Amen 🙏, Mungu tunakuomba ukaondoe jiwe la magonjwa yote yanayomsumbua mtumishi wako Mathias Isaac Makoi asubuhi ya Leo pale hospital alipolizwa kwa damu ya Yesu
@winfridawiliiam15013 жыл бұрын
Yule Mungu aliyeliondoa jiwe kaburi akariondoe jiwe kwenye maisha yangu kwenye biashara yangu jiwe langu liondolewe
@furahafuraha9760 Жыл бұрын
Mbarikiwe mtumishi mungu akuzidishie
@ntijeellynkolante69935 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wangu umekuwa baraka sana ktk masomo yako maana una mifano ya uhalisia na pia shuhuda zako zinatia moyo sana mungu akubariki sana.
@soberkaleya51482 жыл бұрын
Waefeso 6: 17 Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu; *TAMKA NENO LA MUNGU SIKUZOTE, NA USALI KWAMBA WATU WA MUNGU WAIMARISHWE NA KUTIWA MOYO WA KUENDELEA DAIMA KUSHIKA HATAMU KATIKA NAFASI ZAO KAMA MAWAKALA WA MABADILIKO ULIMWENGUNI!!!*
Mungu azidi kukuinua mtumishi, ninamtukuza Mungu ndani yangu ninaamini mafundisho yatanitoa hatua moja kwenda nyingine
@maithaonesmus7943 жыл бұрын
Mungu akuzidishie baraka na neema mtumishi kimaro
@gracefihavango21626 жыл бұрын
distance is not a hindrance,here via u tube i feel like in the church.......in Jesus name amen
@ndossytumaini856 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe sana, hizo shuhuda zimenitia moyo sana kutokana na kipindi ninachopitia lakini ninaamini Bwana ataliondoa jiwe ,Bwana Yesu apewe.sifa milele na milele anastahili
@marykitaponda59872 жыл бұрын
Amen amen. Mungu akanipe nguvu ya uelekeo wa kuondoa mawe ktk maisha yangu
@sibilinamboki68063 жыл бұрын
Yes! God will provide for himself. Thanks much Father. Your teachings and testimonies are so powerful. May God raise you every day from glory to glory. Stay blessed
@soberkaleya51482 жыл бұрын
Mathayo 9: 37 Ndipo alipowaambia wanafunzi wake, Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache. *MAVUNO NI NAFSI ZA WATU KATIKA ULIMWENGU WA WENYE DHAMBI. INATUBIDI TUCHUKUE HATUA KUZIFIKIA!!!*
@veronicasadi38535 жыл бұрын
Aminaaaaa, Aminaaaaa,ubarikiwe na BWANA mtumishi,kwa somo zuri,Yupo Wa kuliondoa jiwe.
@lilianjeremia48435 жыл бұрын
Ameen nabarikiwa sana
@wilfredmaimu43913 жыл бұрын
Amina mtumishi nibarikiwa sana mungu akutunze maisha yako yote nabaraka zisipungue milele kwako
@sophnessmasawe65753 жыл бұрын
Mimi ni jeshi linalosonga mbele ktk jina la Yesu
@johnbeda76206 жыл бұрын
WOW YES NASONGAMBELELE GOD PROVIDER
@janemulongo58339 ай бұрын
Ameeeen
@leahmtalai61802 жыл бұрын
Amina
@kennethmariki34573 жыл бұрын
Im in Arusha .God will provide Himself.
@magrethkavishe8633 Жыл бұрын
Amen
@haikamakando57316 жыл бұрын
Amen God you will provide himself,
@ezequelascrite14734 жыл бұрын
Amina barikiwa na bwana mtumishi wa Mungu
@joycewakesho17664 жыл бұрын
Amen God provide for me tonight
@apostle-nkya79802 жыл бұрын
Glory to Jesus.....
@emanuelmjenda87516 жыл бұрын
Nabarikiwa sana kwa neno, kupitia youtube
@lilliansimiyu63286 жыл бұрын
Yes, there's devine providence to them tht believe, confess n posses, hallelujah 🙌truely we serve Jehovah Jireh