No video

#Exclusive

  Рет қаралды 5,952

BENTV MEDIA

BENTV MEDIA

Күн бұрын

Пікірлер: 45
@emmanuelkarwana4506
@emmanuelkarwana4506 Ай бұрын
Uyu mzee kweli mbone Hana point muhimu 😂😂😂😂
@kolosii4351
@kolosii4351 Ай бұрын
Huyu ndio akaiwakilishe yanga kimataifa??
@merchiorytafuta8876
@merchiorytafuta8876 Ай бұрын
Huyu katumiwa na makolo
@user-id5oc7hm4n
@user-id5oc7hm4n Ай бұрын
😂😂😂😂😂 ,,uto bhana
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Ай бұрын
​@@user-id5oc7hm4n kwani hao makolo si washapelekana mahakani mpira wa tz unavitu vya ajabu mnoo watz ni watu wasiopenda mazuri alikuja raisi tz alietaka ibadili nchi wakatokea wtz na kumpinga na hata kufurahi alipokufa ni watu wenye roho za ajabu mnoo akija mtu mwema hatumtaki
@jaribunimangoma4322
@jaribunimangoma4322 Ай бұрын
Pole😂
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 Ай бұрын
Hee huyu Juma Magoma kwani amesharudi Yanga ? Huyu si ndiyo waliyo anzisha timu yao Pan Africa yeye ni mmoja wao ? Daa inamaana amesharudi kwa kutaka kuifanya Yanga ni sehemu ya kucheza bao kama zamani ?
@user-zt4rd5pr1e
@user-zt4rd5pr1e Ай бұрын
Huyu mzee mwisho wake nimbaya yana, hii ndio tz soon mtasikia ametekwa na wasiojulikan
@victorernest7702
@victorernest7702 Ай бұрын
Waende zao huko na ufalaa wao walikuwa wap siku zote team imesimama imara ndio walete makomwe yao
@AgenesMugema
@AgenesMugema Ай бұрын
Mzee anamatatizo kila kukicha anachochea tu, Yanga ni kubwa kuliko yeye. Miaka yote uko Yanga ulishindwa kujenga uwanja, Hernsi anapiga kazi timu yetu iko vizuri hao wazee wanatakakupiga ela.
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 Ай бұрын
Ila wandishi wa habari wa Tanzania bwana, mediocres 😂😂😂😂
@errydeo8865
@errydeo8865 Ай бұрын
Tell me about it! Have never seen anywhere else! Do you know why,? They have nothing sensible
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki Ай бұрын
Mbona kama mchawi jaman uchawi haujawah muacha mtu salama
@NgunoSangano
@NgunoSangano Ай бұрын
Mzee huyo hana akili kabisa yanga umependeza kwa ajir ya kua na kiongoz mzur sio mzee huyo alaniwe kwa jina muumba
@AkramIbrahim-c8w
@AkramIbrahim-c8w Ай бұрын
Sura Mbaya Hy Kunguru Hakutaki Kama Mlikuwa Na Shida Ya Pesa SI Mseme Mpewe Hersi Hamjamdjalilisha Mmejidhalilisha Nyie Wenyewe Kofia TU Inakujulisha Wewe Una Njaa
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf Ай бұрын
Uyu Mzee" dawa yake ni kurogwa ana paswa kutuachia timu yetu
@alluminiumexperttz.12mview13
@alluminiumexperttz.12mview13 Ай бұрын
Huyu mzee hiyo kofia tu alivyoivaa anaonekana katumwa na Mo
@godlovemapunda774
@godlovemapunda774 Ай бұрын
Huyo mzee asijaribu kutuharibia timu. Hiyo ni njaa tu. Aiache yanga yetu.
@AkramIbrahim-c8w
@AkramIbrahim-c8w Ай бұрын
Hersi Bado Yupo Cn Yanga Hayo Ni Kama Wingu La Mvua Wenye Chuki Wenye Hassad Wenye Wivu Mungu Atawalaani Mmefeli Kalimeni Ufuta
@robertmsukwa8466
@robertmsukwa8466 Ай бұрын
Njaa haijawai acha mtu sarama huyu mzee sura tu inawakilisha tabu zake ila mungu yupo hawawezi kuivuruga yanga yetu
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf Ай бұрын
Uyo magoma yy ninani pale yanga!? Kifupi uyo magoma atupishe nasiyo raisi wetu Erisi
@errydeo8865
@errydeo8865 Ай бұрын
Ts all nonsense!
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf Ай бұрын
Kiko sawa sawa kivipi!? Kwani ww ninani!? Kaa uko na magoma yako
