EXCLUSIVE: ALLY KAMWE ASIMULIA MAISHA YAKE BAADA YA KUMALIZA FORM 4 "CHUMBA ELFU 7, NALIPWA LAKI 3"

  Рет қаралды 79,015

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 98
@EricMbilinyi
@EricMbilinyi 4 ай бұрын
Ukitoa ushabiki wa Timu ,binafsi huwa napenda sana kusikiliza interview za Ally.Huwa zinanoga sana kwasababu anajua sana kuongea.cheers kwako Sheikh
@stellashao7885
@stellashao7885 3 ай бұрын
Daa mm kila nkiingia KZbin 🙌
@SaedyNganur-he8bc
@SaedyNganur-he8bc 3 ай бұрын
Mi pia bro Yan me Simba lakin namkubal San interview Yako Inakuw hot sana ni mchangamfu kweli
@Khabylamefuns.com19
@Khabylamefuns.com19 3 ай бұрын
Mi simba lkn all kamwe napenda story zake
@getrudamunna
@getrudamunna 4 ай бұрын
Anavutia katika usemaji wake hadi Ayo kawa mpole kumsikiliza zaidi kuliko kusema. Mungu akujalie makubwa zaidi Ally Kamwe
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo 4 ай бұрын
Ally kamwe hata aongee masaa sabiin akfu ntamskiza tuu i like him😊😊😊😊
@kingkendrickk
@kingkendrickk 3 ай бұрын
Kabisa
@ZawadiNyambulapi-lk1np
@ZawadiNyambulapi-lk1np 4 ай бұрын
Aly MUNGU akubariki sana
@NaseebMshuza
@NaseebMshuza 4 ай бұрын
Ali kamwe ktk cku ambazo umeongea point ni leo aisee big up sn na nimekuelewa sn kak mungu qku
@justinejackson1731
@justinejackson1731 3 ай бұрын
Ally Kamwe👊👊 Mtu wa maana kabisa🙏
@hk_ballers
@hk_ballers 4 ай бұрын
Respect bro Kamwe. Hustler kwelikweli 🙌🏽
@SarhaSaid
@SarhaSaid 4 ай бұрын
Namkubali sana Ali kamwe 💚💛💛💚
@yasirsaid8464
@yasirsaid8464 2 ай бұрын
MAA SHAA ALAH ALLAH Ambariki Ali kamwe he's bright man
@Saidi-ic7um
@Saidi-ic7um 3 ай бұрын
Ndugu yangu ally kamwe nakuelewa mnoo na story ya maisha Yako ,,,,ni kama yangu tuuu ila mi bado sijatoboa
@bigjizee4130
@bigjizee4130 4 ай бұрын
Hiyo count down kabla ya interview inamaliza bando tuu
@ChenchiKing
@ChenchiKing 4 ай бұрын
Namkubali Xana Kamwe Anajuwa Kuchambuwa Soccer Congrats Kwake💚❤️💚❤️💙
@anithqpaul3923
@anithqpaul3923 4 ай бұрын
Yahani Ally❤❤❤❤❤
@khalidhamka9567
@khalidhamka9567 4 ай бұрын
Sema ally kamwe anajua kuongea sana
@machakuroger7068
@machakuroger7068 3 ай бұрын
Watoto wa Mbagala hao
@gudimbwana8088
@gudimbwana8088 4 ай бұрын
KIJANA amehaso sana acha awe mwerevu wa mjini MWENYE maarifa mengi
@RamseykingGenius
@RamseykingGenius 4 ай бұрын
Tunaotafuta movie ya Aisha tupo ✌️✌️😂😂😋😛👇☝️
@rajabually5372
@rajabually5372 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@RamseykingGenius
@RamseykingGenius 4 ай бұрын
@@rajabually5372 🤣🤣🤣🥷🥷☝️🔝✅
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga 3 ай бұрын
👆
@paulnyingo7316
@paulnyingo7316 4 ай бұрын
Duuuu nimecheka sana Ally kichwa sana keep it up ma young bro
@stn4873
@stn4873 4 ай бұрын
Huyu jamaa BIG BRAIN.....ila akiingia kwenye mambo ya Yanga tu shughul imeisha, leo namuelewa Manara sasa ile kauli yake.
