Yes,tunahitaji viongozi waliyokomaa kisiasa kama Mh.Nyalandu,na hii huduma uliyokirimiwa na MUNGU ifanye pasi ulegevu wala kuogopa,kwani yamkini ndiyo itakayokuingiza ktk ufalme wa MUNGU aliye Hai.MUNGU akubariki sana Ww Nyalandu unayestahili sana kuitwa MHESHIMIWA.Nakupenda sana Mh.Nyalandu wema wako huu,zaidi sana kutenda mema hili ndilo uliloitiwa kuliko hata ubunge
@siamollel97257 жыл бұрын
Mungu akubariki Mh,Mungu mponye Mh Lisu
@immaculeeuuiiopnsabimana45007 жыл бұрын
Oohh my God maneno mazuri sana jamani Allah azidi kumpa roho ya upendo InshaAllah
@agneslaizer78337 жыл бұрын
Sifa na utukufu wa Mungu unaye yeye mwenye kuunena na kutenda. Mh. Nyalandu Mungu akuinue.
@victorkellei13827 жыл бұрын
Hongera sana mh Lazaro, Mungu akubariki
@lucytarimo16887 жыл бұрын
Amina ubarikiwe
@edoedward18607 жыл бұрын
Mungu akupe heru na baraka, usiangalie siasa bali angalia ubinadamu, mungu atakulipa,
@lizzyshoo80847 жыл бұрын
Mungu akubariki sana heri mkono wakutoa kuliko wakupokea
@sylviamassawe26675 жыл бұрын
Mungu akutunze baba
@agneschaula37347 жыл бұрын
wise word God bless u Nyalandu
@mosesndahani89127 жыл бұрын
Mungu akubariki sana, ktk ujumbe huu natambua kwa Mungu amekupa kitu cha tofauti sana. tunakuombea Nyalandu
@geraldmajula14537 жыл бұрын
Hongera sana Hongera sana Ndugu mpendwa Mh. Nyarandu. . Mungu ana makusudi na wewe. Nakutakia maisha marefu. Asante sana kujiandalia maisha mema ya baadae
@veronicawoisso53327 жыл бұрын
Amina sana Mtumishi, endelea kwa moyo huo huo bila kujali wanasema nini kwani anayekulipa ni Mungu tu
@petrokawau6827 жыл бұрын
Uko juu Sana Mh. Nyalandu. Kwanza ulipotaja tu Kibaha Boys na kisha Elbolu.... Nikajua unaakili..... Unaakili Sana na Mungu atakuinua na sisi tuko pamoja na wewe.
@anselmmwajombe20347 жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa songa mbele, Mungu akubariki sana...
@samdiah97797 жыл бұрын
"Let Love Lead" what a great message - God sent message. purely a servant of God! God bless you man of God! your faith will never fail!
@delebm5437 жыл бұрын
Hongera sana kwa kauli nzuri mh. MUNGU AKUBARIKI SANA KWA MSAADA WAKO.
@charlesnjilegiiti53987 жыл бұрын
Kaka yangu Nyalandu kuwa na moyo huo huo usije ukashawishika kwa kudanganywa na wanasiasa ambao wanatanguliza masirahi kuliko maisha ya mtu...Mungu akulinde na akuongoze kwa kila ulifanyalo amen...!!!
@kelvinolotu12007 жыл бұрын
Kaka mungu akubarik naomba uwaelmishe wengne wenye upeo mfup wa kufikir na kuona siasa n vta na chuk
@davidtenga91667 жыл бұрын
Hongera sana Mhesimiwa Lazaro Nyalandu,kwa maneno mazuri yenye elimu kwetu sisi Watanzania,kwani tumefika mahali pabaya kwa kubaguana kwa itikadi za vyama vyetu,Pia mungu akubariki sana kwa huduma ambazo umewahi kutoa na ambazo utatoa huko mbeleni,umekuwa kiongozi wa mfano kuigwa na watanzania wote
@mhandyeyoo65917 жыл бұрын
Ameen kk ubarikiwee saana🙏🏾🙏🏾🙏🏾shikilia funguo za mbinguniiii🙏🏾🙏🏾🙏🏾nimeliaaaa kwa uchunguuuu ubarikiweeere saaana naelekea kwa tbjoshua kwa ushuhudaaaaaaaa ubarikiwee saanaaaaa kizazi cha Noah🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@mwanachuoemanuel37697 жыл бұрын
safi Sana nyalandu naomba mungu akupe maisha malefu achana na wapuzi wa ccm walitaka kumuua lisu wameshindwa mtu akijitolea kuchangia mnachukia . ata mkiwapiga lisasi chadema itakuja chadema. nyingine. ata nyie mtakufa kuma nyoko zenu
@marykitiru92127 жыл бұрын
ooh Mungu azidi kukubariki..akupe uzima na afya tele na awe mlinzi wako utokapo na uingiapo..barikiwa sana...
