Рет қаралды 7,143
KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA JUMAPILI (IBADA YA KWANZA)
16/ 06/ 2024
UJUMBE WA LEO;
SIKU YA KKKT UMOJA WETU NGUVU YETU
Nehemia 2 : 18 - 20
18 Nikawaeleza habari ya mkono wa Mungu wangu ulivyokuwa mwema juu yangu; pia na maneno ya mfalme aliyoniambia. Nao wakasema, Haya! Na tuondoke tukajenge. Basi wakaitia mikono yao nguvu kwa kazi hiyo njema.
19 Lakini waliposikia Sanbalati, Mhoroni, na Tobia, mtumishi wake, Mwamoni, na Geshemu, Mwarabu, walitucheka, wakatudharau, wakasema, Ni nini neno hili mnalofanya? Je! Mtaasi ninyi juu ya mfalme?
20 Ndipo nikawajibu, i053