@joycekija6245
@joycekija6245 3 ай бұрын
😅😅😅😅😂😂😂
@emmanuelmhagama2384
@emmanuelmhagama2384 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@mussansoleziplutnumz2097
@mussansoleziplutnumz2097 4 ай бұрын
Nimependa sana stor yako unaweza tengeneza movie semaji
@francepaul7711
@francepaul7711 4 ай бұрын
R.I.P. THE GREAT KANUMBAAA🙌🙌🙌🙌🙌
@nuruelmada2877
@nuruelmada2877 4 ай бұрын
Ngoja nikupende, Msemaji wetu💚💛
@Samsonmajula
@Samsonmajula Ай бұрын
Bro unajua adi Ayo anataka uongee tu, he is speechless
@benjaminmpangala2611
@benjaminmpangala2611 3 ай бұрын
"Kipaji Mungu anakupa ila kukikuza NI kazi ya Mwanadamu" nimekuelewa Sana Alliiiiiii
@Bashirubakarisalala
@Bashirubakarisalala 4 ай бұрын
Mwanafunzi wa Ahmed ally
@husseinkadawa2846
@husseinkadawa2846 3 ай бұрын
Ally Mungu mungu akubariki sana.
@cryptoboy_5
@cryptoboy_5 4 ай бұрын
hii kichwa hii
@Cherehani_Tanzania
@Cherehani_Tanzania Ай бұрын
Yaani namna unavochambua stori yako tu inatosha kukuamini🎉
@binwasiumbanga9256
@binwasiumbanga9256 4 ай бұрын
Yani hadi milady anasikiliza tu,Unajua kuongea Ali kamwe
@OdriaKabati
@OdriaKabati 4 ай бұрын
Kaka Ali mm nakukubari sana
@theheroesmusic4398
@theheroesmusic4398 3 ай бұрын
Jama kumbe yuko vzuri hivyo 🙌. From PA USA 🇺🇸
@hamisikambona8763
@hamisikambona8763 4 ай бұрын
Ally kamwe anajua sana
@HesbonEnock
@HesbonEnock 4 ай бұрын
Ndo maana movies zetu hazitoboi
@faridhamad3678
@faridhamad3678 3 ай бұрын
Maa shaa Allah kijana anajua kujielezea vzuri
@suleimanbalemba3348
@suleimanbalemba3348 4 ай бұрын
Shija umtoe wapi yupo zake Canada mwambie akutumie dollar atakuwa kaishajipata
@ngoyaboy1590
@ngoyaboy1590 4 ай бұрын
Kwahyo alikamwe amemalza form 2009 Alf badoo anaonekana Mtoto
@abdullyjadu7723
@abdullyjadu7723 3 ай бұрын
Xx mwaka 2009 ukitaka azeeke maana ata miaka 40 hajafika waliomaliza form 4 wamemaliza kuanzia miaka 198_1992 Kwa iyo hyo bado chalii kabx
@BENARDIKIMWARATz
@BENARDIKIMWARATz 3 ай бұрын
Amin me mwenyewe namwona mdog
@HassanRamadhan-cv8de
@HassanRamadhan-cv8de 4 ай бұрын
Dah nimeipenda hii😂❤
@AminaLucas
@AminaLucas 3 ай бұрын
So fun na raha
@titorichard5140
@titorichard5140 Ай бұрын
Ally anaupeo mkubwa sana
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 4 ай бұрын
Ally hachoshi story zake
@mswaki_newstz
@mswaki_newstz 3 ай бұрын
Congratulation brother 🎉
@QueenMushi
@QueenMushi 4 ай бұрын
Duh! Kweli millage ni baba lao
@HappyJohn-jo8im
@HappyJohn-jo8im 3 ай бұрын
Ally yuko smat san mahojiano yake yanafundisha kitu
@idrismghamba6439
@idrismghamba6439 4 ай бұрын
Akili kubwa Sana hii 💚💛✊💪
@machakuroger7068
@machakuroger7068 3 ай бұрын
Mbagala moja hiyo
@departmentofpolicyplanning8184
@departmentofpolicyplanning8184 3 ай бұрын
Namkubali sana
@abdylugete2056
@abdylugete2056 3 ай бұрын
Sema unatupanga kka
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 4 ай бұрын
Ally huwa nampenda bule
@yohanadwac7497
@yohanadwac7497 4 ай бұрын
Mwenyekiti la Wasemaji🟢🙌
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 4 ай бұрын
Kichwa Cha ally safi sana
@paulPius-uk9rq
@paulPius-uk9rq 3 ай бұрын
Huyu jamaa nafurahi sana kumsikiliza
@MtessaAlly-rd4hf
@MtessaAlly-rd4hf 4 ай бұрын
Kamwe kama kamwe... Semaji lao
@allyngimba430