@adelaidedaycareprenurseryk63247 жыл бұрын
Nyarandu nakupenda sana kwa sababu Mungu ameweka makao moyoni mwako Mungu akutetee na kuku inua zaidi ustawi kaka yangu
@cathymosha44127 жыл бұрын
barikiw sana
@sulleysonmishlaymishlay72337 жыл бұрын
Hii nimeipenda Mhe Mungu akubariki songa mbeletu
@josephmchila64677 жыл бұрын
Hakika uko sahihi sana bro
@imanmsafil44367 жыл бұрын
mungu akulinde mh nyarandu kwan kwa mung akuna cheo
@danidanieli26305 жыл бұрын
mheshimiwa uko sawa kabisa...pls nisaidie na mimi sirias naumwa...
@danielgwajima28377 жыл бұрын
Ukweli daima utasimama imara,wewe ni mmoja wa viongozi mwenye busara,hekima na mwenye hofu ya Mungu pia. Watanzania tunaendelea kukuombea ili uwe na maisha marefu na pia uendelee na moyo wako huo wa kujitoa kusaidia shida mbalimbali bila kujali itikadi za vyama. Mungu akubariki sasa.
@doreengomes34895 жыл бұрын
Honorable Nyalandu, God bless you in abundance.
@esthermichael57927 жыл бұрын
umenifundisha kitu mheshimiwa..Mungu akubariki
@mathewbicco78417 жыл бұрын
Hongera sana tena sana. Barikiwa sana
@elizabertshayo5587 жыл бұрын
Safi sana Nyalandu Mungu akuzidishie maicha marefu
@happinessmwaipopo74267 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Nyalandu kwa moyo wako mzuri.
@simonfundi54727 жыл бұрын
Barikiwa sana baba
@florsnzunye94077 жыл бұрын
hongera
@zuwenasirgutty88307 жыл бұрын
Maneno ya Hekima.. Mungu akubariki #Nyalandu
@mosesmlowe80336 жыл бұрын
hengera Mh. Mungu akulinde nakukuongezea
@sheilalolila22337 жыл бұрын
ijumaa karimu. mungu akuzidishie na akupe maisha marefu + mwisho mwema ishallah.
@amanimram33337 жыл бұрын
safi snaaaa mungu akubarikiii n ndy maan upo vzriiiii
@medsonulendo42217 жыл бұрын
maneno yenye busara nyalandu cc sote ni NDUNGU taifa moja baba mmoja mungu atakulipia amina
@stelasasala59727 жыл бұрын
Nimekuelewa bro unahofu sn na Mungu. Mungu akubarik sna.
@judynjabeky56027 жыл бұрын
Amina amina amina utukufu ni kwa mungu, mungu akupe maisha marefu sana
@samhendawallaa21447 жыл бұрын
Asante ubarikiwe
@donaldsinkamba48677 жыл бұрын
kweli Mungu anao watu wengi. sikujua kabisa km bado duniani kuna watu was Namna ya Lazaro Nyarandu, Mungu akutie nguvu adui watakapoinuka uweze kuwashinda.
