Kwa hiyo hilo la zege unatakiwa ukiweka mfumo wa kutoa na kuingiza maji kila CK yaingie na kutoka au baada ya muda Fulani?
@scholasticamchokopa6515 Жыл бұрын
Sasa hayo ya ardhin so umesema samaki wanazama unaweza usiwapate? Sasa naona Tena la chini la asili ndo nzr, uweke Nini ili ili la chini lisipoteze samaki?