ENG. HERSI AFUNGUKA MAZITO "KUHUSU SAKATA LA MAYELE NA YANGA"

  Рет қаралды 86,902

bongotzfm

bongotzfm

Ай бұрын

CATCH US BONGO FM 📻
90.0 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 89.7 DODOMA 📻 | 89.9 ARUSHA 📻 | 104.9 MBEYA 📻 | 90.0 MWANZA 📻 | SHINYANGA 89.9 📻 | KIGOMA 89.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: bongo_fmtz
TWITTER: https: BONGO FM
FACEBOOK: BONGO FM
#rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #micheZo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumonukuu
#kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbatv #diamond #yangasc #wcb #singidafountaingate #kondegang #wcb #yangatv #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbasc #live #simbatv #diamond #diamond #yangatv #yangasc #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #simbatv #diamond #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang
Transcript

Пікірлер: 90
@rogersiddy
@rogersiddy Ай бұрын
Dah nimeangalia kwa utulivu sana kifupi maswali hayajaboa majibu yameeleweka kwa mapana kbs pongezi Eng.Hersi pongezi kwa watangazaji🥰🤝👍👏👏
@hassanmasanja8720
@hassanmasanja8720 Ай бұрын
exactly
@bernadethaabudho6587
@bernadethaabudho6587 Ай бұрын
Pongezi Sana Eng Herse Kwa Busara Na Uongozi Wako Ukiotukuka.Kila Jema Tunakuombea .Mungu Akulinde Ktk Kuiongoza Timu Yetu Yanga.Ubarikiwe Sana kwa Busara zako.Mfano Wa Kuigwa.Tunakupenda💛💚 🙏 Utafika Mbali Inshallah.
@saidilindukwa
@saidilindukwa Ай бұрын
Ana hekma,busara,uelewa wa mambo,akili na ana vision,I real love this guy,he is the best among the best,may Allah guide,guide n protect you bro,in shaa allah
@ZulekhaBaksh-ii4fk
@ZulekhaBaksh-ii4fk Ай бұрын
Hongera saana Hersi kwa kazi nzuuri unayotufanyia 💚💛💚💛
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 Ай бұрын
Uko vizuri Eng. H. Utulivu,ubunifu,ushirikishaji, hekima,busara na kujiamini lakini kubwa kuliko ni ucha Mungu wako vitaendelea kukuweka wewe na timu yako viziri zaidi. Mungu akuwekee mikono yake ili Yanga na wewe na uongozi na wafadhili wetu mpate mwanga wa mafanikio. Amina.
@hawamasanje9589
@hawamasanje9589 Ай бұрын
Hongera sana Rais wetu big up unafaa sana Mungu azidi kukuweka uwe na maisha marefu
@mariaerenest5632
@mariaerenest5632 Ай бұрын
Tunakupenda Sana rais wetu
@CasperKomba
@CasperKomba Ай бұрын
"What a presidar🎉🎉❤" daima mbele nyuma mwiko
@selestinijoseph1949
@selestinijoseph1949 Ай бұрын
Huyu mwanahabari nimemkubari sana, ana maswari mazuri sana na sahihi. Pia Engineer Hersi Saidi nae ni hakiri iliyojitosherezea mnooo kuhusu mpira wa miguu
@stevenmvungi133
@stevenmvungi133 25 күн бұрын
Eng. Hers unastahili hta kuwa raisi wa CUF. Una upeo mkubwa sana na unajua ethics na principal za mpira wa miguu. Big up
@HafidhMtulya
@HafidhMtulya Ай бұрын
❤ raisi wa yanga daima mbele nyuma mwiko..... wananchiiii
@kidawajuma9597
@kidawajuma9597 19 күн бұрын
All the best my rais wetu ❤❤❤❤❤
@ElizabethNavuri
@ElizabethNavuri Ай бұрын
Hongera Sana unastahili kuwa hiyo nafasi hatujakosea kukuchagua Mungu azidi kukupa hekima zaidi ya uongozi
@hajrasaid1924
@hajrasaid1924 Ай бұрын
Kila la kheri injiania hers mungu akujaalie kila la kheri na akufanyie wepesi kwa kila hatua unayopiga
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 Ай бұрын
Kaka mungu akubariki umefanya makubwa sana kwa kizazi hiki inshallhh
@StephanoKaijage
@StephanoKaijage 16 күн бұрын
Ongera sana Eng.maerezo yako mazuri
@user-tb5gp4wi4e
@user-tb5gp4wi4e Ай бұрын
Tunakupenda sanaaaaa mungu akuzidishie maisha marefu
@issakazi2758
@issakazi2758 Ай бұрын
Young African ipo vizuri!!