@DaudiSanga-m5o2 ай бұрын
Nyalandu mungu akutengee baraka zako huko mbinguni
@hamisimsalapai77857 жыл бұрын
hongera sana..japo sijajua chanzo cha mapato wakati ulipokuwa sekondari
@marcodominico95037 жыл бұрын
ITOSHE TU KUSEMA MUNGU AMEPITIA KWAKO KUWAAMBIA WATU UKWELI. INAFURAHISHA SANA WATU WA NGAZI ZA JUU KI MADARAKA WANAPOONGELEA HABARI ZA MUNGU. BE BLESSED BRO
@tracyjustice16007 жыл бұрын
Mungu akubariki sana muheshimiwa Nyarandu, wewe ni Mzalendo na hiii ndio maana ya Uzalendo
@kidaghokadari32947 жыл бұрын
Asante kaka
@idirulali40377 жыл бұрын
sawa Nyalandu
@zenasalumu25607 жыл бұрын
Hongera mungu akubaliki sana
@marthasilas43047 жыл бұрын
kweli. may God blec u all the time
@yusuphmwandendi70857 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@allenmongi54517 жыл бұрын
mungu akubariki nyalandu asiwepo atakaye pungukiwa ndani ya malango yako unacho kifanya kikawe kumbukumbu kwa mungu awakumbuke watoto wako hata kama utakuwa haupo duniani
@halimamasai22347 жыл бұрын
Wewe ni mfano wa kuigwa mungu akubariki sana maashaallah
@xxxxxx-qi4fq7 жыл бұрын
good speech nyarandu
@tuntumemedia20467 жыл бұрын
Nimekupata kaka, Hon. Lazaro unao.uwezo na karama ya upatanishi, Mungu azidi kukubariki watu wenye masikio na wasikie neno.hili ambalo Lazaro ayambiambia mataifa.
@justinemgomi95617 жыл бұрын
ubariakiwe Mh Nyalandu ubarikiwe hapa duniani na Mbinguni
@masudiitembele54147 жыл бұрын
kabla sijamaliza kuisikiliza nimeipenda sana huko kujitolea kwa mh, nyalando, mungu akubariki
@mathewjoachim86325 жыл бұрын
God bless you nyalandu
@janethjackson53707 жыл бұрын
Viongozi wote igeni mfano kwa Lazaro MTU wa mungu
@jafariufuku32157 жыл бұрын
asante sana nyarandu
@johaivenbyashara26657 жыл бұрын
Mungu akubariki ndugu Nyalandu
@samsonikijanga52447 жыл бұрын
nimekukubaliiii kaka singidaaàa oyeeeeeeee
@eliasjohn10727 жыл бұрын
Safi sana brother Mungu akubari sana Wewe ndo unafaa kuwa prisdent Ajae
@beatricenicholausiwasa76017 жыл бұрын
mungu akubariki nyarandu
@aminayasni90317 жыл бұрын
Safiiiii baba mungu hutumia watu
@gidionmchembe22345 жыл бұрын
Good words
@ibrahimmungure74937 жыл бұрын
shemeji uko vzuri, safi Sana
@landeysatulo11997 жыл бұрын
Mungu akubariki sana my brother Cku zote tenda mema nenda zako usisubiri shukrani hapa duniani lkn Mungu yupo atakulipa kwa yote
@davidjohn5437 жыл бұрын
Mungu akuongoze
@gasperpatrick89197 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu hicho ni kipawa mwenyezi mungu kakupa
@emmanuelmasele87347 жыл бұрын
Mungu akuongezee moyo wa upendo na Hekima zaidi.Wapiga kura wa Nyarandu kura zenu zilikuwa na mkono wa Mungu.
@tumpembenatumpe36817 жыл бұрын
asante nyalandu mungu akubariki huo ndo uzalendo
@tosiankel5647 жыл бұрын
Nmejifunza kitu kutoka kwako God bless you
@emmanuelndoss13417 жыл бұрын
hongera nyalandu
@rogerserickurassajr.91637 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏✅✅✅✅mh!!! Lazaro Nyalandu
@wendyeliezer64197 жыл бұрын
Mungu akusimamie sana na akulinde
@paulineandrew1817 жыл бұрын
Nyalandu umeongea vizuri sana
@ashalaurent65627 жыл бұрын
Lati viongozi wengine nao wangekuwa kam wew hata mungu angezidi kubariki taifa letu ubarikiwe san nyalandu
@kisakahagai88277 жыл бұрын
mungu akupe njia nyepesi uwe Rais wangu
@princesinko40737 жыл бұрын
Kumbe huyu ndugu ana moyo wa kusaidia watu tangu akiwa bado, Mungu akulinde
@mropetbjoshotz3347 жыл бұрын
Mungu ni Mwema
@hongerakkachawasemewwkzbut49967 жыл бұрын
sante mnyaturu mwenzangu mwishimiwa nyalandu mungu akupe miaka 190🙏🙏
@richardsoka24007 жыл бұрын
There are very few human beings particularly amongst politicians of the caliber of Hon Nyalandu!
