Much love eshe mimi nimekula kwa Shilole na kwa Eshe .... Ila Eshe anajuwa sana ata mke wangu anapenda chakula cha Eshe na yeye ni mtu wa kuchagua sana mimi nilishangaa
@ArafaAmirAmir-ci7ld2 ай бұрын
Esha Fundi
@Atb3002 ай бұрын
Esha anaongea classic kbs❤❤❤
@Zaynab-ny6gr2 ай бұрын
Shishi mkorofi hata kwa snura ilikua ivyo
@HamadMwagoani2 ай бұрын
Hii iwafikie shilole na esha nyote nawapenda wazuri nyote mashallah Mungu kawapa mifanano mpk kazi zenu Ila onyo kama waislam wenzangu tumeitwa Uma bora sababu ya kukatazana maovu kumrishana mema kauli ambayo sikuipenda ATA NIKIFA ASIJE MSIBANI N MBAYA SANA MAMA ZANGU SHISHI NA BUETI IYO SIO YA KUTAMKA MUSAMEENE ATAKAMA KILA MTU ATAANGALIA MASIHA YAKE PLZ KUMBUKENI KULU NAFSI IDHAAIKATUL MAUTI
@MairaAlly2 ай бұрын
Sister wangu moyo mweupe sana #shombe
@SabraDivele2 ай бұрын
Namkubali sanaaa sanaaa da Esha much love to you
@SairaSadick-y2l2 ай бұрын
Ww dada eshe anajua kupika nyinyi JAMANI
@DalphinaMnyau-ho9vx2 ай бұрын
Nakupenda sana eshe achana na Hao watu wanakuharibia endelea kukaa kimnya dada mkubwa allah atakujali❤❤❤
@Mariam-fm8vq2 ай бұрын
Wajukuu wa mtume Allah ndie kinga tu nimeipenda hio Esha😊😊😊
@ZwainhOman2 ай бұрын
Esha ww mpishi mzuri sana acha plesha
@alsam48812 ай бұрын
Shilole ni mshari sana na ana wivu sana haswa akiona mwenzake amemzidi mapishi au kuimba, kwasababu hapo zamani alikuwa akimchukia sana Snura, kwasababu alikuwa akiimba na kucheza kuliko yeye Shilole, na ndiyo hapo akaanzisha bifu na Snura na kuanza kumdhalilisha mwenzake mbele za watu wakati yupo jukwaani, Lakini Snura ni mtu mmoja mstaarabu sana na ana hekima na busara hajawahi kubishana na huyo mropokaji Shilole, kwahiyo Shilole aache chuki kwa wenzake akiona wana maendeleo au wamemzidi kitu fulani.
@darking36342 ай бұрын
Esha bwana m nakupenda ivoivo,ila si umesema we mtu akikuletea maneno unamtaja haya tutajie huyo alokutumia izo message😅😅😅😅m nakupenda buanah
@NahimanaAisatah2 ай бұрын
Esha uko vizuri nakupenda mabishi yako yanajitosheleza
@rukiauwonde70622 ай бұрын
😂😂😂😂😂dah eti kata kona anadondoka 😅😅😅dah sema wew na shishi ,mnene shishi😅😅
@__11842 ай бұрын
Esha upo jjuuu
@agnesjohn93822 ай бұрын
😂😂😂 esha bwana eti siyo mdogo yule ni mkubwa anajidogosha 😂
@salmakwayu39512 ай бұрын
Shilole ni mshari sana
@merinakassembe1182 ай бұрын
Bzuhet ❤❤❤❤❤❤superstar wa kupika
@mwananganzi2 ай бұрын
Dada kibonge kayakanyaga
@Officialjidaa-sn9cs2 ай бұрын
Re fresh ❤❤
@happymaimu43302 ай бұрын
Una akili sana Esha.Tena una ustaarabu,Shishi Mshari sana
@MsabatoTindwa2 ай бұрын
Huna baya jiran yangu ,nakukubali
@RandB_Channel2 ай бұрын
Nanyinyi mamedia hapo mmefurahiya sana natena njomunazidi kuchochoya chocheya .tangiya mlianza kuchikonowa chokonowa simuishiye hapo . Ila kitu nilipenda Esha anaongeya kwaustarabu. Shishi anaongeya kavile anataka kupigana 😀😀
@AbduAbdu-s7i2 ай бұрын
Buana tunapenda😂😂
@LilianJuma-r2l2 ай бұрын
jamani shishi mkorofi sana.hata Snura ilikuwa hivyo
@DelightfulFish-ps8ny2 ай бұрын
Yeah chakula cha changa kama lote 😂
@merinakassembe1182 ай бұрын
Safi kabisa
@HappyWilson-i9f2 ай бұрын
Esha kipenzi acha iende mdogo wangu kimya pia ni jibu mshukuru Mungu kwa unachokipata watunze wateja wako wasiondoke
@MsabatoTindwa2 ай бұрын
Huna baya jirani yangu uko vizur
@Yness-vh4yy2 ай бұрын
Na sura mnafanana
@RoseKaiza-g2j2 ай бұрын
Kaeni mezani muyamalize mshakua watu wazima mnawayumbisha wateja wenu pia acheni kutoleana siri
@warakawayohana28962 ай бұрын
Shishi anataka zichapwe hilo naunga mkono mpambano tutalipia
@farhannahkulishwaburekunam53602 ай бұрын
Amekujaribu shishi ndomaana alijuaje unapaa kama hajakujaribu
Maendeleo hayo kwiyoo! Dunian kusukumana unyonge kaburin
@Sidrasidra6362 ай бұрын
Ana jidogosha🤣
@abdallamohamed32602 ай бұрын
Dimond ndio huwaga anakataa tuzo za nyumban hazina vgezo wanapeyana tu
@spreadlove53002 ай бұрын
Ila Esha na wewe kwa nini usifanye yameisha kama mtu kakuibia hiyo siri basi shukuru Mungu yamepita 😮😮 fanya tuu biashara yako
@asumaathuman60942 ай бұрын
Eshaa punguza mdomooo
@Verochanel1232 ай бұрын
Wivu eti sina watu wakubwa Hahahah
@miriamwinston99082 ай бұрын
Amekwambia wivu msyuuu kwendraaa
@LeilaAbdull-jg6ho2 ай бұрын
Ila wewe dada nimuuaji
@AngelmackieCharity2 ай бұрын
Alikuulia nani wako?
