ESHA BUHETI AMUUMBUA SHISHI SMS ZA SIRI KUNUNUA TUZO "KASHAKUFA SIKU NYINGI"

  Рет қаралды 20,249

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 69
@nabiljumaothman5912
@nabiljumaothman5912 2 ай бұрын
Much love eshe mimi nimekula kwa Shilole na kwa Eshe .... Ila Eshe anajuwa sana ata mke wangu anapenda chakula cha Eshe na yeye ni mtu wa kuchagua sana mimi nilishangaa
@ArafaAmirAmir-ci7ld
@ArafaAmirAmir-ci7ld 2 ай бұрын
Esha Fundi
@Atb300
@Atb300 2 ай бұрын
Esha anaongea classic kbs❤❤❤
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 2 ай бұрын
Shishi mkorofi hata kwa snura ilikua ivyo
@HamadMwagoani
@HamadMwagoani 2 ай бұрын
Hii iwafikie shilole na esha nyote nawapenda wazuri nyote mashallah Mungu kawapa mifanano mpk kazi zenu Ila onyo kama waislam wenzangu tumeitwa Uma bora sababu ya kukatazana maovu kumrishana mema kauli ambayo sikuipenda ATA NIKIFA ASIJE MSIBANI N MBAYA SANA MAMA ZANGU SHISHI NA BUETI IYO SIO YA KUTAMKA MUSAMEENE ATAKAMA KILA MTU ATAANGALIA MASIHA YAKE PLZ KUMBUKENI KULU NAFSI IDHAAIKATUL MAUTI
@MairaAlly
@MairaAlly 2 ай бұрын
Sister wangu moyo mweupe sana #shombe
@SabraDivele
@SabraDivele 2 ай бұрын
Namkubali sanaaa sanaaa da Esha much love to you
@SairaSadick-y2l
@SairaSadick-y2l 2 ай бұрын
Ww dada eshe anajua kupika nyinyi JAMANI
@DalphinaMnyau-ho9vx
@DalphinaMnyau-ho9vx 2 ай бұрын
Nakupenda sana eshe achana na Hao watu wanakuharibia endelea kukaa kimnya dada mkubwa allah atakujali❤❤❤
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq 2 ай бұрын
Wajukuu wa mtume Allah ndie kinga tu nimeipenda hio Esha😊😊😊
@ZwainhOman
@ZwainhOman 2 ай бұрын
Esha ww mpishi mzuri sana acha plesha
@alsam4881
@alsam4881 2 ай бұрын
Shilole ni mshari sana na ana wivu sana haswa akiona mwenzake amemzidi mapishi au kuimba, kwasababu hapo zamani alikuwa akimchukia sana Snura, kwasababu alikuwa akiimba na kucheza kuliko yeye Shilole, na ndiyo hapo akaanzisha bifu na Snura na kuanza kumdhalilisha mwenzake mbele za watu wakati yupo jukwaani, Lakini Snura ni mtu mmoja mstaarabu sana na ana hekima na busara hajawahi kubishana na huyo mropokaji Shilole, kwahiyo Shilole aache chuki kwa wenzake akiona wana maendeleo au wamemzidi kitu fulani.
