EXCLUSIVE: MAISHA YA WAHDZABE WANAVYOKULA NYANI "AKIFARIKI MTU ANALIWA NA FISI"

  Рет қаралды 61,461

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 129
@anordjoseph6644
@anordjoseph6644 Жыл бұрын
Jamaa kaongea vizuri sana kiswahili
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Maisha haya niya hatari Sana...Bora serikali ingesimamia swala hili waweze kutoka uku maporini waishi. Kama watu wa kawaida ..hivi NI mateso ...
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Subuhanallah.. Mtihani Allah awalinde maana hatadini. Hamjui hapo
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 Жыл бұрын
Serikali muache kuwafanya vibonzo kwa kigezo cha kuonesha watalii wafanyeni wastaarabike hii sio sawa kabisa nao ni binadamu kama sisi muwasaidie hao watu waishi kibinadamu ndo maana wazungu bado wanatuona waafrika kama nyani ni kwa mambo kama haya …
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Жыл бұрын
Daah umeongea kwa uchungu sana ingekuwa hizi comments zinazingatiwa nadhani hii ingeangalia zaidi
@robathcarlos8068
@robathcarlos8068 Жыл бұрын
Daah kweli aisee
@DENISLEMA
@DENISLEMA Жыл бұрын
Asili ni asiliii brooo ikifika stage watabadilika
@allymasubi9404
@allymasubi9404 Жыл бұрын
Serikali imewapa Hadi maeneo wamekataa ila wao ni alama ya culture unaelewa Hilo ko usicoment usichofaham.zimefanyika Hadi documentary kubwa duniani kuwahusu kifupi ni Moja ya alama muhimu ya utamaduni wa wa tanzania we must be proud of them the way they are.
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 Жыл бұрын
@@allymasubi9404 Usenge mtupu hata mm ningekataa unampa eneo Hadzabe ajenge na pumbu na hana shughuli yeyote yakumuingizia kipato mbona ww hauendi kujiunga na hiyo Culture.
@KhamisNasoro
@KhamisNasoro 5 ай бұрын
Mbona wa maasai waishio ngorongoro wametafutiwa makazi handeni wilaya ya msomera serekali wasaidiwe hao wenzetu
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 Жыл бұрын
Aaaah kumbe wanakula ugali ila hawapati sasa wanakosaje mashamba wakati wanaishi porini ila bora msilime maana mkilima tu mwajanyang'anywa lakini tuiombe Serikali yetu iwafikirie hawa watu hii nikarne nyengine jamani daaah inauma sana
@victorjames3730
@victorjames3730 Жыл бұрын
Nawaza tuu kama kuna siku watafurushwa kama wale wamasai
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 Жыл бұрын
Baada ya miaka 15 mbele tutakutana na wadzabe wengi wakiongea kingeleza na tutegemee kukutana na vijana wasomi na walowezi
@kamarhelo
@kamarhelo Ай бұрын
haya mfalme njozi
@SeifMohammedSalum
@SeifMohammedSalum Жыл бұрын
Hivi wanajua hal ya nchi kwel 😂😂😂
@Eliya-vv1jp
@Eliya-vv1jp 2 ай бұрын
hawajui ata rais ni nan!!
