ENGINEER: "Tumekuta Club Inaishi Manzese, Cost Zote Alikuwa Anabeba Ghalib | SALAMA NA ENGINEER PT 1

  Рет қаралды 84,487

YahStoneTown

YahStoneTown

Жыл бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kama kichwa cha habari kinavyosema, Engineer Hersi ndo chachu ya furaha kwa mashabiki wa moja ya timu kongwe kabisa ya Taifa hili, timu ya wananchi, timu yenye mataji mengi zaidi yaani mabingwa wa ki historia. Nikiwa kama shabiki wa Simba Sports Club basi sina la zaidi la kufanya ila kumpa mtani wangu Hongera ya kuongeza taji jengine kwenye historia yao na pia kumsifu round hii kwa kutuzuia kuchukua ubingwa kwa mara ya tano MFULULIZO.
Engineer Hersi Ally Saidi aliingia pale kwa njia ya mdhamini (GSM) ila baada ya kuonekana kazi nzuri ambayo ameifanya kwa kipindi cha miaka miwili, Yanga sasa inaingia katika mchakato wa kuifanya timu iwe na muekezaji na mchakato huo yeye ndiye ambaye anauongoza. Kama mshabiki wa klabu, suala la GSM kuwa mdhamini mkuu kulileta chachu ya yeye kuweza kuongoza mabadiliko hayo ambayo yataanza hivi karibuni. Na yeye ndiye anatabiriwa kuwa Rais wa klabu yake pendwa baada ya uchaguzi ambao utafanyika mwezi ujao.
Narudia tena, kama shabiki wa SIMBA, mchakato ambao watani wetu wanaenda nao mmoja anaweza kuwa kakaa mbali na kutamani tu yale ambayo yanaendelea na kuomba (kwa nia njema) wenzetu wafanikiwe zaidi ya pale ambapo sisi tulifika kwenye mabadiliko hayo. SIMBA ndo ilikua timu ya kwanza kwenda kwenye mchakato huu ila inaonekana kama kuna sehemu zoezi limekwama na maswali mengi yamekua yakijitokeza na kuulizwa na baadhi ya mashabiki, mashabiki ambao pia wengi wao ni watu wenye vyeo na mamlaka. Tena, yangu matumaini wenzetu wataweza kukamilisha zoezi hili mpaka mwisho ili wengine waweze kujifunza.
Engineer pia ni Engineer, Baba, Kaka, Rafiki na mtu poa sana, mfanya biashara pia kwa upande wake mwengine wa maisha. Ametoka katika familia ambayo ilihakikisha anapata elimu na kuwa mfano bora kwa jamii ambayo inamzunguka. Amekua Baba mzuri kwa watoto wake watatu, Engineer mzuri kwenye kazi yake, moja ya kazi yake ni ile HQ ya GSM pale mtaa wa Samora na kiongozi BORA mbele ya macho ya wana Yanga Afrika.
Niliongea nae pia kuhusu maoni yake kwenye suala la mfupi wa elimu hapa Tanzania na kama huwa anasaidia maoni yake hasa kwenye kitengo cha elimu ya ufundi zaidi ukichukulia yeye ni mmoja wa uzawa wa shule za ufundi.
Yangu matumaini basi uta enjoy na kujifunza jambo kama ilivyo kawaida yetu.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZbin Link bit.ly/KZbinSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 85
@pambanyepesi8949
@pambanyepesi8949 Жыл бұрын
Huyu Engeniar ni mungu alimleta. Mungu akubariki endelea Kua mweledi unaweka Alana ambavyo itakumbukwa. Badae utakuja Kua MTU mkuubwa Sana nchi hii nakuombea Kwa mungu
@MRJ1308
@MRJ1308 Жыл бұрын
Amen
@everlynkimaro40
@everlynkimaro40 Жыл бұрын
This man is very humble, even when you meet him 🙏🙏🙏🙏🙏
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 Жыл бұрын
Mimi ni Simba damu, but the guy is good example for young people in Tanzania.