@darking3634
@darking3634 2 ай бұрын
Esha bwana m nakupenda ivoivo,ila si umesema we mtu akikuletea maneno unamtaja haya tutajie huyo alokutumia izo message😅😅😅😅m nakupenda buanah
@NahimanaAisatah
@NahimanaAisatah 2 ай бұрын
Esha uko vizuri nakupenda mabishi yako yanajitosheleza
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂dah eti kata kona anadondoka 😅😅😅dah sema wew na shishi ,mnene shishi😅😅
@__1184
@__1184 2 ай бұрын
Esha upo jjuuu
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 2 ай бұрын
😂😂😂 esha bwana eti siyo mdogo yule ni mkubwa anajidogosha 😂
@salmakwayu3951
@salmakwayu3951 2 ай бұрын
Shilole ni mshari sana
@merinakassembe118
@merinakassembe118 2 ай бұрын
Bzuhet ❤❤❤❤❤❤superstar wa kupika
@mwananganzi
@mwananganzi 2 ай бұрын
Dada kibonge kayakanyaga
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 2 ай бұрын
Re fresh ❤❤
@happymaimu4330
@happymaimu4330 2 ай бұрын
Una akili sana Esha.Tena una ustaarabu,Shishi Mshari sana
@MsabatoTindwa
@MsabatoTindwa 2 ай бұрын
Huna baya jiran yangu ,nakukubali
@RandB_Channel
@RandB_Channel 2 ай бұрын
Nanyinyi mamedia hapo mmefurahiya sana natena njomunazidi kuchochoya chocheya .tangiya mlianza kuchikonowa chokonowa simuishiye hapo . Ila kitu nilipenda Esha anaongeya kwaustarabu. Shishi anaongeya kavile anataka kupigana 😀😀
@AbduAbdu-s7i
@AbduAbdu-s7i 2 ай бұрын
Buana tunapenda😂😂
@LilianJuma-r2l
@LilianJuma-r2l 2 ай бұрын
jamani shishi mkorofi sana.hata Snura ilikuwa hivyo
@DelightfulFish-ps8ny
@DelightfulFish-ps8ny 2 ай бұрын
Yeah chakula cha changa kama lote 😂
@merinakassembe118
@merinakassembe118 2 ай бұрын
Safi kabisa
@HappyWilson-i9f
@HappyWilson-i9f 2 ай бұрын
Esha kipenzi acha iende mdogo wangu kimya pia ni jibu mshukuru Mungu kwa unachokipata watunze wateja wako wasiondoke
@MsabatoTindwa
@MsabatoTindwa 2 ай бұрын
Huna baya jirani yangu uko vizur
@Yness-vh4yy
@Yness-vh4yy 2 ай бұрын
Na sura mnafanana
@RoseKaiza-g2j
@RoseKaiza-g2j 2 ай бұрын
Kaeni mezani muyamalize mshakua watu wazima mnawayumbisha wateja wenu pia acheni kutoleana siri
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 2 ай бұрын
Shishi anataka zichapwe hilo naunga mkono mpambano tutalipia
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 2 ай бұрын
Amekujaribu shishi ndomaana alijuaje unapaa kama hajakujaribu
@AmAl-x9j
@AmAl-x9j 2 ай бұрын
Harafu Eshe humfikii shishi kimaendeleo,so piga kaz usonge mbele acha kuongea sanaaaaaaaa
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 2 ай бұрын
Maendeleo hayo kwiyoo! Dunian kusukumana unyonge kaburin
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 2 ай бұрын
Ana jidogosha🤣
@abdallamohamed3260
@abdallamohamed3260 2 ай бұрын
Dimond ndio huwaga anakataa tuzo za nyumban hazina vgezo wanapeyana tu
@spreadlove5300
@spreadlove5300 2 ай бұрын
Ila Esha na wewe kwa nini usifanye yameisha kama mtu kakuibia hiyo siri basi shukuru Mungu yamepita 😮😮 fanya tuu biashara yako
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 2 ай бұрын
Eshaa punguza mdomooo
@Verochanel123
@Verochanel123 2 ай бұрын
Wivu eti sina watu wakubwa Hahahah
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 2 ай бұрын
Amekwambia wivu msyuuu kwendraaa
@LeilaAbdull-jg6ho
@LeilaAbdull-jg6ho 2 ай бұрын
Ila wewe dada nimuuaji
@AngelmackieCharity
@AngelmackieCharity 2 ай бұрын
Alikuulia nani wako?
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 2 ай бұрын
Muuaji in positive way sio negative😂😂
@jsabood
@jsabood 2 ай бұрын
Eshe. Mtu kama ana kiburi dawa yake mkate nyongo akuheshimu. Shilole kapata vidonge vyake. Mkomesheni akome. Uchebe ni mkweli sana. Aloyoyaongea ni ya ukweli. Romy alionewa sana. Shilole mungu hapendi ukibri. Yatampata mambo hakutegemea.
