 жыл бұрын
UWAHABI NI DINI MPYA BILA SHAKA NA MTUME WAO NI HUYO HUYO MUHAMMAD ABDUL WAHABI WALA HAWANA TOFAUTI NA WAKIRISTO KUJIFANYA NI WAFUASI WA NABII ISSA
@Kijokatv2 жыл бұрын
Wewe ni Mbwa Achakufuru
@wazirihamisi64842 жыл бұрын
Ujinga ni mzigo
@saidimusa96602 жыл бұрын
Mche Allah
@hajjiramso19374 ай бұрын
Shekh wang wa mahad
@saulomsangi52372 жыл бұрын
assalamualaikum ningeomba muwaweke meza moja alafu muweke mada au hilo swali mbele yao
@mohdaliothman1742 жыл бұрын
Ni sahihi, ila kuna maelezo kutoka kwa sheikh Kassim kuwa alitaka mjadala na huyu mzee kuhusu tuhuma hizi lkn sheikh SALIM alikataa, cjui kuna nn hapa Ni vzr wawakutanishe meza moja tujue ukweli
@alihamisi16312 жыл бұрын
Itakua nzuri sana
@wazirihamisi64842 жыл бұрын
Huyu muongo ndio maana ataki
@abuunuumaan65902 жыл бұрын
Wacha Elimu iongoze, Sheykh Qaasim aliyemwinua ni Allaah sivinginevyo. Pana Elimu kubwa pale Pongwe. Tuitafute Elimu ndugu zangu, tuache kupoteza mda na uchochezi. Watu wanastafidi wanapanuka kifikra kila kukicha, Wallaah anaewasema vibaya masheykh wa Pongwe Bado Allaah hajamuinua au hawafaham wala hajawadiriki anasikia sikia tu. Pale ni Dammaj ya Tanzania, Wallaah, Elimu kubwa ipo pale. Namuomba Allaah atuoneshe Haqq.
@mohamedabdul20454 ай бұрын
Muulize million 200 za msikiti wa moshi zipo wapi na alimpa nani?Maana anadai alimpa abuu Na,anadai aliweka bank.Malaka ya barahiyan
@abuuthauran99332 жыл бұрын
Hujavunja kitu babu, dawa ya salafy inachanja mbuga, mahzibi nyinyi kazi yenu ni maslahi 2. Mbona huyasemi hayo babu.
@zedon20472 жыл бұрын
Hatutaki Mipasho hapa..
@stn48732 жыл бұрын
Mzee Nimekuelewa.
@user-wy7om5ln7l10 ай бұрын
kumbe khitilafu unakiri kua zipo hata kwa wanazuoni inakuwaje muwatukane maibadhi nakuwaita makafiri kwa kukhitilifiana tu hamuoni kua munakosea?
@shamsuddin45824 ай бұрын
Khilafu zipi sasa ndugu
@user-wy7om5ln7l10 ай бұрын
kwaiyo kabla ya ww barahiyan kuanza daawaa hapa tz uislam ulikua haupo?
@swaleheurassa45353 ай бұрын
Kwanini mlitaka Riba? Kama kweli mnamuogopa Allah..
Toka na Upuuzi wako hapa.. Hatutaki Porojo wala Mipasho hapa.. hizi ni sehemu za kielimu
@auroxenterprises80034 ай бұрын
Milioni 200 mulize shekhe wako upo wapi
@hutiswalehe2444 Жыл бұрын
Mawahabi mawahabi mawahabi mnataka nn ktk huu umma wa kiislamu...rudini ktk usufi muone namna uislam ulivyo mzuri....sio kufaraqana na kuugawa umma wa kiislam
@sahirmwanyuki7091 Жыл бұрын
Sheikh muongo mie Kassim nimesoma nae na nimekuwa nae mtaa mmoja Kassim katika ukuwaji wake akuwa mtu wa kuweza kufanya hayo anayozungumza amtafute sababu nyingine
@pavillioncry52418 ай бұрын
We mjinga sana kwani yy nani Toka apa h Jahil mjinga ww
@Kombo29896 ай бұрын
ukitaka kujua kuwa Mafuta ni shida kwanza hapendi kuksolewa wala kushauriwa. tafuta post za mafuta hasa anazokashif wezake kama coment zinaruhusiwa. sasa kama mafuta ni mkweli si aache watu wacomet
@massoudhaji89634 ай бұрын
Tushakufahamu
@auroxenterprises80034 ай бұрын
Wale mbodigadi aiyo weka unna mtuju mafuta wewe Kwa kiburi
@yahayasalum29432 жыл бұрын
othman sheikh wa visa tuuuu
@mohamedhamismagoraonlinetv459 Жыл бұрын
Kwahiyo kauli ya M'Mungu kuwa visa vina mazingatio uniapinga. una akili kuliko Mungu sasa eeeh? umekuwa eeh?