@frankazalia5985
@frankazalia5985 Ай бұрын
Wanajua nyerere yupo
@ayubumwangi7517
@ayubumwangi7517 13 күн бұрын
Yenyewe haiwahusu
@BetaboyBetaAthumanAthuman
@BetaboyBetaAthumanAthuman 29 күн бұрын
Serikali ya watu wakujilimbikizia mali na kugombania madakaka huku wakiuwana kusaidia binadamu kaa hawa wahaoni wamesha wafanya kaa utalii
@nyamwinukankwera3749
@nyamwinukankwera3749 Жыл бұрын
Duh kazi kweli kweli 🤔
@isakajoseph9926
@isakajoseph9926 Жыл бұрын
Dah afadhali ata wanajua kiswahili mana kuna wengine ukiwakuta ukiongelesha kiswahili wanakushambulia
@zulehaabubakar3574
@zulehaabubakar3574 Жыл бұрын
Sasa je wakimuona mtu kabila tofaut hawamuuwi
@Juke995
@Juke995 Жыл бұрын
Huyo ndo mjanja wasichimbe kijiji Ila sasa ndo wasichimbe makaburi mtu akitoloka 😂 hadi uliwe na fisi jamani 😂nilitaka kuhamia Ila nimegaili. Serikal iwapatie majembe I can imagine hicho kipindi watalii wangekuwa wanakimbizana kila kona mtu katoloka kaachwa fisi wanajilia
@erastoerasto898
@erastoerasto898 Жыл бұрын
Mtu mmoja arudie jina la dada tafadhari sijalipata vizurii😁😂🤣🤣🤣
@hamedahameed148
@hamedahameed148 Жыл бұрын
😃😃😃😃😃😂😂😂
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 Жыл бұрын
Shumu nokoonoko
@erastoerasto898
@erastoerasto898 Жыл бұрын
@@zainabumbondei8635 😁😁😁😁😁😁
@erastoerasto898
@erastoerasto898 Жыл бұрын
@@hamedahameed148 😁😁😁😁
@RahimaMct-ik8mr
@RahimaMct-ik8mr 3 ай бұрын
​@@zainabumbondei8635😂e
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 Жыл бұрын
Maskini uwa nawapenda Sana awa watu uwa Kuna ata adithi zao tumekua tunaadithiwa.
@IdrisaTuppa
@IdrisaTuppa Ай бұрын
Hivi Hawa Hawawezi Kubadilishwa Maisha Yao
@frankmare1708
@frankmare1708 6 күн бұрын
Mwanamke wa Kihadzabe ana rafudhi kama msukuma
@neemamasudi7988
@neemamasudi7988 Жыл бұрын
Vime niuma sana kuona serekali zetu kube wanzungu kwe watu wetu wakiasili sio vizuri jamani, Mme lipwa nini? na aho mapink?
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 2 ай бұрын
Hawa watu wamezoea haya maisha tulisha wasaidia na shirika linaitwa cuso tukawaleta wengine mjini kuwasomesha bt wakawa wanatoroka wanarudi huku
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 Жыл бұрын
Wanaongea vizuri kiswahili kuliko Wachaga 😢
@dianacornely4600
@dianacornely4600 Жыл бұрын
😏😏
@hechihans8309
@hechihans8309 Жыл бұрын
​😢😊i😊😊
@user-kn9ng6lg4j
@user-kn9ng6lg4j 10 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@jenivajacob7460
@jenivajacob7460 3 ай бұрын
😂😂
@salomewandya7257
@salomewandya7257 13 күн бұрын
Wanatakiwa walime maana mashamba wanayo
@trecygohy7847
@trecygohy7847 8 күн бұрын
Umeongea kitu cha msingi ila wao wamezoea kuwinda na kula matunda ya porini ila kama kuna wataalamu wa kilimo na ufugaji wangewapa mafunzo ya kilimo na ufugaji ili watoke kwenye kuwinda waende kwenye kilimo na ufugaji na biashara ndogondogo
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 Жыл бұрын
Twiga je hamuwindi ?
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 18 күн бұрын
Uko akuna kisukari wala presha
@jonathanjackson6123
@jonathanjackson6123 Ай бұрын
Mnakula mizizi wakt tunawaona mkila mpka ugari
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Kwn mmekatazwa kuishi mjini 😣😣, bc msafishe meno
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 Жыл бұрын
Haondowanalipa kodiii afuuu niajila
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@liberatusjackson5045 hayo meno au
@heyumi2340
@heyumi2340 Жыл бұрын
😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣😂etii wasafi she meno dah
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@heyumi2340 ndy 😊😊
@heyumi2340
@heyumi2340 Жыл бұрын
@@khadijahali4837 umenifurahisha
@KhamisHassan-ql5ut
@KhamisHassan-ql5ut Ай бұрын
SERIKAL IWASAIDIE MAISHA HAYA YAMEPITA NA WAKATI ELIMU WAPEWE
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n 2 ай бұрын
HUYU JAMAA ANAONGEA KAMA WILLIAM RUTO RAIS WA KENYA
@BaliseleElias
@BaliseleElias 2 ай бұрын
Mwanamke anaitwa Shumunegono😂😂😂😂
@salimumohammedsalimu1720
@salimumohammedsalimu1720 2 ай бұрын
😂😂😂huyo dada amejipindia
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 4 ай бұрын
Hawa jamaa wanaishi maisha ya kishenzi...wana Dhalilishwa sana...wanaonekana kama sio binadamu wa kawaida...mbona wanosoma wakipata elimu hawarudi tena kuishi polini kama wanapenda maisha haya?...hatuwaonei huruma watoto zao....tunawaona kama kivutio cha watalii...mbona kuo Hamuwaondoi 🎉kama walivyowaondoa wamasai kwa kisingizio cha kuishi polini...hawa wanaachwa ni wanyama gani wanaitwa?
