Imelda Kwa mara ya KWANZA UMEPENDEZA MNO. kumbe wee mzuri sana ila maisha tu
@elizamushi-yv4iz4 ай бұрын
Nature,sitaki
@AzaAzamhmod4 ай бұрын
Sinta wangu❤❤❤❤
@AzaAzamhmod4 ай бұрын
I adore her lips❤❤❤
@bkkomesho92724 ай бұрын
Juma nature
@mariajackson59604 ай бұрын
Dada sista jamn kitambo sanah...nakumbuka ulikua unapita nje ya kanisa la KKKT kimara korogwe unaenda kwenu wanafunzi wote wa kipaimara tukatoka nje tuje tukuangalie ❤
@FekiHappy4 ай бұрын
Ila kajitunza mwili.mzuri ukilinganisha na umri wake
@Gratefulheart31884 ай бұрын
Sinta kafanana na Luiza Mbutu kabisa
@alsam48814 ай бұрын
Ungemtafuta na Nora umuhoji kapotelea wapi? Hapo hospitali ya Saifee kumuona daktari tu ni sh. 30,000 bado vipimo na dawa ni bei nyengine.
@aggiemarley57423 ай бұрын
Na yule aunt seche pia mtafute tujue jamani
@jennet64844 ай бұрын
Kwel vitu vina badilika leo tunakuona una pua kubwa😢
@elizabethchikawe9004 ай бұрын
😂😂😂😂
@HadijaZabroni-pu1lt4 ай бұрын
Hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣🤣😂
@LailaTwalibu4 ай бұрын
😂😂Izo ndo pisi kali za zamani siku izi wazuri wengi
@sophysamar76844 ай бұрын
😂😂😂😂
@elizamushi-yv4iz4 ай бұрын
Aseme tu kweli Jmo ndo alimfanya kuwa maarufu
@ChristinaOnditi-el3xo4 ай бұрын
Hiyo less wigi nahisi umenunuliwa na wema maana wee mbahiri sana
@chire45744 ай бұрын
Uyu dem alikuwa mkali sema tu umri umembadilisha
@mariajackson59604 ай бұрын
Yani acha
@Marjeby4 ай бұрын
Daah aiseee mambo yanàbadilika sana aiseee huyu Sinta miaka ile tupo shule Kariakoo Sinta na Juma Nchi ilitikisika Aiseee issue inababaki hivi watu wazamani hawakua na macho au zamani warembo hawakuwepo?!hivi kwa mabint wa leo huyu Sinta anasimama wapi mpaka aonekane??
@charlesmtesigwa29234 ай бұрын
Sintah alikuwa mzuri sana tu ujue apo unaongelea miaka zaidi ya kumi na saba iliyopita nyuma kwa mwanamke lazima apate mabadiliko makubwa sema anajipenda mbona apo alipo anawakalisha warembo wengi tu maarufu wa sasa
@sophiakimaro51744 ай бұрын
Warembo wa zamani ilikuwa ni urembo wa asili.siku hizi urembo unanunuliwa
@masalakulwa76014 ай бұрын
nilijuaga ana shape kumbe hola
@jadetoto4 ай бұрын
Kyanite lazima ucomment hivyo you being too cheeep
@jadetoto4 ай бұрын
Nimekumbuka mbali sana Watton wa 2000 hawawezi mjua labda wagoogle.Alikuwa Super star wa kweli kweli.mrembo with beautiful smile
@hellendaniel38094 ай бұрын
Kuna mtu hana shape????? Shape zinatofautiana tu kuna pentagon,hectagon,hexagon,circle,triangle,rectangle,trapezium etc etc😏😏😏
@aprilrosaliapanda48954 ай бұрын
Dada zako wanayo!?
@gloriadaniel38274 ай бұрын
Kama sikosei aliwahi kuolewa na Mganga wa kienyeji wakahamia SA. Mganga akafia huko.
@TrizerMunishi4 ай бұрын
Sio sinta ni Nuru Nasoro a.k.a Norah ndiye aliyeolewa na mganga wa kienyeji na wakahamia S. Africa na mganga akafia Huko.
@estherkimario79404 ай бұрын
No yule alikuwa norah
@MwanjiNzala-mo5ni4 ай бұрын
Aliyeolewa na mganga ni Norah na mganga jina lake.alikuwa.ngwizukuru.jilala alikufa. Akiwa.kwenye.gari lake kwa.kupigwa.lisasi alikuwepo monalisa na amina chifupa walimgombaniaga sana mpakanjia baadae monaliasa alimwachia amina bwana nae kwenda kuolewa na Taison na baadae.Amina alizaa.mtoto wa.kiume na monalisa alizaa mtoto.wa.kike. bifu liliishia hapo wakawa nakayeba yaan.nimekumbuka mbali sana