@muuhjunior3139 Жыл бұрын
Nimefatilia huu mgogoro kwa mda mlefu hapa sasa naanza kupata mwanga
@salehaljadidi82064 ай бұрын
Mwambie huyu Biriyani arudi kwao Yemen aache kuishi Tanzania kuchonganisha watu na kuiba pesa za mawahabi wa Saudia
@jumasakatai51152 жыл бұрын
Asalam alyekum shekh salim bariyan bado swali ulyoulizwa ninzuri ugovi wako na shek kasim mafuta ni dini au nimasilahi.kwasababu unatoa maelezo tu au tatizo ni picha ndio ugovi bado hujajibu swali.ugovi wako na kasim nini jibu
Hichi kimafuta tumbo tu lamsumbua na kutaka umaarufu kwa kumchafua mwenzie na kumvunjia heshima na wala hakuna kingine
@mussamsuya85952 жыл бұрын
Kalale
@jumanasoro89032 жыл бұрын
Peleka uchizi wako, nyinyi ndio wale masalafi wavuta bangi wenye kuwatusi watu
@BIGBOSS-hl3bu2 жыл бұрын
Kuna WATU ukiwajibu ,ktk Maisha na kuruhusu malumbano nao unashusha utu na heshima yako shekh,na huyo NI MTU anapenda kupewa cheo na uongozi,achana nae shekh atakupotezea muda .
@wazirihamisi64842 жыл бұрын
Kwanza uko mbali na dini angalia picha uliyo weka ktk profile yako ni dalili kua huna ufahamu ktk dini yako
@bigbossmanbossman69462 жыл бұрын
Sheikh mimi binafsi naona maulid nimazuri hatakama ni uzushi
@abuunuumaan65902 жыл бұрын
Hahaaa, Allaah atuongoze.
@abuuabdillahsalafimhapa38392 жыл бұрын
twaijuwa da´awatussalafiyyah haya maneno yako yana kanganya
@jumaajunior79144 ай бұрын
Tatizo matumbo masheghe
@abdulkarimabdallah9536 Жыл бұрын
Hakuna picha yahalali zote niharam hakuna kitu kama hicho
@salumrashidabdullashmely25584 ай бұрын
Mnagombea 200m zilizotoka kwa mayahudi.
@mwambashiiddi92956 ай бұрын
Mgogoro haukuanza kuhusu picha Chanzo ni ibn siinaa Na ww wasema imesemekana katubu na hakuna ubainifu kuhusu hilo . Ibn siina ni shiyaa qurmutwiiy. Halaf jambo lingine ww wawatukana baadhi ya wanawachuoni Halaf wawakumbatia mashekh waliopinda mpka sasaaa . Mambo yapicha sio chanzo cha mgogoroo
@mbaarakmuhammad671 Жыл бұрын
Nyie nyote vichwa hamna kila mtu million 200 ziko wap suala la din mbele maslahi baadae
@salehaljadidi82064 ай бұрын
Ugomvi wao ni kugombana mabasha kuwafira. Wote wawili Wasenge
@saidibahai37563 ай бұрын
Mche mola wako mbona maneno hayana afyaa jitaidi kuhifadhi ulimi na heshima za wenzio
eti hali wote ni answar sunna makhurafi kwao kila mtu ni answar sunna
@aminaosman33158 ай бұрын
,lambda mwalimu wakufundisha.zulma hiyo ndio fani yake
@slimshariff1096 Жыл бұрын
Mafuta NA baraiyan hakuna zaidi ya ugomvi wenu zaidi ya maslah . mines has a mbar atoms NA bado
@alkharoussalim5393 ай бұрын
😂😂Nyote Mnangombania Mali Na Ulwa
@SameerMdumbemalongo Жыл бұрын
Hizbi barahiani na mazezeta...yake...jibu hojaaa ewe hizbi
@saidjoka12822 жыл бұрын
ULITUKANA MASHEKH HUNA ADABU SASA NA WEWE WACHA UTUKANWE WEWE MUHUNI TU
@ashasaleh27192 жыл бұрын
Kwanin redio unguja haipati kani
@nassirmohd2851 Жыл бұрын
Afsaddtum wallaaahi na hilo liko waz hilo
@mzeerajab91542 жыл бұрын
Hawa masheikh wanoitwa "wabidaa" hawafanyi sunna katika ibada zao na sunna wanazikataa?Naona majina mabaya tu wanayopewa waislamu ili kuendeleza mgawano,kama huyu sheikh alivyitwa wa bidaa,hizbi,ni hivyohivyo kwa mashaikh wengine.Maadui wa uislamu wanachekelea.Ndio nguvu yao inapokua.
@rashidihemed54872 жыл бұрын
Tufahamishe ni Sunna gani hatuifanyi mbona hujui hata kujieleza
@@mzeerajab9154 sema ulichokusudia ili tueleweshane
@user-zz9bj1wh5i2 ай бұрын
Uhongo
@khamissalum9285 Жыл бұрын
Hawa wamekuja kutugawa kwelikweli
@mrtezura97532 жыл бұрын
Kasima alitaka umaarufu na fedha na kashazipata ndomana kasim hmumsikii
@ramahamisi72822 жыл бұрын
Maneno mazuri shekh.ila kuna tatizo lenu wote.Unaitakidi nn juu ya sheikh muqbil ..sheikh muhammad Amanil jaamy .Sheikh Rabii .hawa ni wanachuoni wa bidaa je wamianzisha hio jadidah ..na hivyo ndivyo wanavyawafahamu wanachuoni wakubwa ? Waliishi hawa zama za Sh ibn baaz sh ibn uthymeen ..sh.Albaany ..waliwazingatia ni kina nani?
@abuuammar49242 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@samirhumud74082 жыл бұрын
Wewe sheikh soma sherikh ya arubauna nnawaw ya sheikh Uthaimin hadith ya 28
@sulaymaanayoub86562 жыл бұрын
@@samirhumud7408 KWENYE SHARHU UNAYO ITAJA HAINA UHUSIANO NA JAMBO LILO ULIZWA