@JastinAlphonce
@JastinAlphonce Ай бұрын
Young Africans now is driven technically and compitable👍👍👍
@joojombi2341
@joojombi2341 Ай бұрын
Manshallah upo vizuri Airen
@augustinolaurent
@augustinolaurent Ай бұрын
All the best Engineer
@beatricemlay4801
@beatricemlay4801 Ай бұрын
Mungu akuweke uishi miaka mingi Rais wetu
@MuhungaMasengo-og3vk
@MuhungaMasengo-og3vk Ай бұрын
Dada yangu irini kiyango mubarikiwe Sana
@FredyDanford
@FredyDanford Ай бұрын
Your the best president in young Africans just be strong
@ibrahimabdullah1887
@ibrahimabdullah1887 Ай бұрын
Mm simba lakini nakubali hersi said❤
@msaphirimagallah5781
@msaphirimagallah5781 Ай бұрын
Huwa nasikia raha sana kukusikiliza Eng. Unaakili sana Engineer
@Ba63828
@Ba63828 Ай бұрын
Our youthful President leading our heroic players
@AbdulChakar
@AbdulChakar Ай бұрын
Big up Eng
@merinachalinze-rn2cc
@merinachalinze-rn2cc Ай бұрын
Mungu akulinde
@LusanaTimotheo-mf1nn
@LusanaTimotheo-mf1nn Ай бұрын
Tunakupendaijinia heris
@georgesena6690
@georgesena6690 Ай бұрын
Acha mungu aitwe mungu bhana huyu jamaa anaupeo wajuu sana kwenye club yetu
@kelvinimunishi3334
@kelvinimunishi3334 Ай бұрын
President🔥🔥🔥
@user-fp5xn6iv1m
@user-fp5xn6iv1m Ай бұрын
Hawa wanahabar wanajua Sana angalia jinc wanavyouliza maswali
@elishakigahe9621
@elishakigahe9621 Ай бұрын
Big Mind president
@bilalseleman5867
@bilalseleman5867 Ай бұрын
Upo very smart engineer
@Haji-hi7lw
@Haji-hi7lw Ай бұрын
Uko sahihi kabisa huyu ni kiongozi kweli kweli
@noelsimonmushi
@noelsimonmushi Ай бұрын
Respect engineer
@FrolahRimo-cm3tu
@FrolahRimo-cm3tu Ай бұрын
Habari nzuri mchambuzi wengine wamchongo
@lameckkomba4827
@lameckkomba4827 Ай бұрын
Rais 💚
@GeradinaJohn-xh8pw
@GeradinaJohn-xh8pw Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@mawazochaula3642
@mawazochaula3642 Ай бұрын
Mimi mwana Simba lkn kati ya Watu watatu ninao wakubali pale Yanga Eng Hersi no one.
@IsdoryMigodela-ys5hw
@IsdoryMigodela-ys5hw Ай бұрын
Asante
@deomusyebi9930
@deomusyebi9930 Ай бұрын
Presidwaa kama huyu anatumia akili hasa za shule yake na ki ukweli huyu jamaa ameenda shule na shuleni alikuwa anaitendea haki kwa jinsi anavyoiongoza timu lazima ujue yupo vizuri sana. Hongera sana eng. Utaendelea kuwa raisi wetu mpaka useme basi.