@miriamwinston99082 ай бұрын
Muuaji in positive way sio negative😂😂
@jsabood2 ай бұрын
Eshe. Mtu kama ana kiburi dawa yake mkate nyongo akuheshimu. Shilole kapata vidonge vyake. Mkomesheni akome. Uchebe ni mkweli sana. Aloyoyaongea ni ya ukweli. Romy alionewa sana. Shilole mungu hapendi ukibri. Yatampata mambo hakutegemea.
@AmAl-x9j2 ай бұрын
Mwachen shishi na life yake nyie nao fanyeni yenu
@jsabood2 ай бұрын
@@AmAl-x9j Shilole kapata kiburi cha kuwalipua watu. Akitoka kwa wanaume zake ana kwenda kumvaa mtu. Mara Eshe, mara AliKiba. Kesho nani atakuwa? Kwanza maneno yake yanatoka yanavyotaka. Yeye Nani amambiye Eshe sio mtanzania. Au anazungumza kwa niyaba ya watanzania. Azungumze yanayomhusu. Pesa zake za madeni halafu anaringa. Mwache Eshe amkomeshe akome kurukiya watu.
@ngwashimalenya64122 ай бұрын
Nyie ni kina nani na kisasi Gani ambacho hamuwezi kupatana, kama unasali na hofu ya Mungu Kwa Nini umeyabeba moyoni na unasema hauwezi kupatana? Ni uchu wa masilahi na kujulikana ndio mnataka. Mtaongeana mpaka lini?
@AmAl-x9j2 ай бұрын
Harafu mmeshakua watu wazima acheni utto nyie
@gracekiondo25412 ай бұрын
Sasa mbona na wewe upo na mwili mkubwa na uzito uliozidi? hata kama yeye Shilole ni mnene zaidi yako,lakini wewe pia una mwili usiofaa kabisa! Kifupi wote muchukue hatua ya kuondoa uzito na manyama!
@Polyn.1232 ай бұрын
Kafue nguo hiyooo kila int
@beautyibrahim84282 ай бұрын
Si ni siku moja walimuhoj
@miriamwinston99082 ай бұрын
Kafue na wewe msyu
@sialo86242 ай бұрын
Huyu dada hana akili timamu seriously
@englishman98552 ай бұрын
Kama wewe
@shamsaabdalah70382 ай бұрын
Kweli me namwona mjinga sjui why?
@miriamwinston99082 ай бұрын
Mjina kama nyie wote
@keyla36412 ай бұрын
Acheni ujinga mnajidhalikisha kufanya biashara yakuka sio lazima ujue kupika mnagombania tuzo wewe muongo haiko hivo km huna choyo ungenyamaza ungeongea hayo mengine
@keyla36412 ай бұрын
Chuki tu hana lokote waoiga kura gani hicho ndo kinekuuma
@LeilaAbdull-jg6ho2 ай бұрын
Wewe nimugombanishi ulikua wapi kusema zaman unazan watu unaowaingiza humo mabif yaliyopita unawaleta kwenyemabifu yasasa siyokama wanapenda hawapendi
@MariamIbrahim-h7p2 ай бұрын
Eshaw uko na chuki binaonekana
@miriamwinston99082 ай бұрын
Sio kweli
@asumaathuman60942 ай бұрын
Kwanza esha hatukuji wewe tunamjua shishi tumekujua kuhus hii ya tuzo
@keyla36412 ай бұрын
Huyu mnafiki kweli tuzo tu anataka kutiawatu ubayani dina kandaa hii anasababu zake unamrejeshamtu nyuma na tuzo haiusiani na upishi upambanaji kuna wapishi wazuri wanapika kweli mnaouka nini nyie biriani vitunguu vimeungua tuzo ilikuwa upambanaji
@NaseMangala2 ай бұрын
Kaa kimya wewe
@warakawayohana28962 ай бұрын
Shishi anataka zichapwe hilo naunga mkono mpambano tutalipia
@ZamoyoniIddy2 ай бұрын
WakishaziChapa wewe inakusaidia nini
@warakawayohana28962 ай бұрын
Inanisaidia kutoona habari zao tena baada kutia adabu@@ZamoyoniIddy