Twaomba link yenye tutazipata tamthilia zote tafadhali
@helenasamwel-t6h5 ай бұрын
Episode zote wengine tumechekewa kuanza kuangalia
@Martin-x6g1q6 ай бұрын
Good movie with you so much
@VeronicaSalvertory4 ай бұрын
Nzuri Sana
@juliennealimasi63786 ай бұрын
Nawakubali
@michaelbonfas943924 күн бұрын
Tuwekeen bas mwendeleza wengine hatuna nafas za kukaa kwenye tiv
@DeliphinaCosmas4 ай бұрын
Jmn movie inaishia pazur na sion mwendelezo
@Fatmamakame-q5w2 ай бұрын
Tatizo hamrushi ep kwa wakati ata mnatuchangaynya alafu matangazo mengi
@mediapadhuawei15634 ай бұрын
Mbona kimya tunangojea episode 6 pls
@ezrakaranja919525 күн бұрын
Ikotamu sana nimepedasana sababu yawamasai tamu
@MoiseMugeraАй бұрын
ep 6 munaileta lini
@jamesprosper-ug6jp6 ай бұрын
❤❤
@ButoyiRukiya6 ай бұрын
Movie nzuri saana ❤
@Chugamovieshouse3 ай бұрын
twendeni na wakati ya sita lini
@HusseinSad-i2bАй бұрын
Ili ndio tatizo la wabongo tukiacha kuangalia mnasema hatuwasapot no6 ipo wp?
@anithamsigwaАй бұрын
Mbona kimya muendelezo jamani...
@KingZinho-z2u6 ай бұрын
Jiya from mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@walizanasiri49636 ай бұрын
Mambo uko mozambique seem gani?
@Officialpacky2 ай бұрын
Wewe imefata nini Sadalama? 😂😂
@petrovisent38053 ай бұрын
Ya 6 plz
@KanyiKanyi-n9g2 ай бұрын
Wanangu mnazingua Sasa what is this wapi episode 6 sasa
@JovithGodwin4 ай бұрын
Naomba epsode ya 76 please
@Gody3603 ай бұрын
Ndio mwisho
@ExauceKabey3 ай бұрын
Kamani sisi wageni kweli ii lakini hatuoni ep vile zinavo yakiwa kufuatana kuanzia kwa moja adi pale tulipo sasa ivi, lakini tukiona yakwanza siyo ya pili ndo itakuja mara ya tatu mara ya nane mara mara zinatuchanganya kweli