@user-xw9wo7nh6c
@user-xw9wo7nh6c 4 ай бұрын
masikini wezetu bd kabisa wanadumisha mila lakini serikali msiwafanye kama maonyesho
@mbunah255
@mbunah255 Жыл бұрын
Ndomana kanye alisema waafrica utumwa wali jitakia wenyewe
@benjo_brighter
@benjo_brighter Жыл бұрын
Kumbe kiswahili kipo kipo 😲
@Prince0fald
@Prince0fald Жыл бұрын
Wabadilike, wawe kama binadamu wengine. Ustaarabu ni jambo zuri
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 Жыл бұрын
Safi sana hii ila tatizo kwa serikali yetu wameshafanya vibonzo vya kuwaonesha watalii .
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 Жыл бұрын
Kwa nn msijenge polini miti mingi khaa🤔
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Ай бұрын
Watu wema sana hao hawana fitna kama tulizoja nazo uku mjini.
@Fredrick-tl5gl
@Fredrick-tl5gl 26 күн бұрын
Hawa jamaa ni wazeembe itakuwa
@kaayakitomary1233
@kaayakitomary1233 Жыл бұрын
Wazungu kwao hawaonyesh barabara hata moja mbovu
@chidybwax8080
@chidybwax8080 Жыл бұрын
Limeni mbona inawezekan
@user-gc2bk4rq9k
@user-gc2bk4rq9k 4 ай бұрын
Elimu inahitajika..
@amanimusa5744
@amanimusa5744 Жыл бұрын
Serikali iwasaidie wasiwafanye vituko kwa watalii.
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 3 ай бұрын
Serikali iwawezeshe waanze kulima hii sio poa
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 Жыл бұрын
Wanahitaji elimu ya dini kwa hiyo watalii wanakuja kutizama munavyo ishi kama wanyama na ndiyo nyie kunawafanya Waafrika wote waonekane hawana elimu wala akili ni sokwe nyie ndio chanzo.hebu serikali wapelekee mahitaji ya kibinaadamu nguo.ujenzi na vyakula
@MohamedAli-ho5fq
@MohamedAli-ho5fq Жыл бұрын
Serekala yatu tukufu tuwawasaidie a wa watanzania wenzetu serekali wejengeeni ata vibanda vya kuisha .mvue ikinjesha wanakimbilia kwenje mapango ya mawe? Serekala waoneeni uruma .
@user-vy8of1cy5n
@user-vy8of1cy5n 4 ай бұрын
wana abudu nini?