@allyngimba430 3 ай бұрын
my rolmodel
@valleluoga6258
@valleluoga6258 3 ай бұрын
Ally Huchoshi kukuskiza, na unatoa vitu vyenye elimu kubwa ndani yake
@franciskavyega280
@franciskavyega280 3 ай бұрын
Natafuta movie ya AISHA😅😅😅
@happymboma3567
@happymboma3567 4 ай бұрын
Ally utafika mbali
@piusnkwale
@piusnkwale 4 ай бұрын
Ali kamwe anaongea sana😊😊😊😊
@plustzafromusic4908
@plustzafromusic4908 3 ай бұрын
Natamani siku moja vido amuoji Millard kuhusu Maisha yake mwanzo wake mpaka hapo alipo fikia, na Millard aongee ukweli kabisa hii interview itakuwa kubwa Sana na itatubaliki wote
@meshackdauda4315
@meshackdauda4315 3 ай бұрын
Mbona ilishafanyika SAANA HIYO
@linnerphilip4260
@linnerphilip4260 4 ай бұрын
Kila kitu wallahii 😂😂 ucjal tunakuamn bhn
@charlestobby6031
@charlestobby6031 3 ай бұрын
Kazoea kuapia shida iko wapi apo ndug😅
@wazarendotv7966
@wazarendotv7966 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂Muongo huyu viapo vingiiiii kama anakana kosa
@sangotelleming7444
@sangotelleming7444 3 ай бұрын
Ayo namkubali sana uyu mdada frida
@djumakonki1964
@djumakonki1964 4 ай бұрын
Tuliambiwa kwamba Haji manara ndiye alikupeleka azam ! je ? nikweli .
@ifraimifraimuhusen282
@ifraimifraimuhusen282 3 ай бұрын
Frida naona kadata & ALLY
@wonderkid14.
@wonderkid14. 3 ай бұрын
Huyu jamaa asee anajua kuongea interview imepoa, fact nyingi asee jamaa kichwa sana
@antyigasper2850
@antyigasper2850 3 ай бұрын
Ila Ally😂😂 nakupend bure mm
@JoesB-i5i
@JoesB-i5i 3 ай бұрын
Ally
@ReginaManyangu
@ReginaManyangu 3 ай бұрын
Wapi chuo champira???
@attanasleones-wn5qs
@attanasleones-wn5qs 3 ай бұрын
Sasa mkome kumfananisha na yule mchekeshaji wa simba
@hamisaepee6938
@hamisaepee6938 4 ай бұрын
Muongo huyuu Viapo teleee 😂
@FredMaulid
@FredMaulid 3 ай бұрын
😅😅😅
@meshackdauda4315
@meshackdauda4315 3 ай бұрын
Mshenz uyu eti simba sc akaisifia ,ni kwamba simba ni dudee kubwaaaa bila kulitaja uwez toboa
@GodfreyLuziga
@GodfreyLuziga 3 ай бұрын
Manara alikusaidia wap kwenye ajira azam
@farlykunga8599
@farlykunga8599 4 ай бұрын
Mtu wa History san..😂..kichwa
@AlexMosha-ci5uq
@AlexMosha-ci5uq 3 ай бұрын
😃😄😁🧠🤔🎤📺🔥KAMWE IS VERY FUNNY GUY
@mathiasmhangilwa195
@mathiasmhangilwa195 4 ай бұрын
Dogo iq yako iko juu sana utafika mbali
@kidawajuma9597
@kidawajuma9597 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Nyamko-christmas
@Nyamko-christmas 3 ай бұрын
Watu wanatoka mbali
@khamoshmikidadi618
@khamoshmikidadi618 4 ай бұрын
Dah nampend uyu kaka atar
@FredMaulid
@FredMaulid 3 ай бұрын
Yah yupo vzr kichwani na maisha ni fumbo Leo ni msemaji wa kilabu kubwa bongo.
@alitante4279
@alitante4279 14 күн бұрын
Ali kamwe anandoto za ajb km za daimond 😂😂
@LatifaOmary-zo1un
@LatifaOmary-zo1un 3 ай бұрын
Ila ally😂😂😂😂
@DonaldMpili-de3kc
@DonaldMpili-de3kc 3 ай бұрын
Ila Ally n kamwe
@daudisemfuko
@daudisemfuko 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Aisha
@cryptoboy_5
@cryptoboy_5 4 ай бұрын
hii kichwa hii
ROSE NDAUKA AFUNGUKA SABABU ZA KUPOTEA KWENYE SANAA
11:10
Crown Media
Рет қаралды 2,8 М.
Cute
00:16
Oyuncak Avı
Рет қаралды 12 МЛН
So Cute 🥰
00:17
dednahype
Рет қаралды 67 МЛН
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 13 МЛН
Cute
00:16
Oyuncak Avı
Рет қаралды 12 МЛН