@shafiigama
@shafiigama Ай бұрын
Uyu mwandishi taira na muhojiwa taira😂😂😂
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf Ай бұрын
Mpandie uyo magoma tuone yy ana mchango Gani pale yanga!? Na kwanza yy ana jikuta nani kifupi mie naona uyu mzeee ana tafuta kurogwa
@user-ut9uo6dc9d
@user-ut9uo6dc9d Ай бұрын
kuna watu wa ovyo jaman ka ma kweli wanaipenda yanga wasingeweza kufanya ivyo. Yanga inafanya vizuri ndo wanaitaka. kwan. dah mungu amsaidie rais wetu kama kura tupige tena. tubaki na furaha zetu
@swedywamba5535
@swedywamba5535 Ай бұрын
Hata sura yake tuh inaonyesha hatutapata matokeo
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv Ай бұрын
MUZEE MAGOMA USITULAZIMISHE KUTAFUTA UCHAWI BADALA YA PESA KAA PEMBENI ULE UZEE MI NAKUSHAULI TUU
@errydeo8865
@errydeo8865 Ай бұрын
Huyu mzee njaa! Watu wanashindwa kulipia ada,wataweza kununua hisa???? Na kwa miaka yote ,why today?
@AkramIbrahim-c8w
@AkramIbrahim-c8w Ай бұрын
Mzee Punguza Njaa Hersi Mtoto Mdogo Kakiuzidi Kl Kt Akili Uwezo Kipato Hy Njaa Babu Sema Mayo
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Ай бұрын
Uyu mzee mtu wa flag nini
@user-nx1ne6fd2w
@user-nx1ne6fd2w Ай бұрын
Iv uyu kagoma ninan ?jiepushe Mzee nenda katafute mashamba mpumbavu wewe mmeshakaliaga yanga nasimba hamtak kutafuta Kaz wewe utaendesha iyo klabu ?
@chiefnumborecords4819
@chiefnumborecords4819 Ай бұрын
HUYO JUMA MAGOMA KWETU SISI WANACHAMA NA MASHABIKI WA YANGA AFRICA ATUWATAKI HAO WAZEE WASIO NA AKILI NANI ATAWAPIGIA KULA? KWA SASA WAO WENYEWE WAMESHA JUWA WAMEHARIBU WANAJISTUKIA KWA WALICHOFANYA AKIJA TUPENDEZA
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Ай бұрын
Magoma akil kubwa
@josephmwise3177
@josephmwise3177 Ай бұрын
Hatuwezi kuludi kwenye bakuli tumtafute Magoma popote alipo atueleze.
@errydeo8865
@errydeo8865 Ай бұрын
Mpira wa Tanzania utabaki kuwa chini,hatua moja mbele,kumi nyuma! Soo stupid
@MuammaryAbdalla
@MuammaryAbdalla Ай бұрын
kumekucha ukooo nyuma mwiko kesi yenu simba wanahusika na nini mi nilijuwa2 kimya kikubwa kina mshindo haya sasa uko nyuma mwikooooo mumeshatiwa mwiko wa nyuma haya utoweni sasa
@abdullmahmoud2092
@abdullmahmoud2092 Ай бұрын
Uyu jamaa nataka madaraka uyo wazi wazi ila watu kama hawa wanakuwepo kwenye jamiii wanataa sana ila simba zipo nafasi sio kwa yanga
@JonhLenadi-zl8ct
@JonhLenadi-zl8ct Ай бұрын
Hao waazee wataka kuhalibu yanga yetu injinia hels amefanyakazi nzuli sana kwamimi viongozi wabaki Kwa kazi wapo vizuli sana
@MuammaryAbdalla
@MuammaryAbdalla Ай бұрын
huko nyuma mwiko kumekucha
@MuammaryAbdalla
@MuammaryAbdalla Ай бұрын
kila siku munaambiwa nyuma mwiko wenye akili ni watu wa wili2 haya ilikuwa munaicheka simba kwa migogoro saiv na nyiny muna nini munamcheka mamba wakt hamjavuuka mto hususa ni nyinyi vyura mumeshajijuwa munaishi kwenye maji halafu manamcheka mamba
@Listarmwandenuka-fq8jm
@Listarmwandenuka-fq8jm Ай бұрын
​@@MuammaryAbdallahila wewe kolo. Ulijuwa kama mangungu nini hers bado yuko Sanaa injinia
@josephlorri431
@josephlorri431 Ай бұрын
Njaa mbaya sana... huyu babu ndo wale wazee wanaofuga mabaunsa,kamati za kulogana..
Мы сделали гигантские сухарики!  #большаяеда
00:44
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 4,1 МЛН
Raila's AUC Bid Launch: Tanzania President Samia Suluhu's speech
7:05