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 Жыл бұрын
Watu awa badowapo duuh nilikua zamazakaletu
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 3 ай бұрын
Kumbe wanaongea kiswahili kizuri tuhh wanyama hawa😢
@Gersah
@Gersah 3 ай бұрын
Ww mdudu
@nelykaaya6503
@nelykaaya6503 Жыл бұрын
Daa ninomasana🤣💥💥💥💥
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Jina la dadaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ayubumwaipopo8203
@ayubumwaipopo8203 Жыл бұрын
..lakn haw ni hadzbe wa kisasa...wanjua had kxwahil 😂
@betyjoseph6812
@betyjoseph6812 Жыл бұрын
Kweli kabisa 😂😂 siyo hadzabe wa kienyeji
@ayubumwaipopo8203
@ayubumwaipopo8203 Жыл бұрын
@@betyjoseph6812 balaa kwa kwelii 😂
@ayubumwaipopo8203
@ayubumwaipopo8203 Жыл бұрын
@@betyjoseph6812 balaa kwa kwelii 😂
@godfreykarata3710
@godfreykarata3710 4 ай бұрын
Shumunekoono watoto 8 na bafo
@escobar2111
@escobar2111 Жыл бұрын
Awaa jamaa sio binadam kwa kweriii
@reubenkissinga5802
@reubenkissinga5802 Жыл бұрын
Una mawazo ya hovyoo sanaa!!Kiufupi wewe ni kijana wa hovyoo hapa Tz!!
@victorjames3730
@victorjames3730 Жыл бұрын
Kwanini?
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 Жыл бұрын
Hapo ni tumbili
@heyumi2340
@heyumi2340 Жыл бұрын
@@reubenkissinga5802 waty gani wanakula wanyama ambao hawafai kuliwa hawa hawachekan na wazungu wachina waphilipono wanakula wadudu wote
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 Жыл бұрын
Chimbuko lao ni ethiopia na zudan kuna kabila linaitwa nyangatom wapo ethiopia wakatili hatari
@neemamasudi7988
@neemamasudi7988 Жыл бұрын
Sasa nyie sere kali zetu za Ki Africa mkoje nyie mnaogopa wanzungu? hizo ndo asili zetu za Ki Afrika kwa hiyo chenye mna takiwa kufanya muheshimu mila zetu. Wanzungu siokitu nirangi tu ata huku kwao wana hisha kwa magumu nibasi tu.from 🇨🇩🇸🇪
@alenyema
@alenyema Жыл бұрын
Akunku kukuuu
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 Жыл бұрын
Sasa km hamna mlango munapigana vp miti ?
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 Жыл бұрын
Usiku wa manane
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 Жыл бұрын
Na wakigongana miti hao inaonekana kuna purukushani sio ya kawaida kama wanaua simba hiyo miguno
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 Жыл бұрын
@@RobbyDejan1234 wewe Robby
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 Жыл бұрын
@@RobbyDejan1234 wasema?????
@iddymemba8795
@iddymemba8795 Жыл бұрын
😅😅
@user-mc1ll4py3f
@user-mc1ll4py3f 4 ай бұрын
Awo watu wawe wanaenda shule
@altaphonebypassofficial
@altaphonebypassofficial Жыл бұрын
hivi hao watu bado wapo ??
@reubenkissinga5802
@reubenkissinga5802 Жыл бұрын
Wamekufaa wote jana!!!
@aminamohammed7946
@aminamohammed7946 Жыл бұрын
@@reubenkissinga5802 🤣🤣🤣
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@reubenkissinga5802 🤣🤣
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@altaphonebypassofficial
@altaphonebypassofficial Жыл бұрын
@@reubenkissinga5802 nyoko zako ww 😀😀😀
@bosskimaro
@bosskimaro Жыл бұрын
BAKI MWEUSI UKICHEPUKA HUONEKANI! kzbin.info/www/bejne/fIPUdnyvob9sh8k
Hunt to Survive | Hadza Tribe (Unchanged for 50,000 years)
38:31
Ruhi Çenet
Рет қаралды 45 МЛН
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 16 МЛН
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 214 МЛН
WAHADZABE NOMA.! ONA WANAVYOKULA ASALI BILA KUOGOPA NYUKI
3:17
TBConline
Рет қаралды 116 М.
UTALII WA NDANI - ARUSHA:WYOMMY 16 PLN WAHADZABE 3
20:29
Channel ten
Рет қаралды 113 М.
TUNDU LISSU ALIVYOAGWA NAIROBI AKIPAA KWENDA UBELGIJI
11:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 208 М.
Mpaka Home MAISHA HALISI YA MUIGIZAJI KINGWENDU NYUMBANI KWAKE
18:31
Hadzabe  | Tanzania
13:00
Tatouf al Mzungu
Рет қаралды 1,5 МЛН
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 16 МЛН