@SteraZidadu
@SteraZidadu Ай бұрын
Hongela
@OmarSeafood
@OmarSeafood Ай бұрын
Oyo izi koti walizotupia watangazaji pamoja na bos nimezielewa sana nipeni contact chinbo lipo wapi
@marianamontoedi1318
@marianamontoedi1318 Ай бұрын
Why not next year kombe linakuja Yangaaaaaaaaa TZ
@GastorCleophasmkwamira
@GastorCleophasmkwamira Ай бұрын
Huna dhambi Rais wetu Coz kila ambacho kiongoz mkubw kama wewe anapaswa kua nacho Wew unacho Kila ambacho kiongoz anapaswa anapaswa kufanya kwa watu wake Wew umefanya zaid Na kubwa zaid unaongozw na Hekima Busara maarifa na kila ambacho tunatamani kuona kikifanyika Yanga um3kua ukitembea kwenye Akili zetu pia Umemaliza kila kitu🙏🙏 we Ishi tu miaka yoote na Huna dhambi🙏🙏🙏💪🫶💛💚💚
@user-bk4ug8tj3n
@user-bk4ug8tj3n Ай бұрын
Mungu akutunze Kila iitwayo Leo. Rais wa watu huyu apewe mauwa yake
@hassanmasanja8720
@hassanmasanja8720 Ай бұрын
my guy,my schoolmate ...hili nililiona tukiwa shule na nilimuambia atakuwa kiongozi siku moja...hakuwa na papara shuleni very patient kwenye kila jambo...
@e.g.mmedia
@e.g.mmedia Ай бұрын
Kweliii?
@MaryOoko
@MaryOoko Ай бұрын
Mungu akupe maishamarefu sana injinia ndaniyauwongozi wako ndaniya yanga ❤❤
@OmarSeafood
@OmarSeafood Ай бұрын
Oyo izo koti walizotupia watangazaji pamoja na bos kazi nimezielewa sana kama kuna yoyote anafahamu nipe contact
@KitangariGenerations
@KitangariGenerations Ай бұрын
Unyama saana
@daudkondo4069
@daudkondo4069 Ай бұрын
Huyu mwamba mtu wa mpira sana, wa tz woote tunamkubali hata kama si Yanga, labda uwe mchawi
@marrymwinuka3105
@marrymwinuka3105 Ай бұрын
Hii ndio faida ya shule kweli . Hapa angekuwa mayele ni majungu tu uuu sbb Mayele Ana shule jna busara jna shukrani kbs hlf sijui kesho Yake.ongera rais wa Yanga Una busara snaaaa
@nyembomajid1262
@nyembomajid1262 Ай бұрын
inaotumika hapo ni akili aliozaliwa nae Toka tumboni
@user-cv4jb1bm6i
@user-cv4jb1bm6i Ай бұрын
Mtu wa maana kabisa huyuu
@shedrackwilliamsilayo
@shedrackwilliamsilayo Ай бұрын
Wa mana Sanaaa
@bryanzeconfesor5476
@bryanzeconfesor5476 Ай бұрын
Maana ya kiongozi
@cax1338
@cax1338 Ай бұрын
Akili kubwa 🧠
@alexsulle9683
@alexsulle9683 Ай бұрын
Sidhani kama nimekosea kusema nchi yetu inataka viongozi kama huyu jamaa
@noahmgovano7657
@noahmgovano7657 Ай бұрын
Nguvu moja inafika kwako kaka
@hamisially-sy5fm
@hamisially-sy5fm Ай бұрын
👍👍👍👍👍👍
@douglasmwakamoja4133
@douglasmwakamoja4133 Ай бұрын
aisee rais wa CAF ajaye
@happymalidadi8151
@happymalidadi8151 Ай бұрын
Kwa sasa Yang's IPO mikono salama chini ya injinia
@daudkondo4069
@daudkondo4069 Ай бұрын
Kuna kitu Cha kuigwa Kwa vilabu vingi hapa tz
@saidilindukwa
@saidilindukwa Ай бұрын
Niko Dar,kiukweli Mr president ana uono wa Mbali Sana,Na hayo maelewano yake Mr GSM nakwambieni huyu mtu Ni hatari Sana ana akili nyingi Allah kamjaalia Na si ktk mpira Tu hata ktk upande wa Siasa bado atatoboa Tu,km ataamua
@JacksonMukoko
@JacksonMukoko Ай бұрын
Ndiyo watu wazuri ,wapole wanyenyekevu wapo duniani kwa hiyo yupo pale ni raisi wa yanga
@user-br3oc1dt1x
@user-br3oc1dt1x Ай бұрын
Yuko vixuri
@omegahealingchurchiringa2818
@omegahealingchurchiringa2818 Ай бұрын
Wewe ni kijana hazina wa soka la Tanzania
@georgemwapela1654
@georgemwapela1654 Ай бұрын
Jamaa atafika mbali sana...Mungu amsimamie katika yote..
@hassankumba6938
@hassankumba6938 Ай бұрын
Siyo tegemezi ni tegemeo.