@marklekasango93007 жыл бұрын
barikiwa sn nimejifunza kuafanyika msaada pale napoitajika
@allysaid28467 жыл бұрын
ongela sana mungu atakuzidishia wewe na familia yako
@lizzyshaban54077 жыл бұрын
mungu akubrk San mh nyalandu mungu akulnd uzd kuwasaidia wengi
@robertkairo84837 жыл бұрын
Mungu akubariki sana kaka. Ni matendo ya huruma kabisa..Watu wanaouguswa na huduma yako wanauona mkono wa Mungu kupitia wewe.
@angelomalimi64387 жыл бұрын
mini Mingu akubariki sana
@humphreycned40567 жыл бұрын
Exactly
@geofreybernard73137 жыл бұрын
Unanitowa machozi kwa wemq wako Nyarandu,wachache sana duniani wenye moyo kama wako wa uruma na upendo umekuzunguka,sura yako nikiangalia na sauti yako ni tosha wewe ni mfano wa kuigwa,tumekuja duniani sio kwa kubaguwana kwa ajili za itikadi zetu,mh.marandu nakuombea uhishi maisha marafu na kheri duniani
@michanomichano49317 жыл бұрын
Mm ni chadema damuu lakini kwa hili ubarikiwe mh.mungu akuongezee
@yombopeter36357 жыл бұрын
Hongera
@deogratiusmanyangu11957 жыл бұрын
Hongera
@hellenkahoko14497 жыл бұрын
Mungu Akubariki Sanaa MTU wa Mungu na Akuinue kwa Viwango vingine vikubwa mnooo
@gideonimathew64917 жыл бұрын
Yesu ni mwema kwa watu wake. msichoke kutenda mema
@yassinnabwera42737 жыл бұрын
Nyalandu,kumbe una huruma kiasi hicho?Mungu akulinde na akuepushe na mabaya yote.Una Upendo uliotukukuka.
@loatalothi87847 жыл бұрын
PERFECTLY FINE, ABSOLUTELY HON.NYALANDU YOUR THE REALL ROLL MODEL WHICH A LIVE.AND OUR COUNTRY AT PRESENT IS IN GREAT HORRIBLE TRAGEDY OF HATRATE BECAUSE THE SO CALLED LEADERS ARE SERIOUSLY LACKING SUCH WISDOM YOU HAVE.INGEKUWA UGONJWA TUNGESEMA WAPO ICU MAHUTUTI ZAIDI YA LISSU LEO,MUNGU AKUZIDISHE.PLEASE NIRUHUSU NIKIJA TANZANIA NIKUTAFUTE YOUR MY MENTOR AND ROLL MODEL.WHETHER YOU LIKE OR NOT.ASANTE.
@loatalothi87847 жыл бұрын
+971552208783 HONGERA SANA MUHESHIMIWA LAZARO YOUR THE GREAT ASPIRATION FOR MANY WHOM DID NOT GET A CHANCE TO COMMENT I DID.YOU MADE MY VISION
@justinemsela54567 жыл бұрын
ubarikiwe sn
@maikomollel44435 жыл бұрын
Mungu akubariki nyalandu
@richardmboka74677 жыл бұрын
unayo hekima MUNGU akubariki Sana
@amirijuma59197 жыл бұрын
Atakae kulipa ni mungu tu na si binadam heshima kwako nyalandu
@fredrickmalunde34267 жыл бұрын
Mimi na kukubali sana
@mangiclaus7 жыл бұрын
lazaro nyalandu nakuomba uwe kaka yangu... naomba unipe nafasi nikuone na nikushike mkono. NIPO SIRIOUS Kabisa
@samsonnzisabira7687 жыл бұрын
mfano wa kuigwa!!
@fedrickhaule64527 жыл бұрын
Naamini hiyo ni hekima aliyokujalia Munngu usijali maneno ya watu midomo nimali yao kusema wanavyoweza mtangulize Mungu mbele
@mokhimji7 жыл бұрын
god bless u
@rosemaryanaely31687 жыл бұрын
naweza kushuhudia hilo kwa sababu hata mm ulinisaidia nkiwa mgonjwa mount meru na hukuwa unanijua before