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 Жыл бұрын
Huyu tunaweza,kumuongeza ktk watu wenye akili pale uto😊😊😊
@jocelinejohn7294
@jocelinejohn7294 Жыл бұрын
Sema nimegundua watu wenye hela wana uongeaj flan hiv hauna makelele 🙌🏻🙌🏻🙌🏻utulivu wa hal ya juu
@shamsally6277
@shamsally6277 8 ай бұрын
Nice interview nimejifunza mengi asa kama shabiki wa yanga sc
@beingrosy
@beingrosy Жыл бұрын
So calm and Collected, this Man genius aisee, so educated and so professional, Wananchi tunajivunia wewe sana Engineer 🙌🙌🙌
@tattoz4677
@tattoz4677 Жыл бұрын
Waswahili wanasemaje sio kwa ubaya Kusifia kazi bora inayofanywa na Yanstone town, Great job
@mgallason...5686
@mgallason...5686 Жыл бұрын
Tunakwenda vizuri. Yanga has gifted a president from God. #vivayangasc
@AlexMumoMalonza
@AlexMumoMalonza Жыл бұрын
This is my best Show,from Nakuru city Kenya
@prospermatovu3334
@prospermatovu3334 Жыл бұрын
Tulichelewa wapi kumpata mtu kama huyu big up Eng Heris Mungu akulinde na uwe na maisha matefu. Daima Yanga mbele nyuma mwiko.
@zakaliajoseph7705
@zakaliajoseph7705 Жыл бұрын
Mie mwanasimba lakini namkubali Sana hers yupo kisoka Hana maneneo machafu ya usimba na yanga mungu akupe umri mreefu Kaka unajielewa mnoo
@ourmath8725
@ourmath8725 Жыл бұрын
5:00 Mwenyezi Mungu atubariki wanaume wote tunaopambania familia zetu tusibaki na madeni kwa watoto wetu nimeipenda sana hii kauli Mzee wa watu Mungu amrehemu sana Amefariki huku akiwa amejitahidi kama Baba... Hadi kusikia mtoto anasema Baba amefariki lakini Hana deni..Hatumdai chochote
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 Жыл бұрын
Na kina mama pia ❤
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 Жыл бұрын
Sasa mlienda lalaliga kufanyaje wakati huo ndio mfumo wa Simba eng ? 49 wanachams 51 mmiliki?
@MRJ1308
@MRJ1308 Жыл бұрын
@@ellsonmkonyi1319 bus lenu liko wapi
@panchovalentino3576
@panchovalentino3576 Жыл бұрын
Viva Rais engineer Hersi said 💥🔥💚💛💯
@chriskiddo1304
@chriskiddo1304 Жыл бұрын
this guy is a total genious! a true engineer
@abrahammtongole2747
@abrahammtongole2747 Жыл бұрын
Big up Eng. Hersi Said. Akili kubwa
@daudhabona8897
@daudhabona8897 Жыл бұрын
Huyu ni kijana WA maana sana. Vijana tujifunze kutoka kwake. Yanga Kwa mfumo huu tuko makini na mbali lazima tufike
@coffeemuya618
@coffeemuya618 Жыл бұрын
Salama mlete doctor rick abdalah mchambuz wa soka nampenda sana
@catenzeki678
@catenzeki678 Жыл бұрын
Hongera da Salama kwa kazi nzuri
@edinamkubwa2629
@edinamkubwa2629 10 ай бұрын
Fantastic interview!! Tunamuomba Jimmy mafufu dada salamaa
@patraychriss5723
@patraychriss5723 Жыл бұрын
Business Technical Strategist 💫 naisubiri ya Big Joe
@amoscharles241
@amoscharles241 Жыл бұрын
Think Tanker.... Engr you are the best
@makamlamuhammed3746
@makamlamuhammed3746 Жыл бұрын
Salama sjaionaa interviews na masoud naiptjee nisaidien
@user-pf2cf4hp6w