@user-uh5vv6or4s
@user-uh5vv6or4s Ай бұрын
Yaani daaah wewe ungekuwa raisi wetu wa nchi tungekua mbali
@HabibuMalick
@HabibuMalick Ай бұрын
Naweza nikasema rais wa yanga unastahili pongezi umetufanya tukaona tunatimu natamani ubaki yanga maisha yote najua watu wataisema timu ya yanga kwa ubaya lakini na zani nikwajili ya mafanikio yanayo onekana
@katalisajuka-fl3st
@katalisajuka-fl3st Ай бұрын
Sijasikia kuhusu kufungiwa kusajili wachezaji
@omegahealingchurchiringa2818
@omegahealingchurchiringa2818 Ай бұрын
Rais mwenye weredi wa soka la kisasa lisilo na figisu mpira ni Akili na Pesa tu kwa Dunia ya leo
@IbrahimHassan-ex7sn
@IbrahimHassan-ex7sn Ай бұрын
Wewe ndio jembe letu hapo jangwani hunaga baya raisi wetu wa boli Kijani na Njano Nyeusi tupo juu kwaajili yako.
@abdalahzungu6264
@abdalahzungu6264 Ай бұрын
Utopolo atabaki kuwa utopolo tu nyinyi msifieni Leo lakin siku sio nyingi mutamkataa tu
@AminaMuhammed-bh2pg
@AminaMuhammed-bh2pg Ай бұрын
Kama ambavyo mnavyomkataa mangungu eeh😂😂😂 endeleeni kusubiri boti kwenye kituo cha daladala
@ashafundi2941
@ashafundi2941 Ай бұрын
Mimi nataka kujuwa maana maneno ni mengikyhysu Pacome maaba sielewi
@AminaMuhammed-bh2pg
@AminaMuhammed-bh2pg Ай бұрын
Mbona majibu yapo
@kassidpandu866
@kassidpandu866 Ай бұрын
Huna lolote wewe zaidi ya kununua Mechi za ligi yetu unaharibu sana Mpira wetu kenge wewe
@kitaurosalim6562
@kitaurosalim6562 Ай бұрын
Baki na Mangungu wako acha kumuingilia raisi wa wananchi
@AbshirMubaarack
@AbshirMubaarack Ай бұрын
Yaan kwl nyny ni madunduka
@mbwambog5969
@mbwambog5969 Ай бұрын
Engineer anajmjibu mwanahabari kitaalamu kweli kweli. Munaonaje tukimuuza Simba kwa bei Kali kisha tukatafuta mbadala!
@omarmakore6919
@omarmakore6919 Ай бұрын
Kongore kwa waandishi wa habari kwa Maswali yenu ya msingi , pia hongera kwa raisi WETU Haris kwa majibu yenye tija
@OmarSeafood
@OmarSeafood Ай бұрын
Oyo izo koti walizotupia watangazaji pamoja na bos kazi nimezielewa sana kama kuna yoyote anafahamu nipe contact
@stevenemwakasimba-pt8er
@stevenemwakasimba-pt8er Ай бұрын
Mwiteni na mangungu aje ajieleze kama rais wa yanga au try again tuone wanavyoropoka huyu kijana ana kipawa cha uongozi yaani hasoni anakujibu titi for tati
The Worlds Most Powerfull Batteries !
00:48
Woody & Kleiny
Рет қаралды 26 МЛН
1 класс vs 11 класс  (игрушка)
00:30
БЕРТ
Рет қаралды 1,4 МЛН
WHY DOES SHE HAVE A REWARD? #youtubecreatorawards
00:41
Levsob
Рет қаралды 42 МЛН
When Players Steal Ronaldo Goals 😢
0:24
Shmizer
Рет қаралды 4,2 МЛН
Когда захотел стать футболистом
0:43
GOODVLAD SHORTS
Рет қаралды 428 М.
Кто из них получит 30 000 000 от Меллстроя
0:20
Короче, новости
Рет қаралды 1,3 МЛН
ГЛУХОЙ НОКАУТ ОТ ДАСТАНА БЕКЕНА🤯
0:36
RFC Fighting Championship
Рет қаралды 384 М.
WALKING THROUGH THE LEGS CHALLENGE 🥜🙈
0:37
Celine Dept
Рет қаралды 3,3 МЛН