@AmAl-x9j
@AmAl-x9j 2 ай бұрын
Mwachen shishi na life yake nyie nao fanyeni yenu
@jsabood
@jsabood 2 ай бұрын
@@AmAl-x9j Shilole kapata kiburi cha kuwalipua watu. Akitoka kwa wanaume zake ana kwenda kumvaa mtu. Mara Eshe, mara AliKiba. Kesho nani atakuwa? Kwanza maneno yake yanatoka yanavyotaka. Yeye Nani amambiye Eshe sio mtanzania. Au anazungumza kwa niyaba ya watanzania. Azungumze yanayomhusu. Pesa zake za madeni halafu anaringa. Mwache Eshe amkomeshe akome kurukiya watu.
@ngwashimalenya6412
@ngwashimalenya6412 2 ай бұрын
Nyie ni kina nani na kisasi Gani ambacho hamuwezi kupatana, kama unasali na hofu ya Mungu Kwa Nini umeyabeba moyoni na unasema hauwezi kupatana? Ni uchu wa masilahi na kujulikana ndio mnataka. Mtaongeana mpaka lini?
@AmAl-x9j
@AmAl-x9j 2 ай бұрын
Harafu mmeshakua watu wazima acheni utto nyie
@gracekiondo2541
@gracekiondo2541 2 ай бұрын
Sasa mbona na wewe upo na mwili mkubwa na uzito uliozidi? hata kama yeye Shilole ni mnene zaidi yako,lakini wewe pia una mwili usiofaa kabisa! Kifupi wote muchukue hatua ya kuondoa uzito na manyama!
@Polyn.123
@Polyn.123 2 ай бұрын
Kafue nguo hiyooo kila int
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 2 ай бұрын
Si ni siku moja walimuhoj
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 2 ай бұрын
Kafue na wewe msyu
@sialo8624
@sialo8624 2 ай бұрын
Huyu dada hana akili timamu seriously
@englishman9855
@englishman9855 2 ай бұрын
Kama wewe
@shamsaabdalah7038
@shamsaabdalah7038 2 ай бұрын
Kweli me namwona mjinga sjui why?
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 2 ай бұрын
Mjina kama nyie wote
@keyla3641
@keyla3641 2 ай бұрын
Acheni ujinga mnajidhalikisha kufanya biashara yakuka sio lazima ujue kupika mnagombania tuzo wewe muongo haiko hivo km huna choyo ungenyamaza ungeongea hayo mengine
@keyla3641
@keyla3641 2 ай бұрын
Chuki tu hana lokote waoiga kura gani hicho ndo kinekuuma
@LeilaAbdull-jg6ho
@LeilaAbdull-jg6ho 2 ай бұрын
Wewe nimugombanishi ulikua wapi kusema zaman unazan watu unaowaingiza humo mabif yaliyopita unawaleta kwenyemabifu yasasa siyokama wanapenda hawapendi
@MariamIbrahim-h7p
@MariamIbrahim-h7p 2 ай бұрын
Eshaw uko na chuki binaonekana
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 2 ай бұрын
Sio kweli
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 2 ай бұрын
Kwanza esha hatukuji wewe tunamjua shishi tumekujua kuhus hii ya tuzo
@keyla3641
@keyla3641 2 ай бұрын
Huyu mnafiki kweli tuzo tu anataka kutiawatu ubayani dina kandaa hii anasababu zake unamrejeshamtu nyuma na tuzo haiusiani na upishi upambanaji kuna wapishi wazuri wanapika kweli mnaouka nini nyie biriani vitunguu vimeungua tuzo ilikuwa upambanaji
@NaseMangala
@NaseMangala 2 ай бұрын
Kaa kimya wewe
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 2 ай бұрын
Shishi anataka zichapwe hilo naunga mkono mpambano tutalipia
@ZamoyoniIddy
@ZamoyoniIddy 2 ай бұрын
WakishaziChapa wewe inakusaidia nini
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 2 ай бұрын
Inanisaidia kutoona habari zao tena baada kutia adabu​@@ZamoyoniIddy
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 113 МЛН
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 63 МЛН
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20
🔴#LIVE:SISHKIKI ON THE SWITCH  NDANI YA WASAFI FM 02-07-2024
42:54
Nabii Kiboko ya Wachawi afunguka alivyotimuliwa Tanzania ndani ya saa 24
8:03
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 113 МЛН