@user-pf2cf4hp6w Жыл бұрын
Uyu mbona mstarabuu sanaa
@jodepoultryfarm5212
@jodepoultryfarm5212 Жыл бұрын
Wanachama 40,000, kwa club kubwa kama Yanga sio nzuri. We need over 500k members contributing to the club anually
@stephanoedimund7841
@stephanoedimund7841 Жыл бұрын
Kazi nzuri
@farajamtalemwa9336
@farajamtalemwa9336 Жыл бұрын
Uyu mtu ana uwezo wa kuliongoza ata taifa 🟢⚫🟡
@marcelinojunior6340
@marcelinojunior6340 Жыл бұрын
I salute you man🙏
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 Жыл бұрын
Engineer 🙌
@user-yo3km7su9x
@user-yo3km7su9x 6 ай бұрын
Jamani nisaidieni Enginia alishawahi kufanya kazi Simba
@saidadam2165
@saidadam2165 Жыл бұрын
From unguja town ningependa sisy umlete mezani feysal salum abdallah fei toto fundi kijana #hometownzanzibar
@najmaahmed3840
@najmaahmed3840 Жыл бұрын
Feitoto nani wewe mama mwambie akuite wewe
@saidadam2165
@saidadam2165 Жыл бұрын
Fei toto ni mchezaji wa mpira team ya yanga pia kma atanialikaa mezani nitaenda inshaallah
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 Жыл бұрын
Natafuta jina zuri la kusifu hii "interview" naona kama yanapelea.
@onekisstv8412
@onekisstv8412 Жыл бұрын
Mzee msomali tumeishi nae mailimbili dodoma
@user-sg9vd7tm8x
@user-sg9vd7tm8x Жыл бұрын
Bigup Eng😂
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 Жыл бұрын
my President, my Club 💛💚🖤🟡🟢⚫️
@dianabanga2625
@dianabanga2625 Жыл бұрын
👏👏💚🖤💛
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
🔥
@dianerditto
@dianerditto Жыл бұрын
Simba na yanga zimekutana live, ila hers nimemfahamu sababu ya interview yako na manara alimwita hamnazo😀😀😀
@kassimomar7589
@kassimomar7589 Жыл бұрын
Salama jabir anajuwa
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG Жыл бұрын
Japo mimi sio Yanga but jamaa anaeleweka sanaaaa kuna mengi yakujifunza kwake
@mgallason...5686
@mgallason...5686 Жыл бұрын
Salama waandishi wengi wanapaswa kujifunza kwako the way unauliza maswali.
@iammichaellukindo
@iammichaellukindo Жыл бұрын
Dope
@hamphreyalfred1156
@hamphreyalfred1156 Жыл бұрын
Mambo vipi salama naomba mahojiano yako na mzee zorro
@filamupictures9349
@filamupictures9349 Жыл бұрын
Alishamuhoji
@shilagijisandu3101
@shilagijisandu3101 Жыл бұрын
Kaaah, kumbe engineer hersi ,mumetukosea mashabiki kumficha sura Mimi nilifikilia engineer wa mjengo wako
@rehemaabdullah7606
@rehemaabdullah7606 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@delekalxon7221
@delekalxon7221 Жыл бұрын
Engineer anahojiwa na Kolo
@barbarasara4033
@barbarasara4033 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@dokasalim943
@dokasalim943 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 Жыл бұрын
Tatizo ni MFUMO.....Hili jitu naliekewa
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 Жыл бұрын
Anavyoongea yani hata kama kiziwi utaelewa anamaanisha nini maana anaongea kwa vitendo kweli uyu jamaa ni Engeniar aliye nyooka.
@comics3437
@comics3437 Жыл бұрын
MGAA GAA NA UPAWA HALI WALI MKAVU (Yaani ukikaa karibu na mwiko huwezi kula wali bila mchuzi)
@goodluckferdnand9380
@goodluckferdnand9380 Жыл бұрын
Maana ya io methali ni ukipitapita pembezoni mwa mwambao wa habari (upwa) huwezi kosa kitowewo cha samaki ikakupelekea kula wali mkavu
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Jemedari kasikia bila shaka
@seyyactor1418
@seyyactor1418 Жыл бұрын
1 to comment
@ramadhanbigirimana2617
@ramadhanbigirimana2617 Жыл бұрын
Respect Big Boss Hersi nimekuhelewaa
@hamphreyalfred1156
@hamphreyalfred1156 Жыл бұрын
Basi naomba nisaidie niweze kupata itazama
@tariqmaduga8051
@tariqmaduga8051 Жыл бұрын
Mahojiano yangu bora ni Haya na Master J mpaka sasa.
@burhanngomile6216
@burhanngomile6216 Жыл бұрын
Engineer gan mbona anaongea sana unakosa la kuulza
@paulsamuel6265
@paulsamuel6265 Жыл бұрын
Tuletee Barbara Gonzalez Pia
@suzancharles1639
@suzancharles1639 Жыл бұрын
Yeah
@BasesTunu
@BasesTunu Ай бұрын
Rojoooo 😂
@BasesTunu
@BasesTunu Ай бұрын
Rojoooo😂
@BasesTunu
@BasesTunu Ай бұрын
Unyama
@tinomasangia5511
@tinomasangia5511 Жыл бұрын
Nice engineer…. Sema the most successful club in the World sio Real Madrid bali ni Al Ahly SC ya Cairo…alafu kuna watu kadhaa alafu ndio Real Madrid.
@kinthermedia6164
@kinthermedia6164 Жыл бұрын
Duuuu
@MRJ1308
@MRJ1308 Жыл бұрын
@@kinthermedia6164 ni mwongo huyu jamaa Al Ahly ya Cairo ndo iwe most successful in the world
@donnietommie8444
@donnietommie8444 Жыл бұрын
#SalamaNaDr.Leaky
@noeljacob9644
@noeljacob9644 Жыл бұрын
Engineer👏👏👏
@kissandoto2471
@kissandoto2471 Жыл бұрын
Safi sana
@nasrimohamed7556
@nasrimohamed7556 Жыл бұрын
Salama ufanye uolewe sas khaaa
@hitmanhunter9557
@hitmanhunter9557 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@BMT2023
@BMT2023 Жыл бұрын
Muoe wewe
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 Жыл бұрын
Mimi nataka nitoe posa,hapo
@rehemaabdullah7606
@rehemaabdullah7606 Жыл бұрын
Kwan bado hajatolewa? 🙄🤔🤔
@egnokapinga16
@egnokapinga16 Жыл бұрын
Kakuambia hajaolewa?
@yudakassim1138
@yudakassim1138 Жыл бұрын
Rais wamabingwa
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 12 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,2 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 200 МЛН
TURUPA : Bila Mkubwa Fela nisingemjua Joseph Kusaga
43:05
BaghdadTZ PG KWEKA
Рет қаралды 3,8 М.
Mkasi | S14E03 with Mohammed Dewji Extended version
35:56
MkasiTV
Рет қаралды 1 МЛН
Mkasi | SO9E16 With Gadna : Extended Version
42:50
MkasiTV
Рет қаралды 61 М.
"MIMI SIO MTU MBAYA, SIJAWAHI KUMNYONGA MTU" - HERSI AJIBU TUHUMA
3:17
Salama Na MR BLUE SE6 EP69 KHERI PART 1 SendTip MPESA LIPA NO 5578460
25:09
БАТЯ И ТЁЩА😂#shorts
0:58
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 3,4 МЛН
Как мама ухаживает за мной VS гостями
0:50
Время горячей озвучки
Рет қаралды 3,2 МЛН
ToRung short film: i sell watermelon🍉
0:38
ToRung
Рет қаралды 12 МЛН
Девушка ограбила мажора, но…😳
1:00
Trailer Film
Рет қаралды 3,6 МЛН